Menu



Namna ya kumwosha Mgonjwa vidonda

Posti hii inahusu zaidi njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda, ni njia muhimu ambazo ni lazima kuzipitia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.

Njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.

1.Kwanza kabisa unapaswa kumtaarifu Mgonjwa kuhusu huduma unayotaka kumpatia, na pia hakikisha kubwa Mgonjwa amekubaliana na wewe na pia mweke sehemu ambayo utaweza kumwosha bila yeye juwa na wasiwasi.

 

2.Baada ya kumwandaa mgonjwa unapaswa kuandaa vifaa vyako ambayo ni pamoja na seti yenye vifaa vyote na pia unapaswa kuwa na beseni la maji yenye sabuni, chlorine,na maji mengine ya kawaida kwa ajili ya kuweka vifaa baada ya matumizi na pia unapaswa kuwa na mpira wa kuzuia maji maji kupita wakati wa usafi.

 

3.Baada ya kuandaa vifaa unaangalia faili la mgonjwa kama kuna dawa yoyote ambayo imeagizwa na daktari pia unapaswa kujiandaa dawa hiyo kama ipo , baada ya hapo unanawa mikono na kuvaa gloves na pia inafunguka seti yenye vifaa unatoa kifaa cha kuweka takataka wakati wa kusafisha.

 

4.Pamoja na hayo unachukua kufaa cha kuweka uchafu unajiweka karibu na inafunguka kidonda kama kimefungwa na unatoa nadaso ya juu na unaangalia kidonda kama kina usahaa au kama kuna mabadiliko yoyote ya rangi kwa hayapo unaanza kazi kama kuna usaha unatumia hydrogen peroxide na Uso kama hakuna usaha unatumia normal saline.

 

5. Ukiwa unaosha vidonda unaanza sehemu ya juu na kwenda sehemu ya ndani na unaanza sehemu safi kwenda chafu na ukimaliza unaweka dawa kama ipo na unafunga vizuri kidonda na baadae unamshukuru Mgonjwa kwa ushirikiano na unasaini kwa kuonyesha hali ya kidonda ulivyoikuta.

 

6. Na baadae inakusanya vifaa vyako unaviosha na kuviweka tayari kwa ajili ya kwenda kuua wadudu ambao wako kwenye vifaa ambavyo utumika. Katika kuosha vidonda tunapaswa kuwa makini ili kuepuka hali ya kupata magonjwa kutoka kwa wagonjwa wa vidonda.

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 1291


Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Fahamu kuhusu protini na kazi zake mwilini
Tunahitaji kuwa na protini mwilini. Kuna baadhi ya makundi ya watu wanahitaji protini zaidi. Je unawajuwa hao ni kina nana?, na je unauwa kazi za protini mwilini na athari za upungufu wake? endelea na makala hii. Soma Zaidi...

Njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja, ni njia ambazo utumika ikiwa kuna damu inavuja kwenye sehemu yoyote ya mwili,kwa hiyo tunaweza kutumia njia hizi ili kuepuka kuendelea kuvuja kwa damu. Soma Zaidi...

Huduma kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi
Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu madhara ya uzito mkubwa
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa kawaida ili mtu aweze kuwa na uzito wa kawaida ni vizuri na kiafya kupima urefu ukilinganisha na uzito wa mtu. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa aliyeungua
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa aliyeungua Soma Zaidi...

Utaratibu wa lishe kwa wazee
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee Soma Zaidi...

Ntajilinda vipi na magonjwa ya meno
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na magonjwa ya meno Soma Zaidi...

Namna ya kutoa huduma ya kwanza
Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini Soma Zaidi...

Upungufu wa damu mwilini
Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA. Soma Zaidi...

Sababu za maumivu ya mwili.
Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini Soma Zaidi...