Posti hii inahusu zaidi njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda, ni njia muhimu ambazo ni lazima kuzipitia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.
Njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.
1.Kwanza kabisa unapaswa kumtaarifu Mgonjwa kuhusu huduma unayotaka kumpatia, na pia hakikisha kubwa Mgonjwa amekubaliana na wewe na pia mweke sehemu ambayo utaweza kumwosha bila yeye juwa na wasiwasi.
2.Baada ya kumwandaa mgonjwa unapaswa kuandaa vifaa vyako ambayo ni pamoja na seti yenye vifaa vyote na pia unapaswa kuwa na beseni la maji yenye sabuni, chlorine,na maji mengine ya kawaida kwa ajili ya kuweka vifaa baada ya matumizi na pia unapaswa kuwa na mpira wa kuzuia maji maji kupita wakati wa usafi.
3.Baada ya kuandaa vifaa unaangalia faili la mgonjwa kama kuna dawa yoyote ambayo imeagizwa na daktari pia unapaswa kujiandaa dawa hiyo kama ipo , baada ya hapo unanawa mikono na kuvaa gloves na pia inafunguka seti yenye vifaa unatoa kifaa cha kuweka takataka wakati wa kusafisha.
4.Pamoja na hayo unachukua kufaa cha kuweka uchafu unajiweka karibu na inafunguka kidonda kama kimefungwa na unatoa nadaso ya juu na unaangalia kidonda kama kina usahaa au kama kuna mabadiliko yoyote ya rangi kwa hayapo unaanza kazi kama kuna usaha unatumia hydrogen peroxide na Uso kama hakuna usaha unatumia normal saline.
5. Ukiwa unaosha vidonda unaanza sehemu ya juu na kwenda sehemu ya ndani na unaanza sehemu safi kwenda chafu na ukimaliza unaweka dawa kama ipo na unafunga vizuri kidonda na baadae unamshukuru Mgonjwa kwa ushirikiano na unasaini kwa kuonyesha hali ya kidonda ulivyoikuta.
6. Na baadae inakusanya vifaa vyako unaviosha na kuviweka tayari kwa ajili ya kwenda kuua wadudu ambao wako kwenye vifaa ambavyo utumika. Katika kuosha vidonda tunapaswa kuwa makini ili kuepuka hali ya kupata magonjwa kutoka kwa wagonjwa wa vidonda.
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Author Tarehe 2022/02/18/Friday - 03:25:05 pm Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 941
Upungufu was fati
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu was fati Soma Zaidi...
Dalili za fizi kuvuja damu
Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa fizi ambapo fizi huweza kuwa na maumivu, kuambukizwa, kuvuja damu kwenye fizi na Vidonda. Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kisukari ambao husababisha kupoteza fahamu ( coma ya kisukari)..
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kisukari unaopelekea kukosa fahamu ni tatizo linalohatarisha maisha kisukari ambalo husababisha kupoteza fahamu. Ikiwa una kisukari, sukari ya juu ya damu (hyperglycemia) au sukari iliyopungua sana (hypoglycemia) inaweza kusababisha kukosa fahamu kwa kisukari. Ukipatwa na hali ya kukosa fahamu ya kisukari, uko hai lakini huwezi kuamka au kujibu kwa makusudi vituko, sauti au aina zingine za kusisimua. Ikiwa haijatibiwa, coma ya kisukari inaweza kusababisha kifo. Soma Zaidi...
Zijue dalili za upungufu wa maji mwilini
Posti hii inaelezea kuhusiana na upungufu wa maji mwilini Soma Zaidi...
Ujue Ugonjwa wa homa ya ini yenye sumu.
Homa ya ini yenye sumu'ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuathiriwa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumu'inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, dawa za kulevya au viongeza vya lishe. Soma Zaidi...
Njia za kutibu saratani
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za matibabu ya ugonjwa wa saratani,ni ugonjwa ambao unaweza kupona ikiwa umegundulika mapema katika hatua za mwanzo na kama ugonjwa huu umefikia hatua za mwisho Tiba yake huwa ni kupunguza makali ya ugonjwa. Soma Zaidi...
Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini
Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo. Soma Zaidi...
Matokeo ya maumivu makali.
Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu makali. Soma Zaidi...
Njia juu zinazosababisha kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi
Post hii inahusu zaidi njia za kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini. Soma Zaidi...
Nini husababisha kizunguzungu?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo mbalimbali ambayo husababisha kizunguzungu. Soma Zaidi...
Ijue rangi za mkojo na maana zake katika mwili kuhsu afya yako
Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji. Soma Zaidi...
Athari za kutokutibu minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya athari zinazoweza kutokea endapo minyoo haitotibiwa Soma Zaidi...