picha

Namna ya kumwosha Mgonjwa vidonda

Posti hii inahusu zaidi njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda, ni njia muhimu ambazo ni lazima kuzipitia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.

Njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.

1.Kwanza kabisa unapaswa kumtaarifu Mgonjwa kuhusu huduma unayotaka kumpatia, na pia hakikisha kubwa Mgonjwa amekubaliana na wewe na pia mweke sehemu ambayo utaweza kumwosha bila yeye juwa na wasiwasi.

 

2.Baada ya kumwandaa mgonjwa unapaswa kuandaa vifaa vyako ambayo ni pamoja na seti yenye vifaa vyote na pia unapaswa kuwa na beseni la maji yenye sabuni, chlorine,na maji mengine ya kawaida kwa ajili ya kuweka vifaa baada ya matumizi na pia unapaswa kuwa na mpira wa kuzuia maji maji kupita wakati wa usafi.

 

3.Baada ya kuandaa vifaa unaangalia faili la mgonjwa kama kuna dawa yoyote ambayo imeagizwa na daktari pia unapaswa kujiandaa dawa hiyo kama ipo , baada ya hapo unanawa mikono na kuvaa gloves na pia inafunguka seti yenye vifaa unatoa kifaa cha kuweka takataka wakati wa kusafisha.

 

4.Pamoja na hayo unachukua kufaa cha kuweka uchafu unajiweka karibu na inafunguka kidonda kama kimefungwa na unatoa nadaso ya juu na unaangalia kidonda kama kina usahaa au kama kuna mabadiliko yoyote ya rangi kwa hayapo unaanza kazi kama kuna usaha unatumia hydrogen peroxide na Uso kama hakuna usaha unatumia normal saline.

 

5. Ukiwa unaosha vidonda unaanza sehemu ya juu na kwenda sehemu ya ndani na unaanza sehemu safi kwenda chafu na ukimaliza unaweka dawa kama ipo na unafunga vizuri kidonda na baadae unamshukuru Mgonjwa kwa ushirikiano na unasaini kwa kuonyesha hali ya kidonda ulivyoikuta.

 

6. Na baadae inakusanya vifaa vyako unaviosha na kuviweka tayari kwa ajili ya kwenda kuua wadudu ambao wako kwenye vifaa ambavyo utumika. Katika kuosha vidonda tunapaswa kuwa makini ili kuepuka hali ya kupata magonjwa kutoka kwa wagonjwa wa vidonda.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 2326

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Ntajilinda vipi na magonjwa ya meno

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na magonjwa ya meno

Soma Zaidi...
Huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa mambo yafuatayo

Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi k

Soma Zaidi...
Hatari ya uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi hatari zilizopo kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa sababu ya kuwepo kwa uzito mkubwa na pia unene usio wa kawaida usababisha mtu kuwa na matatizo mbalimbali hasa saratani za kila sehemu kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walioingiliwa na uchafu puani.(foreign body).

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu vitamini C na kazi zake

Makala hii itakujulisha kazi kuu za vitamini C mwilini. Hapa pia utatambuwa ni kwa nini tunahitaji vitamini C na wapi tutavipata

Soma Zaidi...
Namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya tumbo

Soma Zaidi...