Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo.
Faida za kusafisha vidonda.
1. Kusafisha vidonda usaidia kuzuia wadudu mbalimbali ambao huwa ni nyemelezi kwenye vidonda kwa sababu kama wadudu wakishaingia kwenye kidonda uweza kuleta uaribifu mkubwa kwenye kidonda chenyewe.
2. Kusafisha kidonda usaidia kuondoa unyevunyevu nyevu kwenye kidonda kwa sababu unyenyekevu ndio usababisha maambukizi zaidi kwenye video fa kwa kusafisha tunaondoa unyenyekevu kwenye vidonda.
3. Kusafisha kidonda usababisha kuzuia kuvuja kwa kidonda kwa sababu pengine panakuwepo damu kwenye kidonda unaposafisha na kuweka dawa unazuia kuvuja kwenye kidonda.
4. Kusafisha kidonda umsaidia Mgonjwa aweze kujisikia vizuri na huru kwa sababu kidonda kinakuwa na harufu nzuri na pia mgonjwa anaweza kujisikia vizuri na kuweza kushirikiana na Watu vizuri.
5.Kusafisha vidonda umsaidia Mgonjwa kuweza kupona haraka kwa sababu wadudu waharibifu wote iondolewa na ngozi ya juu uweza kurudi kwa haraka kwa hiyo Mgonjwa anapona haraka sana.
6. Kwa hiyo tunapaswa kujua na kuelewa zaidi faida za kusafisha vidonda na Watu wale wenye vidonda vya mda mrefu mnapaswa kuvipeleka hospitalini ili kuweza kuvisafisha na ili viweze kupona haraka na wale ambao wanakataa kupeleka vidonda hospitalini na wanakaa navyo nyumbani wajitahidi kuvipeleka hospitalini ili watibiwe
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya njia za kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo maradhi huambukizwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa,ni njia unazopaswa kufuata wakati unamsafisha mgonjwa kinywa hasa wale walio mahututi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya tumbo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya madini mwilini
Soma Zaidi...Unyanyasaji wa kimwili. Unyanyasaji wa watoto kimwili hutokea wakati mtoto amejeruhiwa kimwili kimakusudi. Unyanyasaji wa kijinsia. Unyanyasaji wa watoto kingono ni shughuli yoyote ya kingono na mtoto, kama vile kumpapasa, kushikana mdomo na sehemu
Soma Zaidi...