Huduma ya kwanza kwa aliye ungua na Moto.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto.
Huduma ya Kwanza kwa aliyeungua na Moto.
1.mtoe mgonjwa kwenye Hilo tukio.
2. Waokoaji lazima pia wajilinde dhidi ya kujeruhiwa wasije wakapata matatizo na wao.
3. Ondoa nguo zote kwa sababu mchakato wa kuungua unaendelea wakati Moto au kemikali inagusana na ngozi.
4. Mpooze mgonjwa kwa kumweka sehemu yenye ubaridi.
5. Kupoa kwa eneo lililojeruhiwa (ikiwa ni ndogo) ndani ya dakika 1 husaidia kupunguza kuongezeka kwa kina Cha jeraha.
6. Usitumbukize sehemu ya mwili iliyochomwa kwenye maji baridi kwa sababu inaweza kusababisha upotezaji mkubwa wa joto.
7. Osha eneo lililoathiriwa kwa kiasi kikubwa cha maji.
8. Mfunike mgonjwa katika shuka kavu, safi au blanketi ili kuzuia uchafuzi zaidi wa jeraha na kumpa joto.
9. Kamwe usifunike mgonjwa sehemu palipoungua kwa barafu, kwa kuwa hii inaweza kusababisha hypothermi ya mishipa ya damu, na hivyo kupunguza zaidi mtiririko wa damu kwenye jeraha.
10. Acha nguo zilizomganda katika jeraha hadi mgonjwa apelekwe hospitalini.
11.funika jeraha lililoungua ili kuzuia maambukizi
12. Malengelenge yanapaswa kuachwa inapaswa kufunikwa kwa taulo safi, baridi, iliyotiwa maji ya bomba ili kutuliza maumivu ya mgonjwa hadi huduma ya matibabu ipatikane
13.mpeleke mgonjwa hospitali kwaajili ya matibabu zaidi ikiwa jeraha la Moto Ni kubwa na hata Kama Ni ndogo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa
Posti hii inahusu zaidi sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa, Mgonjwa akiwa anaumwa na pia anakula chakula ni lazima asafishwe kinywa Ili kuweza kuepuka madhara mengine yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kinywani.
Soma Zaidi...Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya utu wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu homa ya uti wa mgongo, kwa kuwa ugonjwa huu mara nyingi uathiri sehemu za kwenye ubongo kuna madhara ambayo yanaweza kutokea endapo Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.
Soma Zaidi...Huduma kwa mtoto mdogo anayeumwa
Mtoto mdogo ni mtoto chini ya miaka mitano, yaan kuanzia pale anapozaliwa mpaka anapafikisha miaka mitano
Soma Zaidi...Mkojo usio wa kawaida huwa na vitu vifuatavyo.
Posti hii inahusu zaidi Aina ya mkojo usiokuwaa wa kawaida uwa na vitu vifuatavyo, ukiona dalili kama hizo wahi mapema hospitalini Ili upatiwe huduma.
Soma Zaidi...Roghage/ vyakula vya kambakamba
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya roghage
Soma Zaidi...