Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto.
Huduma ya Kwanza kwa aliyeungua na Moto.
1.mtoe mgonjwa kwenye Hilo tukio.
2. Waokoaji lazima pia wajilinde dhidi ya kujeruhiwa wasije wakapata matatizo na wao.
3. Ondoa nguo zote kwa sababu mchakato wa kuungua unaendelea wakati Moto au kemikali inagusana na ngozi.
4. Mpooze mgonjwa kwa kumweka sehemu yenye ubaridi.
5. Kupoa kwa eneo lililojeruhiwa (ikiwa ni ndogo) ndani ya dakika 1 husaidia kupunguza kuongezeka kwa kina Cha jeraha.
6. Usitumbukize sehemu ya mwili iliyochomwa kwenye maji baridi kwa sababu inaweza kusababisha upotezaji mkubwa wa joto.
7. Osha eneo lililoathiriwa kwa kiasi kikubwa cha maji.
8. Mfunike mgonjwa katika shuka kavu, safi au blanketi ili kuzuia uchafuzi zaidi wa jeraha na kumpa joto.
9. Kamwe usifunike mgonjwa sehemu palipoungua kwa barafu, kwa kuwa hii inaweza kusababisha hypothermi ya mishipa ya damu, na hivyo kupunguza zaidi mtiririko wa damu kwenye jeraha.
10. Acha nguo zilizomganda katika jeraha hadi mgonjwa apelekwe hospitalini.
11.funika jeraha lililoungua ili kuzuia maambukizi
12. Malengelenge yanapaswa kuachwa inapaswa kufunikwa kwa taulo safi, baridi, iliyotiwa maji ya bomba ili kutuliza maumivu ya mgonjwa hadi huduma ya matibabu ipatikane
13.mpeleke mgonjwa hospitali kwaajili ya matibabu zaidi ikiwa jeraha la Moto Ni kubwa na hata Kama Ni ndogo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina ya choo kisichokuwa cha kawaida, ni dalili za choo ambacho siyo Cha kawaida, Ina maana ukiona dalili za choo Cha Aina hii ni vizuri kwenda hospitalini Ili kupata matibabu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia, hii ni chanjo inayozuia hasa hasa Magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo nayo upewa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...