Huduma ya kwanza kwa aliye ungua na Moto.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto.
Huduma ya Kwanza kwa aliyeungua na Moto.
1.mtoe mgonjwa kwenye Hilo tukio.
2. Waokoaji lazima pia wajilinde dhidi ya kujeruhiwa wasije wakapata matatizo na wao.
3. Ondoa nguo zote kwa sababu mchakato wa kuungua unaendelea wakati Moto au kemikali inagusana na ngozi.
4. Mpooze mgonjwa kwa kumweka sehemu yenye ubaridi.
5. Kupoa kwa eneo lililojeruhiwa (ikiwa ni ndogo) ndani ya dakika 1 husaidia kupunguza kuongezeka kwa kina Cha jeraha.
6. Usitumbukize sehemu ya mwili iliyochomwa kwenye maji baridi kwa sababu inaweza kusababisha upotezaji mkubwa wa joto.
7. Osha eneo lililoathiriwa kwa kiasi kikubwa cha maji.
8. Mfunike mgonjwa katika shuka kavu, safi au blanketi ili kuzuia uchafuzi zaidi wa jeraha na kumpa joto.
9. Kamwe usifunike mgonjwa sehemu palipoungua kwa barafu, kwa kuwa hii inaweza kusababisha hypothermi ya mishipa ya damu, na hivyo kupunguza zaidi mtiririko wa damu kwenye jeraha.
10. Acha nguo zilizomganda katika jeraha hadi mgonjwa apelekwe hospitalini.
11.funika jeraha lililoungua ili kuzuia maambukizi
12. Malengelenge yanapaswa kuachwa inapaswa kufunikwa kwa taulo safi, baridi, iliyotiwa maji ya bomba ili kutuliza maumivu ya mgonjwa hadi huduma ya matibabu ipatikane
13.mpeleke mgonjwa hospitali kwaajili ya matibabu zaidi ikiwa jeraha la Moto Ni kubwa na hata Kama Ni ndogo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Nini husababisha kibofu cha mkojo kuuma na baadae kutoka damu
Katika post hii utajifunza sababu zinazowezabkuorlekea kibofu kuuma upande mmoja
Soma Zaidi...Njia za kujikinga na vidonda vya tumbo
Kama unahitaji kujuwa namna ya kuweza kujikinga na vidonda vya tumbo, basi makala hii ni kwa ajili yako. Hapa utaweza kuzijuwa hatuwa zote za kujikinga na kupata vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Imani potofu juu ya chanjo.
Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.
Soma Zaidi...Huduma ya Kwanza kwa aliyepatwa na presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kushuka
Soma Zaidi...Kwanini mbu hawezi kuambukiza ukimwi
Somo Hili linakwenda kukueleza sababu za kwanini mbu hawezi kuambukiza ukimwi
Soma Zaidi...Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya utu wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu homa ya uti wa mgongo, kwa kuwa ugonjwa huu mara nyingi uathiri sehemu za kwenye ubongo kuna madhara ambayo yanaweza kutokea endapo Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.
Soma Zaidi...