Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto.
Huduma ya Kwanza kwa aliyeungua na Moto.
1.mtoe mgonjwa kwenye Hilo tukio.
2. Waokoaji lazima pia wajilinde dhidi ya kujeruhiwa wasije wakapata matatizo na wao.
3. Ondoa nguo zote kwa sababu mchakato wa kuungua unaendelea wakati Moto au kemikali inagusana na ngozi.
4. Mpooze mgonjwa kwa kumweka sehemu yenye ubaridi.
5. Kupoa kwa eneo lililojeruhiwa (ikiwa ni ndogo) ndani ya dakika 1 husaidia kupunguza kuongezeka kwa kina Cha jeraha.
6. Usitumbukize sehemu ya mwili iliyochomwa kwenye maji baridi kwa sababu inaweza kusababisha upotezaji mkubwa wa joto.
7. Osha eneo lililoathiriwa kwa kiasi kikubwa cha maji.
8. Mfunike mgonjwa katika shuka kavu, safi au blanketi ili kuzuia uchafuzi zaidi wa jeraha na kumpa joto.
9. Kamwe usifunike mgonjwa sehemu palipoungua kwa barafu, kwa kuwa hii inaweza kusababisha hypothermi ya mishipa ya damu, na hivyo kupunguza zaidi mtiririko wa damu kwenye jeraha.
10. Acha nguo zilizomganda katika jeraha hadi mgonjwa apelekwe hospitalini.
11.funika jeraha lililoungua ili kuzuia maambukizi
12. Malengelenge yanapaswa kuachwa inapaswa kufunikwa kwa taulo safi, baridi, iliyotiwa maji ya bomba ili kutuliza maumivu ya mgonjwa hadi huduma ya matibabu ipatikane
13.mpeleke mgonjwa hospitali kwaajili ya matibabu zaidi ikiwa jeraha la Moto Ni kubwa na hata Kama Ni ndogo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa ovari kwenye mwili wa mwanamke. ovari ni sehemu ambapo mayai ya mwanamke hutunza, kwa hiyo kila mwanamke huwa na ovari ambayo husaidia kutunza mayai.
Soma Zaidi...Kifafa hakiambukizi na ugonjwa wa ubongo lakini kifafa pia hakiathiri akili au ubongo Ila kikiwa kifafa Cha kudumu na Cha nguvu ndio huweza kuadhiri. Pia Kuna kifafa Cha mimba na kifafa Cha kawaida.kifafa Cha mimba ndio kinahatari Sana kuliko Cha Kawaid
Soma Zaidi...Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu
Soma Zaidi...Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ajali ya jicho na visababishi vyake, ajali ya jicho ni pale jicho linavyoingiliwa na uchafu na vitu vingine ambavyo havistahili kuwa kwenye jicho
Soma Zaidi...Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna ya kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima, ni njia ambazo utumika kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima au kumwosha Mgonjwa hasa wale walio mahututi na hawawezi kuamka kitandani.
Soma Zaidi...