Huduma ya kwanza kwa aliye ungua na Moto.

Huduma ya kwanza kwa aliye ungua na Moto.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto.

 Huduma ya Kwanza kwa aliyeungua na Moto.

 1.mtoe mgonjwa kwenye Hilo tukio.

2. Waokoaji lazima pia wajilinde dhidi ya kujeruhiwa wasije wakapata matatizo na wao.

 

3. Ondoa nguo zote  kwa sababu mchakato wa kuungua unaendelea wakati Moto au kemikali  inagusana na ngozi.


4. Mpooze mgonjwa kwa kumweka sehemu yenye ubaridi.


5. Kupoa kwa eneo lililojeruhiwa (ikiwa ni ndogo) ndani ya dakika 1 husaidia kupunguza kuongezeka kwa kina Cha  jeraha.


 
6. Usitumbukize sehemu ya mwili iliyochomwa kwenye maji baridi kwa sababu inaweza kusababisha upotezaji mkubwa wa joto.


7. Osha eneo lililoathiriwa kwa kiasi kikubwa cha maji.

 

8. Mfunike mgonjwa katika shuka kavu, safi au blanketi ili kuzuia uchafuzi zaidi wa jeraha na kumpa joto.


9. Kamwe usifunike mgonjwa sehemu palipoungua   kwa barafu, kwa kuwa hii inaweza kusababisha hypothermi ya mishipa ya damu, na hivyo kupunguza zaidi mtiririko wa damu kwenye jeraha.


10. Acha nguo zilizomganda katika jeraha hadi mgonjwa apelekwe hospitalini.


11.funika jeraha lililoungua ili kuzuia maambukizi


12. Malengelenge yanapaswa kuachwa inapaswa kufunikwa kwa taulo safi, baridi, iliyotiwa maji ya bomba ili kutuliza maumivu ya  mgonjwa hadi huduma ya matibabu ipatikane

 

13.mpeleke mgonjwa hospitali kwaajili ya matibabu zaidi ikiwa jeraha la Moto Ni kubwa na hata Kama Ni ndogo.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu Rajabu
Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views: 4178

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 ai web app     👉5 web hosting     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Maana ya afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya afya

Soma Zaidi...
Zijue faida za mate mdomoni

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni.

Soma Zaidi...
Zijue kazi za ini

Post hii inahusu zaidi kazi za ini, ni kiungo muhimu kwenye mwili ambacho Kina umuhimu sana, bila ini maisha ya mwanadamu yanaweza kuishia pabaya

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa Pumu, dalili zake na njia za kujilinda dhidi ya Pumu.

Pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu kitaalamu huitwa bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na michubuko sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitisha hewa. Hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija

Soma Zaidi...
Maji

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za maji mwilini

Soma Zaidi...