Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini

Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.

1. Kumweka mgonjwa kwenye hali ya usafi na kumfanya ajisikie vizuri wakati akiwa kitandani na wakati Watu wanakuja kumwona.

 

2. Kuzuia maupele kwenye ngozi na kuufanya mwili uwe huru na kuzuia magonjwahiyo mbalimbali yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya uchafu kwenye ngozi ya mgonjwa.

 

3. Kusaidia mzunguko wa damu uenda vizuri kwa sababu kama kuna uchafu umegandamana kwenye ngozi ni vigumu kwa damu kuweza kusafiri vizuri.

 

4. Kushusha joto la mwili kama liko juu ni kawaida kama joto la mwili liko juu ukioga kwa maji ya uvugu vugu joto la mwili linashuka kwa kiasi.

 

5. Kuzuia bakteria na wadudu wengine kama vile chawa za kwenye nguo ambazo uja kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kwa kufanya usafi wa mwili mzima mara kwa mara wadudu hao hawawezi kuonekana tena.

 

6. Kumfanya mgonjwa aweze kujisikia vizuri na anaweza kuonekana vizuri pia kumfanya mgonjwa awe na usingizi kwa sababu uchafu umekosesha mgonjwa usingizi akioga tu anaweza kusinzia vizuri.

 

7. Kwa hiyo na jamii nzima inapaswa kujua kuwa wagonjwa wetu wanapaswa kuwa wasafi mda wote kwa sababu ukimfanyia mgonjwa usafi unamsaidia kupona kwa hiyo wagonjwa wetu walioko majumbani na mahospitali hasa hasa wale ambao hawawezi kujifanyia kitu tuwaoshe kwa kufanya hivyo tunawatia matumaini na wataweza kupata nafuu.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/02/18/Friday - 01:08:20 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 884

Post zifazofanana:-

Zijue sehemu kuu nne za chumba cha upasuaji
Post hii inahusu zaidi sehemu kuu nne za chumba cha upasuaji, chumba cha upasuaji kina sehemu kuu nne na sehemu hizo ufanya kazi tofauti tofauti kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Kwanini lengo la funga halifikiwi na wafungaji wengi
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Sababu za Ugonjwa wa kifafa cha mimba.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kifafa cha mimba, kwa kawaida mpaka sasa hakuna taarifa zozote kuhusu sababu za kuwepo kwa kifafa cha mimba ila kuna visababishi vinavyofikiliwa kama ni Dalili za kifafa cha mimba kama ifuatavyo Soma Zaidi...

Dalili za UKIMWI na VVU kutoka mwanzoni mwa siku za mwanzo
Je na wewe ni katika wanaosumbuka sana kujuwa dalili za kwanza za ukimwi toka siku ya kwanza, ama dalili za ukimwi kwenye ulimi, ama unatakakujuwa ni muda gani ukimwi huonekana, na je ukishiriki ngono zembe ndio utapata ukimwi? Basi makala hii ni kwa ajil Soma Zaidi...

Fahamu ugonjwa wa kifafa cha mimba.
Post hii inahusu zaidi Ugonjwa wa kifafa cha mimba ambapo kwa kitaalamu huitwa eclampsia, utokea pale ambapo Mama anapokuwa na degedege wakati wa mimba na baada ya kujiunga. Soma Zaidi...

Ndug mi naitaj ushauri mimi nishaingia kwenye tendo dakika 7 tu nakua nishafika kilelen naomba ushauri ndugu
Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako. Soma Zaidi...

Dawa za maumivu ya jino
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za maumivu ya jino Soma Zaidi...

Sababu za mwanamke kuumwa tumbo y chini ya kitovu.
Posti hii inahusu sababu za mwanamke kuumwa tumbo chini ya kitovu, ni tatizo ambalo limewapata wanawake wengi na pengine sababu ni vigumu kupata au pengine zinapatikana lakini kwa kuchelewa hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwenye mwili. Soma Zaidi...

Njia za kupunguza uzito na kitambi
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi Soma Zaidi...

Madhara ya Tiba homoni kwa wagonjwa wa saratani
Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba homoni, ni madhara- ambayo utokea kwa mgonjwa anayetumia homoni kama Tiba kwenye kutibu saratani. Soma Zaidi...

Zijuwe faida za kiafya za kula nanasi
Je umeshawahi kula nanasi kwa wingi. Soma Zaidi...

Kutokwa maji yan seminal swhemu za siri kwa mwanamke nidalili ya ugojwa gan?
Kutokwa Majimaji sehemu za siri kwa mwanamke sio jambo la kushangaza na kuhisivunaumwa. Majimajivhaya ndio huboresha afya ya uzazi kwa kusafisha na kulinda via vya uzazi. Lakini majimajivhaya yakiwa mengi, ama yanawasha ama yanaharufu haa ndipo kwenye tat Soma Zaidi...