Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini
Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.
1. Kumweka mgonjwa kwenye hali ya usafi na kumfanya ajisikie vizuri wakati akiwa kitandani na wakati Watu wanakuja kumwona.
2. Kuzuia maupele kwenye ngozi na kuufanya mwili uwe huru na kuzuia magonjwahiyo mbalimbali yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya uchafu kwenye ngozi ya mgonjwa.
3. Kusaidia mzunguko wa damu uenda vizuri kwa sababu kama kuna uchafu umegandamana kwenye ngozi ni vigumu kwa damu kuweza kusafiri vizuri.
4. Kushusha joto la mwili kama liko juu ni kawaida kama joto la mwili liko juu ukioga kwa maji ya uvugu vugu joto la mwili linashuka kwa kiasi.
5. Kuzuia bakteria na wadudu wengine kama vile chawa za kwenye nguo ambazo uja kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kwa kufanya usafi wa mwili mzima mara kwa mara wadudu hao hawawezi kuonekana tena.
6. Kumfanya mgonjwa aweze kujisikia vizuri na anaweza kuonekana vizuri pia kumfanya mgonjwa awe na usingizi kwa sababu uchafu umekosesha mgonjwa usingizi akioga tu anaweza kusinzia vizuri.
7. Kwa hiyo na jamii nzima inapaswa kujua kuwa wagonjwa wetu wanapaswa kuwa wasafi mda wote kwa sababu ukimfanyia mgonjwa usafi unamsaidia kupona kwa hiyo wagonjwa wetu walioko majumbani na mahospitali hasa hasa wale ambao hawawezi kujifanyia kitu tuwaoshe kwa kufanya hivyo tunawatia matumaini na wataweza kupata nafuu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)
Soma Zaidi...Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Soma Zaidi...Muulizaji anauliza he kula denda, ama kumbusu ama kufanya romance na muathirika was HIV na wewe uta ambukizwa?
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na upungufu wa maji mwilini
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mishipa inayosafilisha damu mwilni, ni Aina tatu za mishipa ambazo usafilisha damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia Ili dawa iingie vizuri kwenye damu, na mambo yanayoweza kusababisha dawa kuingia au kutoingia vizuri kwenye damu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu njia na namna ya kumhudumia aliyeingiwa na nyoka. Nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na mtu akifinywa na nyoka asipohudumiwa anaweza kupata ulemavu au kupoteza maisha
Soma Zaidi...Poshi hii inahusu madhara ya ulevi.Utegemezi wa pombe kwa kawaida humaanisha kuwa mtu anatumia kiasi kikubwa cha pombe na kuna masuala kuhusu kupoteza udhibiti.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza jinsi ya kumfanyia huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa
Soma Zaidi...