Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini

Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.

1. Kumweka mgonjwa kwenye hali ya usafi na kumfanya ajisikie vizuri wakati akiwa kitandani na wakati Watu wanakuja kumwona.

 

2. Kuzuia maupele kwenye ngozi na kuufanya mwili uwe huru na kuzuia magonjwahiyo mbalimbali yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya uchafu kwenye ngozi ya mgonjwa.

 

3. Kusaidia mzunguko wa damu uenda vizuri kwa sababu kama kuna uchafu umegandamana kwenye ngozi ni vigumu kwa damu kuweza kusafiri vizuri.

 

4. Kushusha joto la mwili kama liko juu ni kawaida kama joto la mwili liko juu ukioga kwa maji ya uvugu vugu joto la mwili linashuka kwa kiasi.

 

5. Kuzuia bakteria na wadudu wengine kama vile chawa za kwenye nguo ambazo uja kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kwa kufanya usafi wa mwili mzima mara kwa mara wadudu hao hawawezi kuonekana tena.

 

6. Kumfanya mgonjwa aweze kujisikia vizuri na anaweza kuonekana vizuri pia kumfanya mgonjwa awe na usingizi kwa sababu uchafu umekosesha mgonjwa usingizi akioga tu anaweza kusinzia vizuri.

 

7. Kwa hiyo na jamii nzima inapaswa kujua kuwa wagonjwa wetu wanapaswa kuwa wasafi mda wote kwa sababu ukimfanyia mgonjwa usafi unamsaidia kupona kwa hiyo wagonjwa wetu walioko majumbani na mahospitali hasa hasa wale ambao hawawezi kujifanyia kitu tuwaoshe kwa kufanya hivyo tunawatia matumaini na wataweza kupata nafuu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1394

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 web hosting    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

HUDUMA YA KWANZA KWA MWENYE KIZUNGUZUNGU

Unapokuwa na kizunguzungu unashindwa kuudhibiti mwili wako, unaweza kuanguka kabisa.

Soma Zaidi...
Nyanja sita za afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu nyanja sita za afya

Soma Zaidi...
Upungufu wa protin

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa protini

Soma Zaidi...
Faida za tumbo katika mwili wa binadamu

Posti hii inahusu zaidi faida za tumbo,tumbo ni sehemu ya mwili ambayo ushughilika na kutunza chakula,

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mwenye uchafu kwenye sikio.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio.

Soma Zaidi...
Namna ya kumfanyia usafi Mgonjwa kwa mwili mzima.

Posti hii inahusu namna ya kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima, ni njia ambazo utumika kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima au kumwosha Mgonjwa hasa wale walio mahututi na hawawezi kuamka kitandani.

Soma Zaidi...
Vyakula vya fati na mafuta

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya fati na mafuta

Soma Zaidi...
Jinsi moyo unavyosukuma damu

Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula sumu

Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu.

Soma Zaidi...
Kazi za mifupa mwilinj

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa mifupa mwilini, mifupa ni mojawapo ya tushy zilizounganika na ufanya kazi kubwa kwenye mwili.

Soma Zaidi...