Mzunguko wa mwezi kwa mwanamke
Posti hii inahusu zaidi mzunguko wa mwezi kwa mwanamke, ni mzunguko ambao huchukua siku ishilini na nane kwa kawaida Ila lla ubadilika kulingana na mtu, Ila ngoja tuangalie siku ishilini na nane tu.
Mzunguko wa mwezi kwa mwanamke uanza tu pale siku ya kwanza anapotoka damu, kipindi hiki kwa kawaida uchukua siku Tano.
Baada ya hapo siku ya sita mpaka Kumi mwanamke hawezi kubeba mimba hizo huitwa siku salama.
Siku ya Kumi na moja mpaka Kumi na nne ni siku za kubeba mimba kwa kawaida huitwa ovulation day yaan yai utoka kwenye ovari na kuja kwenye milija kwa ajili ya kurutubishwa hizi ni siku za kubeba mimba
Siku ya Kumi na Tano mpaka ishilini na nane ni siku salama, mwanamke hawezi kubeba mimba.
Ikumbukwe kuwa mbegu za mwanaume ukaa kwenye via vya uzazi kwa mda wa siku Tano, kwa hiyo basi tunapoesabu siku hizi tukumbuke na hilo tusije kunichanganya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Utaratibu wa lishe kwa vijana
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa vijana
Soma Zaidi...Kawaida Mtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha
Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha
Soma Zaidi...Upungufu wa damu mwilini
Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.
Soma Zaidi...Namna ya kuchoma chanjo
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuchoma chanjo, ni njia ambazo utumika kutoa chanjo kwa watoto na watu wazima kwa utaratibu uliowekwa.
Soma Zaidi...Sababu Zinazopelekea maumivu ya shingo.
Maumivu ya shingo ni malalamiko ya kawaida. Misuli ya shingo inaweza kuchujwa kutokana na mkao mbaya - iwe inaegemea kwenye kompyuta yako kazini au kuwinda benchi yako ya kazi nyumbani.
Soma Zaidi...