Posti hii inahusu zaidi mzunguko wa mwezi kwa mwanamke, ni mzunguko ambao huchukua siku ishilini na nane kwa kawaida Ila lla ubadilika kulingana na mtu, Ila ngoja tuangalie siku ishilini na nane tu.
Mzunguko wa mwezi kwa mwanamke uanza tu pale siku ya kwanza anapotoka damu, kipindi hiki kwa kawaida uchukua siku Tano.
Baada ya hapo siku ya sita mpaka Kumi mwanamke hawezi kubeba mimba hizo huitwa siku salama.
Siku ya Kumi na moja mpaka Kumi na nne ni siku za kubeba mimba kwa kawaida huitwa ovulation day yaan yai utoka kwenye ovari na kuja kwenye milija kwa ajili ya kurutubishwa hizi ni siku za kubeba mimba
Siku ya Kumi na Tano mpaka ishilini na nane ni siku salama, mwanamke hawezi kubeba mimba.
Ikumbukwe kuwa mbegu za mwanaume ukaa kwenye via vya uzazi kwa mda wa siku Tano, kwa hiyo basi tunapoesabu siku hizi tukumbuke na hilo tusije kunichanganya.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Post hii inahusu zaidi athari za kutotibu maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo, nimatazito yanayoweza kutokea iwapo ugonjwa huu hautatibika.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kazi za ini, ni kiungo muhimu kwenye mwili ambacho Kina umuhimu sana, bila ini maisha ya mwanadamu yanaweza kuishia pabaya
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya madini mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi,ni Imani walizonazo watu wengi kuhusiana na ugonjwa wa Ukimwi.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa vijana
Soma Zaidi...Kungโatwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.
Soma Zaidi...