Ijue rangi ya mkojo isiyo ya kawaida

Ijue rangi ya mkojo isiyo ya kawaida

Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Rangi ya mkojo isiyo ya kawaida.

1. Mkojo ambao una damu ndani yake, hii ni rangi ambayo siyo ya kawaida kwenye mkojo, hali hii utokea ambapo mkojo uwa na rangi nyekundu ambayo hapaswi kuwa rangi ya mkojo.

 

2. Mkojo kuwa na damu ndani yake uwa ni ishara ya vitu vifuatavyo kama vili maambukizi kwenye figo au pengine ni kwa sababu ya kichocho maana wadudu wanaoambukiza kichocho wakiwa wengi kwenye kibofu Cha mkojo utafuna sehemu za kibofu Cha mkojo na kusababisha kutoa damu kwenye mkojo na kusababisha madhara mengine makubwa kwenye mwili wa binadamu.

 

3.vile vile hali ya kuwepo kwa damu kwenye mkojo usababishwa na Maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo na pengine maambukizi kwenye urethra kama Kuna maambukizi kwenye sehemu hizo wadudu utafuna sehemu mbalimbali za kwenye kibofu Cha mkojo na kusababisha maambukizi ambayo usababisha mkojo kuwa na damu.

 

 4.pengine rangi ya mkojo uwa nyeusi. Hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa sehemu mbalimbali za bile (nyongo), kwa hiyo kama Kuna bile kwenye mkojo, mkojo huwa na rangi nyeusi,kwa hiyo hii si rangi rasmi ya mkojo kwa hiyo kiwango Cha bili pigment kwenye mkojo kinapaswa kuwa Cha kawaida na kufanya  rangi ya mkojo kuwa kawaida kwa hiyo rangi nyeusi siyo rangi ya mkojo.

 

5.Madawa mbalimbali usababisha rangi ya mkojo kubadilika sana , kwa mfano wagonjwa wanaotumia dawa ya rifampicin mkojo wao huwa mwekundu na wakati mwingine huwa wa orange hii ni kwa sababu ya Aina ya dawa kwa hiyo watu wanaotumia madawa ya Aina hii wanapaswa kunywa sana maji ili kufanya mkojo wao uwe na rangi ya kahawia Bali sio rangi  nyekundu au rangi ya orange.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1557

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu madhara ya uzito mkubwa
Fahamu kuhusu madhara ya uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa kawaida ili mtu aweze kuwa na uzito wa kawaida ni vizuri na kiafya kupima urefu ukilinganisha na uzito wa mtu.

Soma Zaidi...
Ratiba ya chanjo ya polio
Ratiba ya chanjo ya polio

Posti hii inahusu zaidi namna chanjo ya polio inavyotolewa na ratiba zake yaani kuanzia siku ya kwanza mpaka pale mtoto anapomaliza chanjo hii kwa hiyo tuone ratiba ya chanjo ya polio.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu fati na mafuta na kazi zake mwilini
Fahamu kuhusu fati na mafuta na kazi zake mwilini

Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja
Njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja, ni njia ambazo utumika ikiwa kuna damu inavuja kwenye sehemu yoyote ya mwili,kwa hiyo tunaweza kutumia njia hizi ili kuepuka kuendelea kuvuja kwa damu.

Soma Zaidi...
Jinsi moyo unavyosukuma damu
Jinsi moyo unavyosukuma damu

Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa aliyepatwa na presha ya kushuka
Huduma ya Kwanza kwa aliyepatwa na presha ya kushuka

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kushuka

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekunywa sumu
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekunywa sumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekunywa sumu

Soma Zaidi...