Ijue rangi ya mkojo isiyo ya kawaida

Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.

Rangi ya mkojo isiyo ya kawaida.

1. Mkojo ambao una damu ndani yake, hii ni rangi ambayo siyo ya kawaida kwenye mkojo, hali hii utokea ambapo mkojo uwa na rangi nyekundu ambayo hapaswi kuwa rangi ya mkojo.

 

2. Mkojo kuwa na damu ndani yake uwa ni ishara ya vitu vifuatavyo kama vili maambukizi kwenye figo au pengine ni kwa sababu ya kichocho maana wadudu wanaoambukiza kichocho wakiwa wengi kwenye kibofu Cha mkojo utafuna sehemu za kibofu Cha mkojo na kusababisha kutoa damu kwenye mkojo na kusababisha madhara mengine makubwa kwenye mwili wa binadamu.

 

3.vile vile hali ya kuwepo kwa damu kwenye mkojo usababishwa na Maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo na pengine maambukizi kwenye urethra kama Kuna maambukizi kwenye sehemu hizo wadudu utafuna sehemu mbalimbali za kwenye kibofu Cha mkojo na kusababisha maambukizi ambayo usababisha mkojo kuwa na damu.

 

 4.pengine rangi ya mkojo uwa nyeusi. Hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa sehemu mbalimbali za bile (nyongo), kwa hiyo kama Kuna bile kwenye mkojo, mkojo huwa na rangi nyeusi,kwa hiyo hii si rangi rasmi ya mkojo kwa hiyo kiwango Cha bili pigment kwenye mkojo kinapaswa kuwa Cha kawaida na kufanya  rangi ya mkojo kuwa kawaida kwa hiyo rangi nyeusi siyo rangi ya mkojo.

 

5.Madawa mbalimbali usababisha rangi ya mkojo kubadilika sana , kwa mfano wagonjwa wanaotumia dawa ya rifampicin mkojo wao huwa mwekundu na wakati mwingine huwa wa orange hii ni kwa sababu ya Aina ya dawa kwa hiyo watu wanaotumia madawa ya Aina hii wanapaswa kunywa sana maji ili kufanya mkojo wao uwe na rangi ya kahawia Bali sio rangi  nyekundu au rangi ya orange.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1505

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰2 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰3 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰4 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰5 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Zijue hasara za magonjwa ya ngono

Posti hii inahusu zaidi hasara za magonjwa ya ngono, ni magonjwa yanayoambukizwa kwa kujamiiana bila kutumia kinga.

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeshambuliwa na moyo na kushindwa kupumua

Kushambuliwa kwa moyo na kupumua ni kitendo Cha moyo kusimama ghafla, Hali hii unapaswa kutolewa huduma ya kwanza Ili moyo ufanye kazi tena,

Soma Zaidi...
Kushiriki ngono na mtu aliye na vvu na ukimwi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki-ngono-na-mtu-aliye-na-vvu-na-ukimwi

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyeaha

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha

Soma Zaidi...
Madhara ya kunywa pombe kiafya

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kunywa pombe kiafya, ni madhara ambayo utokea kwa watu wanaokumywa pombe kwa kupita kiasi kwa hiyo wanapaswa kupunguza kunywa pombe baada ya kujua madhara yake.

Soma Zaidi...
Kazi ya chanjo ya kifua kikuu

Posti hii inahusu kazi ya chanjo ya kifua kikuu kwa kitaalamu huitwa BCG. Ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na ukoma.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu virutubisho vya wanga na kazi zake mwilini

Katika vyakula tunaposema wanga tunamaanisha virutubisho ambavyo hupatikana kwenye vyakula. Hivi husaidia sana katika kuifanya miili yetu iwe na nguvu.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENGโ€™ATWA NA NYUKI

Kungโ€™atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.

Soma Zaidi...
Jinsi mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi

Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote.

Soma Zaidi...