UZAZI

picha
MADHARA YA KUFANYA TENDO LA NDOA NA MWANAMKE AKIWA KATIKA SIKU ZAKE.

Tendo la ndoa wakati wa siku za hedhi ni halia mbayo jamii nying zinakataza. Katika vitabu vya dini pia haviruhusu, hata ki saikolojia utaona kuwa sio jambo jema. Hata hivyo hapa ninakuletea madhara yake kiafya
picha
JINSI YA KUJIKINGA NA MARADHI YA INI

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kujiepusha na maradhi ya ini
picha
CHANZO CHA TEZIDUME, DALILI ZAKE NA TIBA ZAKE.

Post hii inakwenda kukufunza mambo mengi kuhusu tezi dume kama chanzo, dalili, matibabu, njia za kujikinga na mambo hatari yanayoweza kukusababishia kupata tezi dume.
picha
NINI HUSABABISHA MTOTO KUKOSA MAJI KABLA YA KUZALIWA?

inaweza kutokea kuwa mtoto aliye tumboni akaishiwa maji hata kabla ya kuzaliwa. yes hali hii huweza kuwapata baadhiya watoto.
picha
MADHARA YA TUMBAKU NA SIGARA

Post hii itakwenda kuangalia madhara ya tumbaku na sigara anayoweza kuyapata mvutaji
picha
NINI HUSABABISHA KORODANI MOJA KUWA KUBWA KULIKO NYINGINE

kama pumbu moja ni kubwa uliko jingine post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakwend akuangalia vinavyoweza kusababisha korodani moja kuw akubwa zaidi ya lingine
picha
MALEZI YA MTOTO MCHANGA NA MAMA MJAMZITO

Post hii itakwenda kukuletea mambo kadhaa yanayohusiana na malezi bora ya mama mjamzito na mtoto mchanga
picha
DALILI ZA KUHARIBIKA KWA MIMBA

Katika post hii utajifunza ishara na dalili ninazoonyesha kuwa mimba ipo hatarini kutoka ama inaweza kuwa imeshatoka.
picha
JINSI YA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME

Post hii itakwenda kukuletea orodha ya vyakla vinavyoaminika kuongeza nguvu za kiume.
picha
DARASA LA AFYA NA AFYA YA UZAZI

Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.
picha
MIMBA ILIYOTUNGIA NJE, SABABU ZAKE NA DALILI ZAKE. NINI KIFANYIKE KUIZUIA?

Mimba hatari iliyotungia nje ya mji wa mimba, ni zipi dalili zake na ni kivipo mimba inatungia nje?
picha
DALILI ZA KUJIFUNGUWA, NA DALILI ZA UCHUNGU WA KUJIFUNGUWA

Nitajuwaje kama mjamzito amekaribia kujifunguwa, ni dalili gani anaonyesha, dalili za uchungu wa kujifunguwa
picha
VYAKULA HATARI KWA MJAMZITO MWENYE MIMBA NA MIMBA CHANGA

Vyakula hivi hapasi kuvila mwanamke mwenye ujauzito kwa kiasi kikubwa, hasa yule mwenye mimba chaga
picha
UTARATIBU WA LISHE KWA MJAMZITO, VYAKULA ANAVYOPASA KULA MJAMZITO

Ni vyakula gani anapasa kula mjamzito, na utaratibu mzima wa lishe kwa wajawazito
picha
UTARATIBU KWA WAJAWAZITO NA WANAONYONSHESHA WAKIWA NA VIRUSI VYA UKIMWI NA UKIMWI

Je kuna madhara kwa mwenye virusi vya ukimwi kunyonyesha ama kubeba mimba, na nini afyanye kama ameshabeba mimba ama kama ananyonyesha
picha
UTARATIBU WA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA KWA WAJAWAZITO

Jifunze muda ambao mjamzito hatatkiwa kishiriki tendo la ndoa. je kuna madhara kwa mjamzito kushiriki tendo la ndoa.
picha
DAMU, MAJIMAJI NA UTEUTE UNAOTOKA KWENYE UKE WA MJAMZITO, SABABU ZAKE NA DALILI ZAKE

Unataka kujuwa sababu za mjamzito kutokwa na damu, utelezi ama majimaji kwenye uke wake. Na dalili gani zinaashiriwa na majimaji haya
picha
KUTOKA KWA MIMBA, SABABU ZA KUTOKA KWA MIMBA, DALILI ZA KUTOKA MIMBA NA KUZUIA MIMBA KUOKA

Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii
picha
NIA ZA KUPIMA UJAUZITO UKIWA NYUMBANI, NJIA KUU 10 ZA KIASILI ZA KUPIMA MIMBA CHANGA

Kuna njia nyingi zinatajwa zinapima mimba kama chumvi, sukari, mafuta na sabuni. Hata hivyo zipo njia zaidi ya 10 za kiasili za kupima ujauzito. Utajifunza hapa zote
picha
DALILI ZA MIMBA CHANGA NA SIKU YA KUPATA MIMBA

Jifunze namna ya kuthibitisha dalili za ujauzito kuwa ni za kweli. Tambuwa namna ya kupima mimba na muda mujarabu wa kupima
picha
CHANGAMOTO ZA UJAUZITO, NA DALILI ZAKE NA NAMNA YA KUKABILIANA NAZO

Utawezaje kukabiliana na changamoto za ujauzito, je ni zipi changamoto hizo. Hapa nitakujuza.
picha
DALILI KUU ZA MWANZO ZA MIMBA CHANGA, KUANZIA SIKU YA KWANZA

Ni ngumu ila nitakujuza namna ya kuitambuwa mimba ya siku moja hadi 3, mimba ya wiki moja na mimba ya miezi mitatu kwa dalili.
picha
NI IPI SIKU YA KUPATA UJAUZITO, NA NITAJUWAJE KAMA NIMEPATA UJAUZITO?

Hapa utajifunza siku nzuri kushoriki tendo la ndoa kupata ujauzito, dalili za siku hiyo na kuitafuta kwa mahesabu
picha
SABABU ZA MAUMIVU YA TUMBO WAKATU WA TENDO LA NDOA

Jifunze sababu kuu zinazosababisha kuhisi maumivu makali ya tumbo wakati wa kushiriki tendo la ndoa
picha
SABABU ZA MAUMIVU YA TUMBO BAADA YA TENDO LA NDOA

Utajifunza sababua zinazopelekea kuhisi maumivu makali ya tumbo baada ya kumaliza tendo la ndoa
picha
SIKU ZA HATARI

Hizi ni siku za hatari kupata ujauzito.Siku hizi ndio siku za kupata mimba kwa urahisi
picha
JE SIKU SAHIHI YAKUFANYA TENDO LA NDOA NIIPI UKIPATA SIKU ZAKE ZA HATARI?

Swali langu ni hili doktaJe siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?
picha
JE KITUNGUU SAUMU KINA MADHARA KWA MGONJWA WA FIGO?

Nimesoma makala yenu, sasa nina swaliJe kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?
picha
ANAWASHWA SANA SEHEMU YA SIRI MPAKA ANATOKA VIPELE VINGI KWENYE MAPAJA KORODANI ZAKE ZIMEBADILIKA KUWA NYEKUNDU

Abali mkuu Nina mdogo wangu anawashwa Sana sehemu ya Siri mpaka anatoka vipele vingi kwenye mapaja korodani zake zimebadilika kuwa nyekundu na zenye kutisha uume wake nao umekuwa unakama mabaka umebabuka aisee nime angaika Sana kumtibia mpaka nakata tamaa
picha
JE MAUMIVU YA NYONGA NA TUMBO LA CHINI NI DALILI YA MIMBA?

Nina swali langu:-je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?
picha
JE KUTOKWA NA MAJI MENGI WAKATI WA TENDO LA NDOA INAASHILIA NINI?

Je kutokwa na maji ukeni ambayo hayana harufu na meupe Hadi kuroanisha chupi, na je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini?
picha
MAUMIVU SEHEMU ZINAZOOTA MAVUZI NA KUWA NAMAUMIV WAKAT WA HAJA NDOGO NA PIA KWENYE KICHWA CHA UUME KUNAKUA KAMA KUNAVIMBA

Je kupata maumivu sehemu zinazoota mavuzi na kuwa namaumiv wakat wa haja ndogo na pia kwenye kichwa cha uume kunakua kama kunavimb hizo syo dalili moja wapi?
picha
KWA MJAMZITO KUUMIA WAKATI WA TENDO LA NDOA TATIZO LINAWEZA KUWA NI NINI?

Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?
picha
MAMA MJAMZITO ANAPO HISI UCHUNGU JE MTOTO HUENDELEA KUCHEZA TUMBONI?

Swali langi ni hiliMama mjamzito anapo hisi uchungu je mtoto huendelea kucheza tumboni?
picha
ZIJUWE DALILI KUU 5 ZA MIMBA CHANGA

Dalili za mimba, na m,imba changa
picha
DARASA LLA AFYA NA AFYA YA UZAZI NA MALEZI BORA KWA JAMII

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
picha
SIKU ZA KUPATA MIMBA

Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba na dalili za siku hizo.
picha
DALILI ZA MIMBA BAADA YA TENDO LA NDOA NA CHANGA NDANI YA WIKI MOJA

Utajifunza dalili za mwanzoni za mimba changa kuanzia wiki moja baada ya tendo la ndoa
picha
MAUMIVU YA UUME BAADA YA TENDO LA NDOA

Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.
picha
SIKU ZA HATARI, SIKU ZA KUBEBA MIMBA

Hizi ni siku hatari kwa mwanamke ambazo ni ahisi kwake kubeba mimba, siku nitakueleza ni zipi na ni zipi sifa zake
picha
DALILI ZA MIMBA CHANGA

Zijuwe dalili 17 za mimba na mimba changa, kuanzia siku ya kwanza mpaka mwezi mmoja
picha
SIKU ZA KUPATA MIMBA

Nitakujulisha siku ya kupata mimba na sifa zake, na namna ya kuweza kuitafuta
picha
ZIJUWE DALILI ZA MINYOO NA DALILI KUU 9 ZA MINYOO

Utajifunza dalili za minyoo, sababu za minyoo na namna ya kujiepusha na minyoo. Dalili kuu 5 za minyoo mwilini
picha
DAWA YA CHANGO NA DAWA MAUMIVU YA TUMBO LA HEDHI

Nitakujiza dawa ya chango na maumivu ya tumbo lahedhi, dalili zake na njia za kukabiliana na maumivu ya tumbo la chango.
picha
MAUMIVU YA UKE NA UUME BAADA YA TENDO LA NDOA NA WAKATI WA TENDO LA NDOA

Utajifunza sababu za maumivu ya uume na uke wakati wa tendo la ndoa na baada ya tendo la ndoa na matibabu yake.
picha
KIUNGULIA KWA WAJAWAZITO, DAWA YAKE NA NJIA ZA KUKABILIANANNACHO

Wajawazito wamekuwa wakisumbuliwa sana na kiungulia, makala hii itakujulisha njia za kukabiliana na kiungulia, dalili zake na dawa zake
picha
NAMNA YA KUBORESHA MBEGU ZA KIUME, NA VYAKULA VYA KUBORESHA NGUVU ZA KIUME

Njoo ujifunze vyakula vya kuboresha mbegu za kiume na nguvu za kiume.
picha
SABABU ZA KUHARIBIKA KWA UJAUZITO NA DALILI ZAKE

Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo
picha
DALILI 10 ZA KUKARIBIA KUJIFUNGUA PAMOJA NA UCHUNGU WA KUJIFUNGUA

Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.
picha
TATIZO LA KUVIMBA KWA USO NA MIGUU KWA WAJAWAZITO

KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.
picha
VYAKULA VYA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA NA NGUVU ZA KIUME

Matatizo yahusianayo na nguvu za kume na kukosa hamu ya tendo la ndoa kwahuweza kuchangiwa sana na mpangilio mbovu wa vyakula pamoja na saikolojia ya mtu.
picha
KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA MAPEMA: KUMWAGA MBEGU MAPEMA

Hii ni hali inayowapata sana wanaume huwa wanamaliza hamu ya tendo la ndoa mapema kabla ya mwenza kuridhika.
picha
SABABU ZA KUKOSA NGUVU ZA KIUME AMA KUWA NA UWEZO MDOGO WA KUHIMILI TENDO LA NDOA

Hii ni hali inayowapata wanaume kushindwa kuhimili tendo la ndoa.
picha
SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO LANDOA

Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto.
picha
SABABU ZA MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

Kama unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa, suluhisho lako lipo kwenye makala hii
picha
MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.
picha
MAMBO HATARI KWA UJAUZITO (MIMBA) MAMBO YANAYOPELEKEA KUJAUZITO KUWA HATARINI KUTOKA

Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini.
picha
SABABU ZA KUTOKA KWA MIMBA (SABABU ZA KUHARIBIKA KWA UJAUZITO)

Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka.
picha
DALILI ZA UJAUZITO KICHEFU CHEFU, KUTAPIKA, HEDHI, DAMU UKENI, KUJOJOAKOJOA N.K (MIMBA CHANGA, MIMBA YA WIKI MOJA, MIMBA YA MWEZI MMOJA )

DALILI KUU ZA MIMBA (UJAUZITO) Watu wengi sana wamekuwa wakilalamika kuwa mimba zao zinatoka, ama kupotea bila ya kujulikana tatizo wala bila ya kuugua.
picha
SIKU HATARI ZA KUPATA UJAUZITO KWA MWENYE MZUNGURUKO WA SIKU KIDONGO AU NYUNGI

SIKU YA KUPATA UJAUZITO Kawaida wanawake walio wengi mzunguruko wa siku zao ni siku 28 lakini wapo ambao ni zaidi ya hapo na wapo ambao ni chini ya hapo.
picha
NAMNA YA KUITAMBUA SIKU HATARI YA KUPATA MIMBA (UJAUZITO)

SIKU YA KUPATA UJAUZITO Mimba hutokea pindi mbegu ya kiume (sperm) inapokutana na yai la mwanamke (ova) na kuungana kwa pamoja kutengeneza selli moja iitwayo zygote.
picha
DALILI ZA TEZI DUME NA SABABU ZA KUTOKEA KWA TEZI DUME.

dalili za ugonjwa wa tezi dume, na sababu za kutokea kwa tezi dume, maana ya tezi dume na athari zake
picha
MWANAUNE ANAPATAJE FANGASI KWENYE UUME

Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake
picha
NINI HUSABABISHA MAUMIVU YA UUME

Kama uume wako unauma ama unahisi kuwa unaunguza ama kuchoma choma, post hii imekuandalia somo hili.
picha
DALILI ZA UCHUNGU KWA MAMA MJAMZITO

Makala hii itakwenda kukufundisha baadhi ya dalili za uchungu kwa mama mjamzito.
picha
FAIDA ZA TENDO KA NDOA WAKATI WA UJAUZITO

Kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito kina faida nyingi kwa mama na mtoto. Miongni mwa faida hizo ni kuimarisha mfumo wa kinga wa mama, kumuondolea stress na ukuajinmzuri wa mimba
picha
SABABU ZA KUTOKEA KWA SARATANI YA MATITI

Saratani ya matiti ji moja kati ya saratani zinazosumbuwa wqnawake wengi. Katika somo hili utajifunza chanzo cha kutokea saratani ya matiti
picha
NINI HUSABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Post hii itakujulidha mambo ambayo hupunguza nguvu za kiume
picha
NJIA ZA KUONDOA FANGASI SEHEMU ZA SIRI

Makala hii itakujuza baadhi ya njia utakaoweza kuzifuata ili kukabiliana na fangasi sehemu za siri kwa wanaume
picha
FAHAMU DALILI ZA MAPACHA WALIO UNGANISHWA

Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa fetusi mbili zitakua kutoka kwa kiinitete hiki, zitabaki zimeunganishwa mar
picha
DAWA HATARI KWA MWENYE UJAUZITO

Hii ni orodha ya dawa ambazo hutumiwa sana na watu kutoka maduka ya dawa lakini sio salama kwa wajawazito.
picha
MADHARA YA KIAFYA YA KUPIGA PUNYETO

Post hii inakwenda kukutania madhara ya kuoiga punyeto kwa afya yako.
picha
JINSI YA KUACHA KUPIGA PUNYETO.

Post hii inakwenda kukupa njia za kukusaidia kuacha punyeto.
picha
NINI HUSABABISHA UKE KUWA MKAVU

Post hii inakwenda kukupa sababu zinazoweza kupelekea uke kuwa mkavu yaani kukosa majimaji wakati wa kufanya tendo la ndoa.
picha
NI ILI SABABU YA KUTOKEA KWA TEZI DUME

Tezidume ni moja ya magonjwa hayari yanayotokea katika mwili wa mwanaume.Hapa nimekuandalia sababu za kutokea kwa tezi dume.
picha
DALILI ZA MIMBA YA MTOTO WA KIUME AMA MTOTO WA KIKE

Posti hii inakwenda kukueleza jinsi ya kuwjuwa kama mtoto ni wa kike ama wa kiume.
picha
DALILI ZA MIMBA YA WATOTO MAPACHA

Makala hii itakwenda kukupa dalili ambazo zinaonyesha kuwa mimba ni ya mapacha. Dalili hizi zitahitajika kuthibitishwa na kipimo cha daktari ili kujuwa kuwa ni kweli.
picha
FAHAMU KUHUSU MAPACHA WANAOFANANA

Post hii inahusu zaidi watoto mapacha wanaofanana,ni watoto wanaozaliwa wakiwa wanaofanana kwa sura na hata group la damu huwa ni Moja.
picha
FAHAMU DAWA YA TETRACYCLINE KATIKA KUPAMBANA NA BAKTERIA

Post hii inahusu zaidi dawa ya tetracycline katika kupambana na bakteria,ni mojawapo ya antibiotics au anti bacteria ambayo upambana na bakteria kama tutakavyoona hapo mbeleni.
picha
JE MWANAMKE ANAWEZA KUJIJUWA NI MJAMZITO BAADA YA MUDA GANI.

Mdau anauliza ni muda gani mwanamke anaweza kujijuwa kuwa amepata ujauzito.
picha
JINSI YA KUPATA MTOTO WA KIUME

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.
picha
NJIA ZA KUGUNDUA KAMA MTOTO AMEVUNJIKA BAADA YA KUZALIWA

Post hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo mtoa huduma anaweza kuzitumia kuangalia kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa.
picha
SABABU ZA KUVUNJIKA KWA MTOTO WAKATI WA KUZALIWA.

Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo.
picha
KUVUNJIKA KWA MTOTO WAKATI WA KUZALIWA.

Post hii inahusu zaidi kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, hali hii utokea kwa watoto wadogo wakati wa kuzaliwa kwa sababu maalum kama tutakavyoona.
picha
NJIA ZA KUMSAFISHA MAMA ALIYETOA MIMBA.

Post hii inahusu njia safi za kumsafisha Mama ambaye ametoa mimba au mtoto amefia tumboni.
picha
MAMBO YA KUZINGATIA IWAPO MIMBA IMETOKA.

Post hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka mambo haya yanaweza yakawahusu akina Mama wenyewe, familia na jamii kwa ujumla.
picha
DALILI ZA MIMBA KUTOKA.

Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.
picha
MADHARA YA KUTOKA KWA MIMBA

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutoka kwa mimba, kwa kawaida tunafahamu kwamba mimba ikitungwa na mwili mzima huwa na wajibu wa kutunza kilichotungwa kwa hiyo ikitokea mimba ikatoka usababisha madhara yafuatayo.
picha
HUDUMA KWA MAMA AMBAYE MIMBA IMETOKA MOJA KWA MOJA.

Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja, aina hiyo ya mimba kwa kitaalamu huitwa complete abortion.
picha
HUDUMA KWA MAMA MWENYE MIMBA AMBAYO INATAKA KUTOKA.

Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba inataka kutoka, mimba za aina hiyo kwa kitaalamu huitwa inevitable pregnant ni lazima itoke tu hata kama kuna juhudi mbalimbali za wataalamu mimba hii utoka kabisa.
picha
HUDUMA KWA MAMA MWENYE MIMBA INAYOTISHIA KUTOKA.

Post hii inahusu zaidi huduma ambayo Mama anapaswa kutolewa pindi mimba inapotishia kutoka huduma hii utolewa kulingana na Dalili tulizoziona zinazohusiana na mimba kutishia kutoka.
picha
AINA MBALIMBALI ZA MIMBA KUTOKA.

Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za mimba kutoka, hizi ni jinsi mimba inavyoonyesha dalili za kutoka na nyingine zinaweza kuonyesha dalili Ila kwa sababu ya huduma mbalimbali za kwanza hizo mimba zinaweza kudhibiiwa na mtoto akazaliwa.
picha
SABABU ZA MIMBA KUTOKA

Post hii inahusu zaidi sababu za mimba kutoka, hili ni tatizo ambalo linawakumba wanawake wengi ambapo mimba utoka kabla ya kumfikisha mda wake, kwa kawaida Ili kawaida mimba nyingi utoka zikiwa na miezi chini ya Saba au wengine wanaweza kusema kwamba mim
picha
KWA NINI HUJAPATA SIKU ZAKO ZA HEDHI.

Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako.
picha
JINSI MIMBA INAVYOTUNGWA NA NAMNA AMBAVYO JINSIA YA MTOTO INAVYOTOKEA

Posti hii hasa inahusu kasoro ,utatuzi,na jinsi ya kutunga mimba kwa upande wa mwanamke na mwanaume  .itatupelekea jinsi ya kuangalia kasoro na jinsi ya kutatua hizo kasoro katika jamii zetu.
picha
MADHARA YA MTOTO KUZALIWA AKIWA NA UZITO MKUBWA

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtoto alizaliwa na uzito mkubwa.
picha
SABABU ZA MTOTO KUZALIWA AKIWA NA UZITO MKUBWA

Post hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, mara nyingi tatizo hili uwakumba akina mama mbalimbali ambapo mtoto uzaliwa akiwa na uzito mkubwa
picha
TATIZO LA KUTOKWA NA UTELEZI WENYE DAMU BAADA YA HEDHI

Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali za kutokwa na damu baada ya hedhi hili ni tatizo ambalo uwapata wanawake wengi pamoja na akina Mama kwa sababu ya kutokwa na damu yenye utelezi baada ya hedhi.
picha
JINSI YA KUSHUSHA HOMONI ZA KIUME.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada.
picha
FAHAMU DALILI ZA HATARI KWA WAJAWAZITO.

Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mama mjamzito, kwa sababu kuna baadhi ya Dalili zikitokea kwa mama mjamzito ni vizuri kabisa kuwahi hospitali mara moja.
picha
NJIA ZA KUZUIA MIMBA ZISIHARIBIKE.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuzuia mimba zisiharibike, kwa sababu kila mama anayebeba mimba anategemea kupata mtoto kwa hiyo na sisi hamu yetu ni kuhakikisha kwamba mtoto anazaliwa kwa kuzuia mimba kuharibik
picha
SABABU ZA KUTOKA MIMBA YENYE MIEZI SABA NA NANE

Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na miezi Saba na nane kwa kawaida mtoto wa hivi anakuwa hajafikisha mda wake kwa hiyo uzaliwa akiwa na miezi saba na nane, kwa hiyo kuna sababu mbalimbali kama tutakavyoona
picha
SABABU ZA MIMBA YA MIEZI 4-6 KUTOKA.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali.
picha
VYANZO VYA KUHARIBIKA KWA MIMBA YA MIEZI KUANZIA 0-3

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuharibika kwa mimba kuanzia miezi zero mpaka miezi mitatu, kwa sababu hii ni miezi ya kwanza kabisa Kuna sababu au vyanzo vya kuharibika kwa mimba katika kipindi hiki.
picha
DALILI AMBAZO MWANAMKE HAPASWI KUFUMBIA MACHO

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho.
picha
TABIA ZA UTE WA SIKU ZA HATARI KUPATA MIMBA AU OVULATION

Posti hii inahusu zaidi tabia mbalimbali za Ute wa ovulation kwa sababu Ute huu huwa tofauti na Ute mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa tabia zake za kipekee kama tutakavyoona.
picha
FAHAMU SIFA ZA UTE WA SIKU ZA KUPATA MIMBA YAANI OVULATION DAY

Posti hii inahusu zaidi sifa za Ute wa ovulation, ni Ute ambao utokea siku za ovulation yaani siku ambazo ni tayari kwa kubeba mimba, yaani siku za upevishaji wa yai.
picha
CHANGAMOTO ZA KWENYE NDOA KWA WALIOTOA MIMBA MARA KWA MARA

Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.
picha
YAJUE MADHARA YA KUTOA MIMBA MARA KWA MARA

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara .
picha
MAMBO YANAYOPELEKEA MJAMZITO KUTOKWA NA DAMU

Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu.
picha
HATARI YA KUTOKWA NA DAMU WAKATI WA UJAUZITO

Posti hii inahusu zaidi hatari za kutokwa na damu wakati wa ujauzito, hali hii utokea wakati wa ujauzito ambapo Kuna baadhi ya wajawazito utokwa na damu jambo ambalo hatupaswi kutarajia kwa sababu tunafahamu kabisa mama akishapata ujauzito na damu zinakom
picha
DALILI ZA HATARI AMBAYO ZINAWEZA KUSABABISHA UGUMBA

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zilijitokeza zinaweza kusababisha ugumba hasa kwa wanawake, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kwa Dalili hizi hasa kwa wadada, kama kuna uwezekano wa matibabu tibu mapema ili kuepuka tatizo la kuwa mgumba.
picha
DALILI ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea kwa sababu ya kuziba kwa mishipa ya uzazi, ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kuziba kwa mishipa ya uzazi.
picha
KAZI NA MDALASINI KATIKA KUTIBU MATATIZO YA HOMONI.

Posti hii inahusu zaidi kazi ya mdalasini katika matibabu ya homoni kwa wanawake.
picha
VYAKULA VINAVYOSAIDIA KATIKA UZALISHAJI WA HOMONI YA TESTOSTERONE

Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo usaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone.
picha
KAZI YA HOMONI YA TESTOSTERONE

Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote.
picha
KUWEPO KWA MAZIWA WAKATI WA UJAUZITO.

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.
picha
VYAKULA VYA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA

Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye
picha
SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mwanamke kukosa tendo la ndoa, ni sababu ambazo uwakuta wanawake wengi unakuta mama yuko kwenye ndoa ila hana hata hamu ya lile tendo la ndoa hali ambayo umfanya mwanamke kuona kitendo cha tendo la ndoa ni unyanyasaji au
picha
SABABU ZA UKE KUWA NA HARUFU MBAYA.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.
picha
KUKOSA UTE WAKATI WA TENDO LA NDOA.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa,ni Dalili ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha estrogen kwenye mwili ukilinganisha na homoni ya projestoren.
picha
TIBA YA AWALI KWA MWANAMKE MWENYE CHANGAMOTO YA PID

Posti hii inahusu zaidi tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID, tunaita tiba ya awali kwa sababu baada ya kupima na kugunduliwa kwamba una tatizo au changamoto ya PID ni vizuri kutumia tiba hiii baadae ndipo utumie dawa.
picha
CHANZO CHA TATIZO LA MVURUGIKO WA HEDHI.

Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut
picha
SABABU ZA WAJAWAZITO KUPATA BAWASILI.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali ambazo zinafanya wajawazito kupata ugonjwa wa Bawasili, kwa sababu tatizo hili linawapa wakina mama wajawazito, kwa hiyo tutaona kwa nini wajawazito wanapatwa na tatizo hili sana.
picha
CHANGAMOTO KUBWA ZA TENDO LA NDOA KWA WANAUME

Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao
picha
MAMBO MUHIMU KUHUSU MBEGU ZA KIUME

Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s
picha
ZIJUE SABABU ZA KUTOBEBA MIMBA

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali ambazo zinamfanya mama au dada kutobeba mimba. Kwa hiyo tutaziona hapo chini kama ifuatavyo.
picha
FAHAMU SIKU ZA KUBEBA MIMBA NA ZISIZO ZA KUBEBA MIMBA.

Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu.
picha
MADHARA YA KUTUMIA VIDONGE KWA AKINA DADA VYA UZAZI WA MPANGO

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa akina dada.
picha
MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA KWA VIJANA.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya matumizi ya sindano za kuzuia mimba kwa vijana ambao hawajafikilia mpango wa kuanza kujifungua watoto.
picha
MADHARA YA VIDONGE VYA P2

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2,
picha
HATUA SABA ZA KUTIBU AU KUEPUKA UVIMBE KWENYE KIZAZI

Posti hii inahusu zaidi hatua ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kutibu uvimbe au kwa kitaalamu huitwa fibroids. Hizi hatua zikitumika uweza kusaidia kupunguza kiwango cha kupata au kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.
picha
UHUSIANO ULIOPO KATI YA MAMA MJAMZITO NA KIBOFU CHA MKOJO.

Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.
picha
FAHAMU UTE UNAOTOKA WAKATI WA UJAUZITO

Posti hii inahusu zaidi Ute unaotoka wakati wa ujauzito, kwa kawaida wakati wa ujauzito Kuna Ute ambao utoka na ni tofauti na kawaida pale mwanamke akiwa Hana mimba.
picha
TOFAUTI ZA UTE KWA MWANAMKE

Posti hii inahusu zaidi tofauti mbalimbali za uke, kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili wa binadamu kuna tofauti mbalimbali za ute kutegemea na hali iliyopo.
picha
UJUE UTE KWENYE UKE

Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.
picha
VYANZO VYA MWANAMKE KUSHINDWA KUPATA UJAUZITO

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya mwanamke kushindwa kupata ujauzito, kwa sababu kuna sababu nyingi ambazo Usababisha mwanamke kushindwa kupata ujauzito kama tutakavyoona hapo mbeleni
picha
UPUNGUFU WA HOMONI YA CORTISOL

Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye
picha
KIWANGO CHA JUU CHA ANDROGEN

Posti hii inahusu zaidi homoni ya androgen, ni homoni ambayo imo kwa wanaume na ikizidi kwa kiwango chake inaweza kuleta shida kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo homoni hii inaweza kuleta shida iwapo ikiongezeka kwa kiasi kikubwa.
picha
DALILI ZA UPUNGUFU WA HOMONI YA PROJESTRON

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
picha
MADHARA YA MWILI KUSHINDWA KUTENGENEZA PROJESTRON YA KUTOSHA

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo mtu anaweza kupata ikiwa mwili utaeweza kutengeneza progesterone ya kutosha.
picha
DALILI ZA ONGEZEKO LA HOMONI YA ESTROGEN

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa homoni ya estrogen imeongezeka, hizi dalili zikitokea mama anapaswa kuwahi hospital ili kuweza kupata matibabu au ushauri zaidi.
picha
ONGEZEKO LA HOMONI YA ESTROGEN

Posti hii inahusu zaidi ongezeko la homoni ya estrogen, kwa kawaida homoni hii ya estrogen inapaswa kulingana ikitokea ikaongezeka uleta madhara mbalimbali kwenye mwili na Kuna dalili ambazo zzz inaweza kujionesha wazi mpaka tukafahamu kuwa ni tatizo la o
picha
UPUNGUFU WA HOMONI YA ESTROGEN

Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili.
picha
DALILI ZA UPUNGUFU WA HOMONI YA PROGESTERONE

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
picha
MADHARA YA KUPUNGUA KWA HOMONI YA PROJESTRON

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa homoni ya projestron ikipungua mwilini na pia kuweza kutambua dalili za kupungua kwa homoni hii ya progesterone.
picha
SABABU ZA KUTOSHIKA MIMBA KWA MWANAMKE

Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo
picha
DALILI ZA KUPASUKA KWA MFUKO WA UZAZI.

Posti hii inahusu zaidi dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama ambaye anakuwa amepasuka mfuko wa kizazi.
picha
SABABU ZA KUPASUKA KWA MFUKO WA KIZAZI

Posti hii inahusu zaidi sababu za kupasuka kwa mfuko wa uzazi hasa mama anapokalibia kujifungua.
picha
YAJUE MAZOEZI YA KEGEL

Posti inahusu zaidi mazoezi ya kegel, ni mazoezi ambayo ufanywa na watu wengi na sehemu yoyote yanaweza kufanywa kama vile chumbani, sebuleni, uwanjani na sehemu yoyote ile na kwa watu tofauti.
picha
NJIA ZA KUONGEZA UWEZO WA KUZAA AU KUZALISHA.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha kwa sababu kuna familia nyingi zinakosa watoto sio kwa sababu ni tasa ila kuna njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa kama ifuatavyo.
picha
ZIFAHAMU FIBROIDS (UVIMBE KWENYE VIA VYA UZAZI)

Posti hii inahusu zaidi fibroids au uvimbe kwenye via vya uzazi hasa hasa utokea kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa kitaalamu huitwa uterusi, uvimbe huu ulitokea watu wengine huwa hawawezi kutambua Dalili zake mapema kwa hiyo leo tunapaswa kujua Dalili zake
picha
NAMNA YA KUTUNZA UKE

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza uke, tunajua wazi kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo uke hautaweza kutunzwa vizuri na pia uke ukitunzwa vizuri kuna faida ya kuepuka maradhi ya wanawake kwa njia ya kutunza uke.
picha
SABABU ZA KUWEPO FANGASI UKENI

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa Ugonjwa wa fangasi,ni sababu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha fangasi.
picha
FAHAMU KUHUSU FANGASI ZA UKENI

Posti hii inahusu zaidi fangasi za ukeni, hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba watoto, akina dada na wanawake kwa hiyo na vizuri kujua Dalili zake na kuweza kuchukua hatua mapema.
picha
SABABU ZA KUTANGULIA KWA KITOVU WAKATI MTOTO ANAZALIWA

Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa.
picha
KONDO LA NYUMA KUWA MBELE YA MLANGO WA KIZAZI

Posti hii inahusu zaidi sababu za kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi, kwa kawaida kondo la nyuma huwa nyuma ya mlango wa kizazi ila Kuna wakati kondo la nyuma ujishikisha mbele ya mlango wa kizazi.
picha
WANAOPASAWA KUTUMIA PEP

PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.
picha
MDA WA KUFANYA TENDO LA NDOA BAADA YA KUJIFUNGUA

Posti hii inahusu zaidi mda ambao mama anapaswa kukaa bila kufanya tendo la ndoa mara tu baada ya kujifungua.
picha
SABABU ZA MTOTO KUZALIWA AKIWA NA UZITO MKUBWA

Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujif
picha
MADHARA YA KUTOTOA HUDUMA KWA MAMA ANAYEVUJA DAMU BAADA YA KUJIFUNGUA

Posti hii inahusu zaidi Madara ya kutomsaidia mama anayetokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.
picha
SABABU ZA MFUKO WA KIZAZI KUSHINDWA KISINYAA.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa.
picha
SABABU ZA MAMA KUTOKWA NA DAMU NYINGI BAADA YA KUJIFUNGUA.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili.
picha
MIMI IMEPITA MIEZI MITATU SIONI HEDHI NA WALA SIONI DALILI YA KUWA NA MIMBA UNAWEZA UKANIAMBIA TATIZO LA KUWA NA HALI HII

Kama na wewe una tatizo la kupitiliza siku zako za hedhi hli ya kuwa huna ujauzito, soma post hii ina majibu yako.
picha
NDUG MI NAITAJ USHAURI MIMI NISHAINGIA KWENYE TENDO DAKIKA 7 TU NAKUA NISHAFIKA KILELEN NAOMBA USHAURI NDUGU

Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako.
picha
JE MJAMZITO UCHUNGU UKIKATA INAKUWAJE

Hutokea uchungu wa kujifunguwa ukakati. Unadhani ni kitugani kinatokea.
picha
JE MWANAMKE ANAWEZA PATA MIMBA IKIWA WAKATI WATENDO LA NDOA HAKUKOJOA WALA KUSIKIA RAHA YOYOTE YA SEX WAKATI WATENDO LANDOA

Je wewe ni mwanmake unayepata shida kufika kileleni? (Kukojoa wakati wa tendo lwa ndoa). Post hii itakujibu baadhi ya maswali yako.
picha
HABARI NILITAKA KUJUA KUHUSU UGONJWA WA FUNGUSI KWENYE UUME

Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.
picha
DALILI ZA KASORO YA MOYO YA KUZALIWA KWA WATU WAZIMA

Ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa nao (kasoro ya moyo ya kuzaliwa) ni hali isiyo ya kawaida katika muundo wa moyo wako unaozaliwa nao. utu uzima. Ingawa maendeleo ya kimatibabu yameboreshwa, watu wazima wengi walio na ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa wanaweza wasip
picha
DALILI ZA KASORO YA MOYO ZA KUZALIWA KWA WATOTO

Ikiwa mtoto wako ana kasoro ya moyo wa kuzaliwa, ina maana kwamba mtoto wako alizaliwa na tatizo katika muundo wa moyo wake. Baadhi ya kasoro za moyo za kuzaliwa kwa watoto ni rahisi na hazihitaji matibabu, kama vile tundu dogo kati ya chemba za moyo amb
picha
SIGNS AND SYMPTOMS OF PREGNANCY.

In fact there is a lot of signs and symptoms of pregnancy a mother experiences throughout pregnant. These signs may start to be revealed immediately after conception or in the first week after conception. A term pregnancy is traditionally calculated by mi
picha
DALILI ZA MIMBA INAYOTISHI KUTOKA

Posti hii inahusu zaidi dalili za mimba inayotaka kutoka yenyewe, Kuna wakati mwingine mama anabeba mimba na mimba hiyo I atishia kutoka na huwa inaonyesha dalili mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni dalili za mimba kutaka kutoka yenyewe.
picha
MIMBA KUTOKA KABLA YA UMRI WAKE

Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.
picha
HUDUMA KWA MAMA MWENYE KIFAFA CHA MIMBA.

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wajawazito wanaweza kuzipata wakiwa na Dalli au tayari wana kifafa cha mimba.
picha
DALILI ZA KIFAFA CHA MIMBA.

Posti hii inahusu zaidi Dalili za Mama mwenye kifafa cha mimba, ili kifafa cha mimba kiweze kutokea lazima kuna dalili ambazo uweza kutokea kwa Mama kama ifuatavyo.
picha
SABABU ZA UGONJWA WA KIFAFA CHA MIMBA.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kifafa cha mimba, kwa kawaida mpaka sasa hakuna taarifa zozote kuhusu sababu za kuwepo kwa kifafa cha mimba ila kuna visababishi vinavyofikiliwa kama ni Dalili za kifafa cha mimba kama ifuatavyo