Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote.
1. Hii homoni uzalishwa kwa kasi na na kuanza kutumika au kufanya kazi kipindi cha kuanza kubarehe ni tofauti na kwa msichana ambapo homoni inayomfanya msichana kuonekana alivyo uanza kufanya kazi pale anapotungwa mimba.
2. Homoni hii uimarisha misuli yote ya mwili ya mvulana.
Kwa kawaida mtoto wa kiume akianza kubarehe misuli yote ya mwili uweza kuimarika na kutanuka vizuri kwa hiyo kitendo hicho usababishwa na homoni ya testosterone.
3. Kuimarisha kiwango cha hisia za mwili.
Kwa sababu ya kuwepo kwa homoni hii ya testosterone usaidia kabisa kuongea hisia za mwili kwa sababu kama mvulana hajabarehe huwezi kuhisi au hawezi kuhisi hisia zozote za mwili wanaofanya wakati huo ni kwa sababu ya kuwepo kwa ulimbukeni kwa hiyo ni vizuri kabisa kutambua kwamba hisia hizo usababishwa na kuwepo kwa homoni ya testosterone.
4.pia homoni hii usaidia kuimarisha kiwango cha kufanya tendo la ndoa.
Kwa sababu mtoto wa kiume akianza kubarehe ndipo huwa na hisia za kuanza kufanya tendo la ndoa kwa kufanya hivyo ni vizuri kabisa kutambua kwamba ni kazi ya homoni ya testosterone na wanaofanya kabla ya kubarehe ni uenda wazimu au kuigiza tu.
5. Kuimarisha uzito wa mifupa.
Kwa kawaida wakati wa kubarehe ukifika na mabadiliko uwapo mengi mwilini kwa kufanya hivyo usababishwa na homoni ya testosterone ambapo kifua kuongezeka sana na kusababisha mifupa kuimarika.
6. Kuratibisha uzalishaji wa seli hai za damu.
Pamoja na kufanya mambo ya mabadiliko kimwili kwa mtoto wa kiume pia usababisha kuwepo kwa uzalishaji wa kiwango cha juu cha seli hai za damu.
7. Kuratibisha uzalishaji wa mbegu za mwanaume.
Kwa kawaida mbegu za mwanaume uzalishwa mara nyingi na kwa wakati tofauti kwa hiyo ni vizuri kabisa kufahamu kwamba hiyo ni kazi ya homoni ya testosterone
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia Faida za Uzazi wa mpango kwa watoto, mama, wanandoa, na jamii au JUMUIYA.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume
Soma Zaidi...Kutokwa Majimaji sehemu za siri kwa mwanamke sio jambo la kushangaza na kuhisivunaumwa. Majimajivhaya ndio huboresha afya ya uzazi kwa kusafisha na kulinda via vya uzazi. Lakini majimajivhaya yakiwa mengi, ama yanawasha ama yanaharufu haa ndipo kwenye tat
Soma Zaidi...Uzazi wa mpango ni njia inayotumiwa na WA awake na wasichana Ili kupata idadi ya watoto wanaowahitaji na kuepuka mimba zisizotarajiwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna unavyoweza kumtambua mtoto mwenye Ugonjwa wa Nimonia na tiba anayopaswa kupata mtoto mwenye Nimonia
Soma Zaidi...Kuna njia nyingi zinatajwa zinapima mimba kama chumvi, sukari, mafuta na sabuni. Hata hivyo zipo njia zaidi ya 10 za kiasili za kupima ujauzito. Utajifunza hapa zote
Soma Zaidi...ukiwa na ujauzito unaweza kuona mabadiliko mengi katika mwili wako yakiwemo kutokwa na majimaji. je majimaji haya yana dalili gani kwenye ujauzito?
Soma Zaidi...Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako.
Soma Zaidi...Kuna watoto wengine huanza kucheza mapema kuliko watoto wengine. Tunapozungumzia kucheza kwa mtoto aliye tumboni yaani mimba hapa inatubidi tuangalie kwa undani zaidi, je ni muda gani mtoto ataanza kucheza?
Soma Zaidi...Kipimo chamimba cha mkojo, huonyesha nestory miwili kuwa una mimba, na mmoja kuwa huna mimba. Sasa je ukitokea mmoja umekoleana mwingine hafifu? Endelea na pasti Γ’ΕΒΓ―ΒΈΒ hadi mwisho
Soma Zaidi...