Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote.
1. Hii homoni uzalishwa kwa kasi na na kuanza kutumika au kufanya kazi kipindi cha kuanza kubarehe ni tofauti na kwa msichana ambapo homoni inayomfanya msichana kuonekana alivyo uanza kufanya kazi pale anapotungwa mimba.
2. Homoni hii uimarisha misuli yote ya mwili ya mvulana.
Kwa kawaida mtoto wa kiume akianza kubarehe misuli yote ya mwili uweza kuimarika na kutanuka vizuri kwa hiyo kitendo hicho usababishwa na homoni ya testosterone.
3. Kuimarisha kiwango cha hisia za mwili.
Kwa sababu ya kuwepo kwa homoni hii ya testosterone usaidia kabisa kuongea hisia za mwili kwa sababu kama mvulana hajabarehe huwezi kuhisi au hawezi kuhisi hisia zozote za mwili wanaofanya wakati huo ni kwa sababu ya kuwepo kwa ulimbukeni kwa hiyo ni vizuri kabisa kutambua kwamba hisia hizo usababishwa na kuwepo kwa homoni ya testosterone.
4.pia homoni hii usaidia kuimarisha kiwango cha kufanya tendo la ndoa.
Kwa sababu mtoto wa kiume akianza kubarehe ndipo huwa na hisia za kuanza kufanya tendo la ndoa kwa kufanya hivyo ni vizuri kabisa kutambua kwamba ni kazi ya homoni ya testosterone na wanaofanya kabla ya kubarehe ni uenda wazimu au kuigiza tu.
5. Kuimarisha uzito wa mifupa.
Kwa kawaida wakati wa kubarehe ukifika na mabadiliko uwapo mengi mwilini kwa kufanya hivyo usababishwa na homoni ya testosterone ambapo kifua kuongezeka sana na kusababisha mifupa kuimarika.
6. Kuratibisha uzalishaji wa seli hai za damu.
Pamoja na kufanya mambo ya mabadiliko kimwili kwa mtoto wa kiume pia usababisha kuwepo kwa uzalishaji wa kiwango cha juu cha seli hai za damu.
7. Kuratibisha uzalishaji wa mbegu za mwanaume.
Kwa kawaida mbegu za mwanaume uzalishwa mara nyingi na kwa wakati tofauti kwa hiyo ni vizuri kabisa kufahamu kwamba hiyo ni kazi ya homoni ya testosterone
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito, ni mojawapo ya njia ambazo utumiwa na wahudumu wa afya ili kuweza kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mama mjamzito, kwa sababu kuna baadhi ya Dalili zikitokea kwa mama mjamzito ni vizuri kabisa kuwahi hospitali mara moja.
Soma Zaidi...Kuna njia nyingi zinatajwa zinapima mimba kama chumvi, sukari, mafuta na sabuni. Hata hivyo zipo njia zaidi ya 10 za kiasili za kupima ujauzito. Utajifunza hapa zote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki, kliniki nisehemu ambayo mtoto hupelekwa Ili kujua maendeleo ya mtoto akiwa chini ya umri wa miaka mitano
Soma Zaidi...Chuchu kubadilika range ni mojavkatika mabadiliko ambayo huwapa shoka wengi katika wasichana. Lucinda nikwambie tu kuwa katika hali ya kawaida hilo sio tatizo kiafya.
Soma Zaidi...Nitakujulisha siku ya kupata mimba na sifa zake, na namna ya kuweza kuitafuta
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha
Soma Zaidi...Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo ambayo mama mjamzito anatakiwa kuzingatia katika kipindi Cha ujauzito au mimba
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye via vya uzazi kwa wajawazito, tunajua kuwa Mama akibeba mimba tu kuna mabadiliko utokea katika sehemu mbalimbali za mwili.
Soma Zaidi...