Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote.
1. Hii homoni uzalishwa kwa kasi na na kuanza kutumika au kufanya kazi kipindi cha kuanza kubarehe ni tofauti na kwa msichana ambapo homoni inayomfanya msichana kuonekana alivyo uanza kufanya kazi pale anapotungwa mimba.
2. Homoni hii uimarisha misuli yote ya mwili ya mvulana.
Kwa kawaida mtoto wa kiume akianza kubarehe misuli yote ya mwili uweza kuimarika na kutanuka vizuri kwa hiyo kitendo hicho usababishwa na homoni ya testosterone.
3. Kuimarisha kiwango cha hisia za mwili.
Kwa sababu ya kuwepo kwa homoni hii ya testosterone usaidia kabisa kuongea hisia za mwili kwa sababu kama mvulana hajabarehe huwezi kuhisi au hawezi kuhisi hisia zozote za mwili wanaofanya wakati huo ni kwa sababu ya kuwepo kwa ulimbukeni kwa hiyo ni vizuri kabisa kutambua kwamba hisia hizo usababishwa na kuwepo kwa homoni ya testosterone.
4.pia homoni hii usaidia kuimarisha kiwango cha kufanya tendo la ndoa.
Kwa sababu mtoto wa kiume akianza kubarehe ndipo huwa na hisia za kuanza kufanya tendo la ndoa kwa kufanya hivyo ni vizuri kabisa kutambua kwamba ni kazi ya homoni ya testosterone na wanaofanya kabla ya kubarehe ni uenda wazimu au kuigiza tu.
5. Kuimarisha uzito wa mifupa.
Kwa kawaida wakati wa kubarehe ukifika na mabadiliko uwapo mengi mwilini kwa kufanya hivyo usababishwa na homoni ya testosterone ambapo kifua kuongezeka sana na kusababisha mifupa kuimarika.
6. Kuratibisha uzalishaji wa seli hai za damu.
Pamoja na kufanya mambo ya mabadiliko kimwili kwa mtoto wa kiume pia usababisha kuwepo kwa uzalishaji wa kiwango cha juu cha seli hai za damu.
7. Kuratibisha uzalishaji wa mbegu za mwanaume.
Kwa kawaida mbegu za mwanaume uzalishwa mara nyingi na kwa wakati tofauti kwa hiyo ni vizuri kabisa kufahamu kwamba hiyo ni kazi ya homoni ya testosterone
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa mtoto pindi anapozaliwa,tunajua wazi kuwa mtoto anapoanza kutokeza kichwa tu ndio mwanzo wa kuanza kumtunza mtoto na kuhakikisha anafanyiwa huduma zote za muhimu na zinazohitajika.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kama kuna Maambukizi yoyote kwenye kitovu cha mtoto mdogo, kwa kawaida kitovu cha mtoto kama kiko vizuri kinapona kwa mda mchache na kinakauka mapema iwezekanavyo bila kuwa na tatizo lolote ila kama kuna Dal
Soma Zaidi...Inashangaza sana, wakati wengine wanahangaika kutafutavijauzito kwa gharama yoyote ile, kuna wengine wanataka kutoa ujauzito kwa gharama yeyote ile. Unadhani njia za kienyeji sa kutoa mimba ni salama?
Soma Zaidi...Ni ngumu ila nitakujuza namna ya kuitambuwa mimba ya siku moja hadi 3, mimba ya wiki moja na mimba ya miezi mitatu kwa dalili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.
Soma Zaidi...Uzazi wa Mpango hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa. Uzazi wa mpango una faida kadhaa kwa mama wa mtoto, wanandoa na jamii Ujuzi wa mzunguko wa hedhi humwezesha mtoa huduma kumshaur
Soma Zaidi...Vyakula hivi hapasi kuvila mwanamke mwenye ujauzito kwa kiasi kikubwa, hasa yule mwenye mimba chaga
Soma Zaidi...Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.
Soma Zaidi...Unaweza kutaka kujuwa je naweza kupata dalili za mimba baada ya siku nne toka ujauzito kutungwa? ama baada ya siku nne toka kushiriki tendo la ndoa. Makala hii itakwenda kujibu maswali haya na mengineyo.
Soma Zaidi...