Posti hii inahusu zaidi dalili za mimba inayotaka kutoka yenyewe, Kuna wakati mwingine mama anabeba mimba na mimba hiyo I atishia kutoka na huwa inaonyesha dalili mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni dalili za mimba kutaka kutoka yenyewe.
1. Kwanza kabisa Mama anakuwa hapati siku zake za mwezi kama kawaida ya Mama wajawazito na pia Mama uhisi maumivu kwenye tumbo hasa hasa chini ya tumbo na kwa wakati mwingine tumbo huwa na mikwaluzo Fulani ambayo ni tofauti na maumivu ya kawaida.
2.kwa wakati mwingine Mama ananza kuona damu zinatoka kwenye uke, damu hizo uanza kidogo kidogo ila kadri ya mda unavyoingezeka damu hizo pia uongezeka, kwa hiyo Mama Mjamzito anapaswa kuwahi hospital Ili kuweza kupata matibabu na msaada zaidi kwa sababu hii siyo dalili nzuri wakati wa uja uzito.
3. Kwa wakati mwingine Mama anahisi dalili za kujifunguea yaani dalili za uchungu zinaanza na wakati mimba inakuwa bado, hii dalili ya uchungu inaweza kutambuliwa hasa hasa na akina Mama ambao wamejifungua zaidi ya mara Moja ila kwa wale wanaoanza wanaweza wasitambue kama ni dalili za uchungu au la.
4. Uchafu kutoka kwenye sehemu za Siri
Kwa wakati mwingine Kuna kipindi ambapo uchafu unaanza kutoka kwenye sehemu za Siri unaweza kuwa na harufu mbaya au ya kawaida kwa hiyo uchafu huo unaweza kutumia mda mrefu au mfupi au unaweza kuwa kidogo au kiwango kikubwa.
5.mlango wa kizazi unakuwa bado umefungwa.
Kwa kawaida mimba inayotishia kutoka mlango wa kizazi kwa mara nyingi unakuwa bado umefungwa ingawa Kuna maji maji na damu ambavyo uweza kupita ila wenyewe unafunga bado.
6.Kwa hiyo kiu ambacho tunapaswa kuelewa ni kwamba mimba inayotishia kutoka ikiwa Mjamzito amewahi hospital anaweza kitibiwa na kupatiwa msaada na mimba hiyo ikahudumiwa na isitokea ila kwa wale wanaochekewa kwenda hospitalini wanaweza kupata tatizo la kupoteza mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kwenda hospital baada ya kuhisi dalili kama hizi wakati wa uja uzito.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Ikiwa mtoto wako ana kasoro ya moyo wa kuzaliwa, ina maana kwamba mtoto wako alizaliwa na tatizo katika muundo wa moyo wake. Baadhi ya kasoro za moyo za kuzaliwa kwa watoto ni rahisi na hazihitaji matibabu, kama vile tundu dogo kati ya chemba za moyo amb
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito, tunajua wazi kuwa wajawazito pindi ujauzito ukiingia tu, kila kitu kwenye mwili ubadilika vile vile na mzunguko wa damu ubadilika.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito, Mara nyingi Mama akibeba mimba uongezeka uzito kutoka wiki ya Kwanza mpaka wiki ya mwisho ya kujifungua.
Soma Zaidi...dalili za ugonjwa wa tezi dume, na sababu za kutokea kwa tezi dume, maana ya tezi dume na athari zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia maendeleo ya mtoto akiwa tumboni mwa mama, zoezi hili ufanyika kila mwezi pale mama anapokuja kwenye mahudhurio kwa kufanya hivyo tunaweza kuja maendeleo ya mtoto kwa kila mwezi.
Soma Zaidi...dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba.
Soma Zaidi...Kama na wewe unasumbuliwa na hali ya kupitiliza siku zako post hii itakusaidia.
Soma Zaidi...Ujauzito husababisha mabadiliko mengi mwilini, ikiwepo ongezeko la Majimaji ukeni ifikapo tarehe za kukaribia kujifunguwa. Majimaji haya ni muhimu kwa afya ya mtoto aliye tumboni.
Soma Zaidi...