Posti hii inahusu zaidi dalili za mimba inayotaka kutoka yenyewe, Kuna wakati mwingine mama anabeba mimba na mimba hiyo I atishia kutoka na huwa inaonyesha dalili mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni dalili za mimba kutaka kutoka yenyewe.
1. Kwanza kabisa Mama anakuwa hapati siku zake za mwezi kama kawaida ya Mama wajawazito na pia Mama uhisi maumivu kwenye tumbo hasa hasa chini ya tumbo na kwa wakati mwingine tumbo huwa na mikwaluzo Fulani ambayo ni tofauti na maumivu ya kawaida.
2.kwa wakati mwingine Mama ananza kuona damu zinatoka kwenye uke, damu hizo uanza kidogo kidogo ila kadri ya mda unavyoingezeka damu hizo pia uongezeka, kwa hiyo Mama Mjamzito anapaswa kuwahi hospital Ili kuweza kupata matibabu na msaada zaidi kwa sababu hii siyo dalili nzuri wakati wa uja uzito.
3. Kwa wakati mwingine Mama anahisi dalili za kujifunguea yaani dalili za uchungu zinaanza na wakati mimba inakuwa bado, hii dalili ya uchungu inaweza kutambuliwa hasa hasa na akina Mama ambao wamejifungua zaidi ya mara Moja ila kwa wale wanaoanza wanaweza wasitambue kama ni dalili za uchungu au la.
4. Uchafu kutoka kwenye sehemu za Siri
Kwa wakati mwingine Kuna kipindi ambapo uchafu unaanza kutoka kwenye sehemu za Siri unaweza kuwa na harufu mbaya au ya kawaida kwa hiyo uchafu huo unaweza kutumia mda mrefu au mfupi au unaweza kuwa kidogo au kiwango kikubwa.
5.mlango wa kizazi unakuwa bado umefungwa.
Kwa kawaida mimba inayotishia kutoka mlango wa kizazi kwa mara nyingi unakuwa bado umefungwa ingawa Kuna maji maji na damu ambavyo uweza kupita ila wenyewe unafunga bado.
6.Kwa hiyo kiu ambacho tunapaswa kuelewa ni kwamba mimba inayotishia kutoka ikiwa Mjamzito amewahi hospital anaweza kitibiwa na kupatiwa msaada na mimba hiyo ikahudumiwa na isitokea ila kwa wale wanaochekewa kwenda hospitalini wanaweza kupata tatizo la kupoteza mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kwenda hospital baada ya kuhisi dalili kama hizi wakati wa uja uzito.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufunga kitovu cha mtoto mara tu anapozaliwa, kwa kawaida tunafahamu kwamba ili mtoto aweze kuishi akiwa tumboni anategemea sana kula na kufanya shughuli zake kwa kupitia kwenye plasenta kwa hiyo mtoto akizaliwa tu
Soma Zaidi...posti hii inaelezea kuhusiana tatizo la muingiliano wa majimaji ya seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito ambao hujulikana Kama Amniotic Fluid Embolism ni hali adimu lakini mbaya ambayo hutokea wakati Maji ya amniotiki Majimaji ambayo huzunguka mtot
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Utasa wa Mwanaume hutokana na uzalishaji mdogo wa mbegu za kiume, utendakazi usio wa kawaida wa manii au kuziba kwa manii ambayo huzuia utoaji wa mbegu za kiume. Magonjwa, majeraha, matatizo ya kiafya sugu, u
Soma Zaidi...Mimba hatari iliyotungia nje ya mji wa mimba, ni zipi dalili zake na ni kivipo mimba inatungia nje?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi fibroids au uvimbe kwenye via vya uzazi hasa hasa utokea kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa kitaalamu huitwa uterusi, uvimbe huu ulitokea watu wengine huwa hawawezi kutambua Dalili zake mapema kwa hiyo leo tunapaswa kujua Dalili zake
Soma Zaidi...Hii ni hali inayowapata wanaume kushindwa kuhimili tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Jifunze sababu kuu zinazosababisha kuhisi maumivu makali ya tumbo wakati wa kushiriki tendo la ndoa
Soma Zaidi...