Dalili za mimba inayotishi kutoka

Posti hii inahusu zaidi dalili za mimba inayotaka kutoka yenyewe, Kuna wakati mwingine mama anabeba mimba na mimba hiyo I atishia kutoka na huwa inaonyesha dalili mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni dalili za mimba kutaka kutoka yenyewe.

Dalili za mimba lnayotishia kutoka.

1. Kwanza kabisa Mama anakuwa hapati siku zake za mwezi kama kawaida ya Mama wajawazito na pia Mama uhisi maumivu kwenye tumbo hasa hasa chini ya tumbo na kwa wakati mwingine tumbo huwa na mikwaluzo Fulani ambayo ni tofauti na maumivu ya kawaida.

 

2.kwa wakati mwingine Mama ananza kuona damu zinatoka kwenye uke, damu hizo uanza kidogo kidogo ila kadri ya mda unavyoingezeka damu hizo pia uongezeka, kwa hiyo Mama Mjamzito anapaswa kuwahi hospital Ili kuweza kupata matibabu na msaada zaidi kwa sababu hii siyo dalili nzuri wakati wa uja uzito.

 

3. Kwa wakati mwingine Mama anahisi dalili za kujifunguea yaani dalili za uchungu zinaanza na wakati mimba inakuwa bado, hii dalili ya uchungu inaweza kutambuliwa hasa hasa na akina Mama ambao wamejifungua zaidi ya mara Moja ila kwa wale wanaoanza wanaweza wasitambue kama ni dalili za uchungu au la.

 

4. Uchafu kutoka kwenye sehemu za Siri 

Kwa wakati mwingine Kuna kipindi ambapo uchafu unaanza kutoka kwenye sehemu za Siri unaweza kuwa na harufu mbaya au ya kawaida kwa hiyo uchafu huo unaweza kutumia mda mrefu au mfupi au unaweza kuwa kidogo au kiwango kikubwa.

 

5.mlango wa kizazi unakuwa bado umefungwa.

Kwa kawaida mimba inayotishia kutoka mlango wa kizazi kwa mara nyingi unakuwa bado umefungwa ingawa Kuna maji maji na damu ambavyo uweza kupita ila wenyewe unafunga bado.

 

6.Kwa hiyo kiu ambacho tunapaswa kuelewa ni kwamba mimba inayotishia kutoka ikiwa Mjamzito amewahi hospital anaweza kitibiwa na kupatiwa msaada na mimba hiyo ikahudumiwa na isitokea ila kwa wale wanaochekewa kwenda hospitalini wanaweza kupata tatizo la kupoteza mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kwenda hospital baada ya kuhisi dalili kama hizi wakati wa uja uzito.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2469

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Faida za Uzazi wa mpango

Posti hii inazungumzia Faida za Uzazi wa mpango kwa watoto, mama, wanandoa, na jamii au JUMUIYA.

Soma Zaidi...
Kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.

Soma Zaidi...
SIKU HATARI ZA KUPATA UJAUZITO KWA MWENYE MZUNGURUKO WA SIKU KIDONGO AU NYUNGI

SIKU YA KUPATA UJAUZITO Kawaida wanawake walio wengi mzunguruko wa siku zao ni siku 28 lakini wapo ambao ni zaidi ya hapo na wapo ambao ni chini ya hapo.

Soma Zaidi...
Maumivu wakati wa hedhi.

Posti hii inahusu zaidi maumivu wakati wa hedhi, haya ni maumivu ambayo utokea wakati wa hedhi kwa wanawake walio wengi, wengine huwa hawayapati kabisa na wengine hutapata na kwa kiwango kikubwa kutegemea na matatizo mbalimbali kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
mambo HATARI KWA UJAUZITO (MIMBA) mambo yanayopelekea kujauzito kuwa hatarini kutoka

Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini.

Soma Zaidi...
Saratani zinazowasumbua watoto.

Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu fangasi za ukeni

Posti hii inahusu zaidi fangasi za ukeni, hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba watoto, akina dada na wanawake kwa hiyo na vizuri kujua Dalili zake na kuweza kuchukua hatua mapema.

Soma Zaidi...
Ni ipi siku ya kupata ujauzito, na nitajuwaje kama nimepata ujauzito?

Hapa utajifunza siku nzuri kushoriki tendo la ndoa kupata ujauzito, dalili za siku hiyo na kuitafuta kwa mahesabu

Soma Zaidi...
Dali za udhaifu wa mbegu za kiume.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.

Soma Zaidi...