Dalili za mimba inayotishi kutoka
Posti hii inahusu zaidi dalili za mimba inayotaka kutoka yenyewe, Kuna wakati mwingine mama anabeba mimba na mimba hiyo I atishia kutoka na huwa inaonyesha dalili mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni dalili za mimba kutaka kutoka yenyewe.
Dalili za mimba lnayotishia kutoka.
1. Kwanza kabisa Mama anakuwa hapati siku zake za mwezi kama kawaida ya Mama wajawazito na pia Mama uhisi maumivu kwenye tumbo hasa hasa chini ya tumbo na kwa wakati mwingine tumbo huwa na mikwaluzo Fulani ambayo ni tofauti na maumivu ya kawaida.
2.kwa wakati mwingine Mama ananza kuona damu zinatoka kwenye uke, damu hizo uanza kidogo kidogo ila kadri ya mda unavyoingezeka damu hizo pia uongezeka, kwa hiyo Mama Mjamzito anapaswa kuwahi hospital Ili kuweza kupata matibabu na msaada zaidi kwa sababu hii siyo dalili nzuri wakati wa uja uzito.
3. Kwa wakati mwingine Mama anahisi dalili za kujifunguea yaani dalili za uchungu zinaanza na wakati mimba inakuwa bado, hii dalili ya uchungu inaweza kutambuliwa hasa hasa na akina Mama ambao wamejifungua zaidi ya mara Moja ila kwa wale wanaoanza wanaweza wasitambue kama ni dalili za uchungu au la.
4. Uchafu kutoka kwenye sehemu za Siri
Kwa wakati mwingine Kuna kipindi ambapo uchafu unaanza kutoka kwenye sehemu za Siri unaweza kuwa na harufu mbaya au ya kawaida kwa hiyo uchafu huo unaweza kutumia mda mrefu au mfupi au unaweza kuwa kidogo au kiwango kikubwa.
5.mlango wa kizazi unakuwa bado umefungwa.
Kwa kawaida mimba inayotishia kutoka mlango wa kizazi kwa mara nyingi unakuwa bado umefungwa ingawa Kuna maji maji na damu ambavyo uweza kupita ila wenyewe unafunga bado.
6.Kwa hiyo kiu ambacho tunapaswa kuelewa ni kwamba mimba inayotishia kutoka ikiwa Mjamzito amewahi hospital anaweza kitibiwa na kupatiwa msaada na mimba hiyo ikahudumiwa na isitokea ila kwa wale wanaochekewa kwenda hospitalini wanaweza kupata tatizo la kupoteza mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kwenda hospital baada ya kuhisi dalili kama hizi wakati wa uja uzito.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Mambo ambayo mama anapaswa kujua akiwa mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mambo anyopaswa kujua akiwa mjamzito. Ni mambo muhimu ya kuzingatia kwa mama akiwa mjamzito.
Soma Zaidi...Mimba kutoka kabla ya umri wake
Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.
Soma Zaidi...Dalili za kuvimba kwa ovari.
 Posti hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa ovari kunakosababishwa na maambukizo ya bakteria na kawaida huweza kusababishwa na magonjwa sugu katika Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke.
Soma Zaidi...Je mjamzito Uchungu ukikata inakuwaje
Hutokea uchungu wa kujifunguwa ukakati. Unadhani ni kitugani kinatokea.
Soma Zaidi...Dalili za Utasa wa wanaume
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Utasa wa Mwanaume hutokana na uzalishaji mdogo wa mbegu za kiume, utendakazi usio wa kawaida wa manii au kuziba kwa manii ambayo huzuia utoaji wa mbegu za kiume. Magonjwa, majeraha, matatizo ya kiafya sugu, u
Soma Zaidi...