picha

Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.

Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.

1. Hali hii uwakuta wanawake ila sio wote wengine maziwa utoka kidogo lakini wengine maziwa utoka mengi kwa hiyo maziwa yakitoka msijali ni kawaida tu kwa hiyo wakati wa ujauzito maziwa yakitoka fanya yafuatayo.

 

 

 

2. Usijikamue au kushika shika maziwa au matiti au chuchu kwa kufanya hivyo unakuwa unayashawishi yaendelea kutoka zaidi, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini na kujitahidi kutoshika matiti, kukamua Chuchu.

 

 

 

 

 

3. Kwa kawaida ukipatwa na shida hiyo haipaswi kabisa kuvaa brezia zinazobaba au pia kuvaa nguo zinazokubana kwa sababu unaweza kuleta kishawishi cha kuendelea kuwepo kwa maziwa na wakati mwingine ukiwa umevaa maziwa yanaweza kupita kwenye nguo inayobana.

 

 

 

 

4. Ukiwa na mme au mpenzi yeyote yule mwambie kwamba asishike kwenye sehemu ya matiti ili kuepuka hali ya kusisimua na kusababisha maziwa kuendelea kutoka.

 

 

 

5. Pia kumbuka kutafuta brezia za wanaonyonyesha.

Kwa kawaida kuna brezia za akina mama wanaonyonyesha kwa sababu ni kubwa na zinaweza zisionyeshe hali au mwonekano wa matiti.

 

 

 

 

6. Kwa hiyo baada ya kufahamu kwamba kitendo cha kutokwa na maziwa wakati wa ujauzito ni kwamba ni kitendo cha kawaida kwa hiyo ni vizuri kabisa kuelimisha jamii kwa sababu wengine wanashika sana mila na desturi na kukuta vitu vya ajabu vinafanyika kwa hiyo wawaache akina mama wakae na maziwa yao kwani ni kawaida tu kutokwa na maziwa wakati wa ujauzito.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/07/14/Thursday - 08:59:45 pm Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3374

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Magonjwa ya kwenye ovari na Dalili zake.

Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza

Soma Zaidi...
Mazoezi salama kwa mama mjamzito

Katika kipindi cha ujauzito, kufanya mazoezi kwa usahihi ni muhimu kwa afya ya mama na mtoto. Mazoezi haya yanasaidia kupunguza uchovu, kudhibiti uzito, kupunguza matatizo ya mgongo, na kuongeza hisia za furaha. Somo hili litatoa mwongozo wa aina za mazoezi zinazofaa kwa kila mwezi wa ujauzito, pamoja na mwongozo wa usalama wa kufanya mazoezi haya nyumbani.

Soma Zaidi...
Ujue Ute kwenye uke

Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.

Soma Zaidi...
Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke

Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo

Soma Zaidi...
Sababu za mimba ya miezi 4-6 kutoka.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali.

Soma Zaidi...
Zijue sababu zinazosababisha kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume

Kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume kunamaanisha kuwa Majimaji (shahawa) unayotoa wakati wa kufika kileleni huwa na mbegu chache kuliko kawaida. Hesabu yako ya manii inachukuliwa kuwa chini kuliko kawaida ikiwa una chini ya mbegu milioni 15. Kuwa na idad

Soma Zaidi...
tuseme nilifanya ngono jana na leo nipata period,je kuna uwezekano wa kupata mimba

Mimba inatungwa katika siku maalumu na hazizidi 10. Sio kila ukishiriki tendo unaweza pata mimba. Je unaweza kupata mimba baada ya kushiriki tendo wiki moja kabla ya kuingia hedhi?

Soma Zaidi...
Mbinu za kuwakinga watoto na saratani.

Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo tunaweza kuzitumia ili kuwakinga watoto dhidi ya saratani, kama tulivyotangulia kusema kwamba saratani ya watoto mara nyingi Usababishwa na akina Mama hasa kwa sababu ya mtindo wa maisha wakati wa ujauzito kwa hiyo tun

Soma Zaidi...
Jinsi ya kupata mtoto wa kiume

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.

Soma Zaidi...