Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.
1. Hali hii uwakuta wanawake ila sio wote wengine maziwa utoka kidogo lakini wengine maziwa utoka mengi kwa hiyo maziwa yakitoka msijali ni kawaida tu kwa hiyo wakati wa ujauzito maziwa yakitoka fanya yafuatayo.
2. Usijikamue au kushika shika maziwa au matiti au chuchu kwa kufanya hivyo unakuwa unayashawishi yaendelea kutoka zaidi, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini na kujitahidi kutoshika matiti, kukamua Chuchu.
3. Kwa kawaida ukipatwa na shida hiyo haipaswi kabisa kuvaa brezia zinazobaba au pia kuvaa nguo zinazokubana kwa sababu unaweza kuleta kishawishi cha kuendelea kuwepo kwa maziwa na wakati mwingine ukiwa umevaa maziwa yanaweza kupita kwenye nguo inayobana.
4. Ukiwa na mme au mpenzi yeyote yule mwambie kwamba asishike kwenye sehemu ya matiti ili kuepuka hali ya kusisimua na kusababisha maziwa kuendelea kutoka.
5. Pia kumbuka kutafuta brezia za wanaonyonyesha.
Kwa kawaida kuna brezia za akina mama wanaonyonyesha kwa sababu ni kubwa na zinaweza zisionyeshe hali au mwonekano wa matiti.
6. Kwa hiyo baada ya kufahamu kwamba kitendo cha kutokwa na maziwa wakati wa ujauzito ni kwamba ni kitendo cha kawaida kwa hiyo ni vizuri kabisa kuelimisha jamii kwa sababu wengine wanashika sana mila na desturi na kukuta vitu vya ajabu vinafanyika kwa hiyo wawaache akina mama wakae na maziwa yao kwani ni kawaida tu kutokwa na maziwa wakati wa ujauzito.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
In fact there is a lot of signs and symptoms of pregnancy a mother experiences throughout pregnant. These signs may start to be revealed immediately after conception or in the first week after conception. A term pregnancy is traditionally calculated by mi
Soma Zaidi...Ni ngumu ila nitakujuza namna ya kuitambuwa mimba ya siku moja hadi 3, mimba ya wiki moja na mimba ya miezi mitatu kwa dalili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba tu mimba, Mama anapobeba mimba Kuna mabadiliko Katika uke wa Mama kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi, katika kipindi hiki kuna homoni mbalimbali ambazo ufanya kazi kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi, kwa kawaida kondo la nyuma huwa nyuma ya mlango wa kizazi ila Kuna wakati kondo la nyuma ujishikisha mbele ya mlango wa kizazi.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na nguvu za kiume zinavyopungua na Ni Mambo gani yanayofanya zipungue
Soma Zaidi...