Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.

Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.

1. Hali hii uwakuta wanawake ila sio wote wengine maziwa utoka kidogo lakini wengine maziwa utoka mengi kwa hiyo maziwa yakitoka msijali ni kawaida tu kwa hiyo wakati wa ujauzito maziwa yakitoka fanya yafuatayo.

 

 

 

2. Usijikamue au kushika shika maziwa au matiti au chuchu kwa kufanya hivyo unakuwa unayashawishi yaendelea kutoka zaidi, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini na kujitahidi kutoshika matiti, kukamua Chuchu.

 

 

 

 

 

3. Kwa kawaida ukipatwa na shida hiyo haipaswi kabisa kuvaa brezia zinazobaba au pia kuvaa nguo zinazokubana kwa sababu unaweza kuleta kishawishi cha kuendelea kuwepo kwa maziwa na wakati mwingine ukiwa umevaa maziwa yanaweza kupita kwenye nguo inayobana.

 

 

 

 

4. Ukiwa na mme au mpenzi yeyote yule mwambie kwamba asishike kwenye sehemu ya matiti ili kuepuka hali ya kusisimua na kusababisha maziwa kuendelea kutoka.

 

 

 

5. Pia kumbuka kutafuta brezia za wanaonyonyesha.

Kwa kawaida kuna brezia za akina mama wanaonyonyesha kwa sababu ni kubwa na zinaweza zisionyeshe hali au mwonekano wa matiti.

 

 

 

 

6. Kwa hiyo baada ya kufahamu kwamba kitendo cha kutokwa na maziwa wakati wa ujauzito ni kwamba ni kitendo cha kawaida kwa hiyo ni vizuri kabisa kuelimisha jamii kwa sababu wengine wanashika sana mila na desturi na kukuta vitu vya ajabu vinafanyika kwa hiyo wawaache akina mama wakae na maziwa yao kwani ni kawaida tu kutokwa na maziwa wakati wa ujauzito.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3020

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Mambo muhimu kuhusu mbegu za kiume

Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango

Posti hii inahusu zaidi kuhusu njia za uzazi wa mpango, uzazi wa mpango ni njia za kupanga uzazi Ili kupata idadi ya watoto unaohitaji

Soma Zaidi...
Yajue madhara ya kutoa mimba mara Kwa mara

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara .

Soma Zaidi...
Dawa ya chango na dawa maumivu ya tumbo la hedhi

Nitakujiza dawa ya chango na maumivu ya tumbo lahedhi, dalili zake na njia za kukabiliana na maumivu ya tumbo la chango.

Soma Zaidi...
Hatua Saba za kutibu au kuepuka uvimbe kwenye kizazi

Posti hii inahusu zaidi hatua ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kutibu uvimbe au kwa kitaalamu huitwa fibroids. Hizi hatua zikitumika uweza kusaidia kupunguza kiwango cha kupata au kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Soma Zaidi...
Je inaweza ukaingia period wakati unaujauzito?

Ukiwa mjamzito unaweza kushuhudia kutokwa na damu. Je damu hii ni ya hedhi?

Soma Zaidi...
Dalili za mimba changa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba changa

Soma Zaidi...
Hiv n kweli majivu hutoa mimb ya siku moja hadi wiki moja

Inashangaza sana, wakati wengine wanahangaika kutafutavijauzito kwa gharama yoyote ile, kuna wengine wanataka kutoa ujauzito kwa gharama yeyote ile. Unadhani njia za kienyeji sa kutoa mimba ni salama?

Soma Zaidi...