dalili za mimba changa ndani ya wiki moja

dalili za mimba changa ndani ya wiki moja

Nataka kujuwa kuhusu dalili za mimba changa ndani ya wiki moja



Namba ya swali 064

Dalili za mimba ndani ya wiki moja zipo nyingi Ila utambuwe kuwa sio rahisi kuziona dalili za mimba changa ndani ya wiki moja. Kwa sababu mwili haujapata mabadiliko ya kutosha kuonyesha dalili.

Hapa nitakutajia Baadhi tu ya dalili ambazo huwenda zikaonekana mwanzoni mwa ujauzito. Huwenda zikaonekana ndani ya wiki moja ama zaidi.



Namba ya swali 064

Tafadhali nitajie dalili hizo, maana ninapata maumivu ya Tumbo toka nilipofanya tendo la ndoa.



Namba ya swali 064

Dalili za mimba changa ndani ya wiki moja ni kama zifuatazo

  1. Kutokwa na matone ya damu machache ukeni
  2. Kichwa kuuma ama kuwa chepesi siku chache toka uliposhiriki tendo la ndoa
  3. Kupatwa na kizunguzungu cha ghafla
  4. Maumivu ya tumbo kwa chini
  5. Joto la mwili kuongezeka
  6. Kuongezeka kwamajimaji ukeni
  7. Kuuma kwa matiti


Dalili nyingine za mimba changa
  1. Kukosa hedhi
  2. Kichefuchefu
  3. Kuwa na mabadiliko badiliko kwenye hisia mara unachukia hiki mara unapenda hiki
  4. Kukojoa mara kwa mara
  5. Mabadiliko ya rangi za chuchu



Namba ya swali 064

Ahsante kwa maelezo



Namba ya swali 064

karibu tena



Namba ya swali 064
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2822

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke

Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume

Soma Zaidi...
Nguvu za kiume Ni nini?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Fahamu mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa

Posti hii inahusu zaidi mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa, kwa kawaida tunajua kwamba mtoto wakati wa kuzaliwa ni lazima atangulize kichwa ila Kuna kipindi mtoto anatanguliza matako, kuna aina nne za mtoto kutanguliza matako.

Soma Zaidi...
Kondomu za kike

Posti hii inaonyesha Faida na hasara za Kondomu za kike

Soma Zaidi...
Sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake

Soma Zaidi...
Zijue sababu zinazosababisha kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume

Kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume kunamaanisha kuwa Majimaji (shahawa) unayotoa wakati wa kufika kileleni huwa na mbegu chache kuliko kawaida. Hesabu yako ya manii inachukuliwa kuwa chini kuliko kawaida ikiwa una chini ya mbegu milioni 15. Kuwa na idad

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuacha kupiga punyeto.

Post hii inakwenda kukupa njia za kukusaidia kuacha punyeto.

Soma Zaidi...
Changamoto kubwa za tendo la ndoa kwa wanaume

Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao

Soma Zaidi...