dalili za mimba changa ndani ya wiki moja

dalili za mimba changa ndani ya wiki moja

Download Post hii hapa

dalili za mimba changa ndani ya wiki moja

Nataka kujuwa kuhusu dalili za mimba changa ndani ya wiki moja



Namba ya swali 064

Dalili za mimba ndani ya wiki moja zipo nyingi Ila utambuwe kuwa sio rahisi kuziona dalili za mimba changa ndani ya wiki moja. Kwa sababu mwili haujapata mabadiliko ya kutosha kuonyesha dalili.

Hapa nitakutajia Baadhi tu ya dalili ambazo huwenda zikaonekana mwanzoni mwa ujauzito. Huwenda zikaonekana ndani ya wiki moja ama zaidi.



Namba ya swali 064

Tafadhali nitajie dalili hizo, maana ninapata maumivu ya Tumbo toka nilipofanya tendo la ndoa.



Namba ya swali 064

Dalili za mimba changa ndani ya wiki moja ni kama zifuatazo

  1. Kutokwa na matone ya damu machache ukeni
  2. Kichwa kuuma ama kuwa chepesi siku chache toka uliposhiriki tendo la ndoa
  3. Kupatwa na kizunguzungu cha ghafla
  4. Maumivu ya tumbo kwa chini
  5. Joto la mwili kuongezeka
  6. Kuongezeka kwamajimaji ukeni
  7. Kuuma kwa matiti


Dalili nyingine za mimba changa
  1. Kukosa hedhi
  2. Kichefuchefu
  3. Kuwa na mabadiliko badiliko kwenye hisia mara unachukia hiki mara unapenda hiki
  4. Kukojoa mara kwa mara
  5. Mabadiliko ya rangi za chuchu



Namba ya swali 064

Ahsante kwa maelezo



Namba ya swali 064

karibu tena



Namba ya swali 064

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2376

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.
Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.

Soma Zaidi...
Sorry kunamchumba wangu katokwa na majimaji meupe na tumbo linamuuma BAADA mda likaacha nidalili za Nini au.nikawaida tu
Sorry kunamchumba wangu katokwa na majimaji meupe na tumbo linamuuma BAADA mda likaacha nidalili za Nini au.nikawaida tu

Majimaji msule sehemu za siriyanaweza kuashiria mambo mengi ka mwanamke. Ikiwemo ujauzitina maradhi. Pia yanaweza kuashiria kuwa mwanamke unaweza kuoatavujauzito amalaa.

Soma Zaidi...
Changamoto za ujauzito
Changamoto za ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu

Soma Zaidi...
Je tumbo huanza kukua baada ya mda gan?
Je tumbo huanza kukua baada ya mda gan?

Ni Swali kila mjamzito anataka kujiuliza hasa akiwa katika mimba ya kwanza. Wengine wanataka kujuwa ni muda gani anujuwe mavazi makubwa. Kama na wewe unataka kujuwa muda ambao tumbo huwa kubwa, endelea kusoma.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia ugumba
Njia za kuzuia ugumba

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia ugumba, ni njia ambazo utumiwa na wapenzi ambao wameshindwa kupata watoto hasa kwa wale ambao wamezaliwa wakiwa na uwezo wa kupata watoto lakini kwa sababu tofauti tofauti wanashindwa kupata watoto kwa hiyo njia zifu

Soma Zaidi...
Sababu za kuwepo fangasi ukeni
Sababu za kuwepo fangasi ukeni

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa Ugonjwa wa fangasi,ni sababu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha fangasi.

Soma Zaidi...
Nahitaji kufaham siku ya kumpatia mimba make wangu, yeye hedhi yake ilianza talehe22
Nahitaji kufaham siku ya kumpatia mimba make wangu, yeye hedhi yake ilianza talehe22

Je na wewe ni moja kati ya wake ambao wanahitajivkujuwa siku za kupata mimba. Ama siku za competes mwanamke mimba. Post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...