Posti hii inahusu zaidi ongezeko la homoni ya estrogen, kwa kawaida homoni hii ya estrogen inapaswa kulingana ikitokea ikaongezeka uleta madhara mbalimbali kwenye mwili na Kuna dalili ambazo zzz inaweza kujionesha wazi mpaka tukafahamu kuwa ni tatizo la o
1. Kama tulivyotangulia kusema hapo mwanzoni kwamba homoni aina ya estrogen inabidi iwe sawia mwilini isiongezeke Wala kupungua, ikiongezeka unaleta madhara yake na ikipungua pia inaleta madhara kwa hiyo ni kuhakikisha kwamba homoni hii ipo kwenye usawa wake na Kuna sababu ambazo zinaweza kusababisha kuongezeka kwa homoni hii kama ifuatavyo.
2. Chanzo kimojawapo ni kutumia madawa yaliyotengenezwa viwandani kwa kawaida madawa kama vile madawa ya njia za uzazi wa mpango pengine huwa na homoni ya estrogen na Mama kama anatumia madawa hayo mara kwa mara au kila siku usababisha kuongezeka kwa homoni ya estrogen kwa hiyo ni vizuri kupima afya zetu na kuomba ushauri pale hali ya mwili ikibadilika Ili kuweza kuepuka matatizo au madhara mbalimbali kwenye mwili wa binadamu.
3. Matibabu ya homoni.
Kuna wakati mwingine Kuna homoni zinakuwa zimepungua mwilini katika hali ya kuongeza hizo homoni usababisha hali ya dawa kupitiliza,badala ya kuleta tiba usababisha matatizo ya kuongeza homoni pamoja na matatizo mbalimbali kwenye mwili.
4. Matumizi ya dawa za asili zinazotumiwa na akina Mama wengi hasa wakati wa kumaliza hedhi kwakitaalamu huitwa menopause, katikati kipindi hiki Kuna mabadiliko mbalimbali ambayo yanaweza kusababisha mwili kubadilika katika matibabu hayo unaweza kukuta unaongeza homoni bila ya kujua hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwenye mwili.
5. Kwa hiyo akina Mama katika kipindi cha ukomo wa hedhi kuanzia miaka arobaini na tano na kuendelea upata matatizo mbalimbali kwa hiyo ni vizuri kabisa kupata ushauri wa wataalamu wa afya Ili kujiepusha na matatizo ambayo yanaweza kutokea hasa hasa katika wakati wa kutoa matibabu wawe waangalifu zaidi kwa sababu kipindi hiki Kuna mabadiliko mengi kwenye mwili wa Mama.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba katika mwezi was kwanza
Soma Zaidi...Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mama mjamzito, kwa sababu kuna baadhi ya Dalili zikitokea kwa mama mjamzito ni vizuri kabisa kuwahi hospitali mara moja.
Soma Zaidi...Je kupata maumivu sehemu zinazoota mavuzi na kuwa namaumiv wakat wa haja ndogo na pia kwenye kichwa cha uume kunakua kama kunavimb hizo syo dalili moja wapi?
Soma Zaidi...Watu wengi wanadhania kuwa kufanya tendo la ndoa katika siku hatari ni lazima kuwa utapata ujauzito. Hili sio sahihi kabisa. Post hii itakwenda kuangalia jambo hili zaidi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo.
Soma Zaidi...Ni mida gani njamzito ananza kuhisi kuwa tumboni anebeba mtoto.
Soma Zaidi...