Posti hii inahusu zaidi ongezeko la homoni ya estrogen, kwa kawaida homoni hii ya estrogen inapaswa kulingana ikitokea ikaongezeka uleta madhara mbalimbali kwenye mwili na Kuna dalili ambazo zzz inaweza kujionesha wazi mpaka tukafahamu kuwa ni tatizo la o
1. Kama tulivyotangulia kusema hapo mwanzoni kwamba homoni aina ya estrogen inabidi iwe sawia mwilini isiongezeke Wala kupungua, ikiongezeka unaleta madhara yake na ikipungua pia inaleta madhara kwa hiyo ni kuhakikisha kwamba homoni hii ipo kwenye usawa wake na Kuna sababu ambazo zinaweza kusababisha kuongezeka kwa homoni hii kama ifuatavyo.
2. Chanzo kimojawapo ni kutumia madawa yaliyotengenezwa viwandani kwa kawaida madawa kama vile madawa ya njia za uzazi wa mpango pengine huwa na homoni ya estrogen na Mama kama anatumia madawa hayo mara kwa mara au kila siku usababisha kuongezeka kwa homoni ya estrogen kwa hiyo ni vizuri kupima afya zetu na kuomba ushauri pale hali ya mwili ikibadilika Ili kuweza kuepuka matatizo au madhara mbalimbali kwenye mwili wa binadamu.
3. Matibabu ya homoni.
Kuna wakati mwingine Kuna homoni zinakuwa zimepungua mwilini katika hali ya kuongeza hizo homoni usababisha hali ya dawa kupitiliza,badala ya kuleta tiba usababisha matatizo ya kuongeza homoni pamoja na matatizo mbalimbali kwenye mwili.
4. Matumizi ya dawa za asili zinazotumiwa na akina Mama wengi hasa wakati wa kumaliza hedhi kwakitaalamu huitwa menopause, katikati kipindi hiki Kuna mabadiliko mbalimbali ambayo yanaweza kusababisha mwili kubadilika katika matibabu hayo unaweza kukuta unaongeza homoni bila ya kujua hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwenye mwili.
5. Kwa hiyo akina Mama katika kipindi cha ukomo wa hedhi kuanzia miaka arobaini na tano na kuendelea upata matatizo mbalimbali kwa hiyo ni vizuri kabisa kupata ushauri wa wataalamu wa afya Ili kujiepusha na matatizo ambayo yanaweza kutokea hasa hasa katika wakati wa kutoa matibabu wawe waangalifu zaidi kwa sababu kipindi hiki Kuna mabadiliko mengi kwenye mwili wa Mama.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja, aina hiyo ya mimba kwa kitaalamu huitwa complete abortion.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.
Soma Zaidi...Uchungu wa uzazi hutokana na kubana nakuachia kwa misuli hii husababishwa kufunhuka kwa mlango wa tumbo la uzazi pamoja na shingo ya kizazi na kumuongezea mama uchungu wakati wa kujifungua(during labour) Pia kubana na kuachia huanza polepole wakati wa
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya shida ya upumuaji, ni madhara madogo madogo ambayo utokea kwa watumiaji wa matatizo ya kupumua.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.
Soma Zaidi...Kuna njia nyingi zinatajwa zinapima mimba kama chumvi, sukari, mafuta na sabuni. Hata hivyo zipo njia zaidi ya 10 za kiasili za kupima ujauzito. Utajifunza hapa zote
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kujiepusha na maradhi ya ini
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukuletea orodha ya vyakla vinavyoaminika kuongeza nguvu za kiume.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba katika mwezi was kwanza
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi
Soma Zaidi...