picha

Ongezeko la homoni ya estrogen

Posti hii inahusu zaidi ongezeko la homoni ya estrogen, kwa kawaida homoni hii ya estrogen inapaswa kulingana ikitokea ikaongezeka uleta madhara mbalimbali kwenye mwili na Kuna dalili ambazo zzz inaweza kujionesha wazi mpaka tukafahamu kuwa ni tatizo la o

Ongezeko la homoni ya estrogen mwilini.

1.  Kama tulivyotangulia kusema hapo mwanzoni kwamba homoni aina ya estrogen inabidi iwe sawia mwilini isiongezeke Wala kupungua, ikiongezeka unaleta madhara yake na ikipungua pia inaleta madhara kwa hiyo ni kuhakikisha kwamba homoni hii ipo kwenye usawa wake na Kuna sababu ambazo zinaweza kusababisha kuongezeka kwa homoni hii kama ifuatavyo.

 

2.  Chanzo kimojawapo ni kutumia madawa yaliyotengenezwa viwandani kwa kawaida madawa kama vile madawa ya njia za uzazi wa mpango pengine huwa na homoni ya estrogen na Mama kama anatumia madawa hayo mara kwa mara au kila siku usababisha kuongezeka kwa homoni ya estrogen kwa hiyo ni vizuri kupima afya zetu na kuomba ushauri pale hali ya mwili ikibadilika Ili kuweza kuepuka matatizo au madhara mbalimbali kwenye mwili wa binadamu.

 

3. Matibabu ya homoni.

Kuna wakati mwingine Kuna homoni zinakuwa zimepungua mwilini katika hali ya kuongeza hizo homoni usababisha hali ya dawa kupitiliza,badala ya kuleta tiba usababisha matatizo ya kuongeza homoni pamoja na matatizo mbalimbali kwenye mwili.

 

4. Matumizi ya dawa za asili zinazotumiwa na akina Mama wengi hasa wakati wa kumaliza hedhi kwakitaalamu huitwa menopause, katikati kipindi hiki Kuna mabadiliko mbalimbali ambayo yanaweza kusababisha mwili kubadilika katika matibabu hayo unaweza kukuta unaongeza homoni bila ya kujua hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwenye mwili.

 

5. Kwa hiyo akina Mama katika kipindi cha ukomo wa hedhi kuanzia miaka arobaini na tano na kuendelea upata matatizo mbalimbali kwa hiyo ni vizuri kabisa kupata ushauri wa wataalamu wa afya Ili kujiepusha na matatizo ambayo yanaweza kutokea hasa hasa katika wakati wa kutoa matibabu wawe waangalifu zaidi kwa sababu kipindi hiki Kuna mabadiliko mengi kwenye mwili wa Mama.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/07/03/Sunday - 04:29:41 pm Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3050

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dawa ya chango na dawa maumivu ya tumbo la hedhi

Nitakujiza dawa ya chango na maumivu ya tumbo lahedhi, dalili zake na njia za kukabiliana na maumivu ya tumbo la chango.

Soma Zaidi...
Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Maumivu wakati wa hedhi.

Posti hii inahusu zaidi maumivu wakati wa hedhi, haya ni maumivu ambayo utokea wakati wa hedhi kwa wanawake walio wengi, wengine huwa hawayapati kabisa na wengine hutapata na kwa kiwango kikubwa kutegemea na matatizo mbalimbali kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Dalili za ujauzito: Nini kinatokea kwanza

Je, unafahamu dalili za mwanzo za ujauzito? Kutoka kwa kichefuchefu hadi uchovu, ujue nini cha kutarajia.

Soma Zaidi...
Lazima matiti kuuma ka mimba changa?

Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika

Soma Zaidi...
Mama mjamzito anapo hisi uchungu je mtoto huendelea kucheza tumboni?

Swali langi ni hiliMama mjamzito anapo hisi uchungu je mtoto huendelea kucheza tumboni?

Soma Zaidi...
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa kondo la nyuma

Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto.

Soma Zaidi...
Mimba kutoka kabla ya umri wake

Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.

Soma Zaidi...
Ujue Ute kwenye uke

Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.

Soma Zaidi...
Kazi ya homoni ya testosterone

Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote.

Soma Zaidi...