picha

Nina vidonda kwenye uume wangu, je ni dalili ya nini?

Nina vidonda kwenye uume wangu, je ni dalili ya nini?

Jaman mim sijielewi Nina vidondo kwenye uumeo n upele unao washa San sas sielewi



Namba ya swali 047

Una vidonda kwenye Uume, na vipele vinavyowasha. Vipi ukifika hospitali?



Namba ya swali 047

Bado sijafika lakin naogopa san maan vimenitokea pak kwenye makalio na vinawasha sana au ndy dalili moja wapo ya vvu maan paka nachanganyikiwa



Namba ya swali 047

Kwa tofauti na hali hiyo una dalili za HIV? maana hivyo vipele pekee sio dalili ya HIV



Namba ya swali 047

Hapan hakuna dalili zaid ya vipele je inaweza kua ugonjwa gan sas



Namba ya swali 047

Inaweza kuwa kisonono



Namba ya swali 047

Ni gonjwa la ngono maana ndiyo naliskia kwako lakini vipele vipo paka kwenye mapaja na chin ya kitovu kidogo ndugu yangu napta shida sana nisaidie



Namba ya swali 047

Kisonono haiweI leta vipele kwenye maeneo mengine. Yenyewe inaleta vidonda na usaha kwenye uume. Mara chache sana kuketabvipelenkwenye uume.



Namba ya swali 047

Hewenda una fangasi kali sana. ama kuna bakterei wanakusumbua hapo



Namba ya swali 047

Kiukwel dalili yoyt ya HIV xjaion vipele hivi ndy nashindwa kuelwa nikipata joto nawashwa san ndg yangu paka kwenye mapumbu vipele vipo



Namba ya swali 047

Ukipata muda kacheki huwenda ni fangasi,



Namba ya swali 047

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 6338

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 web hosting     👉3 ai web app     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Hiv n kweli majivu hutoa mimb ya siku moja hadi wiki moja

Inashangaza sana, wakati wengine wanahangaika kutafutavijauzito kwa gharama yoyote ile, kuna wengine wanataka kutoa ujauzito kwa gharama yeyote ile. Unadhani njia za kienyeji sa kutoa mimba ni salama?

Soma Zaidi...
Huduma kwa mama mwenye kifafa cha mimba.

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wajawazito wanaweza kuzipata wakiwa na Dalli au tayari wana kifafa cha mimba.

Soma Zaidi...
mimi mara ya mwisho kubleed ilikuwa tareh 3/9 nilisex tarehe 4 je ni kwel nna mimba maana hadi sasa sijableed au ni kawaida tu

Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya.

Soma Zaidi...
Sorry kunamchumba wangu katokwa na majimaji meupe na tumbo linamuuma BAADA mda likaacha nidalili za Nini au.nikawaida tu

Majimaji msule sehemu za siriyanaweza kuashiria mambo mengi ka mwanamke. Ikiwemo ujauzitina maradhi. Pia yanaweza kuashiria kuwa mwanamke unaweza kuoatavujauzito amalaa.

Soma Zaidi...
Kazi ya metronidazole

Posti hii zaidi kazi ya Dawa ya metronidazole katika kutibu Minyoo, ni aina ya Dawa ambayo imetumiwa na watu wengi wakaweza kupona na kuepukana na minyoo. Zifuatazo ni baadhi ya kazi za metronidazole.

Soma Zaidi...
Madhara ya kiafya ya kupiga punyeto

Post hii inakwenda kukutania madhara ya kuoiga punyeto kwa afya yako.

Soma Zaidi...