picha

Nina vidonda kwenye uume wangu, je ni dalili ya nini?

Nina vidonda kwenye uume wangu, je ni dalili ya nini?

Jaman mim sijielewi Nina vidondo kwenye uumeo n upele unao washa San sas sielewi



Namba ya swali 047

Una vidonda kwenye Uume, na vipele vinavyowasha. Vipi ukifika hospitali?



Namba ya swali 047

Bado sijafika lakin naogopa san maan vimenitokea pak kwenye makalio na vinawasha sana au ndy dalili moja wapo ya vvu maan paka nachanganyikiwa



Namba ya swali 047

Kwa tofauti na hali hiyo una dalili za HIV? maana hivyo vipele pekee sio dalili ya HIV



Namba ya swali 047

Hapan hakuna dalili zaid ya vipele je inaweza kua ugonjwa gan sas



Namba ya swali 047

Inaweza kuwa kisonono



Namba ya swali 047

Ni gonjwa la ngono maana ndiyo naliskia kwako lakini vipele vipo paka kwenye mapaja na chin ya kitovu kidogo ndugu yangu napta shida sana nisaidie



Namba ya swali 047

Kisonono haiweI leta vipele kwenye maeneo mengine. Yenyewe inaleta vidonda na usaha kwenye uume. Mara chache sana kuketabvipelenkwenye uume.



Namba ya swali 047

Hewenda una fangasi kali sana. ama kuna bakterei wanakusumbua hapo



Namba ya swali 047

Kiukwel dalili yoyt ya HIV xjaion vipele hivi ndy nashindwa kuelwa nikipata joto nawashwa san ndg yangu paka kwenye mapumbu vipele vipo



Namba ya swali 047

Ukipata muda kacheki huwenda ni fangasi,



Namba ya swali 047

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 5864

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 ai web app     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu

Posti hii inahusu zaidi sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu, hali hii uwatokea wanaume wengi kwa sababu mbalimbali za kimaisha ambazo ufanya mbegu za kiume kuwa dhaifu na kusababisha madhara makubwa zaidi kwa sababu wanaume wengi ushindwa kujiamini kwa h

Soma Zaidi...
Maji ya Amniotic

Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
je mtu kam anaona dalili za mimb ila akapima nakipim hakijamuonyesha kam ana mimb am hana je kuna uwezekan wakuw anayo

Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali

Soma Zaidi...
Dalili za saratani kwa watoto.

Posti hii inahusu zaidi Dalili za saratani kwa watoto, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto na ikiwa mlezi au mzazi akiziona tu anaweza kutambua mara moja kwamba hii ni saratani au la na kama bado ana wasiwasi anaweza kupata msaada zaidi kutoka kwa wataa

Soma Zaidi...
Faida za uzazi wa mpango kwa watoto.

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...