Nina vidonda kwenye uume wangu, je ni dalili ya nini?

Nina vidonda kwenye uume wangu, je ni dalili ya nini?

Jaman mim sijielewi Nina vidondo kwenye uumeo n upele unao washa San sas sielewi



Namba ya swali 047

Una vidonda kwenye Uume, na vipele vinavyowasha. Vipi ukifika hospitali?



Namba ya swali 047

Bado sijafika lakin naogopa san maan vimenitokea pak kwenye makalio na vinawasha sana au ndy dalili moja wapo ya vvu maan paka nachanganyikiwa



Namba ya swali 047

Kwa tofauti na hali hiyo una dalili za HIV? maana hivyo vipele pekee sio dalili ya HIV



Namba ya swali 047

Hapan hakuna dalili zaid ya vipele je inaweza kua ugonjwa gan sas



Namba ya swali 047

Inaweza kuwa kisonono



Namba ya swali 047

Ni gonjwa la ngono maana ndiyo naliskia kwako lakini vipele vipo paka kwenye mapaja na chin ya kitovu kidogo ndugu yangu napta shida sana nisaidie



Namba ya swali 047

Kisonono haiweI leta vipele kwenye maeneo mengine. Yenyewe inaleta vidonda na usaha kwenye uume. Mara chache sana kuketabvipelenkwenye uume.



Namba ya swali 047

Hewenda una fangasi kali sana. ama kuna bakterei wanakusumbua hapo



Namba ya swali 047

Kiukwel dalili yoyt ya HIV xjaion vipele hivi ndy nashindwa kuelwa nikipata joto nawashwa san ndg yangu paka kwenye mapumbu vipele vipo



Namba ya swali 047

Ukipata muda kacheki huwenda ni fangasi,



Namba ya swali 047

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3821

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Kujaa gesi tumboni

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kujaa tmgesi tumbon

Soma Zaidi...
Fahamu matatizo yanayowapata watoto waliozaliwa kabla ya wakati au mapema (premature)

Kuzaa kabla ya wakati ni kuzaliwa ambayo hufanyika zaidi ya wiki tatu kabla ya kuzaliwa kwa mtoto au kuzaliwa mapema ni moja ambayo hutokea kabla ya mwanzo wa wiki ya 37 ya ujauzito. Kawaida, ujauzito hudumu kama wiki 40.

Soma Zaidi...
Magonjwa ya kwenye ovari na Dalili zake.

Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Dalili za kasoro ya moyo ya kuzaliwa kwa watu wazima

Ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa nao (kasoro ya moyo ya kuzaliwa) ni hali isiyo ya kawaida katika muundo wa moyo wako unaozaliwa nao. utu uzima. Ingawa maendeleo ya kimatibabu yameboreshwa, watu wazima wengi walio na ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa wanaweza wasip

Soma Zaidi...
tuseme nilifanya ngono jana na leo nipata period,je kuna uwezekano wa kupata mimba

Mimba inatungwa katika siku maalumu na hazizidi 10. Sio kila ukishiriki tendo unaweza pata mimba. Je unaweza kupata mimba baada ya kushiriki tendo wiki moja kabla ya kuingia hedhi?

Soma Zaidi...
Mambo yanayopelekea Mjamzito kutokwa na damu

Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu.

Soma Zaidi...
Namna ya kutunza joto la mtoto mara tu baada ya kuzaliwa.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i

Soma Zaidi...
Dalili za mama mjamzito akikaribia kujifungua

Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic

Soma Zaidi...