picha

Kwanini nikimaliza kufanya mapenzi na mume wangu anawashwa sana!!!!!

Habari DoktaNikuulize kituu?

Kwanini nikimaliza kufanya mapenzi na mume wangu anawashwa sana!!!!!

Habari Dokta

Nikuulize kituu?



Namba ya swali 010

Uliza, tafadhali...



Namba ya swali 010

Kwanini nikimaliza kufanya mapenzi na mume wangu anawashwa sana!!!!!



Namba ya swali 010

Je mnatumia kondomu



Namba ya swali 001

kondom hatutumiii



Namba ya swali 001

Kuna maumivu yeyote unapata kama wakati wa kukojoa au kuna mabadiliko yeyite kwenye majimaji ya ukeni



Namba ya swali 001

Hapana sio mimi, anayewashwa ni mumwe wangu



Namba ya swali 001

Aaanha Ok, samahani sikukuelewa vyema hapo mwanzo



Namba ya swali 001

Kuna uwezekano wa mashambulizi ya vijidudu vya maradhi. Mwambie akapime UTI na acheki kama atakuwa na fangasi kwenye ya uume wake. Na ikiwezekana mkapime wote maana huwenda kuna bakteria au fangasi mnabadilishana mnapofanya tendo la ndoa.



Namba ya swali 001

Shukran



Namba ya swali 001

Endelea kuwa pamoja nasi
www.bongoclass.com



Namba ya swali 001

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 2572

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Dalili za uvimbe kwenye kizazi

Posti hii inahusu zaidi Dalili za uvimbe kwenye kizazi,hizi ni Dalili ambazo ujitokeza kwa akina mama ambao wana uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo endapo mama ameona Dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali mara moja kwa uangalizi zaidi.

Soma Zaidi...
Kutoka kwa mimba, sababu za kutoka kwa mimba, dalili za kutoka mimba na kuzuia mimba kuoka

Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii

Soma Zaidi...
Watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango

Post hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango, Ni watu ambao Wana matatizo mbalimbali endapo wakitumia wanaoweza kuleta madhara mbalimbali.

Soma Zaidi...
Haya maji meupe hutokea wakat mimba ishatungwa au ukifanya tendo la ndoa lazima utokee?

Majimaji yanayitoka kwenye uke yanafungamana na taarifa nyingi kuhusu afya vya mwanamke. Ujauzito, maradhi, mabadiliko ya homoni na zaidi.

Soma Zaidi...
mambo ambayo utaulizwa mama mjamzito ukifika kituo cha afya unatakiwa utoe majibu sahihi.

Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo Mama mjamzito anaweza kuulizwa pindi anapokuja kwenye kliniki ya uzazi ,ni mambo muhimu na ya lazima yanayopaswa kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kuona maendeleo yake kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Maandalizi ya mama mjamzito kwa ajili ya kujifungulia.

Postii inafundisha maandalizi ya mama kwa ajili ya kujifungulia hii Ni muhimu Sana kwa wale ambao hawajawahi kujingua Ni mara yao ya kwanza wanatakiwa kujua na kuelewa vifaa na mahitaji kujifungulia na kwa wale wanaohudhuria clinic huwa wanafundisha.

Soma Zaidi...