picha

Yajue madhara ya kutoa mimba mara Kwa mara

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara .

Madhara ya kutoa mimba mara Kwa mara.

1. Kujifungua mtoto kabla ya mda wake.

 Kuna kipindi akina dada wanatoa sana mimba wakati wa ujana wao Kuna mwingine anakwambia kwamba kwa mwaka anatoa mimba kama tano hivi na huyu anayefanya hivyo anategemea kupata mtoto baadae eti mda ukifika, akina dada wa hivi wakifikia ule wakati wa kuhitaji watoto mara nyingi mimba utishia kutoka kwa sababu kizazi kimekwisha zoea kwamba hakiwezi kutunza mtoto kwa miezi tisa kwa hiyo ukifika mda ule ambapo Mama utoa mimba na mimba ujiandaa kutoka kwa kuonyesha dalili zote za kutoka kwa mimba na hatimaye mtoto uzaliwa bila kufika mda wake.

 

 

2. Kulegea kwa mlango wa kizazi.

Kwa kawaida kutoa mimba mara Kwa mara usababisha kulegea kwa mlango wa kizazi kwa sababu kila mara kizazi kinachokonolewa uenda kwa vyuma au kwa njia yoyote ile hali ambayo usababisha kizazi kulegea. Na kwa hali hiyo usababisha kizazi  chenyewe kushindwa kuhifadhi mtoto pale mama anapohitaji mtoto wa kuzaa kabisa.

 

3. Kuwepo kwa Saratani ya matiti.

Kwa kawaida mimba ikitungwa kila kitu mwilini ubadilika na kuwa tayari kwa ajili ya kutunza mtoto au kichanga kilichomo tumboni. Kwa hiyo na homoni mbalimbali kwenye matiti kuwepo kwa sababu ya kujiandaa kwa ajili ya kunyongenyesha mtoto atakayezaliwa kwa hiyo kutoa mimba mara Kwa mara usababisha Kansas kwenye matiti kwa sababu ya kuwepo kwa hali ya kuzalishwa homoni za mara Kwa mara.

 

4. Pengine kupata magonjwa ya akili.

Kwa sababu Kuna hali Ile ya baada ya kutoa  mimba nyingi na kuharibu sehemu mbalimbali za via vya uzazi na baadae wakati wa kuhitaji mtoto Kunafika na mama anaishindwa kupata mtoto baada ya kujua ukweli anaanza kufikilia mambo mengi na kusababisha hali ya kuchanganyikiwa hasa pale anapopatwa na masimango kutoka sehemu mbalimbali au kwa wale walioshuhudia mambo yake na pia pale anapofikilia jinsi alivyotoa mimba nyingi au pengine Kuna mimba aliitoa na mtoto akalia na mambo kama hayo umfanya mtu kufikilia mambo mengi na hatimaye kupata magonjwa ya akili.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 4169

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰3 web hosting    πŸ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰5 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza

Soma Zaidi...
Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi magonjwa madogo madogo kwa akina Mama wajawazito, ni magonjwa ambayo hayawezi kupelekea kupoteza maisha kwa Mama mjamzito, magonjwa haya upotea ikiwa Mama atajifungua.

Soma Zaidi...
dalili za mimba baada ya tendo la ndoa na changa ndani ya wiki moja

Utajifunza dalili za mwanzoni za mimba changa kuanzia wiki moja baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Sababu za Ugonjwa wa kifafa cha mimba.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kifafa cha mimba, kwa kawaida mpaka sasa hakuna taarifa zozote kuhusu sababu za kuwepo kwa kifafa cha mimba ila kuna visababishi vinavyofikiliwa kama ni Dalili za kifafa cha mimba kama ifuatavyo

Soma Zaidi...
Imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba

Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba.

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya uzito kwa mjamzito

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na Mimba

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka.

Post hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka mambo haya yanaweza yakawahusu akina Mama wenyewe, familia na jamii kwa ujumla.

Soma Zaidi...
Yajue mazoezi ya kegel

Posti inahusu zaidi mazoezi ya kegel, ni mazoezi ambayo ufanywa na watu wengi na sehemu yoyote yanaweza kufanywa kama vile chumbani, sebuleni, uwanjani na sehemu yoyote ile na kwa watu tofauti.

Soma Zaidi...
Mimi nilipima na kipimo mwenyewe nkakuta mistari miwili iliokoza lkn nikifanya tendo nakua naumia sana tatizo ni Nini docta

Je anapatwa maumivu 😭 makali wakati wa tendo la ndoa ama ukiwa katika hedhi? Soma makala hii hadi mwisho

Soma Zaidi...
Samahani naomba kuhuliza je unaweza kutokwa na maji maji ambayoa ayana rangi Wala harufu Ni dalili gani kwa mimba ya mwezi mmoja

ukiwa na ujauzito unaweza kuona mabadiliko mengi katika mwili wako yakiwemo kutokwa na majimaji. je majimaji haya yana dalili gani kwenye ujauzito?

Soma Zaidi...