Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara .
1. Kujifungua mtoto kabla ya mda wake.
Kuna kipindi akina dada wanatoa sana mimba wakati wa ujana wao Kuna mwingine anakwambia kwamba kwa mwaka anatoa mimba kama tano hivi na huyu anayefanya hivyo anategemea kupata mtoto baadae eti mda ukifika, akina dada wa hivi wakifikia ule wakati wa kuhitaji watoto mara nyingi mimba utishia kutoka kwa sababu kizazi kimekwisha zoea kwamba hakiwezi kutunza mtoto kwa miezi tisa kwa hiyo ukifika mda ule ambapo Mama utoa mimba na mimba ujiandaa kutoka kwa kuonyesha dalili zote za kutoka kwa mimba na hatimaye mtoto uzaliwa bila kufika mda wake.
2. Kulegea kwa mlango wa kizazi.
Kwa kawaida kutoa mimba mara Kwa mara usababisha kulegea kwa mlango wa kizazi kwa sababu kila mara kizazi kinachokonolewa uenda kwa vyuma au kwa njia yoyote ile hali ambayo usababisha kizazi kulegea. Na kwa hali hiyo usababisha kizazi chenyewe kushindwa kuhifadhi mtoto pale mama anapohitaji mtoto wa kuzaa kabisa.
3. Kuwepo kwa Saratani ya matiti.
Kwa kawaida mimba ikitungwa kila kitu mwilini ubadilika na kuwa tayari kwa ajili ya kutunza mtoto au kichanga kilichomo tumboni. Kwa hiyo na homoni mbalimbali kwenye matiti kuwepo kwa sababu ya kujiandaa kwa ajili ya kunyongenyesha mtoto atakayezaliwa kwa hiyo kutoa mimba mara Kwa mara usababisha Kansas kwenye matiti kwa sababu ya kuwepo kwa hali ya kuzalishwa homoni za mara Kwa mara.
4. Pengine kupata magonjwa ya akili.
Kwa sababu Kuna hali Ile ya baada ya kutoa mimba nyingi na kuharibu sehemu mbalimbali za via vya uzazi na baadae wakati wa kuhitaji mtoto Kunafika na mama anaishindwa kupata mtoto baada ya kujua ukweli anaanza kufikilia mambo mengi na kusababisha hali ya kuchanganyikiwa hasa pale anapopatwa na masimango kutoka sehemu mbalimbali au kwa wale walioshuhudia mambo yake na pia pale anapofikilia jinsi alivyotoa mimba nyingi au pengine Kuna mimba aliitoa na mtoto akalia na mambo kama hayo umfanya mtu kufikilia mambo mengi na hatimaye kupata magonjwa ya akili.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kupasuka kwa kondo la nyuma (plasenta) (abruptio placentae) ni tatizo lisilo la kawaida lakini kubwa la ujauzito.Kondo la nyuma (Placenta) ni muundo ambao hukua ndani ya uterasi wakati wa ujauzito ili kumlisha mtoto ana
Soma Zaidi...Kuunda na kujaa kwa matiti ni miongoni mwa dalili za ujauzito lakini pia ni dalili za kukaribia hedhi kwa baadhi ya wanawake. Posti hii itakwenda kufafanuabutofauti wa dalili hizi na kipi ni sahihibkatibya hedhi ama ujauzito.
Soma Zaidi...Korodani ni kiungo muhimu kwa mwanaume, katika afya ya uzazi. Unaweza kusema ni kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume. Kiungo hiki ni sawa na ovari kwa mwanamke.
Soma Zaidi...Mdomo kuwa mchungu ni halia mabayo haiashirii ishara mbaya za kiafya. Mdomo unaweza kuwa mchungu kutokana na vyakula. Pia hutokea ikawa ni ishara ya baadhi ya maradhi, ama ni matokeo ya baadhi ya shda za kiafya. Je vipi kuhusu maumivu ya matiti na tumb?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.
Soma Zaidi...Hutokea uchungu wa kujifunguwa ukakati. Unadhani ni kitugani kinatokea.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi.
Soma Zaidi...Kupata ujauzito hufungamana na mambo mengi ikiwepo afya vya wawili yaani me na mume na mengineyo. Unaweza kushiriki sikuvhatari na usiupate mimba. Postivhii ibakwendavkukufahamisha undani wa jambo hili.
Soma Zaidi...