Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.
1. Kama tulivyoona hapo juu kwamba Ute utofautiana kulingana na hali ya mama au na kuwepo kwa magonjwa mwilini kwa Mama na pia kuna kipindi Ute uongezeka na kuna kipindi Ute upungua kabisa na pengine uke inakosa kabisaa mpaka madawa yanatumika kupata uke.
2. Kwa hiyo Ute kwenye uke huwa na kazi tofautitofauti kwa mfano kurahisisha uje wakati wa kujamiiana na kuruhusu mbegu kupita wakati wa kujamiiana kwa hiyo kwa akina mama ambao bado wanaendelea kupata watoto ni vizuri kabisa kuhakikisha kubwa wanakuwa na Ute wa kutosha kwenye uke kwa kutumia dawa mbalimbali za kuweza kupata Ute hasa pale ukipungua.
3. Ukosefu wa Ute kwenye uke usababisha maumivu makali wakati wa kujamiiana na pia michubuko wakati wa kujamiiana kwa sababu uume unapopita upita kwa shida na kusababisha kukwaruza sehemu za uke,
4. Pia ukosefu wa Ute usababisha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza yanayotokea kwa njia ya kujamiiana kama vile upungufu wa kinga mwilini pamoja na magonjwa mengine kama hayo kwa sababu wakati wa kujamiiana kwa sababu ya kuwepo kwa michubuko virusi vinaweza kutoka kwa mwathirika kwenda kwa mwingine asiye mwathirika kwa hiyo Ute una faida zake.
5. Pia wanaume wanapaswa kuwaandaa wanawake wao kabla ya kujamiiana ili kuweza kuwepo kwa Ute maana maandalizi mazuri usababisha Ute kuwepo wa kutosha kwa hiyo ni vizuri kutafuta njia nzuri za kuandamana ili kuweza kuepuka matatizo ya kuwepo kwa magonjwa na michubuko wakati wa kujamiiana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mabaka yanayowasha chini ya matiti, ni ugonjwa ambao uwapata wanawake walio wengi na wengine hawajapata jibu Sababu zake ni zipi na pengine uchukua hatua za kutumia miti shamba wakidai juwa hospitalini nugonjwa huu hautibiwa, ila n
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kutafuta ujauzito
Soma Zaidi...Kipimo chamimba cha mkojo, huonyesha nestory miwili kuwa una mimba, na mmoja kuwa huna mimba. Sasa je ukitokea mmoja umekoleana mwingine hafifu? Endelea na pasti Γ’ΕΒΓ―ΒΈΒ hadi mwisho
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.
Soma Zaidi...Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa.
Soma Zaidi...Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.
Soma Zaidi...Vyakula hivi hapasi kuvila mwanamke mwenye ujauzito kwa kiasi kikubwa, hasa yule mwenye mimba chaga
Soma Zaidi...Presha ya kupanda hypertension huweza kuzumbuwa watu kwa jinsia zote, na umri wote. Wajawazito pia wamekuwa wakisumbuliwa na presha hii mara kwa mara.
Soma Zaidi...