Ujue Ute kwenye uke
Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.
Ute kwenye uke.
1. Kama tulivyoona hapo juu kwamba Ute utofautiana kulingana na hali ya mama au na kuwepo kwa magonjwa mwilini kwa Mama na pia kuna kipindi Ute uongezeka na kuna kipindi Ute upungua kabisa na pengine uke inakosa kabisaa mpaka madawa yanatumika kupata uke.
2. Kwa hiyo Ute kwenye uke huwa na kazi tofautitofauti kwa mfano kurahisisha uje wakati wa kujamiiana na kuruhusu mbegu kupita wakati wa kujamiiana kwa hiyo kwa akina mama ambao bado wanaendelea kupata watoto ni vizuri kabisa kuhakikisha kubwa wanakuwa na Ute wa kutosha kwenye uke kwa kutumia dawa mbalimbali za kuweza kupata Ute hasa pale ukipungua.
3. Ukosefu wa Ute kwenye uke usababisha maumivu makali wakati wa kujamiiana na pia michubuko wakati wa kujamiiana kwa sababu uume unapopita upita kwa shida na kusababisha kukwaruza sehemu za uke,
4. Pia ukosefu wa Ute usababisha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza yanayotokea kwa njia ya kujamiiana kama vile upungufu wa kinga mwilini pamoja na magonjwa mengine kama hayo kwa sababu wakati wa kujamiiana kwa sababu ya kuwepo kwa michubuko virusi vinaweza kutoka kwa mwathirika kwenda kwa mwingine asiye mwathirika kwa hiyo Ute una faida zake.
5. Pia wanaume wanapaswa kuwaandaa wanawake wao kabla ya kujamiiana ili kuweza kuwepo kwa Ute maana maandalizi mazuri usababisha Ute kuwepo wa kutosha kwa hiyo ni vizuri kutafuta njia nzuri za kuandamana ili kuweza kuepuka matatizo ya kuwepo kwa magonjwa na michubuko wakati wa kujamiiana.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 ai web app 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Ni zipi njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukuletea njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume
Soma Zaidi...Mabadiliko ya uzito kwa mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na Mimba
Soma Zaidi...Nini husababisha maumivu ya uume
Kama uume wako unauma ama unahisi kuwa unaunguza ama kuchoma choma, post hii imekuandalia somo hili.
Soma Zaidi...Saratani zinazowasumbua watoto.
Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.
Soma Zaidi...Sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.
Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo.
Soma Zaidi...Fahamu Faida za Uzazi wa mpango
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni huduma ambazo hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa.
Soma Zaidi...