Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake

Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake

Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo

Download Post hii hapa

Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake

KUHARIBIKA KWA UJAUZITO



Kitendo cha kuharibika kwa ujauzito kitaalamu hutambulika kama spontaneous abortion. Ni kutoka kwa ujauzito ndani ya wiki 20 za mwanzo. Tafiti zinaonesha kuwa yapata asilimilia 50 ya mimba hutoka yaani nusu ya mimba zinazotugwa hutoka. Wengiwao hupatwa tu na ha;I ya kukosa siku zao bila ya kujuwa kama walikuwa na ujauzito na wengine wanajigundua. Pia tafiti zinaonyesha kuwa yapata asilimia 15 mpaka 25 ya mimba ambazo zimejulikana hutoka. Hata hivyo mimba nyingine hutoka siki chache tu baada ya kuingia. Sasa ni kwa nini mimba hutoka? Makala hii inakwenda kukupa elimu juu ya kutoka kwa mimba, dalili zake na sababu zake.


Dalili za kutoka kwa ujauzito
1.Kutokwa na damu ambayo inawza kuongezeka kadiri muda unavyoenda.
2.Maumivu ya tumbo
3.Kupata uchovu
4.Maumivu makali ya mgongo
5.Kupatwa na homa iliyochanganyikana na moja ya dalili zilizotajwa hapo juu.


6.Sababu za kutoka ujauzitoMaumivu ya chango kupitiliza

Mimba nyingi hutoka kwa sababu kuna matatizo kwenye genetics za mtoto na si kosa la mama ama la baba. Hii ni kutokana na maumbile ya mtoto kuwa na shida katika ufanyikaji. Sababu nyingine za kutokwa na ujauzito ni:-
1.Maambukizi, watu waishio na baadhi ya maambukizi kama PID ama HIV wanaweza kuwa hatarini.
2.Kuwa na maradhi kama kisukari ama maradhi katika tezi ya thyroid
3.Matatizo katika homoni
4.Mfumo wa kinga kuondoa mimba
5.Shughuli na maumbile ya mama
6.Mfuko wa mimba kuwa na matatizo


Pia mwanamke anaweza kuwa na nafasi kubwa ya kutokwa na ujauzito kama:-
1-Atakuwa na umri wa zaidi ya miaka 35
2-Ana maradhi kama kisukari au maradhi ya tezi ya thyroid
3-Kama ana kawaida ya kutokwa na ujauzito zaidi ya mara tatu.



                   

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1186

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Sifa za siku za kupata mimba
Sifa za siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya sifa za siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Dalili za mimba yenye uvimbe
Dalili za mimba yenye uvimbe

Mimba ya tumbo - pia inajulikana kama hydatidiform mole - ni ugumu usiyo na kansa (benign) ambayo hutokea kwenye uterasi. Mimba ya molar huanza wakati yai linaporutubishwa, lakini badala ya mimba ya kawaida, yenye uwezo wa kutokea, plasenta hukua na kuwa

Soma Zaidi...
Je chuchu zikiwa nyeusi Nini kinasababisha,, kando ya kuwa mjamzito?  Na Kama sio mjamzito sababu ya chuchu kua nyeusi ni nini
Je chuchu zikiwa nyeusi Nini kinasababisha,, kando ya kuwa mjamzito? Na Kama sio mjamzito sababu ya chuchu kua nyeusi ni nini

Chuchu kubadilika range ni mojavkatika mabadiliko ambayo huwapa shoka wengi katika wasichana. Lucinda nikwambie tu kuwa katika hali ya kawaida hilo sio tatizo kiafya.

Soma Zaidi...
Siku za hatari, siku za kubeba mimba
Siku za hatari, siku za kubeba mimba

Hizi ni siku hatari kwa mwanamke ambazo ni ahisi kwake kubeba mimba, siku nitakueleza ni zipi na ni zipi sifa zake

Soma Zaidi...
Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.
Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume, ni tatizo ambalo uwakumba baadhi ya wanaume kwa sababu mbalimbali na pia Ugonjwa huu unatibika hasa kwa wale wanaowahi kupata matibabu.

Soma Zaidi...
 SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO LANDOA
SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO LANDOA

Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto.

Soma Zaidi...
Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke
Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke

Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo

Soma Zaidi...
Hivi kipimo cha mimba cha mkojo baada ya kutumika Mara 1 ,hakiruhusiw tena kutumika au
Hivi kipimo cha mimba cha mkojo baada ya kutumika Mara 1 ,hakiruhusiw tena kutumika au

Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka?

Soma Zaidi...
Je, wajua sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti kwa wanawake?
Je, wajua sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti kwa wanawake?

Maumivu ya matiti ni malalamiko ya kawaida miongoni mwa wanawake yanaweza kujumuisha uchungu wa matiti, maumivu makali ya kuungua au kubana kwenye tishu zako za matiti. Maumivu yanaweza kuwa ya mara kwa mara au yanaweza kutokea mara kwa mara tu. Maumiv

Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye kitovu cha mtoto.
Maambukizi kwenye kitovu cha mtoto.

Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye kitovu cha mtoto, ni Maambukizi ambayo yanaweza kutokea kwenye kitovu cha mtoto pale ambapo mtoto amezaliwa inawezekana ni kwa sababu ya hali ya mtoto au huduma kuanzia kwa wakunga na wale wanaotumia mtoto.

Soma Zaidi...