Navigation Menu



Njia za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha kwa sababu kuna familia nyingi zinakosa watoto sio kwa sababu ni tasa ila kuna njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa kama ifuatavyo.

Njia za kuongeza uwezo wa kuzaa.

1.kuwa na uzito unaofaa.

Kwa kawaida uzito unapaswa kuwa sawia kwa sababu uzito ukiwa mkubwa unaleta shida na ukiwa mdogo zaidi na lenyewe ni shida kwa hiyo uzito wa wazazi wote wawili unapaswa kuwa sawa ili kuweza kusababisha uzalishaji nzuri kabisa.

 

2. Kuweka mbegu za kiume katika hali nzuri.

Kwa kawaida mbegu za kiume zinapaswa kuwa katika hali ya ubora kwa hiyo baba anapaswa kula mlo kamili ili kuweza kutingisha Mimba.

 

3. Kuepuka matumizi ya tumbaku na kudhibiti matumizi ya pombe kwa sababu usababisha Mama na baba kushindwa kuzalisha vizuri.

 

4. Pia wazazi wote wanapaswa kujikinga na magonjwa mbalimbali kama vile magonjwa ya zinaa, na magonjwa mbalimbali ambayo yanaweza kusababisha uzalishaji kuwa mbaya.

 

5. Kufanya tendo la ndoa mara kwa mara hasa wakati wa siku za kubebea mimba, fanya mapenzi kabla ya siku tano wakati wa kurutubishwa kwa yai na fanya mapenzi siku mbili baada ya yai kuchevushwa.

 

6. Kunywa pombe kistaarabu.

Yaani pombe zisizidi kiasi kwa mfano bia moja kwa siku au  kiasi kidogo kwa siku, ila zisizidi kipimo. Kwa sababu unywaji wa pombe kupita kiasi usababisha kupungua kwa hormone ya testerone .

 

7. Punguza matumizi ya kahawa.

Kwa kawaida kwenye kahawa kuna kafein ambayo inaleta shida kwenye uzalishaji hasa hasa kwenye homoni.

 

8 epuka matumizi ya tumbaku,

Kwa kawaida  matumizi ya tumbaku usababisha matatizo kwenye DNA tunajua kabisa kwenye DNA ndicho chimbuko cha mwanadamu.

 

9. Epuka mazoezi magumu.

Kwa kawaida mazoezi  na kwa mda mrefu ukandamiza ovulation na kuaribu homoni ya  projestoren, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa na mazoezi madogo madogo.

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 1597


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zifazofanana:-

Korodan kuwasha ni mja ya dalil ya fangas ,na ulimi kuchanka pmja na maumivu ndan ya mdomo wa juu na chini
Swali langu. Soma Zaidi...

Dalili na sababu za Kukosa hedhi
Post hii inaongelea kuhusiana na Kukosa hedhi ambapo kitaalamu hujulikana Kama Amenorrhea ni kutokuwepo kwa hedhi - hedhi moja au zaidi ya kukosa. Wanawake ambao wamekosa angalau hedhi tatu mfululizo wana amenorrhea, kama vile wasichana ambao hawajaanz Soma Zaidi...

Nikiwa katika siku zangu siumwi ila tatizo Ni kwamba najisikia kichefu chefu
Soma Zaidi...

Dalili za maumivu ya hedhi
Maumivu ya hedhi (dysmenorrhea) ni maumivu makali au ya kubana sehemu ya chini ya tumbo. Wanawake wengi hupatwa na Maumivu ya hedhi kabla tu na wakati wa hedhi zao. Kwa wanawake wengine, usumbufu huo ni wa kuudhi tu. Kwa wengine,&nbsp Soma Zaidi...

Dalili za Maambukizi na Uvimbe katika mirija ya uzazi
Posti hii inazungumzia kuhusiana na maambukizi na uvimbe katika  mirija ya uzazi. Mara nyingi hutumiwa sawa na ugonjwa wa uvimbe kwenye fupa nyonga (PID), ingawa PID haina ufafanuzi sahihi na inaweza kurejelea magonjwa kadhaa ya njia ya juu ya uzazi Soma Zaidi...

Sorry kunamchumba wangu katokwa na majimaji meupe na tumbo linamuuma BAADA mda likaacha nidalili za Nini au.nikawaida tu
Majimaji msule sehemu za siriyanaweza kuashiria mambo mengi ka mwanamke. Ikiwemo ujauzitina maradhi. Pia yanaweza kuashiria kuwa mwanamke unaweza kuoatavujauzito amalaa. Soma Zaidi...

UTARATIBU WA KULEA MIMBA
Soma Zaidi...

Mambo ambayo mama anapaswa kujua akiwa mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mambo anyopaswa kujua akiwa mjamzito. Ni mambo muhimu ya kuzingatia kwa mama akiwa mjamzito. Soma Zaidi...

Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha Soma Zaidi...

Utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito.
Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama mjamzito mzito, kwa sababu Mama mjamzito anapaswa kuwa makini katika matumizi ya chakula ili kuweza kuongeza vitu muhimu mwil Soma Zaidi...