Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa.
1. Kwa kawaida Mama akimaliza kujifungua hatua inayofuata ni kutoa kondo la nyuma na kutoa dawa ya oxytocin Ili kuweza kusaidia kusinyaa kwa mfuko wa kizazi wanawake wengine mfuko wa kizazi hausinyai kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoziona hapo chini na mfuko wa kizazi usiposinyaa usababisha kutokwa kwa damu nyingi na kusababisha upungufu wa damu kwa akina Mama au kama hakuna matibabu kifo kinaweza kutokea.
2. Sababu ya mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa usababishwa na uchungu kuwa wa mda mrefu na mtoto hatoki tumboni, hali hii usababisha mfuko wa kizazi kuendelea kutaanuka sana na kusababisha kutosinyaa baada ya Mama kujifungua. Kwa hiyo wakunga na wahudumu wengine ni vizuri kuona dalili za mapema Ili kuweza kunisaidia Mama pale uchungu unapotumia mda mrefu kuliko kawaida.
3. Kushindwa kumhudumia Mama vizuri hasa pale anapojifungua na kumchoma dawa ya oxytocin Ili kusaidia uterus iweze kusinyaa.
Kwa wakati mwingine hii sindano usahaulika au kuchomwa vibaya hali inayosababisha mfuko wa uzazi kushindwa kisinyaa na kusababisha kuendelea kuwepo kwa damu baada ya kujifungua.kwa hiyo wauguzi na wahudumu wanapaswa kujiandaa mapema Ili kuweza kuwasaidia akina Mama waweze kujifungua salama bila kutokwa na damu nyingi.
4. Kutanuka kwa uterus.
Kwa wakati mwingine Kuna tatizo la kutanuka kwa mfuko wa uzazi hasa hasa kwa wanawake wenye matumbo makubwa wako kwenye hatari ya kupata tatizo hili kwa sababu mfuko wa uzazi unakuwa umetanuka sana hali inayosababisha mfuko wa uzazi kujirudisha kistaarabu baada ya kujifungua na kusababisha kuvuja kwa damu nyingi.
5. Pia sababu nyingine ni kwa akina Mama wenye tatizo na kutokwa na damu uweza kujirudia rudia kila wakati wa kujifungua kwa hiyo Mama akipata mara ya kwanza , ya pili na pengine kwa mimba zake zote.
6. Pia Akina Mama wenye shinikizo la damu na protein kwenye mkojo ambapo kwa kitaalamu huitwa pe eclampsia na pia wanawake wenye kifafa nao wako kwenye hatari.
7. Kwa hiyo baada ya kujua sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kusinyaa ni vizuri kabisa kwa wahudumu wa afya kuweza kusaidia Ili akina Mama waweze kujifungua salama na kuepukana na vifo vya akina Mama wakati wa kujifungua.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Miongoni mwa matunda yenye virutubisho vingi ni pamoja na papai, nanasi, tikiti, palachichi, pera, karoti, hindi na boga. Lakini katika matunda haya yapo ambayo kwa mimba changa anatakiwa awe makini, kama papai na nanasi. Sasa vipi kuhusu mimba ya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu damu, uteute na maji yanayotoka ukeni kipindi cha ujauzito
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kujifungua hatua kwa hatua
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama ambaye anakuwa amepasuka mfuko wa kizazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya HCG katika kupima mimba, HCG maana yake ni human chorionic gonadotropin ni homoni ambayo uonekanekana kwenye mkojo na damu kama mtu ana mimba.
Soma Zaidi...Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka?
Soma Zaidi...Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kama kuna Maambukizi yoyote kwenye kitovu cha mtoto mdogo, kwa kawaida kitovu cha mtoto kama kiko vizuri kinapona kwa mda mchache na kinakauka mapema iwezekanavyo bila kuwa na tatizo lolote ila kama kuna Dal
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu msaada kwa mwenye maumivu ya tumbo la hedhi, hizi ni huduma ambazo utolewa kwa wale wenye maumivu ya tumbo la hedhi.
Soma Zaidi...