Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao
1. Tatizo la kwanza ni kuwahi kufika kileleni ndani ya dakika moja, hili ni tatizo kubwa kwa sababu mwanaume hapaswi kuwahi mapema hivyo kwa sababu anapaswa kumrithisha mke wake kwa hali hiyo mwanaume ujionea aibu na kushindwa kujiamini kwa sababu ya kitendo cha kuwahi kufika kileleni mapema kwa hiyo hali hii umnyima raha mwanaume na kujihisi hatimizi wajibu wake kwa mwenziwe.
2. Tatizo jingine ni lile la kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo baada ya kufika kileleni.
Kuna wanaume wengine wana uwezo kabisa wa kufika kileleni lakini cha ajabu ni kwamba baada ya kufika kileleni hana uwezo tena wa kurudia tendo hali hiyo imefanya wanaume wengi kujiona hawafai na kuchukua hatua za kutafuta madawa ya kuwasaidia wakati wa kufanya tendo.
3. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume mpaka matumizi ya ku boost yawepo.
Kuna wanaume wengine na wako kwenye umri mdogo tu hawana uwezo wa kusimamisha uume kabisa mpaka watumie dawa za kusimamisha uume kwa hiyo hali hiyo uwafanya wanaume kujihisi kuwa hawana dhamani kwenye jamii au kwenye ndoa zao, hali inayosababisha ndoa nyingi kuvunjika kwa sababu ya kutokuwepo hali ya kuridhishana.
4. Tatizo jingine ni kuchoka sana baada ya kufika kileleni. Kuna wanaume wengine wanachoka sana wakimaliza kufika kileleni na hawana uwezo wa kuendelea na tendo kabisa hali hii Usababisha wanaume wengi kutojiamini kwa sababu ya kukusa kumalizia tendo, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuja tatizo na kuweza kufanyia kazi.
5. Kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo haya kwa wanaume usababisha ndoa nyingi kuvunjika kwa sababu ya kutoridhishana wakati wa tendo au kwa mara nyingine wanaume uziacha familia zao kwa sababu ya kujihisi vibaya au pengine wanawake wanaongeza spidi ya kuchepuka ili kuweza kupata faraja kwa wanaume wengine kwa hiyo basi matibabu ni lazima ili kuweza kutibu tatizo hili kwa wanaume wengi walio na tatizo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi vipimo muhimu wakati wa ujauzito ni vipimo ambavyo vinapaswa kupimwa na Mama ili kuangalia mambo mbalimbali katika damu au sehemu yoyote, pia vipimo hivi umsaidia sana Mama kujua afya yake.
Soma Zaidi...Mimba hatari iliyotungia nje ya mji wa mimba, ni zipi dalili zake na ni kivipo mimba inatungia nje?
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukupa sababu zinazoweza kupelekea uke kuwa mkavu yaani kukosa majimaji wakati wa kufanya tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Maumivu ya matiti ni malalamiko ya kawaida miongoni mwa wanawake yanaweza kujumuisha uchungu wa matiti, maumivu makali ya kuungua au kubana kwenye tishu zako za matiti. Maumivu yanaweza kuwa ya mara kwa mara au yanaweza kutokea mara kwa mara tu. Maumiv
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabaka yanayowasha chini ya matiti, ni ugonjwa ambao uwapata wanawake walio wengi na wengine hawajapata jibu Sababu zake ni zipi na pengine uchukua hatua za kutumia miti shamba wakidai juwa hospitalini nugonjwa huu hautibiwa, ila n
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa mtoto pindi anapozaliwa,tunajua wazi kuwa mtoto anapoanza kutokeza kichwa tu ndio mwanzo wa kuanza kumtunza mtoto na kuhakikisha anafanyiwa huduma zote za muhimu na zinazohitajika.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi fangasi za ukeni, hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba watoto, akina dada na wanawake kwa hiyo na vizuri kujua Dalili zake na kuweza kuchukua hatua mapema.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya matumizi ya sindano za kuzuia mimba kwa vijana ambao hawajafikilia mpango wa kuanza kujifungua watoto.
Soma Zaidi...