CHANGAMOTO KUBWA ZA TENDO LA NDOA KWA WANAUME


image


Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao


Changamoto kubwa ya tendo la ndoa kwa wanaume.

1. Tatizo la kwanza ni kuwahi kufika kileleni ndani ya dakika moja, hili ni tatizo kubwa kwa sababu mwanaume hapaswi kuwahi mapema hivyo kwa sababu anapaswa kumrithisha mke wake kwa hali hiyo mwanaume ujionea aibu na kushindwa kujiamini kwa sababu ya kitendo cha kuwahi kufika kileleni mapema  kwa hiyo hali hii umnyima raha mwanaume na kujihisi hatimizi wajibu wake kwa mwenziwe.

 

2.  Tatizo jingine ni lile la kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo baada ya kufika kileleni.

Kuna wanaume wengine wana uwezo kabisa wa kufika kileleni lakini cha ajabu ni kwamba baada ya kufika kileleni hana uwezo tena wa kurudia tendo hali hiyo imefanya wanaume wengi kujiona hawafai na kuchukua hatua za kutafuta madawa ya kuwasaidia wakati wa kufanya tendo.

 

3. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume mpaka matumizi ya ku boost yawepo.

Kuna wanaume wengine na wako kwenye umri mdogo tu hawana uwezo wa kusimamisha uume kabisa mpaka watumie dawa za kusimamisha uume kwa hiyo hali hiyo uwafanya wanaume kujihisi kuwa hawana dhamani kwenye jamii au kwenye ndoa zao, hali inayosababisha ndoa nyingi kuvunjika kwa sababu ya kutokuwepo hali ya kuridhishana.

 

4. Tatizo jingine ni kuchoka sana baada ya kufika kileleni. Kuna wanaume wengine wanachoka sana wakimaliza kufika kileleni na hawana uwezo wa kuendelea na tendo kabisa hali hii Usababisha wanaume wengi kutojiamini kwa sababu ya kukusa kumalizia tendo, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuja tatizo na kuweza kufanyia kazi.

 

5. Kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo haya kwa wanaume usababisha ndoa nyingi kuvunjika kwa sababu ya kutoridhishana wakati wa tendo au kwa mara nyingine wanaume uziacha familia zao kwa sababu ya kujihisi vibaya au pengine wanawake wanaongeza spidi ya kuchepuka ili kuweza kupata faraja kwa wanaume wengine kwa hiyo basi matibabu ni lazima ili kuweza kutibu tatizo hili kwa wanaume wengi walio na tatizo.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    4 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    5 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya html kwa kiswahili    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Siku za kupata mimba
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba Soma Zaidi...

image Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?
Dalili za mimba zinaweza kuanzia kuonekana mapema ndani ya wiki ya kwanza, japo sio rahisi nabhakuna uthibitishobwa uhakika juu ya kauli hii. Makala hii itakwebda kujibubswali la msingi la muuulizaji kama maumivu ya tumbo ni dalili ya ujauzito. Soma Zaidi...

image Dalili za U.T.I
'UTI (urinary tract infection) no ugonjwa wa maambukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya husababishwa na bacteria, fangasi,na virus. Pia unaweza athiri rethra, kibofu Cha mkojo na figo.lakini Mara nyingi UTI huathiri Hadi mfumo wa uzazi na wanandoa wanapaswa kupima ili wasiambukizane infection. Soma Zaidi...

image Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa
Post hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, mara nyingi tatizo hili uwakumba akina mama mbalimbali ambapo mtoto uzaliwa akiwa na uzito mkubwa Soma Zaidi...

image Mke Wang Ana tatizo la tumbo kuuma chini upande wa kushoto akishika ni pagumu ,anapatwa na kichefuchef tumbo kujaa ges na kujiisi kusiba he mtanisaidije ili kuondoa tatizo Hilo Ila anaujauzito wa wiki mbili
Miongoni mwa changamoto za ujauzito ni maumivu ya tumbo. Maumivu haya yanawezakuwaya kawaida ama makali zaidi. Vyema kufika Kituo cha Afya endapoyatakuwa makali. Soma Zaidi...

image Madhara ya kutotoa huduma kwa Mama anayevuja damu baada ya kujifungua
Posti hii inahusu zaidi Madara ya kutomsaidia mama anayetokwa na damu nyingi baada ya kujifungua. Soma Zaidi...

image Dalili za ongezeko la homoni ya estrogen
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa homoni ya estrogen imeongezeka, hizi dalili zikitokea mama anapaswa kuwahi hospital ili kuweza kupata matibabu au ushauri zaidi. Soma Zaidi...

image Uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama.
Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama na mtoto. Soma Zaidi...

image Je unaweza kupata ujauzito bila ya kupata hedhi miezi 9 baada ya kujifunguwa?
Baada ya kujifungua mwili wa mwanamke huwa na mabadiliko tofauti na siku za nyuma. Kwa mfano hatapatavtena hedhi, hatoweza kupata ujauzito kwa muda wa mwezi ama zaidi. Endelea na post hii ujifunze zaidi Soma Zaidi...

image Dawa hatari kwa mwenye ujauzito
Hii ni orodha ya dawa ambazo hutumiwa sana na watu kutoka maduka ya dawa lakini sio salama kwa wajawazito. Soma Zaidi...