Changamoto kubwa za tendo la ndoa kwa wanaume


image


Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao


Changamoto kubwa ya tendo la ndoa kwa wanaume.

1. Tatizo la kwanza ni kuwahi kufika kileleni ndani ya dakika moja, hili ni tatizo kubwa kwa sababu mwanaume hapaswi kuwahi mapema hivyo kwa sababu anapaswa kumrithisha mke wake kwa hali hiyo mwanaume ujionea aibu na kushindwa kujiamini kwa sababu ya kitendo cha kuwahi kufika kileleni mapema  kwa hiyo hali hii umnyima raha mwanaume na kujihisi hatimizi wajibu wake kwa mwenziwe.

 

2.  Tatizo jingine ni lile la kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo baada ya kufika kileleni.

Kuna wanaume wengine wana uwezo kabisa wa kufika kileleni lakini cha ajabu ni kwamba baada ya kufika kileleni hana uwezo tena wa kurudia tendo hali hiyo imefanya wanaume wengi kujiona hawafai na kuchukua hatua za kutafuta madawa ya kuwasaidia wakati wa kufanya tendo.

 

3. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume mpaka matumizi ya ku boost yawepo.

Kuna wanaume wengine na wako kwenye umri mdogo tu hawana uwezo wa kusimamisha uume kabisa mpaka watumie dawa za kusimamisha uume kwa hiyo hali hiyo uwafanya wanaume kujihisi kuwa hawana dhamani kwenye jamii au kwenye ndoa zao, hali inayosababisha ndoa nyingi kuvunjika kwa sababu ya kutokuwepo hali ya kuridhishana.

 

4. Tatizo jingine ni kuchoka sana baada ya kufika kileleni. Kuna wanaume wengine wanachoka sana wakimaliza kufika kileleni na hawana uwezo wa kuendelea na tendo kabisa hali hii Usababisha wanaume wengi kutojiamini kwa sababu ya kukusa kumalizia tendo, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuja tatizo na kuweza kufanyia kazi.

 

5. Kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo haya kwa wanaume usababisha ndoa nyingi kuvunjika kwa sababu ya kutoridhishana wakati wa tendo au kwa mara nyingine wanaume uziacha familia zao kwa sababu ya kujihisi vibaya au pengine wanawake wanaongeza spidi ya kuchepuka ili kuweza kupata faraja kwa wanaume wengine kwa hiyo basi matibabu ni lazima ili kuweza kutibu tatizo hili kwa wanaume wengi walio na tatizo.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Nimetoka kufanya tendo la ndoa ghafla tumbo likaanza kukaza upande wa kushoto na kutoka maji yenye uzito wa kawaida kama ute mengi je hii itakuwa ni nini
Maumivu yavtumbo huwenda yakachanganya sana, Keane yanahusianana sababu nyingi sana. Kina baadhi ya watu hupata na maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa ama punde tu baada ya kumaliza. Soma Zaidi...

image Mwenye ujauzito wa wiki moja na ana u.t.i anaweza kutumia dawa za aina gani ambozo zitakua salama kwa kiumbe kilichoanza kukua?
Ujauzito unaweza kutoka kwa sababu nyingi kama maradhi, madawa, vyakula na ajali. Unawezakutoa mimba bila kujuwa amakwakujuwa. Damu kutoka ni moja ya dalili za kutoka kwa mimba hata hivyo maumivu ya tumbo huweza kuandamana na damu hii. Soma Zaidi...

image Nguvu za kiume Ni nini?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya nguvu za kiume Soma Zaidi...

image Habar doctor mm nahc kuwa ni mjamzito tumbo la chin ya kitovu linaniuma muda mwingine linaacha chuchu zinawasha na cku niliyokutana na mume wangu ni cku 11
Kuna uwezekano una ujauzito ila hujajijuwa, huwenda hujapata dalili zozote. Unataka kujuwa kama una ujauzito baada ya tendo la ndoa. Soma Zaidi...

image Njia za kuongeza nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuongeza nguvu za kiume Soma Zaidi...

image UUME KUWASHA
Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa kupata magonjwa kwa haraka Kama vile phimosis, paraphimosis, Epididymitis na mengineyo mengi .', ' Soma Zaidi...

image Sababu za za ugumba kwa Mwanaume
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba. Soma Zaidi...

image mim ninaujauzito wa mwezi mmoja lakini naona kama hali fulani ya damu inanitoka sehemu ya Siri inafanana na damu ya wakati wa period
Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako. Soma Zaidi...

image Sababu za uke kuwa na harufu mbaya.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini. Soma Zaidi...

image Hivi kipimo cha mimba cha mkojo baada ya kutumika Mara 1 ,hakiruhusiw tena kutumika au
Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka? Soma Zaidi...