Nahtaji kujua dalili za Mama mjamzto kujifungua

Nahtaji kujua dalili za Mama mjamzto kujifungua

NIna swali hapa
Nahtaji kujua dalili za Mama mjamzto kujifungua



Namba ya swali 031

Tafadhali bofy link hii hapo Bofya hapa



Namba ya swali 031

Saw naomba nujue kingine vipi kwann kunakua n maumivu sana unahc kama kuvutwa au kuchomwa chin ya kitovu unahc kama unachomwa had unashindwa kutembea hio inasababshwa nanini?



Namba ya swali 031

Una ujauzito?



Namba ya swali 031

Ndio na natarajia kujifungua mwezi huu



Namba ya swali 031

Hiyo ni kwa sababu ya misuli katika mji wa mimba inatanuka na kusinyaa



Namba ya swali 031

Asante sana kwahyo hamna tatzo kwahyo ni kitu cha kawaida kujihc hivyo?



Namba ya swali 031

Yes ila kama inatokea mara kwa mara kiasi cha kukukosesha amani vyema imuone daktari



Namba ya swali 031

VP kunakua na mimaj ya rangi nyeupe inatoka kwa wing cjui sababu nn



Namba ya swali 031

Kutoka maji si jambo la kushabgaa kwa mwenye ujauzito hasa karibu ba kujifingua. Kama yatakuwa na harufu mbaya na muwasho, maumivu makali sana ta tumbo kupita kiasi ama kichwa kupita kiasi ni vyema kumuina daktari....



Namba ya swali 031

Sawa asante sana



Namba ya swali 031

Sina bando, kufungua hiyo link, naomba tu niambie japo kwa ufupi dalili za kukaribia kujifungua



Namba ya swali 031

Kutokwa na majimaji mengi ukeni Maumivu ya tumbo mara kwa mara Mtoto anashuka maeneo ya nyonga Njia ya kujifungulia kuachia zaidi na kuwa kubwa Uchofu mkali sana Viungo kama kulegea ama kuachia. Dalili ya uchungu wa kujifungua ni maumivu ya tumbo yanayojuwa makali kama dk 5 ama pungufu ya hapo kisha yanapoa kwa dakika kadhaa kama 30 ama pungufu kisha yanarudi tena



Namba ya swali 031

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1568

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dalili Za hatari ambayo zinaweza kusababisha ugumba

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zilijitokeza zinaweza kusababisha ugumba hasa kwa wanawake, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kwa Dalili hizi hasa kwa wadada, kama kuna uwezekano wa matibabu tibu mapema ili kuepuka tatizo la kuwa mgumba.

Soma Zaidi...
Ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango.

Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.

Soma Zaidi...
Malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano

Posti hii inahusu malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano, huduma hii ilianzishwa na WHO na UNICEF mwaka 1990 ili kuweza kuzuia Magonjwa na kuwapatia watoto lishe pamoja na hayo walikuwa na malengo yafuatayo.

Soma Zaidi...
Dalili za kifafa cha mimba.

Posti hii inahusu zaidi Dalili za Mama mwenye kifafa cha mimba, ili kifafa cha mimba kiweze kutokea lazima kuna dalili ambazo uweza kutokea kwa Mama kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Habari Mimi ni mjamzito was miezi Tisa sasa nimeanza kutokwa na maji kidogo kidogo ukeni bila uchungu na no mimba yangu ya kwanza he Kuna shida?

Ujauzito husababisha mabadiliko mengi mwilini, ikiwepo ongezeko la Majimaji ukeni ifikapo tarehe za kukaribia kujifunguwa. Majimaji haya ni muhimu kwa afya ya mtoto aliye tumboni.

Soma Zaidi...
Nini kinasababisha uume kutoa maji meupe bila muwasho,na tiba yake ni ipi

Je unasumbuliwa na Majimaji kwenye uume. Je unapata miwasho, ama maumivu wakati wakukojoa.

Soma Zaidi...
Sifa za siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya sifa za siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Ni ipi hasa siku ambayo nitafute ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kutafuta ujauzito

Soma Zaidi...
Ukifanya mapenzi siku hatari na ukameza P2 unaweza pata mimba?

Je umeshawahi kujiukiza kuwa, dawa ya P2 ni kweli inaweza kuzuia mimba, ukifanya mapenzi siku hatari?

Soma Zaidi...
Dalili za mimba changa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba changa

Soma Zaidi...