Nahtaji kujua dalili za Mama mjamzto kujifungua

Nahtaji kujua dalili za Mama mjamzto kujifungua

NIna swali hapa
Nahtaji kujua dalili za Mama mjamzto kujifungua



Namba ya swali 031

Tafadhali bofy link hii hapo Bofya hapa



Namba ya swali 031

Saw naomba nujue kingine vipi kwann kunakua n maumivu sana unahc kama kuvutwa au kuchomwa chin ya kitovu unahc kama unachomwa had unashindwa kutembea hio inasababshwa nanini?



Namba ya swali 031

Una ujauzito?



Namba ya swali 031

Ndio na natarajia kujifungua mwezi huu



Namba ya swali 031

Hiyo ni kwa sababu ya misuli katika mji wa mimba inatanuka na kusinyaa



Namba ya swali 031

Asante sana kwahyo hamna tatzo kwahyo ni kitu cha kawaida kujihc hivyo?



Namba ya swali 031

Yes ila kama inatokea mara kwa mara kiasi cha kukukosesha amani vyema imuone daktari



Namba ya swali 031

VP kunakua na mimaj ya rangi nyeupe inatoka kwa wing cjui sababu nn



Namba ya swali 031

Kutoka maji si jambo la kushabgaa kwa mwenye ujauzito hasa karibu ba kujifingua. Kama yatakuwa na harufu mbaya na muwasho, maumivu makali sana ta tumbo kupita kiasi ama kichwa kupita kiasi ni vyema kumuina daktari....



Namba ya swali 031

Sawa asante sana



Namba ya swali 031

Sina bando, kufungua hiyo link, naomba tu niambie japo kwa ufupi dalili za kukaribia kujifungua



Namba ya swali 031

Kutokwa na majimaji mengi ukeni Maumivu ya tumbo mara kwa mara Mtoto anashuka maeneo ya nyonga Njia ya kujifungulia kuachia zaidi na kuwa kubwa Uchofu mkali sana Viungo kama kulegea ama kuachia. Dalili ya uchungu wa kujifungua ni maumivu ya tumbo yanayojuwa makali kama dk 5 ama pungufu ya hapo kisha yanapoa kwa dakika kadhaa kama 30 ama pungufu kisha yanarudi tena



Namba ya swali 031

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1677

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰2 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰5 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰6 web hosting   

Post zinazofanana:

Madhara ya kupungua kwa homoni ya projestron

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa homoni ya projestron ikipungua mwilini na pia kuweza kutambua dalili za kupungua kwa homoni hii ya progesterone.

Soma Zaidi...
siku za hatari

Hizi ni siku za hatari kupata ujauzito.Siku hizi ndio siku za kupata mimba kwa urahisi

Soma Zaidi...
Habari nilitaka kujua kuhusu ugonjwa wa fungusi kwenye uume

Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Changamoto kubwa za tendo la ndoa kwa wanaume

Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao

Soma Zaidi...
Huduma kwa mwenye maumivu ya tumbo la hedhi

Posti hii inahusu msaada kwa mwenye maumivu ya tumbo la hedhi, hizi ni huduma ambazo utolewa kwa wale wenye maumivu ya tumbo la hedhi.

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Soma Zaidi...
Umuhimu wa maji yaliyomo kwenye mfuko wa mtoto akiwa tumboni mwa mama

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa maji yaliyomo kwenye mfuko wa mtoto akiwa tumboni. Ni maji ambayo kwa kitaalamu huitwa (Amniotic fluid)

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusiana na kubalehe kwa msichana na mvulana.

Kubalehe ni wakati mwili wa mtoto unapoanza kubadilika na kuwa wa mtu mzima (balehe) hivi karibuni. Kubalehe ambao huanza kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.

Soma Zaidi...
dalili za mimba baada ya tendo la ndoa na changa ndani ya wiki moja

Utajifunza dalili za mwanzoni za mimba changa kuanzia wiki moja baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...