Dalili za upungufu wa homoni ya progesterone

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.

Dalili za upungufu wa homoni ya progesterone.

1. Pre menstrual syndrome ( ni hali ambayo uwakumba wanawake) kwa kawaida uanza wiki Moja Hadi mbili kabla ya kuona siku zake za mwezi , mwanamke anaweza kuona uchovu  miwasho ya ukeni uwepo wa vipele vyekundu na vyeusi na pengine vipele hivyo vinaweza kutokea kwenye sehemu zake za Siri pamoja na usoni na pia mwanamke anaweza kuwa na mabadiliko ya mood kama ifuatavyo.

 

2. Kutokwa na mimba .

Kama Mama ana mimba inaweza kutoka kwa sababu ya kutokuwepo kwa homoni ya projestron kwa sababu usaidia katika makuzi makubwa ya mtoto.

 

3. Kuongezeka uzito kwa ghafla.

Kuna wakati mwingine unaweza kuona mwanamke anaongezeka Uzito ghafla ukadhani labda maisha yamemkubali kumbe ni upungufu wa homoni aina ya progesterone.

 

4 . Kuwepo kwa wasi wasi ambao haukuwepo hapo mwanzoni hali hii utokea ghafla kwa wanawake kila kitu anachokifanya anakifanya kwa wasi wasi mkubwa sana.

 

5. Kukosa usingizi.

Hali hii utokea sana kwa wamama ambao Wana upungufu wa homoni hii hasa wale akina Mama walioingia kwenye menopause wanaopatwa na hali ya kukoka usingizi.

 

6. Maumivu au uvimbe kwenye maziwa 

Kwa kawaida maumivu kwenye maziwa utokea na kwa mara nyingine uvimbe, kwa upande wa uvimbe matibabu yanaoaswa kutolewa Ili kuepuka matatizo mengine yaliyo makubwa zaidi.

 

7. Kuwepo kwa kizungu zungu mara kwa mara.

Kama homoni hii ya progesterone imepungua utasikia akina Mama walio wengi Wanalalamika kuhusu kizungu zungu.

 

8. Kuwepo kwa ugumba.

Kwa kawaida homoni ya progesterone inasaidia sana kwenye makuzi ya mtoto kwa hiyo ikikosa usababisha Mama kukosa  mtoto inawezekana mimba ikawa imeshatungwa ikatoka au mimba haitungwi kabisa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2319

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Dalili za mimba ya watoto mapacha

Makala hii itakwenda kukupa dalili ambazo zinaonyesha kuwa mimba ni ya mapacha. Dalili hizi zitahitajika kuthibitishwa na kipimo cha daktari ili kujuwa kuwa ni kweli.

Soma Zaidi...
Kazi na mdalasini katika kutibu matatizo ya homoni.

Posti hii inahusu zaidi kazi ya mdalasini katika matibabu ya homoni kwa wanawake.

Soma Zaidi...
Mtoto anaanz kucheza kwa mda gan

Kuna watoto wengine huanza kucheza mapema kuliko watoto wengine. Tunapozungumzia kucheza kwa mtoto aliye tumboni yaani mimba hapa inatubidi tuangalie kwa undani zaidi, je ni muda gani mtoto ataanza kucheza?

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango

Posti hii inahusu zaidi kuhusu njia za uzazi wa mpango, uzazi wa mpango ni njia za kupanga uzazi Ili kupata idadi ya watoto unaohitaji

Soma Zaidi...
Tofauti za ute kwa mwanamke

Posti hii inahusu zaidi tofauti mbalimbali za uke, kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili wa binadamu kuna tofauti mbalimbali za ute kutegemea na hali iliyopo.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia mimba zisiharibike.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuzuia mimba zisiharibike, kwa sababu kila mama anayebeba mimba anategemea kupata mtoto kwa hiyo na sisi hamu yetu ni kuhakikisha kwamba mtoto anazaliwa kwa kuzuia mimba kuharibik

Soma Zaidi...
Dalili za ongezeko la homoni ya estrogen

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa homoni ya estrogen imeongezeka, hizi dalili zikitokea mama anapaswa kuwahi hospital ili kuweza kupata matibabu au ushauri zaidi.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia kwa mama ili apate huduma endelevu.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua.

Soma Zaidi...
Mwanamke anatema mate mara kwa mara je inaweza kuwa ni ujauzito?

Ni kweli kuwa kutema mate mara kwa mara inaweza kuwa ni dlili za ujauzito. Lakini itambulije kuwa pekee sio kithibitishi cha ujauzito.

Soma Zaidi...
Sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili.

Soma Zaidi...