Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa homoni ya projestron ikipungua mwilini na pia kuweza kutambua dalili za kupungua kwa homoni hii ya progesterone.
1. Upungufu wa homoni ya projestron usababisha mvurugiko kwenye mfumo wa mwili kwa wanawake wa rika zote , vyanzo vya kufanya homoni hii kupungua ninvingi ila mojawapo ni mfumo wa ukaji vyakula ambapo unakuta mtu anakula vyakula vya aina Moja kwa mfano mtu anatumia chips tu kwa mda mrefu na vyakula kama hivyo.
2. Kwa kawaida tunapaswa kutumia vyakula vya mlo kamili ikiwapo pamoja na mboga za majani na matunda, kitu kingine kinachosababisha upungufu wa homoni hii ni pamoja na matumizi ya uzazi wa mpango kwa sababu unakuta Mama anatumia njia hii inashindikana na anatumia nyingine ikiambatana na kutokwa na damu, hali hii inasababisha kupungua kwa kiwango cha homoni ya projestron.
3. Kwenye matumizi ya uzazi wa mpango unakuta pengine homoni hii inaongezeka kwa kupita kiasi hali inayosababisha matatizo pia, kwa sababu unakuta mama anatumia njia ya uzazi wa mpango na njia hiyo Ina homoni hiyo hiyo ambayo imo kwenye mwili wa Mama kwa hiyo unakuta homoni inakuwa nyingi mwilini na kusababisha madhara mbalimbali kwenye mwili.
4. Kwa hiyo tunapaswa kula chakula chenye kiwango kidogo cha mafuta, maji kwa wingi, chumvi kidogo na matumizi makubwa ya mboga mbona za majani na matunda , na pia tuwe makini wakati wa kuchagua njia ya uzazi wa mpango au ikishindikina ni vizuri kutumia njia za asili za uzazi wa mpango Ili kuweza kuepuka maambukizi.
5. Kwa hiyo aina hii ya homoni inapaswa kuwa na uwiano kabisa kwenye mwili kwa sababu ikiwa ndogo matatizo ya kupata mtoto yanaweza kutokea kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kidogo cha projestron
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Ukiwa mjamzito unaweza kushuhudia kutokwa na damu. Je damu hii ni ya hedhi?
Soma Zaidi...Je, unafahamu dalili za mwanzo za ujauzito? Kutoka kwa kichefuchefu hadi uchovu, ujue nini cha kutarajia.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea kwa sababu ya kuziba kwa mishipa ya uzazi, ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kuziba kwa mishipa ya uzazi.
Soma Zaidi...Posti hii zaidi kazi ya Dawa ya metronidazole katika kutibu Minyoo, ni aina ya Dawa ambayo imetumiwa na watu wengi wakaweza kupona na kuepukana na minyoo. Zifuatazo ni baadhi ya kazi za metronidazole.
Soma Zaidi...Unaweza kujiuliza ikiwa inawezekana kupata dalili za ujauzito mchanga kama siku 7 baada ya kudondoshwa kwa yai (DPO yaani Days Past Ovulation).
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili za saratani kwa watoto, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto na ikiwa mlezi au mzazi akiziona tu anaweza kutambua mara moja kwamba hii ni saratani au la na kama bado ana wasiwasi anaweza kupata msaada zaidi kutoka kwa wataa
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.
Soma Zaidi...Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka?
Soma Zaidi...