Madhara ya kupungua kwa homoni ya projestron


image


Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa homoni ya projestron ikipungua mwilini na pia kuweza kutambua dalili za kupungua kwa homoni hii ya progesterone.


Madhara ya kupungua kwa homoni ya projestron

1. Upungufu wa homoni ya projestron usababisha mvurugiko kwenye mfumo wa mwili kwa wanawake wa rika zote , vyanzo vya kufanya homoni hii kupungua ninvingi ila mojawapo ni mfumo wa ukaji vyakula ambapo unakuta mtu anakula vyakula vya aina Moja kwa mfano mtu anatumia chips tu kwa mda mrefu na vyakula kama hivyo.

 

2. Kwa kawaida tunapaswa kutumia vyakula vya mlo kamili ikiwapo pamoja na mboga za majani na matunda, kitu kingine kinachosababisha  upungufu wa homoni hii ni pamoja na matumizi ya uzazi wa mpango kwa sababu unakuta Mama anatumia njia hii inashindikana na anatumia nyingine ikiambatana na kutokwa na damu, hali hii inasababisha kupungua kwa kiwango cha homoni ya projestron.

 

3. Kwenye matumizi ya uzazi wa mpango unakuta pengine homoni hii inaongezeka kwa kupita kiasi hali inayosababisha matatizo pia, kwa sababu unakuta mama anatumia njia ya uzazi wa mpango na njia hiyo Ina homoni hiyo hiyo ambayo imo kwenye mwili wa Mama kwa hiyo unakuta homoni inakuwa nyingi mwilini na kusababisha madhara mbalimbali kwenye mwili.

 

4. Kwa hiyo tunapaswa kula chakula chenye kiwango kidogo cha mafuta, maji kwa wingi, chumvi kidogo na matumizi makubwa ya mboga mbona za majani na matunda , na pia tuwe makini wakati wa kuchagua njia ya uzazi wa mpango au ikishindikina ni vizuri kutumia njia za asili za uzazi wa mpango Ili kuweza kuepuka maambukizi.

 

5. Kwa hiyo aina hii ya homoni inapaswa kuwa na uwiano kabisa kwenye mwili kwa sababu ikiwa ndogo matatizo ya kupata mtoto yanaweza kutokea kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kidogo cha projestron 



Sponsored Posts


  πŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       πŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       πŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       πŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms βœ‰ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Changamoto za ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu Soma Zaidi...

image Je ?kipimo kikionyesha misitar miwili mmoja hafifu mwingine umekolea ni mimba au sio
Kipimo chamimba cha mkojo, huonyesha nestory miwili kuwa una mimba, na mmoja kuwa huna mimba. Sasa je ukitokea mmoja umekoleana mwingine hafifu? Endelea na pasti Òœï¸ hadi mwisho Soma Zaidi...

image Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa. Soma Zaidi...

image Unaweza kuhisi chochote ktk tumbo ukiwa na wiki mbili? Na je ukibonyeza tumbo utahisi chochote ukiwa ns wiki
Ni mida gani njamzito ananza kuhisi kuwa tumboni anebeba mtoto. Soma Zaidi...

image Uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.
Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito. Soma Zaidi...

image Njia za kuongeza nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuongeza nguvu za kiume Soma Zaidi...

image Mtoto anaanz kucheza kwa mda gan
Kuna watoto wengine huanza kucheza mapema kuliko watoto wengine. Tunapozungumzia kucheza kwa mtoto aliye tumboni yaani mimba hapa inatubidi tuangalie kwa undani zaidi, je ni muda gani mtoto ataanza kucheza? Soma Zaidi...

image Sababu za za ugumba kwa Mwanaume
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba. Soma Zaidi...

image tuseme nilifanya ngono jana na leo nipata period,je kuna uwezekano wa kupata mimba
Mimba inatungwa katika siku maalumu na hazizidi 10. Sio kila ukishiriki tendo unaweza pata mimba. Je unaweza kupata mimba baada ya kushiriki tendo wiki moja kabla ya kuingia hedhi? Soma Zaidi...

image Kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa,ni Dalili ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha estrogen kwenye mwili ukilinganisha na homoni ya projestoren. Soma Zaidi...