Vyakula vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa

Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye

Vyakula vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa.

1. Chakula aina ya kwanza ni pilipili.

Kwa kawaida tunajua kwamba ukitumia pilipili unasisimka mwili mzima na pengine unatoa makamasi kwa hiyo na kwa upande wa tendo la ndoa kwa watumiaji wa pilipili kwa wingi huwa wanapata hamu sana ya kufanya tendo la ndoa.

 

 

 

 

2. Matunda na mboga za majani.

Kwa matumizi ya matunda na mboga za majani nazo huwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa sababu matunda na mboga za majani usaidia sana kupunguza mafuta na sumu mwilini kwa hiyo na walaji wa mboga mboga za majani na matunda wanapata hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

 

 

 

 

3. Matumizi ya nafaka zisizokobolewa nazo usaidia kuwepo kwa hamu ya tendo la ndoa nafaka kama vile mahindi ambayo hayajakobolewaa, maharage, kunda na nafaka zote kwa sababu zina uwezo wa kuzalisha homoni ya testosterone kwenye damu.

 

 

 

 

4. Tangawizi.

Kwa kawaida tangawizi kazi yake ni kusisimua , usaidia kusisimua mfumo au mzunguko wa damu, kwa matumizi ya tangawizi ya mara kwa mara usababisha kuwepo kwa msisimko kwenye damu.

 

 

 

 

5. Asali 

Na asali pia usaidia katika kuwepo kwa hamu ya tendo la ndoa kwa sababu asali usaidia kuzalisha homoni ya estrogen.

 

 

 

6. Karanga.

Pia na karanga usababisha kuwepo kwa urahisi kwenye mzunguko wa damu kwa kufanya hivyo kwa matumizi ya karanga tunaweza juwa na hamu ya tendo la ndoa.

 

 

 

7. Soya.

Pia nayo ni Mojawapo kwa sababu ya kuwepo kwa homoni ya phytoestrogen ambayo usaidia sana wamama walioingia kwenye menopause

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/07/14/Thursday - 08:46:12 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2661

Post zifazofanana:-

Changamoto za ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu Soma Zaidi...

Mzunguko wa mwezi kwa mwanamke
Posti hii inahusu zaidi mzunguko wa mwezi kwa mwanamke, ni mzunguko ambao huchukua siku ishilini na nane kwa kawaida Ila lla ubadilika kulingana na mtu, Ila ngoja tuangalie siku ishilini na nane tu. Soma Zaidi...

Ulaji wa protini kupitiliza
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za ulaji wa protini kupitiliza Soma Zaidi...

Uyoga (mushrooms)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga Soma Zaidi...

Aina za tawafu
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Madhara ya kaswende kwa wajawazito na watoto wadogo.
Posti inahusu zaidi madhara ya kaswende kwa mama mjamzito na mtoto, Ni ugonjwa unaopatikana hasa kwa njia ya kujamiiana na utoka kwa mwenye Ugonjwa kwenda kwa mtu ambaye hana ugonjwa, kwa hiyo tunapaswa kujua madhara ya ugonjwa huu kwa mama mjamzito na mt Soma Zaidi...

Dalili za maambukizi kwenye milija(fallopian tube)
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye milija (follapian tube) kwa kitaalamu huitwa salpingitis, ni maambukizi kwenye milija ambayo husababishwa na bakteria. Soma Zaidi...

Faida za juice ya tende.
Posti hii inahusu zaidi faida ya juice ya tende,ni juice inayotumiwa na watu wengi sana na wengine wanajua kabisa faida zake na kuna wengine hawajui wanaitumia kama mazoea tu, ila kuna ambao hawajui kabisa basi zifuatazo ni faida za juice ya tende kwa wal Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo baada ya kula
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula Soma Zaidi...

Zijue faida za mate mdomoni
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni. Soma Zaidi...

Je siku ya kwanza kabisa ya ovulation mimba inakuwa ni uhakika kupata mimba?
Watu wengi wanadhania kuwa kufanya tendo la ndoa katika siku hatari ni lazima kuwa utapata ujauzito. Hili sio sahihi kabisa. Post hii itakwenda kuangalia jambo hili zaidi. Soma Zaidi...

Huduma ya kwanza kwa mwenye uchafu kwenye sikio.
Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio. Soma Zaidi...