Vyakula vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa

Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye

Vyakula vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa.

1. Chakula aina ya kwanza ni pilipili.

Kwa kawaida tunajua kwamba ukitumia pilipili unasisimka mwili mzima na pengine unatoa makamasi kwa hiyo na kwa upande wa tendo la ndoa kwa watumiaji wa pilipili kwa wingi huwa wanapata hamu sana ya kufanya tendo la ndoa.

 

 

 

 

2. Matunda na mboga za majani.

Kwa matumizi ya matunda na mboga za majani nazo huwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa sababu matunda na mboga za majani usaidia sana kupunguza mafuta na sumu mwilini kwa hiyo na walaji wa mboga mboga za majani na matunda wanapata hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

 

 

 

 

3. Matumizi ya nafaka zisizokobolewa nazo usaidia kuwepo kwa hamu ya tendo la ndoa nafaka kama vile mahindi ambayo hayajakobolewaa, maharage, kunda na nafaka zote kwa sababu zina uwezo wa kuzalisha homoni ya testosterone kwenye damu.

 

 

 

 

4. Tangawizi.

Kwa kawaida tangawizi kazi yake ni kusisimua , usaidia kusisimua mfumo au mzunguko wa damu, kwa matumizi ya tangawizi ya mara kwa mara usababisha kuwepo kwa msisimko kwenye damu.

 

 

 

 

5. Asali 

Na asali pia usaidia katika kuwepo kwa hamu ya tendo la ndoa kwa sababu asali usaidia kuzalisha homoni ya estrogen.

 

 

 

6. Karanga.

Pia na karanga usababisha kuwepo kwa urahisi kwenye mzunguko wa damu kwa kufanya hivyo kwa matumizi ya karanga tunaweza juwa na hamu ya tendo la ndoa.

 

 

 

7. Soya.

Pia nayo ni Mojawapo kwa sababu ya kuwepo kwa homoni ya phytoestrogen ambayo usaidia sana wamama walioingia kwenye menopause

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 4454

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama.

Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n

Soma Zaidi...
Lazima matiti kuuma ka mimba changa?

Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika

Soma Zaidi...
Mambo muhimu kuhusu mbegu za kiume

Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s

Soma Zaidi...
Maji ya Amniotic

Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Mtoto anaanz kucheza kwa mda gan

Kuna watoto wengine huanza kucheza mapema kuliko watoto wengine. Tunapozungumzia kucheza kwa mtoto aliye tumboni yaani mimba hapa inatubidi tuangalie kwa undani zaidi, je ni muda gani mtoto ataanza kucheza?

Soma Zaidi...
Habar doctor mm nahc kuwa ni mjamzito tumbo la chin ya kitovu linaniuma muda mwingine linaacha chuchu zinawasha na cku niliyokutana na mume wangu ni cku 11

Kuna uwezekano una ujauzito ila hujajijuwa, huwenda hujapata dalili zozote. Unataka kujuwa kama una ujauzito baada ya tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga manii nje.

Posti hii inahusu zaidi uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga shahawa nje, hii ni njia mojawapo kati ya njia za uzazi wa mpango ambapo mwanaume humwaga nje mbegu ili asimpatie Mama mimba.

Soma Zaidi...
Watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango

Post hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango, Ni watu ambao Wana matatizo mbalimbali endapo wakitumia wanaoweza kuleta madhara mbalimbali.

Soma Zaidi...