Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye
1. Chakula aina ya kwanza ni pilipili.
Kwa kawaida tunajua kwamba ukitumia pilipili unasisimka mwili mzima na pengine unatoa makamasi kwa hiyo na kwa upande wa tendo la ndoa kwa watumiaji wa pilipili kwa wingi huwa wanapata hamu sana ya kufanya tendo la ndoa.
2. Matunda na mboga za majani.
Kwa matumizi ya matunda na mboga za majani nazo huwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa sababu matunda na mboga za majani usaidia sana kupunguza mafuta na sumu mwilini kwa hiyo na walaji wa mboga mboga za majani na matunda wanapata hamu ya kushiriki tendo la ndoa.
3. Matumizi ya nafaka zisizokobolewa nazo usaidia kuwepo kwa hamu ya tendo la ndoa nafaka kama vile mahindi ambayo hayajakobolewaa, maharage, kunda na nafaka zote kwa sababu zina uwezo wa kuzalisha homoni ya testosterone kwenye damu.
4. Tangawizi.
Kwa kawaida tangawizi kazi yake ni kusisimua , usaidia kusisimua mfumo au mzunguko wa damu, kwa matumizi ya tangawizi ya mara kwa mara usababisha kuwepo kwa msisimko kwenye damu.
5. Asali
Na asali pia usaidia katika kuwepo kwa hamu ya tendo la ndoa kwa sababu asali usaidia kuzalisha homoni ya estrogen.
6. Karanga.
Pia na karanga usababisha kuwepo kwa urahisi kwenye mzunguko wa damu kwa kufanya hivyo kwa matumizi ya karanga tunaweza juwa na hamu ya tendo la ndoa.
7. Soya.
Pia nayo ni Mojawapo kwa sababu ya kuwepo kwa homoni ya phytoestrogen ambayo usaidia sana wamama walioingia kwenye menopause
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Soma Zaidi...posti hii inaelezea kuhusiana tatizo la muingiliano wa majimaji ya seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito ambao hujulikana Kama Amniotic Fluid Embolism ni hali adimu lakini mbaya ambayo hutokea wakati Maji ya amniotiki Majimaji ambayo huzunguka mtot
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili za uvimbe kwenye kizazi,hizi ni Dalili ambazo ujitokeza kwa akina mama ambao wana uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo endapo mama ameona Dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali mara moja kwa uangalizi zaidi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kupasuka kwa mfuko wa uzazi hasa mama anapokalibia kujifungua.
Soma Zaidi...Mimba hatari iliyotungia nje ya mji wa mimba, ni zipi dalili zake na ni kivipo mimba inatungia nje?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wajawazito wanaweza kuzipata wakiwa na Dalli au tayari wana kifafa cha mimba.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa, ni njia zitoleeazo na wakunga Ili kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu kwa wanawake kabla ya kubeba mimba,Ni mambo ya kuzingatia ili mama akija kubeba mimba awe mzima kimwili, ki afya na kisaikolojia na hivyo hivyo Mtoto atakayezaliwa atakuwa salama.
Soma Zaidi...Ni ngumu ila nitakujuza namna ya kuitambuwa mimba ya siku moja hadi 3, mimba ya wiki moja na mimba ya miezi mitatu kwa dalili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufunga kitovu cha mtoto mara tu anapozaliwa, kwa kawaida tunafahamu kwamba ili mtoto aweze kuishi akiwa tumboni anategemea sana kula na kufanya shughuli zake kwa kupitia kwenye plasenta kwa hiyo mtoto akizaliwa tu
Soma Zaidi...