Posti hii inahusu zaidi hatua ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kutibu uvimbe au kwa kitaalamu huitwa fibroids. Hizi hatua zikitumika uweza kusaidia kupunguza kiwango cha kupata au kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.
1. Epuka vyakula ambavyo vinasababisha kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.
Kuna vyakula ambavyo upelekea kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi kwa mfano vyakula vyenye mafuta mengi kwa mfano bagga,sousage, daima kula nyama ya Mnyama anayekula nyasi na epuka kula Nyama ya myama anayekula chakula kama binadamu.
2. Daima tumia vyakula vinavyopunguza tatizo.
Kwa kawaida epuka sana vyakula vinavyopunguza tatizo kwa mfano mboga mbona za majani kwa sababu ya kuwepo kwa vitamin K ambavyo uzuia damu kuganda,n uwepo wa vitamin Ambavyo usaidia kuzalishwa kwa seli nyingine.
3. Tumia virutubisho kwa ajili ya kupunguza uvimbe.
Kuna virutubisho ambavyo usaidia kwa ajili ya kupunguza uvimbe kwa mfano mafuta ya samaki ,mafuta ya flaxseed, kijiko kimoja kwa siku kwa hiyo upunguza uvimbe kwenye kizazi na kuzuia uvimbe na matumizi ya dawa kama vile ZAMISOCAL urekebisha kiwango cha homoni aina ya estrogen.
4. Utumiaji wa chai tiba.
Kwa kutumia chai tiba kwa kitaalamu huitwa herbal coffee usaidia sana katika kutibu uvimbe na Kuna dawa nyingine ambazo usaidia kutibu uvimbe kwenye kizazi.
5. Matumizi ya dawa za Castrol.
Dawa aina ya Castrol usaidia kuongeza usafirishaji wa damu na hivyo kutoa Sumu mwilini, kwa hiyo Sumu mwilini ikitokea usababisha hali kuwa ya kawaida.
6. Kujiepusha na mazingira hatarishi na yenye Sumu Kuna mazingira mengine yenye Sumu kama vile dawa za kuua wadudu, na matumizi mengine yenye kemikali.
7. Kuwepo kwa mazoezi ya kutosha.
Mazoezi mengine ya kutosha usaidia Sana katika kuruhusu damu kusafiri na pia kutoa Sumu mwilini. Kwa hiyo ni vizuri kufanya kufanya usafi mara tatu kwa siku.
8. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kujua Dalili na wakati ambapo uvimbe unaweza kutokea Ili kuweza kutibu tatizo nakujiepusha na mambo mengine ambayo yanaweza kuleta matatizo mbalimbali kwenye mfumo mzima wa uzazi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uchafu unaotoka ukeni na rangi zake, kwa kawaida ukeni utolewa uchafu, uchafu huo unaweza kuwa kawaida na unaweza kuwa na rangi mbalimbali kutokana na kuwepo kwa Maambukizi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto.
Soma Zaidi...Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Soma Zaidi...Uzazi wa Mpango hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa. Uzazi wa mpango una faida kadhaa kwa mama wa mtoto, wanandoa na jamii Ujuzi wa mzunguko wa hedhi humwezesha mtoa huduma kumshaur
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na nguvu za kiume zinavyopungua na Ni Mambo gani yanayofanya zipungue
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake
Soma Zaidi...Mwanaume na mwanamke wanapo kutana na kujamiina kama mwanamke yupo kwenye ferlile process ni rahisi kupata mbimba. Sparm Zaid ya million moja huingia kwenye mfuko wa lakin sparm moja ndio huweza kuingia kwenye ovum(yai)lakin nyingine hubaki kwenye follopi
Soma Zaidi...Mdomo kuwa mchungu ni halia mabayo haiashirii ishara mbaya za kiafya. Mdomo unaweza kuwa mchungu kutokana na vyakula. Pia hutokea ikawa ni ishara ya baadhi ya maradhi, ama ni matokeo ya baadhi ya shda za kiafya. Je vipi kuhusu maumivu ya matiti na tumb?
Soma Zaidi...