Hatua Saba za kutibu au kuepuka uvimbe kwenye kizazi

Posti hii inahusu zaidi hatua ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kutibu uvimbe au kwa kitaalamu huitwa fibroids. Hizi hatua zikitumika uweza kusaidia kupunguza kiwango cha kupata au kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Hatua Saba za kuepuka kupata uvimbe au kutibu uvimbe kwenye kizazi.

1. Epuka vyakula ambavyo vinasababisha kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Kuna vyakula ambavyo upelekea kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi kwa mfano vyakula vyenye mafuta mengi kwa mfano bagga,sousage, daima kula nyama ya Mnyama anayekula nyasi na epuka kula Nyama ya myama anayekula chakula kama binadamu.

 

2. Daima tumia vyakula vinavyopunguza tatizo.

Kwa kawaida epuka sana vyakula vinavyopunguza tatizo kwa mfano mboga mbona za majani kwa sababu ya kuwepo kwa vitamin K ambavyo uzuia  damu kuganda,n uwepo wa vitamin Ambavyo usaidia kuzalishwa kwa seli nyingine.

 

3. Tumia virutubisho kwa ajili ya kupunguza uvimbe.

Kuna virutubisho ambavyo usaidia kwa ajili ya kupunguza uvimbe kwa mfano mafuta ya samaki ,mafuta ya flaxseed, kijiko kimoja kwa siku kwa hiyo upunguza uvimbe kwenye kizazi na kuzuia uvimbe na matumizi ya dawa kama vile ZAMISOCAL urekebisha kiwango cha homoni aina ya estrogen.

 

4. Utumiaji wa chai tiba.

 Kwa kutumia chai tiba kwa kitaalamu huitwa herbal coffee usaidia sana katika kutibu uvimbe na Kuna dawa nyingine ambazo usaidia kutibu uvimbe kwenye kizazi.

 

5. Matumizi ya dawa za Castrol.

 Dawa aina ya Castrol usaidia kuongeza usafirishaji wa damu na hivyo kutoa Sumu mwilini, kwa hiyo Sumu mwilini ikitokea usababisha hali kuwa ya kawaida.

 

6. Kujiepusha na mazingira hatarishi na yenye Sumu Kuna mazingira mengine yenye Sumu kama vile dawa za kuua wadudu, na matumizi mengine yenye kemikali.

 

7. Kuwepo kwa mazoezi ya kutosha.

Mazoezi mengine ya kutosha usaidia Sana katika kuruhusu damu kusafiri na pia kutoa Sumu mwilini. Kwa hiyo ni vizuri kufanya kufanya usafi mara tatu kwa siku.

 

8. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kujua Dalili na wakati ambapo uvimbe unaweza kutokea Ili kuweza kutibu tatizo nakujiepusha na mambo mengine ambayo yanaweza kuleta matatizo mbalimbali kwenye mfumo mzima wa uzazi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3956

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Vyakula hatari kwa mjamzito mwenye mimba na mimba changa

Vyakula hivi hapasi kuvila mwanamke mwenye ujauzito kwa kiasi kikubwa, hasa yule mwenye mimba chaga

Soma Zaidi...
Namna ya kutibu kuharisha kwa mtoto ukiwa nyumbani.

Post hii inahusu zaidi njia za kutibu kuharisha kwa watoto wakiwa nyumbani, kwa sababu mara nyingine mtoto anaweza kuharisha si kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ila ni uchafu tu kwa hiyo njia muhimu zinazofaa kutibu mtoto ni pamoja na yafuatayo.

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Nitakujulisha siku ya kupata mimba na sifa zake, na namna ya kuweza kuitafuta

Soma Zaidi...
Tatizo la muingiliano wa majimaji ya Amniotic au seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito.

posti hii inaelezea kuhusiana tatizo la muingiliano wa majimaji ya seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito ambao hujulikana Kama Amniotic Fluid Embolism ni hali adimu lakini mbaya ambayo hutokea wakati Maji ya amniotiki Majimaji ambayo huzunguka mtot

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kutoka.

Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
dalili za uchungu kwa mama mjamzito

Makala hii itakwenda kukufundisha baadhi ya dalili za uchungu kwa mama mjamzito.

Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake.

Soma Zaidi...
Dalili na sababu za Kukosa hedhi

Post hii inaongelea kuhusiana na Kukosa hedhi ambapo kitaalamu hujulikana Kama Amenorrhea ni kutokuwepo kwa hedhi - hedhi moja au zaidi ya kukosa. Wanawake ambao wamekosa angalau hedhi tatu mfululizo wana amenorrhea, kama vile wasichana ambao hawajaanz

Soma Zaidi...
Sababu za kutokea uvimbe kwenye kizazi.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Soma Zaidi...