Posti hii inahusu zaidi hatua ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kutibu uvimbe au kwa kitaalamu huitwa fibroids. Hizi hatua zikitumika uweza kusaidia kupunguza kiwango cha kupata au kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.
1. Epuka vyakula ambavyo vinasababisha kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.
Kuna vyakula ambavyo upelekea kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi kwa mfano vyakula vyenye mafuta mengi kwa mfano bagga,sousage, daima kula nyama ya Mnyama anayekula nyasi na epuka kula Nyama ya myama anayekula chakula kama binadamu.
2. Daima tumia vyakula vinavyopunguza tatizo.
Kwa kawaida epuka sana vyakula vinavyopunguza tatizo kwa mfano mboga mbona za majani kwa sababu ya kuwepo kwa vitamin K ambavyo uzuia damu kuganda,n uwepo wa vitamin Ambavyo usaidia kuzalishwa kwa seli nyingine.
3. Tumia virutubisho kwa ajili ya kupunguza uvimbe.
Kuna virutubisho ambavyo usaidia kwa ajili ya kupunguza uvimbe kwa mfano mafuta ya samaki ,mafuta ya flaxseed, kijiko kimoja kwa siku kwa hiyo upunguza uvimbe kwenye kizazi na kuzuia uvimbe na matumizi ya dawa kama vile ZAMISOCAL urekebisha kiwango cha homoni aina ya estrogen.
4. Utumiaji wa chai tiba.
Kwa kutumia chai tiba kwa kitaalamu huitwa herbal coffee usaidia sana katika kutibu uvimbe na Kuna dawa nyingine ambazo usaidia kutibu uvimbe kwenye kizazi.
5. Matumizi ya dawa za Castrol.
Dawa aina ya Castrol usaidia kuongeza usafirishaji wa damu na hivyo kutoa Sumu mwilini, kwa hiyo Sumu mwilini ikitokea usababisha hali kuwa ya kawaida.
6. Kujiepusha na mazingira hatarishi na yenye Sumu Kuna mazingira mengine yenye Sumu kama vile dawa za kuua wadudu, na matumizi mengine yenye kemikali.
7. Kuwepo kwa mazoezi ya kutosha.
Mazoezi mengine ya kutosha usaidia Sana katika kuruhusu damu kusafiri na pia kutoa Sumu mwilini. Kwa hiyo ni vizuri kufanya kufanya usafi mara tatu kwa siku.
8. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kujua Dalili na wakati ambapo uvimbe unaweza kutokea Ili kuweza kutibu tatizo nakujiepusha na mambo mengine ambayo yanaweza kuleta matatizo mbalimbali kwenye mfumo mzima wa uzazi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuzuia mimba zisiharibike, kwa sababu kila mama anayebeba mimba anategemea kupata mtoto kwa hiyo na sisi hamu yetu ni kuhakikisha kwamba mtoto anazaliwa kwa kuzuia mimba kuharibik
Soma Zaidi...Hivi unadhani kuharisha ni katika dalili za mimba, vipi kuhusu kutopata choo pia inaweza kuwa ni ujauzito?
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za mimba kutoka, hili ni tatizo ambalo linawakumba wanawake wengi ambapo mimba utoka kabla ya kumfikisha mda wake, kwa kawaida Ili kawaida mimba nyingi utoka zikiwa na miezi chini ya Saba au wengine wanaweza kusema kwamba mim
Soma Zaidi...Ni vyakula gani anapasa kula mjamzito, na utaratibu mzima wa lishe kwa wajawazito
Soma Zaidi...Kutokwa na damu baada ya tendo la ndoabkunaweza kuashiria kuwa kuna majeraha yametokea huwenda ni michubuko ilitokea ndio ikavujisha damu. Lakini kwa nini hali kama hii itokee. Posti hii itakwwnda mujibu swali hili.
Soma Zaidi...Kama unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa, suluhisho lako lipo kwenye makala hii
Soma Zaidi...Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa, ni njia zitoleeazo na wakunga Ili kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa.
Soma Zaidi...