Navigation Menu



image

Tofauti za ute kwa mwanamke

Posti hii inahusu zaidi tofauti mbalimbali za uke, kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili wa binadamu kuna tofauti mbalimbali za ute kutegemea na hali iliyopo.

Tofauti za ute kwa Mama .

1.  Kuwepo kwa uke mweupe.

Kuna kipindi Ute unakuwa mweupe kwa akina Mama au akina dada huu ni Ute wa kawaida kabisa kutoka kwa akina Mama kwa sababu ya kutokuwepo kwa magonjwa au shida yoyote kwa hiyo akina dada au mama wakiona Ute mweupe ni Ute wa kawaida tu na ni vizuri kabisa.

 

 

 

 

 

2. Kuwepo kwa Ute wa maji maji na unatekeleza.

Kwa kawaida kuna kipindi Ute unakuwepo wa maji maji na unatekeleza ni dalili nzuri kabisa ya kuwepo utayari wa kubeba mimba, hasa kwa wale wenye tabia ya kutumia uzazi wa mpango kwa kutumia Ute wakiona Ute ni wa maji maji wanapaswa kutoshiriki tendo kwani ni rahisi kubeba mimba, na wakiona Ute ni mzito mimba haiwezi kupita kwa sababu Ute ule hairuhusu mbegu kupita.

 

 

 

 

 

3. Kuwepo kwa Ute wa njano.

Kuna kipindi mama au akina dada wanakuwa na Ute wa njano hii ni Dalili ya kuwepo kwa bakteria kwenye uke au sehemu za via vya uzazi ambazo Usababisha kuonekana kwa Ute na jinsi ulivyo , kwa hiyo bakteria hawa inawezekana ni wale wanaosababisha kuwepo kwa kaswende, kisonono na magonjwa mengine kama hayo ambayo Usababisha uke kuwa wa njano.

 

 

 

 

 

 

4. Kuwepo kwa Ute wa kahawia.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na Ute aina ya kahawia hii ni Dalili mojawapo ya kuwa mama au dada amemaliza hedhi,kwa sababu ya kuwepo kwa homoni mbalimbali ambazo usaidia katika shughuli zote za hedhi na kufanya hali kuwa ya kawaida usababisha Ute juwa wa kahawia, kwa hiyo ni vizuri kabisa kutambua haina hii ya Ute.

 

 

 

 

 

5. Kwa hiyo akina mama wanapaswa kuwa makini katika kuangalia aina za ute na kuweza kutambua kuwa ni viashiria gani kama ni Ugonjwa ni vizuri kabisa kutibu na kama ni wakati wa kubeba mimba ndio wakati wa fursa na kama Ute ni mwepesi na mtu hana mpango wa kubeba mimba ni kuacha kujamiiana kwa wakati huo.kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha usalama wako wa afya kwa kuangalia ute.






           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2411


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Tabia za Ute wa siku za hatari kupata mimba au ovulation
Posti hii inahusu zaidi tabia mbalimbali za Ute wa ovulation kwa sababu Ute huu huwa tofauti na Ute mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa tabia zake za kipekee kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Dalili za kujifungua hatua kwa hatua
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ujauzito baada ya tendo la ndoa Soma Zaidi...

Madhara ya sindano za kuzuia mimba kwa vijana.
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya matumizi ya sindano za kuzuia mimba kwa vijana ambao hawajafikilia mpango wa kuanza kujifungua watoto. Soma Zaidi...

Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa
Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujif Soma Zaidi...

Zijue sababu zinazosababisha kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume
Kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume kunamaanisha kuwa Majimaji (shahawa) unayotoa wakati wa kufika kileleni huwa na mbegu chache kuliko kawaida. Hesabu yako ya manii inachukuliwa kuwa chini kuliko kawaida ikiwa una chini ya mbegu milioni 15. Kuwa na idad Soma Zaidi...

Mama mjamzito anapo hisi uchungu je mtoto huendelea kucheza tumboni?
Swali langi ni hiliMama mjamzito anapo hisi uchungu je mtoto huendelea kucheza tumboni? Soma Zaidi...

Fahamu matatizo yanayowapata watoto waliozaliwa kabla ya wakati au mapema (premature)
Kuzaa kabla ya wakati ni kuzaliwa ambayo hufanyika zaidi ya wiki tatu kabla ya kuzaliwa kwa mtoto au kuzaliwa mapema ni moja ambayo hutokea kabla ya mwanzo wa wiki ya 37 ya ujauzito. Kawaida, ujauzito hudumu kama wiki 40. Soma Zaidi...

Mabadiliko ya ngozi wakati wa ujauzito.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito. Soma Zaidi...

Madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu,ni madhara ambayo utokea kwa mtu anayetumia madawa ya kupunguza maumivu. Soma Zaidi...

Madhara ya fangasi ukeni.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi ukeni, madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo mtu hakutibiwa fangasi mapema. Soma Zaidi...

Magonjwa ya kwenye ovari na Dalili zake.
Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA
Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia. Soma Zaidi...