Tofauti za ute kwa mwanamke

Posti hii inahusu zaidi tofauti mbalimbali za uke, kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili wa binadamu kuna tofauti mbalimbali za ute kutegemea na hali iliyopo.

Tofauti za ute kwa Mama .

1.  Kuwepo kwa uke mweupe.

Kuna kipindi Ute unakuwa mweupe kwa akina Mama au akina dada huu ni Ute wa kawaida kabisa kutoka kwa akina Mama kwa sababu ya kutokuwepo kwa magonjwa au shida yoyote kwa hiyo akina dada au mama wakiona Ute mweupe ni Ute wa kawaida tu na ni vizuri kabisa.

 

 

 

 

 

2. Kuwepo kwa Ute wa maji maji na unatekeleza.

Kwa kawaida kuna kipindi Ute unakuwepo wa maji maji na unatekeleza ni dalili nzuri kabisa ya kuwepo utayari wa kubeba mimba, hasa kwa wale wenye tabia ya kutumia uzazi wa mpango kwa kutumia Ute wakiona Ute ni wa maji maji wanapaswa kutoshiriki tendo kwani ni rahisi kubeba mimba, na wakiona Ute ni mzito mimba haiwezi kupita kwa sababu Ute ule hairuhusu mbegu kupita.

 

 

 

 

 

3. Kuwepo kwa Ute wa njano.

Kuna kipindi mama au akina dada wanakuwa na Ute wa njano hii ni Dalili ya kuwepo kwa bakteria kwenye uke au sehemu za via vya uzazi ambazo Usababisha kuonekana kwa Ute na jinsi ulivyo , kwa hiyo bakteria hawa inawezekana ni wale wanaosababisha kuwepo kwa kaswende, kisonono na magonjwa mengine kama hayo ambayo Usababisha uke kuwa wa njano.

 

 

 

 

 

 

4. Kuwepo kwa Ute wa kahawia.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na Ute aina ya kahawia hii ni Dalili mojawapo ya kuwa mama au dada amemaliza hedhi,kwa sababu ya kuwepo kwa homoni mbalimbali ambazo usaidia katika shughuli zote za hedhi na kufanya hali kuwa ya kawaida usababisha Ute juwa wa kahawia, kwa hiyo ni vizuri kabisa kutambua haina hii ya Ute.

 

 

 

 

 

5. Kwa hiyo akina mama wanapaswa kuwa makini katika kuangalia aina za ute na kuweza kutambua kuwa ni viashiria gani kama ni Ugonjwa ni vizuri kabisa kutibu na kama ni wakati wa kubeba mimba ndio wakati wa fursa na kama Ute ni mwepesi na mtu hana mpango wa kubeba mimba ni kuacha kujamiiana kwa wakati huo.kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha usalama wako wa afya kwa kuangalia ute.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3337

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito, tunajua wazi kuwa wajawazito pindi ujauzito ukiingia tu, kila kitu kwenye mwili ubadilika vile vile na mzunguko wa damu ubadilika.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutumia vidonge kwa akina dada vya uzazi wa mpango

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa akina dada.

Soma Zaidi...
ZIJUWE DALILI KUU 5 ZA MIMBA CHANGA

Dalili za mimba, na m,imba changa

Soma Zaidi...
siku za kupata mimba

Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba na dalili za siku hizo.

Soma Zaidi...
Huduma kwa wanaotoa damu yenye mabonge

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wanaotoa hedhi yenye mabonge, ni tatizo ambalo uwakumba wasichana hata wanawake wakati wa hedhi.

Soma Zaidi...
Faida za uzazi wa mpango kwa jamii

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa jamii, tunapaswa kujua kuwa uzazi wa mpango ukitumiwa vizuri na jamii nayo inapata faida kwa hiyo zifuatazo ni faida za uzazi wa mpango kwa jamii.

Soma Zaidi...
Saratani zinazowasumbua watoto.

Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka.

Post hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka mambo haya yanaweza yakawahusu akina Mama wenyewe, familia na jamii kwa ujumla.

Soma Zaidi...
Mwanamke anatema mate mara kwa mara je inaweza kuwa ni ujauzito?

Ni kweli kuwa kutema mate mara kwa mara inaweza kuwa ni dlili za ujauzito. Lakini itambulije kuwa pekee sio kithibitishi cha ujauzito.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu fangasi za ukeni

Posti hii inahusu zaidi fangasi za ukeni, hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba watoto, akina dada na wanawake kwa hiyo na vizuri kujua Dalili zake na kuweza kuchukua hatua mapema.

Soma Zaidi...