picha

Dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho.

Dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho.

1. Uchafu kutoka ukeni ikiambatana na harufu mbaya , mwanamke anapaswa kuwahi hospital mapema.

 

2. Miwasho mikali ukeni ikiambatana na mashavu kuwa na rangi nyekundu, ni vizuri kabisa kutumia dawa Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali.

 

3. Kuwepo kwa UTI inayojirudia rudia.

Kuna wanawake kwa mwaka wanapta tatizo la UTI mara Kwa mara.

 

4. Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa mpaka kutokwa na damu.

 

5. Harufu mbaya ukeni mpaka unashindwa kijumuika na wengine.

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 2078

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Dua za Mitume na Manabii     πŸ‘‰2 web hosting     πŸ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game     πŸ‘‰5 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Jinsi mimba inavyotungwa na namna ambavyo jinsia ya mtoto inavyotokea

Posti hii hasa inahusu kasoro ,utatuzi,na jinsi ya kutunga mimba kwa upande wa mwanamke na mwanaumeΒ  .itatupelekea jinsi ya kuangalia kasoro na jinsi ya kutatua hizo kasoro katika jamii zetu.

Soma Zaidi...
Changamoto za ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu

Soma Zaidi...
Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke

Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo

Soma Zaidi...
ZIJUWE DALILI KUU 5 ZA MIMBA CHANGA

Dalili za mimba, na m,imba changa

Soma Zaidi...
Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Habar doctor mm nahc kuwa ni mjamzito tumbo la chin ya kitovu linaniuma muda mwingine linaacha chuchu zinawasha na cku niliyokutana na mume wangu ni cku 11

Kuna uwezekano una ujauzito ila hujajijuwa, huwenda hujapata dalili zozote. Unataka kujuwa kama una ujauzito baada ya tendo la ndoa.

Soma Zaidi...