Jinsi ya kushusha homoni za kiume.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada.

Jinsi ya kushusha homoni za kiume.

1. Kuna wakati mwingine watoto wa kike huwa na homoni za kiume zinakuwa nyingi hali ambayo Usababisha kuwepo kwa kuota ndevu kwa baadhi ya wasichana na kuwa na baadhi ya tabia za kiume kwa hiyo homoni hizi zikizidi kwa wasichana zinaweza kusababisha mambo mbalimbali ambayo ni pamoja na kukosa kuingia kwenye hedhi ili kuweza kushusha mbegu hizo tunapaswa kufanya yafuatayo.

 

2. Matumizi ya soya.

Kwa kutumia soya usaidia kushusha homoni za kiume kwa wasichana na kuwa kweye hali yao ya kawaida kwa hiyo ni vizuri kujua namna ya kutumia unaweza kutumia unga wake na kuweka kwenye maji na kunywa kikombe kimoja kwa asubuhi, kikombe kingine mchana na jioni, kwa matumizi ya soya homoni hizi nitaweza kushika na dada akawa kwenye hali yake ya kawaida.

 

3. Matumizi ya mnara ( mint)

Ni mmea mzuri kwa matumizi ya kushusha homoni za kiume kwa wasichana, mmea huu kwa Tanzania upatikana kwenye mikoa ya pwani kwa hiyo kwa wake wenye changamoto hii ni vizuri kabisa kuweza kutumia mmea huu.

 

4. Matumizi ya mizizi ya Arkisus.

Ni mizizi ambayo utumika ili kuweza kushusha homoni za kiume kwa wasichana, kwa matumizi ya mizizi hii,ni kuchimbua mizizi, kuosha vizuri, kutwanga na kuitengeneza ikawa kama unga na kuweka kwenye maji ya moto na kunywa Kikombe kimoja asubuhi, mchana jioni.

 

5. Tumia sana mafuta ya mimea kuliko mafuta ya wanyama.

Kwa matumizi mazuri ya mafuta ya mimea kama vile mawese, mafuta ya alizeti na Nazi mafuta haya ni mazuri pia usaidia katika kupunguza homoni za kiume kwa wasichana.

 

6. Punguza matumizi ya vyakula vya wanga.

Kwa kawaida na vyakula vya wanga siyo vizuri kwa watoto wa kike katika kuvitumia mara Kwa mara  mara nyingi watoto wa kike wanapaswa kutumia matunda zaidi, mboga za majani na samaki Ili kuweza kupunguza homoni za kiume na kuwepo za kawaida za kike.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2729

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo tunaweza kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili la kutanuka kwa tezi dume, kwa hiyo tunaweza kutumia njia zifuatazo ili kuweza kupunguza tatizo hili kwenye jamii kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia Malaria kwa wajawazito

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia Malaria kwa wajawazito na watoto wao wakiwa bado tumboni, tunajuwa wazi kuwa wajawazito wakipata Malaria inaweza kupelekea mimba kutoka kwa hiyo ili kuzuia tatizo hili zifuatazo ni njia zilizowekwa ili kuz

Soma Zaidi...
Habari Mimi ni mjamzito was miezi Tisa sasa nimeanza kutokwa na maji kidogo kidogo ukeni bila uchungu na no mimba yangu ya kwanza he Kuna shida?

Ujauzito husababisha mabadiliko mengi mwilini, ikiwepo ongezeko la Majimaji ukeni ifikapo tarehe za kukaribia kujifunguwa. Majimaji haya ni muhimu kwa afya ya mtoto aliye tumboni.

Soma Zaidi...
Dalili za ujauzito: Nini kinatokea kwanza

Je, unafahamu dalili za mwanzo za ujauzito? Kutoka kwa kichefuchefu hadi uchovu, ujue nini cha kutarajia.

Soma Zaidi...
Kwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?

Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu wakati wa tendo la ndoa

Kama unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa, suluhisho lako lipo kwenye makala hii

Soma Zaidi...
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume

Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake

Soma Zaidi...
Nini kinasababisha uume kutoa maji meupe bila muwasho,na tiba yake ni ipi

Je unasumbuliwa na Majimaji kwenye uume. Je unapata miwasho, ama maumivu wakati wakukojoa.

Soma Zaidi...
Dali za udhaifu wa mbegu za kiume.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.

Soma Zaidi...
Sababu za kutoona hedhi kwa wakati

Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo.

Soma Zaidi...