Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada.
1. Kuna wakati mwingine watoto wa kike huwa na homoni za kiume zinakuwa nyingi hali ambayo Usababisha kuwepo kwa kuota ndevu kwa baadhi ya wasichana na kuwa na baadhi ya tabia za kiume kwa hiyo homoni hizi zikizidi kwa wasichana zinaweza kusababisha mambo mbalimbali ambayo ni pamoja na kukosa kuingia kwenye hedhi ili kuweza kushusha mbegu hizo tunapaswa kufanya yafuatayo.
2. Matumizi ya soya.
Kwa kutumia soya usaidia kushusha homoni za kiume kwa wasichana na kuwa kweye hali yao ya kawaida kwa hiyo ni vizuri kujua namna ya kutumia unaweza kutumia unga wake na kuweka kwenye maji na kunywa kikombe kimoja kwa asubuhi, kikombe kingine mchana na jioni, kwa matumizi ya soya homoni hizi nitaweza kushika na dada akawa kwenye hali yake ya kawaida.
3. Matumizi ya mnara ( mint)
Ni mmea mzuri kwa matumizi ya kushusha homoni za kiume kwa wasichana, mmea huu kwa Tanzania upatikana kwenye mikoa ya pwani kwa hiyo kwa wake wenye changamoto hii ni vizuri kabisa kuweza kutumia mmea huu.
4. Matumizi ya mizizi ya Arkisus.
Ni mizizi ambayo utumika ili kuweza kushusha homoni za kiume kwa wasichana, kwa matumizi ya mizizi hii,ni kuchimbua mizizi, kuosha vizuri, kutwanga na kuitengeneza ikawa kama unga na kuweka kwenye maji ya moto na kunywa Kikombe kimoja asubuhi, mchana jioni.
5. Tumia sana mafuta ya mimea kuliko mafuta ya wanyama.
Kwa matumizi mazuri ya mafuta ya mimea kama vile mawese, mafuta ya alizeti na Nazi mafuta haya ni mazuri pia usaidia katika kupunguza homoni za kiume kwa wasichana.
6. Punguza matumizi ya vyakula vya wanga.
Kwa kawaida na vyakula vya wanga siyo vizuri kwa watoto wa kike katika kuvitumia mara Kwa mara mara nyingi watoto wa kike wanapaswa kutumia matunda zaidi, mboga za majani na samaki Ili kuweza kupunguza homoni za kiume na kuwepo za kawaida za kike.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako.
Soma Zaidi...Post hii inaongelea kuhusiana na Kukosa hedhi ambapo kitaalamu hujulikana Kama Amenorrhea ni kutokuwepo kwa hedhi - hedhi moja au zaidi ya kukosa. Wanawake ambao wamekosa angalau hedhi tatu mfululizo wana amenorrhea, kama vile wasichana ambao hawajaanz
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa,ni Dalili ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha estrogen kwenye mwili ukilinganisha na homoni ya projestoren.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa, ni njia zitoleeazo na wakunga Ili kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano, huduma hii ilianzishwa na WHO na UNICEF mwaka 1990 ili kuweza kuzuia Magonjwa na kuwapatia watoto lishe pamoja na hayo walikuwa na malengo yafuatayo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara .
Soma Zaidi...Vyakula hivi hapasi kuvila mwanamke mwenye ujauzito kwa kiasi kikubwa, hasa yule mwenye mimba chaga
Soma Zaidi...Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke.
Soma Zaidi...Post hii itakujulidha mambo ambayo hupunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...