Kiwango cha juu cha Androgen
Posti hii inahusu zaidi homoni ya androgen, ni homoni ambayo imo kwa wanaume na ikizidi kwa kiwango chake inaweza kuleta shida kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo homoni hii inaweza kuleta shida iwapo ikiongezeka kwa kiasi kikubwa.
Kiwango cha juu cha homoni ya Androgen.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa homoni hii ya androgen ni homoni ambayo imo kwa wanaume na inapaswa kuwa sawia kabisa Ili kuweza kufanya kazi zake vizuri, ila ikiongezeka inaweza kuleta madhara Katika udharishaji kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kuwa aina hii ya homoni inakuwa sawa kabisa Ili kuweza kufanya kazi yake vizuri na kwa ufasaha kabisa, ila Kuna dalili mbalimbali zinaziweza kutokea ikiwa homoni hii imekuwepo kwa kiwango kikubwa kwenye mwili wa binadamu.
2. Kuwepo kwa vipele vyekundu na vyeusi vikiandamana na chunusi hasa hasa usoni na pia ngozi uonekana kuwa na mafuta mengi sana mwilini , kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hizo ni vizuri kabisa kuwaona wataalamu wa afya Ili kuweza kutoa ushauri na kumalizana na tatizo.
3. Hali hii ikitokea kwa mwanamke usababisha mwanamke kuota ndevu na vinyweleo vingi kwenye mikono na miguuni, kwa hiyo ndio maana unaweza kukuta akina Mama wenye ndevu na vinyweleo vingi kwenye mikono na miguuni na pia wengine wanakuwa na sauti ya kiume, hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa wingi wa homoni ya androgen ambayo inapaswa kuwa kwa mwanaume kwa wingi kuliko kwa mwanamke.
4. Kuwepo kwa nywele nyepesi .
Watu wengine unakuta nywele zao zinakuwa nyepesi kuliko kawaida kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango cha juu cha homoni ya estrogen.
,5. Kuwepo kwa ugumba.
Kwa sababu hii homoni inapaswa ku balanced Ili kuweza kuruhusu uzalishaji kutokea ila ikiwa juu uzalishaji unakuwa WA shida
6. Kuwepo kwa uvimbe kwenye via vya uzazi.
Kuna wakati mwingine kunakuwepo na uvimbe kwenye via vya uzazi hali hii inasababishwa na kuwepo kwa kwa kiwango kikubwa cha homoni ya androgen.
7. Pamoja na Dalili zote hizi sio dalili zote ni kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha homoni ya androgen kwa hiyo vipimo ni muhimu kabisa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 web hosting 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Sababu za Ugonjwa wa kifafa cha mimba.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kifafa cha mimba, kwa kawaida mpaka sasa hakuna taarifa zozote kuhusu sababu za kuwepo kwa kifafa cha mimba ila kuna visababishi vinavyofikiliwa kama ni Dalili za kifafa cha mimba kama ifuatavyo
Soma Zaidi...Umuhimu wa uzazi wa mpango
Uzazi wa mpango ni njia inayotumiwa na WA awake na wasichana Ili kupata idadi ya watoto wanaowahitaji na kuepuka mimba zisizotarajiwa.
Soma Zaidi...Madhara ya kufanya tendo la ndoa na mwanamke akiwa katika siku zake.
Tendo la ndoa wakati wa siku za hedhi ni halia mbayo jamii nying zinakataza. Katika vitabu vya dini pia haviruhusu, hata ki saikolojia utaona kuwa sio jambo jema. Hata hivyo hapa ninakuletea madhara yake kiafya
Soma Zaidi...Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Dalili kuu za mwanzo za mimba changa, kuanzia siku ya kwanza
Ni ngumu ila nitakujuza namna ya kuitambuwa mimba ya siku moja hadi 3, mimba ya wiki moja na mimba ya miezi mitatu kwa dalili.
Soma Zaidi...Zijue Dalili za hatari kwa Mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa Mama mjamzito, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama mjamzito, hizi Dalili zisipofanyiwa kazi mapema zinaweza kuleta shida kwa Mama kwa hiyo jamii nzima inapaswa kujua Dalili hizi na kuchukua hatua endapo zitajio
Soma Zaidi...