picha

Kiwango cha juu cha Androgen

Posti hii inahusu zaidi homoni ya androgen, ni homoni ambayo imo kwa wanaume na ikizidi kwa kiwango chake inaweza kuleta shida kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo homoni hii inaweza kuleta shida iwapo ikiongezeka kwa kiasi kikubwa.

Kiwango cha juu cha homoni ya Androgen.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa homoni hii ya androgen ni homoni ambayo imo kwa wanaume na inapaswa kuwa sawia kabisa Ili kuweza kufanya kazi zake vizuri, ila ikiongezeka inaweza kuleta madhara Katika udharishaji kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kuwa aina hii ya homoni inakuwa sawa kabisa Ili kuweza kufanya kazi yake vizuri na kwa ufasaha kabisa, ila Kuna dalili mbalimbali zinaziweza kutokea ikiwa homoni hii imekuwepo kwa kiwango kikubwa kwenye mwili wa binadamu.

 

2. Kuwepo kwa vipele vyekundu na vyeusi vikiandamana na chunusi  hasa hasa usoni  na pia ngozi uonekana kuwa na mafuta mengi sana mwilini , kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hizo ni vizuri kabisa kuwaona wataalamu wa afya Ili kuweza kutoa ushauri na kumalizana na tatizo.

 

3. Hali hii ikitokea kwa mwanamke usababisha mwanamke kuota ndevu na vinyweleo vingi kwenye  mikono  na miguuni, kwa hiyo ndio maana unaweza kukuta akina Mama wenye ndevu na vinyweleo vingi kwenye mikono na miguuni na pia wengine wanakuwa na sauti ya kiume, hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa wingi wa homoni ya androgen ambayo inapaswa kuwa kwa mwanaume kwa wingi kuliko kwa mwanamke.

 

4. Kuwepo kwa nywele nyepesi .

Watu wengine unakuta nywele zao zinakuwa nyepesi kuliko kawaida kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango cha juu cha homoni ya estrogen.

 

,5. Kuwepo kwa ugumba.

Kwa sababu hii homoni inapaswa ku balanced Ili kuweza kuruhusu uzalishaji kutokea ila ikiwa juu uzalishaji unakuwa WA shida 

 

6. Kuwepo kwa uvimbe kwenye via vya uzazi.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na uvimbe kwenye via vya uzazi hali hii inasababishwa na kuwepo kwa kwa kiwango kikubwa cha homoni ya androgen.

 

7. Pamoja na Dalili zote hizi sio dalili zote ni kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha homoni ya androgen kwa hiyo vipimo ni muhimu kabisa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/07/03/Sunday - 10:48:28 pm Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1971

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 web hosting    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Umuhimu wa uzazi wa mpango

Uzazi wa mpango ni njia inayotumiwa na WA awake na wasichana Ili kupata idadi ya watoto wanaowahitaji na kuepuka mimba zisizotarajiwa.

Soma Zaidi...
Je tumbo huanza kukua baada ya mda gan?

Ni Swali kila mjamzito anataka kujiuliza hasa akiwa katika mimba ya kwanza. Wengine wanataka kujuwa ni muda gani anujuwe mavazi makubwa. Kama na wewe unataka kujuwa muda ambao tumbo huwa kubwa, endelea kusoma.

Soma Zaidi...
mkewang alikuwa anasumbuliwa na tumbo kama siku tatu lika tuliya saivi analalamika kiuno na mgongo vina muuma nini tatizo tockt

Maumivu ya tumbo nakiuno kwa mwanamke yanahitaji uangalizi wakina. Kwani kuna sababu nyingi ambazo zinawezakuwa ni chanzo.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kushusha homoni za kiume.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada.

Soma Zaidi...
Fahamu Faida za Uzazi wa mpango

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni huduma ambazo hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kunyonyesha mtoto

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha mtoto, kunyonyesha ni kitendo cha Mama kutumia titi lake Ili kuweza kumpatia mtoto lishe kwa kipindi chote ambacho Mama upaswa kutumia kwa kunyonyesha mtoto wake kwa hiyo Kuna faida ambazo mama uzipata kutoka

Soma Zaidi...
Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake

Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo

Soma Zaidi...
Kujaa gesi tumboni

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kujaa tmgesi tumbon

Soma Zaidi...
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume

Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito, tunajua wazi kuwa wajawazito pindi ujauzito ukiingia tu, kila kitu kwenye mwili ubadilika vile vile na mzunguko wa damu ubadilika.

Soma Zaidi...