Jinsi ya kupata mtoto wa kiume


image


Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.


Habari,nashukuru nakuelewaelewa jinsi ya kukokotoa siku na kupata siku za kutungwa mimba,sasa mimi siku zangu zinabadilikabadilika ila mara nyingi ni cku 32 au 31, na shida yangu ni mtoto wa kiume,naweza kufanyaje ktk hilo?

 

Kupata mtoto wa kiume kuna nadharia nyingi japokuwa hazina uthibitisho wa kitaalamu. Hivyo hakuna njia ambayo ni ya uhakika ya kufanya upate mtoto wa kiume. 

Hata hivyo wacha nikuchagulie moja ambayo wengi wanaamini imewasaidia

 

1. Kuna tafitibzilifanywa zinaeleza kuwa mwanamke anayekula calories kwa wingi ana chansi kubwa ya kupata mtoto wa kiume. 

Unaposema calories unazungumzia sana vyakula vya wanga. Hatabhibyo katika hali ya kawaida unatakiwa wakatibunatafutavujauzito uke kwa wingi na uongeze chumvi. 


Kwa nini Chumvi ni kwa sababu chumvi ina alkali ambayo itafanya mji wa mimba kuwa na alkali kitu ambacho kitasaidia mbegu za kiume kiweze kuishi muda mrefu zikiwa tumboni.

 

2. Kuna tafiti zilifanywa zikasema kuwa mwanamke akiwahi kufika. Kileleni mapema kabla ya mume husaidia kupata mtoto wa kiume kwani mbegu za kiume zitaweza kusafiri kwa haraka kuliko za kike

 

3. Wapo wanaosema baada ya sex mwanamke alale ubavu wa kulia hii nayo husaidiabkubanya mbegu zankiume kuwahi kufikia kwenye yaibkwa haraka

 

4. Wapo wanaosema pia kuwa mikoa ya sex inasaidia. Kwa mfano mako wa kifo cha mende kununua mlango wa uzazi uje karibu hivyo husaodia mbegu zankiune kiwahi.

 

Hizo ni nadharia,  hata hivyo kama nilivyokueleza hakunabhatabmoja yenye uhakika kitaalamu. Ijapokuwa wengine wanasema zimewasaidia. Huwenda ni kwa bahati zao ama ninkweli zimesaidi

 

Kwa mimi nakuchagulia hiyo ya kwanza. Ila hakikisha usiwe unazidisha machumvi no kilichozungumzwa hapo ni vyakula vyenye madinj ya potasium kama ndizi, na chumvi ya kawaida .



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Mwana mke wang mwezi wa 8 alipima mimba kwa kipimo cha mkojo ikaleta postive lina mwez wa 8 huo huo mwishoni akaingia period ndo ikawa mwisho had leo hii hajawahi ingia tena na kila mara tumbo linamuuma na akipima anakuta hana mimba
Inaweza kutokea ukapima mimbaikawa ipo, na baada ya wiki kadhaa unapima tena haipo. Hali hii unadhani inaweza kusababishwa na nini? Soma Zaidi...

image Umuhimu wa kunyonyesha kwa Mama
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zifuatazo ni faida za kunyonyesha kwa Mama Soma Zaidi...

image je mtu kam anaona dalili za mimb ila akapima nakipim hakijamuonyesha kam ana mimb am hana je kuna uwezekan wakuw anayo
Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali Soma Zaidi...

image Unaweza kuhisi chochote ktk tumbo ukiwa na wiki mbili? Na je ukibonyeza tumbo utahisi chochote ukiwa ns wiki
Ni mida gani njamzito ananza kuhisi kuwa tumboni anebeba mtoto. Soma Zaidi...

image Upungufu wa homoni ya estrogen
Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili. Soma Zaidi...

image UTI na ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa UTI kwa wajawazito Soma Zaidi...

image Namna ya kuangalia kama mtoto aliyezaliwa anapumua
Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuangalia kama mtoto anapumua pindi anapozaliwa,tunajua kabisa ili kujua na kuelewa kama mtoto yuko hai ni lazima kuangalia upumuaji wa mtoto,ambapo tunaitambua pale anapolia tu. Soma Zaidi...

image Dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza Soma Zaidi...

image Hiv n kweli majivu hutoa mimb ya siku moja hadi wiki moja
Inashangaza sana, wakati wengine wanahangaika kutafutavijauzito kwa gharama yoyote ile, kuna wengine wanataka kutoa ujauzito kwa gharama yeyote ile. Unadhani njia za kienyeji sa kutoa mimba ni salama? Soma Zaidi...

image Fahamu Ute unaotoka wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi Ute unaotoka wakati wa ujauzito, kwa kawaida wakati wa ujauzito Kuna Ute ambao utoka na ni tofauti na kawaida pale mwanamke akiwa Hana mimba. Soma Zaidi...