Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.
Habari,nashukuru nakuelewaelewa jinsi ya kukokotoa siku na kupata siku za kutungwa mimba,sasa mimi siku zangu zinabadilikabadilika ila mara nyingi ni cku 32 au 31, na shida yangu ni mtoto wa kiume,naweza kufanyaje ktk hilo?
Kupata mtoto wa kiume kuna nadharia nyingi japokuwa hazina uthibitisho wa kitaalamu. Hivyo hakuna njia ambayo ni ya uhakika ya kufanya upate mtoto wa kiume.
Hata hivyo wacha nikuchagulie moja ambayo wengi wanaamini imewasaidia
1. Kuna tafitibzilifanywa zinaeleza kuwa mwanamke anayekula calories kwa wingi ana chansi kubwa ya kupata mtoto wa kiume.
Unaposema calories unazungumzia sana vyakula vya wanga. Hatabhibyo katika hali ya kawaida unatakiwa wakatibunatafutavujauzito uke kwa wingi na uongeze chumvi.
Kwa nini Chumvi ni kwa sababu chumvi ina alkali ambayo itafanya mji wa mimba kuwa na alkali kitu ambacho kitasaidia mbegu za kiume kiweze kuishi muda mrefu zikiwa tumboni.
2. Kuna tafiti zilifanywa zikasema kuwa mwanamke akiwahi kufika. Kileleni mapema kabla ya mume husaidia kupata mtoto wa kiume kwani mbegu za kiume zitaweza kusafiri kwa haraka kuliko za kike
3. Wapo wanaosema baada ya sex mwanamke alale ubavu wa kulia hii nayo husaidiabkubanya mbegu zankiume kuwahi kufikia kwenye yaibkwa haraka
4. Wapo wanaosema pia kuwa mikoa ya sex inasaidia. Kwa mfano mako wa kifo cha mende kununua mlango wa uzazi uje karibu hivyo husaodia mbegu zankiune kiwahi.
Hizo ni nadharia, hata hivyo kama nilivyokueleza hakunabhatabmoja yenye uhakika kitaalamu. Ijapokuwa wengine wanasema zimewasaidia. Huwenda ni kwa bahati zao ama ninkweli zimesaidi
Kwa mimi nakuchagulia hiyo ya kwanza. Ila hakikisha usiwe unazidisha machumvi no kilichozungumzwa hapo ni vyakula vyenye madinj ya potasium kama ndizi, na chumvi ya kawaida .
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Hii ni orodha ya dawa ambazo hutumiwa sana na watu kutoka maduka ya dawa lakini sio salama kwa wajawazito.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wanaoingia kwenye siku zao zaidi ya mara moja kwa mwezi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut
Soma Zaidi...Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.
Soma Zaidi...Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba inataka kutoka, mimba za aina hiyo kwa kitaalamu huitwa inevitable pregnant ni lazima itoke tu hata kama kuna juhudi mbalimbali za wataalamu mimba hii utoka kabisa.
Soma Zaidi...Mimba haipatikani kila siku, na pia mimba huingia kwa siku moja na katika muda mmoja. Baada ya mimba kutungwa hakuna tena nafasi ya kutungwa mimba nyingine.
Soma Zaidi...Hivi unadhani kuharisha ni katika dalili za mimba, vipi kuhusu kutopata choo pia inaweza kuwa ni ujauzito?
Soma Zaidi...Kutoka na majimaji ka uchache kwa mwanamke sio jambo lakishangaa sana. Damu hii inawezapiabkikbatana damu na maumivu makali.
Soma Zaidi...