Jinsi ya kupata mtoto wa kiume

Jinsi ya kupata mtoto wa kiume

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.

Download Post hii hapa

Habari,nashukuru nakuelewaelewa jinsi ya kukokotoa siku na kupata siku za kutungwa mimba,sasa mimi siku zangu zinabadilikabadilika ila mara nyingi ni cku 32 au 31, na shida yangu ni mtoto wa kiume,naweza kufanyaje ktk hilo?

 

Kupata mtoto wa kiume kuna nadharia nyingi japokuwa hazina uthibitisho wa kitaalamu. Hivyo hakuna njia ambayo ni ya uhakika ya kufanya upate mtoto wa kiume. 

Hata hivyo wacha nikuchagulie moja ambayo wengi wanaamini imewasaidia

 

1. Kuna tafitibzilifanywa zinaeleza kuwa mwanamke anayekula calories kwa wingi ana chansi kubwa ya kupata mtoto wa kiume. 

Unaposema calories unazungumzia sana vyakula vya wanga. Hatabhibyo katika hali ya kawaida unatakiwa wakatibunatafutavujauzito uke kwa wingi na uongeze chumvi. 


Kwa nini Chumvi ni kwa sababu chumvi ina alkali ambayo itafanya mji wa mimba kuwa na alkali kitu ambacho kitasaidia mbegu za kiume kiweze kuishi muda mrefu zikiwa tumboni.

 

2. Kuna tafiti zilifanywa zikasema kuwa mwanamke akiwahi kufika. Kileleni mapema kabla ya mume husaidia kupata mtoto wa kiume kwani mbegu za kiume zitaweza kusafiri kwa haraka kuliko za kike

 

3. Wapo wanaosema baada ya sex mwanamke alale ubavu wa kulia hii nayo husaidiabkubanya mbegu zankiume kuwahi kufikia kwenye yaibkwa haraka

 

4. Wapo wanaosema pia kuwa mikoa ya sex inasaidia. Kwa mfano mako wa kifo cha mende kununua mlango wa uzazi uje karibu hivyo husaodia mbegu zankiune kiwahi.

 

Hizo ni nadharia,  hata hivyo kama nilivyokueleza hakunabhatabmoja yenye uhakika kitaalamu. Ijapokuwa wengine wanasema zimewasaidia. Huwenda ni kwa bahati zao ama ninkweli zimesaidi

 

Kwa mimi nakuchagulia hiyo ya kwanza. Ila hakikisha usiwe unazidisha machumvi no kilichozungumzwa hapo ni vyakula vyenye madinj ya potasium kama ndizi, na chumvi ya kawaida .

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2832

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Kwa nini hujapata siku zako za hedhi.
Kwa nini hujapata siku zako za hedhi.

Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako.

Soma Zaidi...
Kujaa gesi tumboni
Kujaa gesi tumboni

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kujaa tmgesi tumbon

Soma Zaidi...
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume

Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake

Soma Zaidi...
Dalili za kujifungua
Dalili za kujifungua

Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua.

Soma Zaidi...
Kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa.
Kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa,ni Dalili ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha estrogen kwenye mwili ukilinganisha na homoni ya projestoren.

Soma Zaidi...
Je, mwanamke anapataje Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi PID?
Je, mwanamke anapataje Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi PID?

Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kunyonyesha kwa Mama
Umuhimu wa kunyonyesha kwa Mama

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif

Soma Zaidi...
Uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.
Uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.

Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.

Soma Zaidi...
Hivi kipimo cha mimba cha mkojo baada ya kutumika Mara 1 ,hakiruhusiw tena kutumika au
Hivi kipimo cha mimba cha mkojo baada ya kutumika Mara 1 ,hakiruhusiw tena kutumika au

Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka?

Soma Zaidi...
Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.
Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.

Posti hii inaelezea kiufupi kabisa kuhusiana na Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.

Soma Zaidi...