Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye
1. Uchovu wa mara kwa mara
Kwa kawaida watu wenye matatizo haya uhisi uchovu wa mara kwa mara na usioisha na pengine hata kama hakuna kazi yoyote iliyofanyika uchovu unakuwa unahisi uchovu wa mara kwa mara.
2. Uzito wa kufikiria na kufanya maamuzi.
Kwa kawaida Mtu mwenye tatizo hilo huwa na tatizo la kufikiria hasa mtu akiulizwa kitu kwa ghafla.
3. Ngozi kuwa nyepesi na kavu.
Kwa kawaida watu wenye matatizo ya hali hii kwa kawaida ngozi yao huwa nyepesi na kavu kuliko kawaida na ngozi zilizo na kiwango cha kutosha cha homoni ya cortisol.
4. Kuwepo kwa madonda usoni.
Kwa kawaida Kawaida watu wenye tatizo hili huwa na madoa usoni , hali hii utokea kwa sababu ya kukosa kiwango cha kutosha cha cortsol.
5. Kiwango cha sukari kushuka.
Kwa kawaida wasitani wa sukari usio imara yaat kupanda na kushuka kwa sukari ya mara Kwa mara.
6. Kushindwa au kutovumia kufanya mazoezi.
Kwa kawaida watu wa namnt hii ushindwa kufanya mazoezi kwa sababu pengine ni kwa sababu ya kuhisi uzito kwa sababu ya kuwa na hali ya kutojisikia vibaya.
7. Kama hali ikiendelea mtu anaweza kuwa na mvurugiko wa homoni ambazo kwa kitaalamu hormonal imbalance ni vyema kabisa kupata ushauri kwa wataalamu wa afya.
8. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuachay na dawa za kienyeji baada ya kuona dalili kama hizi kwa sababu mgonjwa hasipopota matibabu ipasavyo anaweza kupata matatizo makubwa kwa hiyo kama nilivyotangulia kusema kuwa ushai katika matibabu ni lazima Ili kuweza kupata matibabu sahihi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kupata Ukimwi ama HIV hufungamana na mambo mengi. Si kila anayefanya ngono zembe nabmuathiria naye lazima aathirike. Hiivsibkweli, ila tangu kuwa hali hii ni hatari kwani kupata maambukizi ni rahisi sana.
Soma Zaidi...Kama na wewe unasumbuliwa na hali ya kupitiliza siku zako post hii itakusaidia.
Soma Zaidi...Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo anaweza kuzipata mwenye Ugonjwa wa tezi dume, sio Dalili zote mtu anaweza kuzipata kwa sababu dalili kama hizi zinaweza kujitokeza hata kwa magonjwa mengine.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea kwa sababu ya kuziba kwa mishipa ya uzazi, ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kuziba kwa mishipa ya uzazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.
Soma Zaidi...Mimba haipatikani kila siku, na pia mimba huingia kwa siku moja na katika muda mmoja. Baada ya mimba kutungwa hakuna tena nafasi ya kutungwa mimba nyingine.
Soma Zaidi...