Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye
1. Uchovu wa mara kwa mara
Kwa kawaida watu wenye matatizo haya uhisi uchovu wa mara kwa mara na usioisha na pengine hata kama hakuna kazi yoyote iliyofanyika uchovu unakuwa unahisi uchovu wa mara kwa mara.
2. Uzito wa kufikiria na kufanya maamuzi.
Kwa kawaida Mtu mwenye tatizo hilo huwa na tatizo la kufikiria hasa mtu akiulizwa kitu kwa ghafla.
3. Ngozi kuwa nyepesi na kavu.
Kwa kawaida watu wenye matatizo ya hali hii kwa kawaida ngozi yao huwa nyepesi na kavu kuliko kawaida na ngozi zilizo na kiwango cha kutosha cha homoni ya cortisol.
4. Kuwepo kwa madonda usoni.
Kwa kawaida Kawaida watu wenye tatizo hili huwa na madoa usoni , hali hii utokea kwa sababu ya kukosa kiwango cha kutosha cha cortsol.
5. Kiwango cha sukari kushuka.
Kwa kawaida wasitani wa sukari usio imara yaat kupanda na kushuka kwa sukari ya mara Kwa mara.
6. Kushindwa au kutovumia kufanya mazoezi.
Kwa kawaida watu wa namnt hii ushindwa kufanya mazoezi kwa sababu pengine ni kwa sababu ya kuhisi uzito kwa sababu ya kuwa na hali ya kutojisikia vibaya.
7. Kama hali ikiendelea mtu anaweza kuwa na mvurugiko wa homoni ambazo kwa kitaalamu hormonal imbalance ni vyema kabisa kupata ushauri kwa wataalamu wa afya.
8. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuachay na dawa za kienyeji baada ya kuona dalili kama hizi kwa sababu mgonjwa hasipopota matibabu ipasavyo anaweza kupata matatizo makubwa kwa hiyo kama nilivyotangulia kusema kuwa ushai katika matibabu ni lazima Ili kuweza kupata matibabu sahihi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kugundua tatizo lake na kutoa msaada pale penye uhitaji.
Soma Zaidi...Zipo siku maalumu ambazo mwanamke hupata mimba. Siku hizi huzoeleka kwa jina la siku hatari. Je ungependa kufahamu mengi kuhusu siku hatari, endelea na makala hii.
Soma Zaidi...Posti inahusu zaidi mazoezi ya kegel, ni mazoezi ambayo ufanywa na watu wengi na sehemu yoyote yanaweza kufanywa kama vile chumbani, sebuleni, uwanjani na sehemu yoyote ile na kwa watu tofauti.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu,ni madhara ambayo utokea kwa mtu anayetumia madawa ya kupunguza maumivu.
Soma Zaidi... Posti hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa ovari kunakosababishwa na maambukizo ya bakteria na kawaida huweza kusababishwa na magonjwa sugu katika Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo mtoa huduma anaweza kuzitumia kuangalia kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa.
Soma Zaidi...Kama uume wako unauma ama unahisi kuwa unaunguza ama kuchoma choma, post hii imekuandalia somo hili.
Soma Zaidi...SIKU YA KUPATA UJAUZITO Mimba hutokea pindi mbegu ya kiume (sperm) inapokutana na yai la mwanamke (ova) na kuungana kwa pamoja kutengeneza selli moja iitwayo zygote.
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua.
Soma Zaidi...