Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye
1. Uchovu wa mara kwa mara
Kwa kawaida watu wenye matatizo haya uhisi uchovu wa mara kwa mara na usioisha na pengine hata kama hakuna kazi yoyote iliyofanyika uchovu unakuwa unahisi uchovu wa mara kwa mara.
2. Uzito wa kufikiria na kufanya maamuzi.
Kwa kawaida Mtu mwenye tatizo hilo huwa na tatizo la kufikiria hasa mtu akiulizwa kitu kwa ghafla.
3. Ngozi kuwa nyepesi na kavu.
Kwa kawaida watu wenye matatizo ya hali hii kwa kawaida ngozi yao huwa nyepesi na kavu kuliko kawaida na ngozi zilizo na kiwango cha kutosha cha homoni ya cortisol.
4. Kuwepo kwa madonda usoni.
Kwa kawaida Kawaida watu wenye tatizo hili huwa na madoa usoni , hali hii utokea kwa sababu ya kukosa kiwango cha kutosha cha cortsol.
5. Kiwango cha sukari kushuka.
Kwa kawaida wasitani wa sukari usio imara yaat kupanda na kushuka kwa sukari ya mara Kwa mara.
6. Kushindwa au kutovumia kufanya mazoezi.
Kwa kawaida watu wa namnt hii ushindwa kufanya mazoezi kwa sababu pengine ni kwa sababu ya kuhisi uzito kwa sababu ya kuwa na hali ya kutojisikia vibaya.
7. Kama hali ikiendelea mtu anaweza kuwa na mvurugiko wa homoni ambazo kwa kitaalamu hormonal imbalance ni vyema kabisa kupata ushauri kwa wataalamu wa afya.
8. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuachay na dawa za kienyeji baada ya kuona dalili kama hizi kwa sababu mgonjwa hasipopota matibabu ipasavyo anaweza kupata matatizo makubwa kwa hiyo kama nilivyotangulia kusema kuwa ushai katika matibabu ni lazima Ili kuweza kupata matibabu sahihi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inaelezea kiufupi kabisa kuhusiana na Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.
Soma Zaidi...Idadi ya siku hatari za kupata mimba hutofautiana kutoka kwa mwanamke mmoja namwinhine. Kinda ambao idadivyavsikuvzao za hatari ni nyingi kuliko wengine.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo
Soma Zaidi...Posti inahusu zaidi njia maalum za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha,Ni njia za uzazi ambazo wanaonyesha wanatumia kwa sababu kuna njia nyingine zikitumiwa na wanaonyonyesha zinaweza kuleta matatizo kwa watoto au kusababisha maziwa kutokuwa na vitamini v
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na maambukizi na uvimbe katika mirija ya uzazi. Mara nyingi hutumiwa sawa na ugonjwa wa uvimbe kwenye fupa nyonga (PID), ingawa PID haina ufafanuzi sahihi na inaweza kurejelea magonjwa kadhaa ya njia ya juu ya uzazi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu malengo ya kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano, huduma hii ilianzishwa na WHO na UNICEF mwaka 1990 ili kuweza kuzuia Magonjwa na kuwapatia watoto lishe pamoja na hayo walikuwa na malengo yafuatayo.
Soma Zaidi...Kondomu ni mpira ambao uwekwa kwenye uke au uume kwa ajili ya kuzuia mimba wakati wa kujamiiana
Soma Zaidi...Mtoto huweza kuzaliwa ndani ya miezi 6 na unaweza kupona. Na huyu mdoe mtoto njiti. Na anaweza kuzliwa kwa njia ya kawaida. Hakuna ushahidi unaiinyesha kuwa njiti hukabiliwanamatatizo ya kitalima kwenye ukubwa wako.
Soma Zaidi...Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako.
Soma Zaidi...