Habari nilitaka kujua kuhusu ugonjwa wa fungusi kwenye uume

Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.

Swali: 

' Habari nilitaka kujua kuhusu ugonjwa wa fungusi kwenye uume'

 

Jibu: '

Kwanza ungezitambua dalili za fangasi hao.  Huwenda unahisi no fangasi kunbe sio. Wacha kwanza tuzione dalili za fabgasi kwenye uume: 

' Kuwashwa

' Kutokwa na uchafu

' Kubabuka kwa ngozi ya uume

' Ngozi ya uume kuwa na rangi tofautitifauti

' Kutokwa na mabakomabako kwenye ngozi ya uume

' Kuoatwa na maumivu wakati wa tendo la ndoa na baada. 

 

' Matibabu: 

Fika kituo cha afya upate vipimo na dawa.  Ama fika duka la dawa mwambie akupatie dawa za fangasi. 

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/05/13/Friday - 06:48:53 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 933

Post zifazofanana:-

Hatua za kinga za ugumba na Utasa.
Ugumba ni 'ugonjwa wa mfumo wa uzazi unaofafanuliwa kwa kushindwa kupata ujauzito baada ya miezi 12 au zaidi ya kujamiiana bila kinga mara kwa mara. Utasa' kutoweza kwa kiumbe hai kufanya uzazi wa ngono au kutoweza kupata mimba au kuchangia mimba. Soma Zaidi...

Hadithi ya mwenye kutabiriwa mtoto wa tajiri
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu unasababishwa na sababu zifuatazo
Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu unasababishwa na nini? (EDK form 1: mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu unasababishwa na sababu zifuatazo) Soma Zaidi...

Aina za fangasi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya aina za fangasi Soma Zaidi...

Nini husababisha korodani moja kuwa kubwa kuliko nyingine
kama pumbu moja ni kubwa uliko jingine post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakwend akuangalia vinavyoweza kusababisha korodani moja kuw akubwa zaidi ya lingine Soma Zaidi...

Ni lipi lengo la Elimu katika yislamu?
Ni lipi lengo kuu la Elimu katika uislamu (Edk form 1 Dhanaya Elimu) Soma Zaidi...

Mbinu za kuondoa sumu mwilini.
Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini. Soma Zaidi...

Dondoo muhimu ya ki afya.
Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu ya ki afya, ni maelekezo ambayo utolewa ili kuweza kuzifanya afya zetu ziwe bora zaidi na kuepuka madhara yoyote ya ki afya Soma Zaidi...

Je unaweza ukapona macho kama huoni vizuri kwa sababu ya vitamini A,
Jiamini A ni katika vitamini inayojulikana sana kuboresha na kuimarisha afya vya macho na uoni. Tafiti zinaonyesha kuwa kuna kundi kubwa la watoto wanaopata tayizobla kutokuona kutokana na ukosefu wa vitamini A vya kutosha. Soma Zaidi...

Dalili za kujifungua
Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua. Soma Zaidi...

Hatua za kupambana na ugonjwa wa UTI
Posti hii inahusu zaidi hatua au mbinu za kupambana na ugonjwa wa UTI kwa sababu ugonjwa huu umekuwa tishio kubwa kwa sasa kwa hiyo tunapaswa kutumia njia mbalimbali ili kuweza kupambana na Ugonjwa huu. Soma Zaidi...

Vyakula hatari kwa afya ya moyo
Hivi ni vyakula hatari kwa watu wenye maradhi ya moyo. Vyakula hivi si salama kwa afya ya moyo Soma Zaidi...