Habari nilitaka kujua kuhusu ugonjwa wa fungusi kwenye uume
Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.
Swali:
🆠Habari nilitaka kujua kuhusu ugonjwa wa fungusi kwenye uumeðŸ†
Jibu: âœï¸
Kwanza ungezitambua dalili za fangasi hao. Huwenda unahisi no fangasi kunbe sio. Wacha kwanza tuzione dalili za fabgasi kwenye uume:
👉 Kuwashwa
👉 Kutokwa na uchafu
👉 Kubabuka kwa ngozi ya uume
👉 Ngozi ya uume kuwa na rangi tofautitifauti
👉 Kutokwa na mabakomabako kwenye ngozi ya uume
👉 Kuoatwa na maumivu wakati wa tendo la ndoa na baada.
🚑 Matibabu:
Fika kituo cha afya upate vipimo na dawa. Ama fika duka la dawa mwambie akupatie dawa za fangasi.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 web hosting 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
siku za kupata mimba
Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba na dalili za siku hizo.
Soma Zaidi...Madhara ya kutumia madawa ya shida ya upumuaji
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya shida ya upumuaji, ni madhara madogo madogo ambayo utokea kwa watumiaji wa matatizo ya kupumua.
Soma Zaidi...Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha
Soma Zaidi...Ni zipi njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukuletea njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume
Soma Zaidi...Maji ya Amniotic
Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.
Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo.
Soma Zaidi...