Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.
Swali:
🆠Habari nilitaka kujua kuhusu ugonjwa wa fungusi kwenye uumeðŸ†
Jibu: âœï¸
Kwanza ungezitambua dalili za fangasi hao. Huwenda unahisi no fangasi kunbe sio. Wacha kwanza tuzione dalili za fabgasi kwenye uume:
👉 Kuwashwa
👉 Kutokwa na uchafu
👉 Kubabuka kwa ngozi ya uume
👉 Ngozi ya uume kuwa na rangi tofautitifauti
👉 Kutokwa na mabakomabako kwenye ngozi ya uume
👉 Kuoatwa na maumivu wakati wa tendo la ndoa na baada.
🚑 Matibabu:
Fika kituo cha afya upate vipimo na dawa. Ama fika duka la dawa mwambie akupatie dawa za fangasi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukuletea mambo kadhaa yanayohusiana na malezi bora ya mama mjamzito na mtoto mchanga
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
Soma Zaidi...Nimesoma makala yenu, sasa nina swaliJe kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kutafuta ujauzito
Soma Zaidi...Hali ya ujauzito huanza kutabirika Mara tu ya kujamiana, pia chemikali (hormon) za mwili huanza mchakato wa kuongeza na kupunguza utendaji kazi wa kemikali hizo mfano.follical stimulating hormon (FSH) na lutenazing hormon kuivisha yai tayari kwa kutengen
Soma Zaidi...