Post hii itakujulidha mambo ambayo hupunguza nguvu za kiume
NINI HUSABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Sababu za tatizo hili:
1. Kuwa na maradhi ya moyo
2. Kuziba kwa mishipa ya damu (atherosclerosis)
3. Kuwa na mafuta mengi mwilini (high cholesterol)
4. Kuwa na presha ya kupanda (high blood pressure)
5. Kisukari
6. Matumizi ya baadhi ya madawa
7. Uvutaji wa sigara
8. Maradhi kwenye uume kama peyronie
9. Unywaji wa pombe
10. Utumiaji wa madawa ya kulevya
11. Matibabu ya saratani ya korodani
12. Upasuaji katika maeneo nyeti au ugwe mgongo
13. Kuwa na mdongo wa mawazo ama woga
14. Mahusiano yasiyo mazuri
15. Kuwa na uzito kupitiliza
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.
Soma Zaidi...Hizi ni siku za hatari kupata ujauzito.Siku hizi ndio siku za kupata mimba kwa urahisi
Soma Zaidi...Utajifunza sababu za maumivu ya uume na uke wakati wa tendo la ndoa na baada ya tendo la ndoa na matibabu yake.
Soma Zaidi...Je na wewe ni moja kati ya wake ambao wanahitajivkujuwa siku za kupata mimba. Ama siku za competes mwanamke mimba. Post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu.
Soma Zaidi...Uchungu wa uzazi hutokana na kubana nakuachia kwa misuli hii husababishwa kufunhuka kwa mlango wa tumbo la uzazi pamoja na shingo ya kizazi na kumuongezea mama uchungu wakati wa kujifungua(during labour) Pia kubana na kuachia huanza polepole wakati wa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbegu ambazo ni nzima na ambazo zina sifa ya kutungisha mimba kwa hiyo mbegu hizi utazigundua kwa kuwa na sifa zifuatazo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.
Soma Zaidi...