picha

Nini husababisha upungufu wa nguvu za kiume

Post hii itakujulidha mambo ambayo hupunguza nguvu za kiume

NINI HUSABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

 

Sababu za tatizo hili:

 

1. Kuwa na maradhi ya moyo

2. Kuziba kwa mishipa ya damu (atherosclerosis)

3. Kuwa na mafuta mengi mwilini (high cholesterol)

4. Kuwa na presha ya kupanda (high blood pressure)

5. Kisukari

6. Matumizi ya baadhi ya madawa

7. Uvutaji wa sigara

8. Maradhi kwenye uume kama peyronie

9. Unywaji wa pombe

10. Utumiaji wa madawa ya kulevya

11. Matibabu ya saratani ya korodani

12. Upasuaji katika maeneo nyeti au ugwe mgongo

13. Kuwa na mdongo wa mawazo ama woga

14. Mahusiano yasiyo mazuri

15. Kuwa na uzito kupitiliza

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 2371

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 ai web app     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

siku za kupata mimba

Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba na dalili za siku hizo.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba changa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba changa

Soma Zaidi...
Hatua za Kuzuia Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na mirija ya uzazi

Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi

Soma Zaidi...
Dalili za mimba ya mtoto wa kiume ama mtoto wa kike

Posti hii inakwenda kukueleza jinsi ya kuwjuwa kama mtoto ni wa kike ama wa kiume.

Soma Zaidi...
NAMNA YA KUBORESHA MBEGU ZA KIUME, NA VYAKULA VYA KUBORESHA NGUVU ZA KIUME

Njoo ujifunze vyakula vya kuboresha mbegu za kiume na nguvu za kiume.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kuanzia siku 7 Hadi 14

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba kuanzia siku ya 7 Hadi ya 14

Soma Zaidi...