Post hii itakujulidha mambo ambayo hupunguza nguvu za kiume
NINI HUSABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Sababu za tatizo hili:
1. Kuwa na maradhi ya moyo
2. Kuziba kwa mishipa ya damu (atherosclerosis)
3. Kuwa na mafuta mengi mwilini (high cholesterol)
4. Kuwa na presha ya kupanda (high blood pressure)
5. Kisukari
6. Matumizi ya baadhi ya madawa
7. Uvutaji wa sigara
8. Maradhi kwenye uume kama peyronie
9. Unywaji wa pombe
10. Utumiaji wa madawa ya kulevya
11. Matibabu ya saratani ya korodani
12. Upasuaji katika maeneo nyeti au ugwe mgongo
13. Kuwa na mdongo wa mawazo ama woga
14. Mahusiano yasiyo mazuri
15. Kuwa na uzito kupitiliza
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
DALILI KUU ZA MIMBA (UJAUZITO) Watu wengi sana wamekuwa wakilalamika kuwa mimba zao zinatoka, ama kupotea bila ya kujulikana tatizo wala bila ya kuugua.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukutania madhara ya kuoiga punyeto kwa afya yako.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea njia za asili walizotumia zamani katika kupima ujauzito
Soma Zaidi...Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka?
Soma Zaidi...Wajawazito wamekuwa wakisumbuliwa sana na kiungulia, makala hii itakujulisha njia za kukabiliana na kiungulia, dalili zake na dawa zake
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi homoni ya androgen, ni homoni ambayo imo kwa wanaume na ikizidi kwa kiwango chake inaweza kuleta shida kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo homoni hii inaweza kuleta shida iwapo ikiongezeka kwa kiasi kikubwa.
Soma Zaidi...Kutokwa Majimaji sehemu za siri kwa mwanamke sio jambo la kushangaza na kuhisivunaumwa. Majimajivhaya ndio huboresha afya ya uzazi kwa kusafisha na kulinda via vya uzazi. Lakini majimajivhaya yakiwa mengi, ama yanawasha ama yanaharufu haa ndipo kwenye tat
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutanuka kwa tezi dume, ni tatizo ambalo linawakumba wanaume wengi kwa wakati huu kwa sababu ya kuwepo kwa maaambukizi kwenye tezi ambayo Usababishwa na vitu mbalimbali kama tulivyoona.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya mdalasini katika matibabu ya homoni kwa wanawake.
Soma Zaidi...