Sababu za uvimbe kwenye matiti na dalili zake kiafya.
TATIZO LA UVIMBE KWENYE MATITI (MAZIWA)
Katika hali ya kawaida vimbe nyingi kwenye matiti hazina athari kubwa za kiafya na huondoka zenyewe. Hata hivyo zipo ambazo zinachelewa kuondoka ama haziondoki kabisa. Vimbe hiz huweza kusababishwa na mabo mengi. Lakini zipo chache husababishwa na saratani. Vimbe kwenye matiti mara nyingi si zenye kusababisha maumivu ama kutokwa na majimaji ama maziwa ama damu kwenye chuchu. Je unasumbuliwa na uvimbe wa kwenye matiti, makala hii ni kwa ajili yako.
Sababu za uvimbe kwenye matiti
1.Matiti kujaa majimaji kwenye vijishimo vidigovidogo vilivyomo ndani ya titi
2.Vijitundu vidogovidogo ndani ya titi kujaa maziwa (hutokea wakati wa kunyonyesha)
3.Tishu za kwenye ziwa kuwa kama linyama
4.Majeraha
5.Kuwa na infection (mashambulizi ya bakteria) kwenye titi
6.Saratani ya ziwa
7.Kuota kwa vijinyama kama chunjuwa kwenye mrija wa maziwa
Muda wa kumuona Daktari
Kama ulivyosoma hapo juu kuwa uvimbe wa titi unaweza kuondoka wenyewe bila hata ya kuhitaji dawa. Lakini hutokea ikahitaji kumuona daktari endapo:-
1.Umeingezeka mwingine
2.Uvimbe haukuondoka hata baada ya kupata hedhi
3.Uvimbe unazidi kuwa mkubwa
4.Ziwa limeanza kuonyesha michubuko
5.Ngozi ya ziwa kubadilika rangi
6.Maumbile ya chuchu kubadilika
7.Chuchu kuanza kutoa damu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Fahamu Ute unaotoka wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi Ute unaotoka wakati wa ujauzito, kwa kawaida wakati wa ujauzito Kuna Ute ambao utoka na ni tofauti na kawaida pale mwanamke akiwa Hana mimba.
Soma Zaidi...tuseme nilifanya ngono jana na leo nipata period,je kuna uwezekano wa kupata mimba
Mimba inatungwa katika siku maalumu na hazizidi 10. Sio kila ukishiriki tendo unaweza pata mimba. Je unaweza kupata mimba baada ya kushiriki tendo wiki moja kabla ya kuingia hedhi?
Soma Zaidi...Sababu za za ugumba kwa Mwanaume
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.
Soma Zaidi...Nini husababisha korodani moja kuwa kubwa kuliko nyingine
kama pumbu moja ni kubwa uliko jingine post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakwend akuangalia vinavyoweza kusababisha korodani moja kuw akubwa zaidi ya lingine
Soma Zaidi...Hivi kipimo cha mimba cha mkojo baada ya kutumika Mara 1 ,hakiruhusiw tena kutumika au
Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka?
Soma Zaidi...Samahani nilikua naomba niulize swali mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii
Kama na wewe unasumbuliwa na hali ya kupitiliza siku zako post hii itakusaidia.
Soma Zaidi...