Post hii inahusu zaidi kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, hali hii utokea kwa watoto wadogo wakati wa kuzaliwa kwa sababu maalum kama tutakavyoona.
Kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.
1. Wakati wa kuzaliwa kuzaliwa kuna kipindi mtoto anaweza kuvunjika anaweza kuvunjika sehemu mbalimbali kama vile kwenye mabega, kwenye sehemu za mikono na miguu hali ambayo usababisha kulemaza kwa mtoto na kusababisha kwa baadhi ya viungo kushindwa kufanya kazi zake.
2. Kwa kawaida mtoto kama amezaliwa sio rahisi kumwona mara moja kama amevunjika au kutenguka tunaweza kuona baada ya mtoto kukaa kwa mda inawezekana ni siku moja au mbili kwa sababu ukimshika mtoto anaweza kuanza kulia kwa hiyo ni vizuri kabisa kumwangalia mtoto pindi anapozaliwa ili kuweza kutambua sehemu mbalimbali ambazo zimekuwa na matatizo.
3. Hali hii utokea kwa sababu mbalimbali ambazo ni pamoja na mtoto kama amekaa vibaya tumboni au ametanguliza sehemu ambayo humfanya kuvunjika.
4. Ni vizuri kabisa kuwaangalia watoto wadogo pindi wanapozaliwa ili kuwahi na kuepuka ulemavu wa kudumu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza uke, tunajua wazi kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo uke hautaweza kutunzwa vizuri na pia uke ukitunzwa vizuri kuna faida ya kuepuka maradhi ya wanawake kwa njia ya kutunza uke.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tabia mbalimbali za Ute wa ovulation kwa sababu Ute huu huwa tofauti na Ute mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa tabia zake za kipekee kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Ikiwa mtoto wako ana kasoro ya moyo wa kuzaliwa, ina maana kwamba mtoto wako alizaliwa na tatizo katika muundo wa moyo wake. Baadhi ya kasoro za moyo za kuzaliwa kwa watoto ni rahisi na hazihitaji matibabu, kama vile tundu dogo kati ya chemba za moyo amb
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtoto alizaliwa na uzito mkubwa.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na nguvu za kiume zinavyopungua na Ni Mambo gani yanayofanya zipungue
Soma Zaidi...Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za mimba kutoka, hili ni tatizo ambalo linawakumba wanawake wengi ambapo mimba utoka kabla ya kumfikisha mda wake, kwa kawaida Ili kawaida mimba nyingi utoka zikiwa na miezi chini ya Saba au wengine wanaweza kusema kwamba mim
Soma Zaidi...