Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s
1. Achana na uvutaji wa sigara.
Kwa kawaida tunafahamu kuwa kwenye sigara Kuna madini mbalimbali ikitokea yakatumiwa vibaya usababisha mbegu za kiume kupunguza ubora wake na hatimaye kama mtu alianza mapema kutumia sigara usababisha mbegu za mwanaume kukosa nguvu na kusababisha kuwepo kwa nguvu za kiume kwa wanaume au mwanaume kutoa mbegu ambazo hazijakomaa.
2. Epuka matumizi ya mara Kwa mara ya dawa za kuongeza homoni ya testosterone bila ruhusa ya daktari.
Kwa kawaida homoni hii ya testosterone usaidia katika shughuli mbalimbali za kubarehe, Kuna kipindi homoni hii haizalishwi vya kutosha kwa hiyo dawa mbalimbali zinazotolewa kwa ajili ya kuongeza homoni hii kwa hiyo ili kuendelea au matumizi ya dawa za kuongeza homoni utolewa kwa uangalizi wa daktari kwa hiyo matumizi ya mara kwa mara usababisha uharibifu wa mbegu za kiume.
3. Matumizi ya mlo kamili.
Mlo kamili ni ule mlo wenye aina mbalimbali za vyakula yaani kila mlo uwe na mboga za majani na matunda pia kuepuka ulaji wa mlo mmoja kila siku kwa mfano ugali kuanzia asubuhi mpaka jioni.
4.Mazoezi yanapaswa kufanyika kwa wanaume.
Kwa kawaida miili yetu imejaa sumu kwa sababu ya kuwepo kwa vyakula mbalimbali na vyenye kemikali ni vizuri kabisa kufanya mazoezi ili kuweza kupunguza sumu mwilini na kufanya kila kitu kikawa chepesi.
5. Punguza matumizi ya pombe.
Matumizi ya pombe hasa kwa vinywaji vyenye wingi wa caffeine ya kutosha kwa mfano matumizi makubwa ya soda.
6. Tunza vizuri joto la mwili wako.
Acha kuvaa nguo nyingi sana za ndani kwa wakati mmoja na kawaida vaa nguo laini laini.
7. Punguza msingo wa mawazo.
Kwa kupunguza mawazo kila kitu kinaweza kuwa sawa na kawaida shirikisha mambo yako yanayokusumbua kwa wengine ili kuweza kuwa huru.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.
Soma Zaidi...Hii ni hali inayowapata wanaume kushindwa kuhimili tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya
Soma Zaidi...Mwanaume na mwanamke wanapo kutana na kujamiina kama mwanamke yupo kwenye ferlile process ni rahisi kupata mbimba. Sparm Zaid ya million moja huingia kwenye mfuko wa lakin sparm moja ndio huweza kuingia kwenye ovum(yai)lakin nyingine hubaki kwenye follopi
Soma Zaidi...Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama mjamzito mzito, kwa sababu Mama mjamzito anapaswa kuwa makini katika matumizi ya chakula ili kuweza kuongeza vitu muhimu mwil
Soma Zaidi...Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kugundua tatizo lake na kutoa msaada pale penye uhitaji.
Soma Zaidi...DALILI KUU ZA MIMBA (UJAUZITO) Watu wengi sana wamekuwa wakilalamika kuwa mimba zao zinatoka, ama kupotea bila ya kujulikana tatizo wala bila ya kuugua.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya sifa za siku za kupata mimba
Soma Zaidi...Unataka kujuwa sababu za mjamzito kutokwa na damu, utelezi ama majimaji kwenye uke wake. Na dalili gani zinaashiriwa na majimaji haya
Soma Zaidi...