Menu



Mambo muhimu kuhusu mbegu za kiume

Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s

Mambo muhimu kuhusu mbegu za kiume.

1.  Achana na uvutaji wa sigara.

Kwa kawaida tunafahamu kuwa kwenye sigara Kuna madini mbalimbali ikitokea yakatumiwa vibaya usababisha mbegu  za kiume kupunguza ubora wake na hatimaye kama mtu alianza mapema kutumia sigara usababisha mbegu za mwanaume kukosa nguvu na kusababisha kuwepo kwa nguvu za kiume kwa wanaume au mwanaume kutoa mbegu ambazo hazijakomaa.

 

2. Epuka matumizi ya mara Kwa mara ya dawa za kuongeza homoni ya testosterone bila ruhusa ya daktari.

Kwa kawaida homoni hii ya testosterone usaidia katika shughuli mbalimbali za kubarehe, Kuna kipindi homoni hii haizalishwi vya kutosha kwa hiyo dawa  mbalimbali zinazotolewa kwa ajili ya kuongeza homoni hii kwa hiyo ili kuendelea au matumizi ya dawa za kuongeza homoni utolewa kwa uangalizi wa daktari kwa hiyo matumizi ya mara kwa mara usababisha uharibifu wa mbegu za kiume.

 

3. Matumizi ya mlo kamili.

Mlo kamili ni ule mlo wenye aina mbalimbali za vyakula yaani kila mlo uwe na mboga za majani na matunda pia kuepuka ulaji wa mlo mmoja kila siku kwa mfano ugali kuanzia asubuhi mpaka jioni.

 

4.Mazoezi yanapaswa kufanyika kwa wanaume.

Kwa kawaida miili yetu imejaa sumu kwa sababu ya kuwepo kwa vyakula mbalimbali na vyenye kemikali ni vizuri kabisa kufanya mazoezi ili kuweza kupunguza sumu mwilini na kufanya kila kitu kikawa chepesi.

 

5. Punguza matumizi ya pombe.

Matumizi ya pombe hasa kwa vinywaji vyenye wingi wa caffeine ya kutosha kwa mfano matumizi makubwa ya soda.

 

6. Tunza vizuri joto la mwili wako.

Acha kuvaa nguo nyingi sana za ndani kwa wakati mmoja na kawaida vaa nguo laini laini.

 

7. Punguza msingo wa mawazo.

Kwa kupunguza mawazo kila kitu kinaweza kuwa sawa na kawaida shirikisha mambo yako yanayokusumbua kwa wengine ili kuweza kuwa huru.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1231

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Madhara ya vidonge vya P2

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2,

Soma Zaidi...
Sababu za Mayai kushindwa kuzalishwa kwa mwanamke

Posti hii inahusu zaidi sababu za kushindwa kuzalishwa mayai kwa mwanamke, ni tatizo ambalo utokea kwa mwanamke ambapo mwanamke anashindwa kuzalisha mayai.

Soma Zaidi...
Mambo muhimu ambayo mama mjamzito anatakiwa kuzingatia.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo ambayo mama mjamzito anatakiwa kuzingatia katika kipindi Cha ujauzito au mimba

Soma Zaidi...
Sababu za kutokea uvimbe kwenye kizazi.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Soma Zaidi...
Ujue Ute kwenye uke

Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.

Soma Zaidi...
Sababu za kupasuka kwa mfuko wa kizazi

Posti hii inahusu zaidi sababu za kupasuka kwa mfuko wa uzazi hasa mama anapokalibia kujifungua.

Soma Zaidi...
Kazi ya metronidazole

Posti hii zaidi kazi ya Dawa ya metronidazole katika kutibu Minyoo, ni aina ya Dawa ambayo imetumiwa na watu wengi wakaweza kupona na kuepukana na minyoo. Zifuatazo ni baadhi ya kazi za metronidazole.

Soma Zaidi...
Mama mjamzito anapo hisi uchungu je mtoto huendelea kucheza tumboni?

Swali langi ni hiliMama mjamzito anapo hisi uchungu je mtoto huendelea kucheza tumboni?

Soma Zaidi...
Mimi naumwa na tumbo chini ya kitovu upande wa kulia, ninapotok kushiriki tendo la ndoa ndonapata maumivu zaid pia nawashwa sehemu za siri itakuwa shida ni nin?

Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya

Soma Zaidi...