Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s
1. Achana na uvutaji wa sigara.
Kwa kawaida tunafahamu kuwa kwenye sigara Kuna madini mbalimbali ikitokea yakatumiwa vibaya usababisha mbegu za kiume kupunguza ubora wake na hatimaye kama mtu alianza mapema kutumia sigara usababisha mbegu za mwanaume kukosa nguvu na kusababisha kuwepo kwa nguvu za kiume kwa wanaume au mwanaume kutoa mbegu ambazo hazijakomaa.
2. Epuka matumizi ya mara Kwa mara ya dawa za kuongeza homoni ya testosterone bila ruhusa ya daktari.
Kwa kawaida homoni hii ya testosterone usaidia katika shughuli mbalimbali za kubarehe, Kuna kipindi homoni hii haizalishwi vya kutosha kwa hiyo dawa mbalimbali zinazotolewa kwa ajili ya kuongeza homoni hii kwa hiyo ili kuendelea au matumizi ya dawa za kuongeza homoni utolewa kwa uangalizi wa daktari kwa hiyo matumizi ya mara kwa mara usababisha uharibifu wa mbegu za kiume.
3. Matumizi ya mlo kamili.
Mlo kamili ni ule mlo wenye aina mbalimbali za vyakula yaani kila mlo uwe na mboga za majani na matunda pia kuepuka ulaji wa mlo mmoja kila siku kwa mfano ugali kuanzia asubuhi mpaka jioni.
4.Mazoezi yanapaswa kufanyika kwa wanaume.
Kwa kawaida miili yetu imejaa sumu kwa sababu ya kuwepo kwa vyakula mbalimbali na vyenye kemikali ni vizuri kabisa kufanya mazoezi ili kuweza kupunguza sumu mwilini na kufanya kila kitu kikawa chepesi.
5. Punguza matumizi ya pombe.
Matumizi ya pombe hasa kwa vinywaji vyenye wingi wa caffeine ya kutosha kwa mfano matumizi makubwa ya soda.
6. Tunza vizuri joto la mwili wako.
Acha kuvaa nguo nyingi sana za ndani kwa wakati mmoja na kawaida vaa nguo laini laini.
7. Punguza msingo wa mawazo.
Kwa kupunguza mawazo kila kitu kinaweza kuwa sawa na kawaida shirikisha mambo yako yanayokusumbua kwa wengine ili kuweza kuwa huru.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki, kliniki nisehemu ambayo mtoto hupelekwa Ili kujua maendeleo ya mtoto akiwa chini ya umri wa miaka mitano
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu,ni madhara ambayo utokea kwa mtu anayetumia madawa ya kupunguza maumivu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufunga kitovu cha mtoto mara tu anapozaliwa, kwa kawaida tunafahamu kwamba ili mtoto aweze kuishi akiwa tumboni anategemea sana kula na kufanya shughuli zake kwa kupitia kwenye plasenta kwa hiyo mtoto akizaliwa tu
Soma Zaidi...Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa fetusi mbili zitakua kutoka kwa kiinitete hiki, zitabaki zimeunganishwa mar
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa h
Soma Zaidi...Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na nguvu za kiume zinavyopungua na Ni Mambo gani yanayofanya zipungue
Soma Zaidi...Hizi ni siku hatari kwa mwanamke ambazo ni ahisi kwake kubeba mimba, siku nitakueleza ni zipi na ni zipi sifa zake
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...