Posti hii inahusu zaidi sababu za kupasuka kwa mfuko wa uzazi hasa mama anapokalibia kujifungua.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kwamba mfuko wa kizazi yanani uterusi upasuka pale mama anapokuwa na uchungu, unaweza kupasuka mzima au akapasuka sehemu kidogo na mama akipata huduma ya haraka anaweza kutoa mtoto wake akiwa hai kabisa.
2. Sababu ya kwanza ni kuwepo kwa alama au kovu kwenye tumbo, kwa mfano labda mama kwenye mimba ya kwanza alifanyiwa upasuaji na akipatwa na uchungu akiwa mbali na hospitali na akakosa huduma ya haraka anaweza kupasuka mfuko wa kizazi.
3. Mtoto kushindwa kutoka kwenye via vya uzazi kwa kitaalamu huitwa obstructed labour kwa sababu pengine njia ni ndogo kwa hiyo mtoto ukaa humo na anajaribu kutoka lakini anashindwa na mda unaendeleaje bila msaada wowote hatimaye mfuko wa kizazi unapasuka.
4. Kusinyaa sana kwa mfuko wa kizazi.
Ili mama aweze kujifungua anapaswa kuwa na uchungu na uchungu huo utokea kwa sababu ya kusinyaa kwa mfuko wa uzazi, kuna kipindi uchungu inakosa na mama anapewa dawa aina ya oxytocin ambayo Usababisha kusinyaa kwa mfuko wa uzazi na ukisinyaa sana bila mpangilio usababisha kupasuka kwa mfuko wa uzazi.
,5. Kwa hiyo baada ya kuona sababu hizo tunapaswa kuzitambua na kuzielewa vizuri na kuokoa maisha ya Mama na mtoto ili kuweza kumfanya mama ajifungue kwa urahisi zaidi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 2756
Sponsored links
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
Kitabu cha Afya
Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke
Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo Soma Zaidi...
NAMNA YA KUITAMBUA SIKU HATARI YA KUPATA MIMBA (UJAUZITO)
SIKU YA KUPATA UJAUZITO Mimba hutokea pindi mbegu ya kiume (sperm) inapokutana na yai la mwanamke (ova) na kuungana kwa pamoja kutengeneza selli moja iitwayo zygote. Soma Zaidi...
Sababu za kutoona hedhi kwa wakati
Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo. Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba
Nitakujulisha siku ya kupata mimba na sifa zake, na namna ya kuweza kuitafuta Soma Zaidi...
Sababu za kutokea uvimbe kwenye kizazi.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi. Soma Zaidi...
Ndug mi naitaj ushauri mimi nishaingia kwenye tendo dakika 7 tu nakua nishafika kilelen naomba ushauri ndugu
Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako. Soma Zaidi...
Nina vidonda kwenye uume wangu, je ni dalili ya nini?
Soma Zaidi...
Wajibu wa mjamzito katika utaratibu wa uleaji wa mimba
Posti hii inahusu zaidi wajibu wa Mama mjamzito katika kileo mimba sio yeye tu Bali na wote waliomzunguka wanapaswa kuhakikisha kuwa mama mjamzito anapaswa kufanyiwa huduma zote Ili kuweza kujifungua salama na bila shida yoyote. Soma Zaidi...
Dalili za mimba kuanzia siku 7 Hadi 14
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba kuanzia siku ya 7 Hadi ya 14 Soma Zaidi...
Dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza Soma Zaidi...