picha

Sababu za kupasuka kwa mfuko wa kizazi

Posti hii inahusu zaidi sababu za kupasuka kwa mfuko wa uzazi hasa mama anapokalibia kujifungua.

Sababu za kupasuka kwa mfuko wa uzazi.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kwamba mfuko wa kizazi yanani uterusi upasuka pale mama anapokuwa na uchungu, unaweza kupasuka mzima au akapasuka sehemu kidogo na mama akipata huduma ya haraka anaweza kutoa mtoto wake akiwa hai kabisa.

 

2. Sababu ya kwanza ni kuwepo kwa alama au kovu kwenye tumbo, kwa mfano labda mama kwenye mimba ya kwanza alifanyiwa upasuaji na akipatwa na uchungu akiwa mbali na hospitali na akakosa huduma ya haraka anaweza kupasuka mfuko wa kizazi.

 

3. Mtoto kushindwa kutoka kwenye via vya uzazi kwa kitaalamu huitwa obstructed labour kwa sababu pengine njia ni ndogo kwa hiyo mtoto ukaa humo na anajaribu kutoka lakini anashindwa na mda unaendeleaje bila msaada wowote hatimaye mfuko wa kizazi unapasuka.

 

4. Kusinyaa sana kwa mfuko wa kizazi.

Ili mama aweze kujifungua anapaswa kuwa na uchungu na uchungu huo utokea kwa sababu ya kusinyaa kwa mfuko wa uzazi, kuna kipindi uchungu inakosa na mama anapewa dawa aina ya oxytocin  ambayo Usababisha kusinyaa kwa mfuko wa uzazi na  ukisinyaa sana bila mpangilio usababisha kupasuka kwa mfuko wa uzazi.

 

,5. Kwa hiyo baada ya kuona sababu hizo tunapaswa kuzitambua na kuzielewa vizuri na kuokoa maisha ya Mama na mtoto ili kuweza kumfanya mama ajifungue kwa urahisi zaidi.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 4164

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 ai web app     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Signs and symptoms of pregnancy.

In fact there is a lot of signs and symptoms of pregnancy a mother experiences throughout pregnant. These signs may start to be revealed immediately after conception or in the first week after conception. A term pregnancy is traditionally calculated by mi

Soma Zaidi...
Dalili za mimba changa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba changa

Soma Zaidi...
Sababu za mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa

Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Madhara ya mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtoto alizaliwa na uzito mkubwa.

Soma Zaidi...
Hatua Saba za kutibu au kuepuka uvimbe kwenye kizazi

Posti hii inahusu zaidi hatua ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kutibu uvimbe au kwa kitaalamu huitwa fibroids. Hizi hatua zikitumika uweza kusaidia kupunguza kiwango cha kupata au kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kutoka.

Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...