Posti hii inahusu zaidi sababu za kupasuka kwa mfuko wa uzazi hasa mama anapokalibia kujifungua.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kwamba mfuko wa kizazi yanani uterusi upasuka pale mama anapokuwa na uchungu, unaweza kupasuka mzima au akapasuka sehemu kidogo na mama akipata huduma ya haraka anaweza kutoa mtoto wake akiwa hai kabisa.
2. Sababu ya kwanza ni kuwepo kwa alama au kovu kwenye tumbo, kwa mfano labda mama kwenye mimba ya kwanza alifanyiwa upasuaji na akipatwa na uchungu akiwa mbali na hospitali na akakosa huduma ya haraka anaweza kupasuka mfuko wa kizazi.
3. Mtoto kushindwa kutoka kwenye via vya uzazi kwa kitaalamu huitwa obstructed labour kwa sababu pengine njia ni ndogo kwa hiyo mtoto ukaa humo na anajaribu kutoka lakini anashindwa na mda unaendeleaje bila msaada wowote hatimaye mfuko wa kizazi unapasuka.
4. Kusinyaa sana kwa mfuko wa kizazi.
Ili mama aweze kujifungua anapaswa kuwa na uchungu na uchungu huo utokea kwa sababu ya kusinyaa kwa mfuko wa uzazi, kuna kipindi uchungu inakosa na mama anapewa dawa aina ya oxytocin ambayo Usababisha kusinyaa kwa mfuko wa uzazi na ukisinyaa sana bila mpangilio usababisha kupasuka kwa mfuko wa uzazi.
,5. Kwa hiyo baada ya kuona sababu hizo tunapaswa kuzitambua na kuzielewa vizuri na kuokoa maisha ya Mama na mtoto ili kuweza kumfanya mama ajifungue kwa urahisi zaidi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Vyakula hivi hapasi kuvila mwanamke mwenye ujauzito kwa kiasi kikubwa, hasa yule mwenye mimba chaga
Soma Zaidi...Kichefuchefu ni moja katika dalili za mimba za mapema, Lucinda je upo uwezekano kwa mwanamke kuwa na ujauzito bila hata ya kuwa na kichefuchefu?
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha mtoto, kunyonyesha ni kitendo cha Mama kutumia titi lake Ili kuweza kumpatia mtoto lishe kwa kipindi chote ambacho Mama upaswa kutumia kwa kunyonyesha mtoto wake kwa hiyo Kuna faida ambazo mama uzipata kutoka
Soma Zaidi...Nina swali langu:-je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?
Soma Zaidi...Kunyonyesha ni moja katika njia za asili za kuzuia upatikanaji wa miba nyingine. Hata hivyo hii haimaanishi kuwa huwezi kupata mimba ukiwa unavyonyesha.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja, mara nyingi kuna Watu ambao huwa wanalalamika kwa sababu ya kupata hedhi za mara kwa mara kwa mwezi mmoja.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito, ni mojawapo ya njia ambazo utumiwa na wahudumu wa afya ili kuweza kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito.
Soma Zaidi...