Post hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka mambo haya yanaweza yakawahusu akina Mama wenyewe, familia na jamii kwa ujumla.
Mambo ya kuzingatia ikiwa mimba imetoka.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu chanzo cha mimba kutoka nini ni nini? Kama ni mimba ya kwanza mama anapaswa kuwa makini na kufuata utaratibu wa wataalamu wa afya kuhusu ni wakati gani wa kubeba mimba Ili kuweza kuepuka madhara ya kutoka kwa mimba.
2. Pia Mama aliyetoa mimba anapaswa kuhudumiwa kama mama yule aliyejifungua kwa mfano mimba ikitoka na miezi sita maumivu aliyoyapata yule aliyejifungua na aliyetoa mimba ni Yale Yale na pengine kama vyuma vya kutoa mimba vimetumika maumivu ni makubwa zaidi.
3. Pia Mama anapaswa kujua ni wakati gani wa kubeba mimba nyingine, kwa kawaida mama akitoa mimba anapaswa kubeba mimba nyingine baada ya miezi sita kwa sababu mama aliyetoa mimba anaweza kuingia kwenye siku zake za mwezi ndani ya siku ishilini na Moja.
4. Pia Mama anapaswa kufahamu kwamba akibeba mimba kabla ya miezi sita anaweza kupata tatizo hilo hilo kwa sababu via vya uzazi na viungo vya kusaidia kushika mtoto vinakuwa bado havijakomaa kuweza kubeba mimba tena na kusababisha kutoka kwa mimba mara nyingine kama mama amebeba mimba kabla ya mda.
5. Vile vile jamii inapaswa kuelewa kwamba mimba kutoka sio laana kwa jamii Bali ni kwa sababu mbalimbali kama vile maambukizi, na mambo mengine mengi kwa hiyo jamii inapaswa kutoa Mila potofu na kuwepo kwa ushirikiano kwa mama na familia kwa ujumla.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kuna uwezekano una ujauzito ila hujajijuwa, huwenda hujapata dalili zozote. Unataka kujuwa kama una ujauzito baada ya tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa.
Soma Zaidi...Makala hii itakujuza baadhi ya njia utakaoweza kuzifuata ili kukabiliana na fangasi sehemu za siri kwa wanaume
Soma Zaidi...dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango, Ni watu ambao Wana matatizo mbalimbali endapo wakitumia wanaoweza kuleta madhara mbalimbali.
Soma Zaidi...Hivi unadhani kuharisha ni katika dalili za mimba, vipi kuhusu kutopata choo pia inaweza kuwa ni ujauzito?
Soma Zaidi...Idadi ya siku hatari za kupata mimba hutofautiana kutoka kwa mwanamke mmoja namwinhine. Kinda ambao idadivyavsikuvzao za hatari ni nyingi kuliko wengine.
Soma Zaidi...Matatizo yahusianayo na nguvu za kume na kukosa hamu ya tendo la ndoa kwahuweza kuchangiwa sana na mpangilio mbovu wa vyakula pamoja na saikolojia ya mtu.
Soma Zaidi...