Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
1. Kutokwa kwa mimba.
Kwanza kabisa Mama akiwa na upungufu wa homoni ya progesterone anaweza kutoka mimba kwa sababu homoni hii ni msaada mkubwa katika makuzi ya mimba kama homoni hii ni ndoo kutoka kwa mimba ni kugusa.
2.pre menstruation syndrome.
Hali hii inamkumba mwanamke wiki Moja Hadi mbili kabla ya kuona siku zake za mwezi Mama anakuwa na uchovu, miwasho sehemu za Siri, vipele vyekundu au vyeusi, pamoja na mabadiliko ya mood kama vile hasira au kuwa na furaha kupita kiasi.
3. Kuongezeka uzito kwa ghafla na kuwa na wasiwasi,Kuna kipindi ambapo Mama anaweza kuongezeka uzito kwa ghafla na kuwa na wasiwasi usio wa kawaida hali hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kidogo cha homoni ya progesterone.
4. Maumivu ya uvimbe kwenye maziwa,
Kuna wakati mwingine mama anakuwa na maumivu yanayoambatana na uvimbe pamoja kwenye matiti hali hii utokana kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kidogo cha homoni ya progesterone na kiwango kikubwa cha homoni ya estrogen.
5. Kupata kizungu zungu mara kwa mara.
Kwa kawaida Mama mwenye tatizo hili huwa anapatwa na kizungu zungu mara kwa mara kwa sababu ya kutokuwepo kwa usawia katika homoni ya progesterone kwa kiwango cha kutosha.
6. Vipele vyekundu na chunusi hasa usoni na ngozi kuwa na mafuta mengi na ya kuzidi kiasi .
7. Kuwepo kwa maumivu ya kichwa ya mara Kwa mara hasa kwa akina Mama wlio kwenye wakati wa kujifungua.
8. Kupoteza kumbukumbu na kuwepo kwa uzito wa kufikilia.
Kwa wakati mwingine mama anaweza kupoteza kumbukumbu mara kwa mara na kuwepo kwa uzito wa kufikilia mambo.
9. Kuwepo kwa ugumba.
Kwa sababu kazi ya homoni ya progesterone ni kusababisha uchevushaji wa mayai na pia kusaidia katika uzalishaji pamoja na kutungwa kwa mimba kwa hiyo homoni hii ikikosa inaweza kusababisha hali ikawa mbaya zaidi na Mama au dada kupata ugumba.
10. Pamoja na Daili tulizoziona si dalili zote utokea kwa sababu ya kukosa kwa homoni ya progesterone ni vizuri kabisa kupima au kuwaona wataalamu wa afya endapo umepatwa na tatizo hili hasa kutoka mimba au ugumba unaoendana na dalili kama tulivyoziona hapo juu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za mimba inayotaka kutoka yenyewe, Kuna wakati mwingine mama anabeba mimba na mimba hiyo I atishia kutoka na huwa inaonyesha dalili mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni dalili za mimba kutaka kutoka yenyewe.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama, tunajua wazi kubwa kuna faida kubwa za uzazi wa mpango kwa akina Mama pindi watumiapo njia hizi kwa uhakika zaidi.
Soma Zaidi...Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za mimba kutoka, hizi ni jinsi mimba inavyoonyesha dalili za kutoka na nyingine zinaweza kuonyesha dalili Ila kwa sababu ya huduma mbalimbali za kwanza hizo mimba zinaweza kudhibiiwa na mtoto akazaliwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wanaotoa hedhi yenye mabonge, ni tatizo ambalo uwakumba wasichana hata wanawake wakati wa hedhi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye
Soma Zaidi...Zipo siku maalumu ambazo mwanamke hupata mimba. Siku hizi huzoeleka kwa jina la siku hatari. Je ungependa kufahamu mengi kuhusu siku hatari, endelea na makala hii.
Soma Zaidi...