Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
1. Kutokwa kwa mimba.
Kwanza kabisa Mama akiwa na upungufu wa homoni ya progesterone anaweza kutoka mimba kwa sababu homoni hii ni msaada mkubwa katika makuzi ya mimba kama homoni hii ni ndoo kutoka kwa mimba ni kugusa.
2.pre menstruation syndrome.
Hali hii inamkumba mwanamke wiki Moja Hadi mbili kabla ya kuona siku zake za mwezi Mama anakuwa na uchovu, miwasho sehemu za Siri, vipele vyekundu au vyeusi, pamoja na mabadiliko ya mood kama vile hasira au kuwa na furaha kupita kiasi.
3. Kuongezeka uzito kwa ghafla na kuwa na wasiwasi,Kuna kipindi ambapo Mama anaweza kuongezeka uzito kwa ghafla na kuwa na wasiwasi usio wa kawaida hali hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kidogo cha homoni ya progesterone.
4. Maumivu ya uvimbe kwenye maziwa,
Kuna wakati mwingine mama anakuwa na maumivu yanayoambatana na uvimbe pamoja kwenye matiti hali hii utokana kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kidogo cha homoni ya progesterone na kiwango kikubwa cha homoni ya estrogen.
5. Kupata kizungu zungu mara kwa mara.
Kwa kawaida Mama mwenye tatizo hili huwa anapatwa na kizungu zungu mara kwa mara kwa sababu ya kutokuwepo kwa usawia katika homoni ya progesterone kwa kiwango cha kutosha.
6. Vipele vyekundu na chunusi hasa usoni na ngozi kuwa na mafuta mengi na ya kuzidi kiasi .
7. Kuwepo kwa maumivu ya kichwa ya mara Kwa mara hasa kwa akina Mama wlio kwenye wakati wa kujifungua.
8. Kupoteza kumbukumbu na kuwepo kwa uzito wa kufikilia.
Kwa wakati mwingine mama anaweza kupoteza kumbukumbu mara kwa mara na kuwepo kwa uzito wa kufikilia mambo.
9. Kuwepo kwa ugumba.
Kwa sababu kazi ya homoni ya progesterone ni kusababisha uchevushaji wa mayai na pia kusaidia katika uzalishaji pamoja na kutungwa kwa mimba kwa hiyo homoni hii ikikosa inaweza kusababisha hali ikawa mbaya zaidi na Mama au dada kupata ugumba.
10. Pamoja na Daili tulizoziona si dalili zote utokea kwa sababu ya kukosa kwa homoni ya progesterone ni vizuri kabisa kupima au kuwaona wataalamu wa afya endapo umepatwa na tatizo hili hasa kutoka mimba au ugumba unaoendana na dalili kama tulivyoziona hapo juu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Hali ya ujauzito huanza kutabirika Mara tu ya kujamiana, pia chemikali (hormon) za mwili huanza mchakato wa kuongeza na kupunguza utendaji kazi wa kemikali hizo mfano.follical stimulating hormon (FSH) na lutenazing hormon kuivisha yai tayari kwa kutengen
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito, ni mojawapo ya njia ambazo utumiwa na wahudumu wa afya ili kuweza kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.
Soma Zaidi...Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ongezeko la homoni ya estrogen, kwa kawaida homoni hii ya estrogen inapaswa kulingana ikitokea ikaongezeka uleta madhara mbalimbali kwenye mwili na Kuna dalili ambazo zzz inaweza kujionesha wazi mpaka tukafahamu kuwa ni tatizo la o
Soma Zaidi...