DALILI ZA HATARI AMBAYO ZINAWEZA KUSABABISHA UGUMBA


image


Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zilijitokeza zinaweza kusababisha ugumba hasa kwa wanawake, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kwa Dalili hizi hasa kwa wadada, kama kuna uwezekano wa matibabu tibu mapema ili kuepuka tatizo la kuwa mgumba.


Dalili za hatari ambazo zinaweza kusababisha ugumba.

1.  Kuwepo na maumivu makali wakati wa hedhi.

Ni tatizo ambalo linaweza au linawakuta watoto wengi wa kike kwa hiyo ni vizuri kabisa kutibu ili kuweza kuepuka na tatizo.

 

2. Kichefuchefu kikali kila ukikaribia kuingia kwenye siku zako za mwezi.

Kuna kichefuchefu cha kawaida kabla ya hedhi ila kuna kipindi kichefuchefu kinakuwa cha hatari kabisa na kusababisha madhara makubwa baadae.

 

3. Maziwa kujaa kila ukikaribia hedhi.

Hili ni tatizo mojawapo ambalo uleta shida kwa sababu unakuta maziwa yanajaa hata kama mtu hana mimba hali inayoleta wasi wasi mkubwa.

 

4. Pia matiti kuuma kwa hali isiyo ya kawaida.

Kwa kawaida kabla ya kuingia kwenye siku za mwezi matiti kwa kawaida uuma ila kuna kipindi yanauma sana na kuzidi kipimo.

 

5. Mwili kuuma sana ukikaribia hedhi na kusababisha hali ya kuwa mjamzito huku hakuna ujauzito wowote hizi ni hali isiyo ya kawaida kwa dada au mama hasiye na mimba.

 

6. Hedhi inayojirudia mara kwa mara.

Kwa kawaida kila mwezi inapaswa kuwepo kwa hedhi kwa mara moja ila kuna kipindi utokea mara mbili zaidi kwa hiyo ni hali hii ikijirudia kwa hiyo Usababisha matatizo makubwa.

 

7. Kukosa hedhi kabisa.

Kwa kawaida kuna kipindi hedhi zinakosa na kusababisha matatizo makubwa kwa hiyo hali hiyo siyo nzuri kabisa.

 

8. Kukosa hali ya kuwepo kwa hamu ya tendo la ndoa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa hali ya homoni imbalance usababisha kuwepo kwa kukosa hamu ya tendo la ndoa.

 

9. Uchafu kutoka ukeni.

Kwa sababu ya kuwepo kwa kwa matatizo mbalimbali usababisha hali ya kuwepo kwa kutoka uchafu kwenye tendo la ndoa.

 

10. Kukosa Ute wa uzazi.

Na pia hii ni mojawapo ya hali ya hatari kwa sababu ya kuwepo kukosa kwa Ute kwenye uzazi.

 

11. Joto la mwili kushuka katika siku za hatari.

Kwa sababu mbalimbali kuna tatizo la kushuka kwa joto la mwili kwenye siku za hatari.

Kwa sababu 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    4 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    5 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya html kwa kiswahili    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi.
Posti hii inahusu zaidi dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama ambaye anakuwa amepasuka mfuko wa kizazi. Soma Zaidi...

image Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa
Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujifungua. Soma Zaidi...

image Ay ni iv kipimo cha mimb uanz kutoa majb ndan ya mda gan wik mwez au iko vipi?
Kipimo cha Mlimba huweza kuonyesha mimba changa mapema sana. Pia ni rahisi kutumia na kinapatikana kwa bei nafuu. Je ungeoendavkujuwa ni muda gani kinatoa majibu sahihi? Soma Zaidi...

image Sababu za Ugonjwa wa kifafa cha mimba.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kifafa cha mimba, kwa kawaida mpaka sasa hakuna taarifa zozote kuhusu sababu za kuwepo kwa kifafa cha mimba ila kuna visababishi vinavyofikiliwa kama ni Dalili za kifafa cha mimba kama ifuatavyo Soma Zaidi...

image Njia za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha.
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha kwa sababu kuna familia nyingi zinakosa watoto sio kwa sababu ni tasa ila kuna njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image DALILI ZA TEZI DUME
Tezi dume hii ni tezi inayopatikana katika katika mfumo wa uzazi wa mwanaume Ila hujulikana kama PROSTATE GLAND. pia hukua karibu na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo hutumika kuzalisha majimaji (simen) yanayobeba mbegu hivyo bas mkojo unapotoka kwenye kibofu hupitia katika tez dume ukiwa kwenye mrija wa urethr Tezi dume hukua anapopata umri zaidi na inapoongezeka ukubwa ndipo unapoanza Kiminya mirija ya kupitisha mkojo hatimaye huanzisha tatizo la ugonjwa wa tez dume ambapo hujulikana kama Begign prostatic hyperplasia. Soma Zaidi...

image Sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.
Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo. Soma Zaidi...

image Mimi naumwa na tumbo chini ya kitovu upande wa kulia, ninapotok kushiriki tendo la ndoa ndonapata maumivu zaid pia nawashwa sehemu za siri itakuwa shida ni nin?
Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya Soma Zaidi...

image Aina za uvimbe kwenye kizazi.
Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za uvimbe kwenye kizazi, uvimbe unatokea kwenye kizazi ila utofautiana kulingana na sehemu ambazo uvimbe huo umepata. Soma Zaidi...

image Changamoto kubwa za tendo la ndoa kwa wanaume
Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao Soma Zaidi...