Dalili Za hatari ambayo zinaweza kusababisha ugumba


image


Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zilijitokeza zinaweza kusababisha ugumba hasa kwa wanawake, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kwa Dalili hizi hasa kwa wadada, kama kuna uwezekano wa matibabu tibu mapema ili kuepuka tatizo la kuwa mgumba.


Dalili za hatari ambazo zinaweza kusababisha ugumba.

1.  Kuwepo na maumivu makali wakati wa hedhi.

Ni tatizo ambalo linaweza au linawakuta watoto wengi wa kike kwa hiyo ni vizuri kabisa kutibu ili kuweza kuepuka na tatizo.

 

2. Kichefuchefu kikali kila ukikaribia kuingia kwenye siku zako za mwezi.

Kuna kichefuchefu cha kawaida kabla ya hedhi ila kuna kipindi kichefuchefu kinakuwa cha hatari kabisa na kusababisha madhara makubwa baadae.

 

3. Maziwa kujaa kila ukikaribia hedhi.

Hili ni tatizo mojawapo ambalo uleta shida kwa sababu unakuta maziwa yanajaa hata kama mtu hana mimba hali inayoleta wasi wasi mkubwa.

 

4. Pia matiti kuuma kwa hali isiyo ya kawaida.

Kwa kawaida kabla ya kuingia kwenye siku za mwezi matiti kwa kawaida uuma ila kuna kipindi yanauma sana na kuzidi kipimo.

 

5. Mwili kuuma sana ukikaribia hedhi na kusababisha hali ya kuwa mjamzito huku hakuna ujauzito wowote hizi ni hali isiyo ya kawaida kwa dada au mama hasiye na mimba.

 

6. Hedhi inayojirudia mara kwa mara.

Kwa kawaida kila mwezi inapaswa kuwepo kwa hedhi kwa mara moja ila kuna kipindi utokea mara mbili zaidi kwa hiyo ni hali hii ikijirudia kwa hiyo Usababisha matatizo makubwa.

 

7. Kukosa hedhi kabisa.

Kwa kawaida kuna kipindi hedhi zinakosa na kusababisha matatizo makubwa kwa hiyo hali hiyo siyo nzuri kabisa.

 

8. Kukosa hali ya kuwepo kwa hamu ya tendo la ndoa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa hali ya homoni imbalance usababisha kuwepo kwa kukosa hamu ya tendo la ndoa.

 

9. Uchafu kutoka ukeni.

Kwa sababu ya kuwepo kwa kwa matatizo mbalimbali usababisha hali ya kuwepo kwa kutoka uchafu kwenye tendo la ndoa.

 

10. Kukosa Ute wa uzazi.

Na pia hii ni mojawapo ya hali ya hatari kwa sababu ya kuwepo kukosa kwa Ute kwenye uzazi.

 

11. Joto la mwili kushuka katika siku za hatari.

Kwa sababu mbalimbali kuna tatizo la kushuka kwa joto la mwili kwenye siku za hatari.

Kwa sababu 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Je, wajua sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti kwa wanawake?
Maumivu ya matiti ni malalamiko ya kawaida miongoni mwa wanawake yanaweza kujumuisha uchungu wa matiti, maumivu makali ya kuungua au kubana kwenye tishu zako za matiti. Maumivu yanaweza kuwa ya mara kwa mara au yanaweza kutokea mara kwa mara tu. Maumivu ya matiti yanaweza kuanzia kidogo hadi makali. Inaweza kukuathiri siku chache tu kwa mwezi, kwa mfano kabla tu ya kipindi chako, au inaweza kudumu kwa siku saba au zaidi kila mwezi. Soma Zaidi...

image dalili za mimba changa ndani ya wiki moja
Je na wewe ni katika ambao wanahitaji kujuwa dalili za mimba ndani ya wiki moja? kama ndio makala hii ni kwa ajili yako. Utakwenda kuona dalili za mwanzo sana za ujauzito toka siku za mwanzoni. Soma Zaidi...

image Mambo yanayodhihirisha afya ya nguvu za kiume
Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali yanayodhoofisha afya za wanaume, kwa wakati mwingine wanaume ukosa kujiamini kwa sababu ya mambo ambayo yanaadhiri afya za wanaume. Soma Zaidi...

image Dalili za upungufu wa homoni ya progesterone
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone. Soma Zaidi...

image Dalili za upungufu wa homoni ya projestron
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone. Soma Zaidi...

image Mimi Nina tatizo kila nkishika mimba huwa zinatoka tu ni mara 5 Sasa nifanyaje?
Mimba inaweza kutoka kutokana na maradhi, majeraha ama misukosuko mimgine. Kutoka kwa mimva haimaanishi ndio mwisho wa kizazi. Soma Zaidi...

image Madhara ya kutoka kwa mimba
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutoka kwa mimba, kwa kawaida tunafahamu kwamba mimba ikitungwa na mwili mzima huwa na wajibu wa kutunza kilichotungwa kwa hiyo ikitokea mimba ikatoka usababisha madhara yafuatayo. Soma Zaidi...

image Habari, naomba kuulizia, nimadhara gani atayapata mwanamke akitolewa bikra bila kukusudia
Je unawaza nini endapo bikra itatolewa bila wewe kukusudia, je imetolewa kwa njia ya kawaida yaani uume ama ilikuwa ni ajali? Soma Zaidi...

image Vyanzo vya mwanamke kushindwa kupata ujauzito
Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya mwanamke kushindwa kupata ujauzito, kwa sababu kuna sababu nyingi ambazo Usababisha mwanamke kushindwa kupata ujauzito kama tutakavyoona hapo mbeleni Soma Zaidi...

image Siku za kupata ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata ujauzito Soma Zaidi...