Dalili Za hatari ambayo zinaweza kusababisha ugumba
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zilijitokeza zinaweza kusababisha ugumba hasa kwa wanawake, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kwa Dalili hizi hasa kwa wadada, kama kuna uwezekano wa matibabu tibu mapema ili kuepuka tatizo la kuwa mgumba.
Dalili za hatari ambazo zinaweza kusababisha ugumba.
1. Kuwepo na maumivu makali wakati wa hedhi.
Ni tatizo ambalo linaweza au linawakuta watoto wengi wa kike kwa hiyo ni vizuri kabisa kutibu ili kuweza kuepuka na tatizo.
2. Kichefuchefu kikali kila ukikaribia kuingia kwenye siku zako za mwezi.
Kuna kichefuchefu cha kawaida kabla ya hedhi ila kuna kipindi kichefuchefu kinakuwa cha hatari kabisa na kusababisha madhara makubwa baadae.
3. Maziwa kujaa kila ukikaribia hedhi.
Hili ni tatizo mojawapo ambalo uleta shida kwa sababu unakuta maziwa yanajaa hata kama mtu hana mimba hali inayoleta wasi wasi mkubwa.
4. Pia matiti kuuma kwa hali isiyo ya kawaida.
Kwa kawaida kabla ya kuingia kwenye siku za mwezi matiti kwa kawaida uuma ila kuna kipindi yanauma sana na kuzidi kipimo.
5. Mwili kuuma sana ukikaribia hedhi na kusababisha hali ya kuwa mjamzito huku hakuna ujauzito wowote hizi ni hali isiyo ya kawaida kwa dada au mama hasiye na mimba.
6. Hedhi inayojirudia mara kwa mara.
Kwa kawaida kila mwezi inapaswa kuwepo kwa hedhi kwa mara moja ila kuna kipindi utokea mara mbili zaidi kwa hiyo ni hali hii ikijirudia kwa hiyo Usababisha matatizo makubwa.
7. Kukosa hedhi kabisa.
Kwa kawaida kuna kipindi hedhi zinakosa na kusababisha matatizo makubwa kwa hiyo hali hiyo siyo nzuri kabisa.
8. Kukosa hali ya kuwepo kwa hamu ya tendo la ndoa.
Kwa sababu ya kuwepo kwa hali ya homoni imbalance usababisha kuwepo kwa kukosa hamu ya tendo la ndoa.
9. Uchafu kutoka ukeni.
Kwa sababu ya kuwepo kwa kwa matatizo mbalimbali usababisha hali ya kuwepo kwa kutoka uchafu kwenye tendo la ndoa.
10. Kukosa Ute wa uzazi.
Na pia hii ni mojawapo ya hali ya hatari kwa sababu ya kuwepo kukosa kwa Ute kwenye uzazi.
11. Joto la mwili kushuka katika siku za hatari.
Kwa sababu mbalimbali kuna tatizo la kushuka kwa joto la mwili kwenye siku za hatari.
Kwa sababu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Sababu za kutoona hedhi kwa wakati
Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo.
Soma Zaidi...Nguzo kuu za umama katika umri wa kupata watoto na kulea watoto
Posti hii inahusu zaidi nguzo kuu za umama katika umri wa kujifungua na kulea watoto, ni kipindi ambacho mama anakuwa analea watoto kwa kawaida kadri ya makadirio kipindi hiki uanza kati ya miaka kumi na mitano mpaka arobaini kwa walio wengi na kinaweza k
Soma Zaidi...Mabadiliko ya Matiti kwa Mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Nataka nijue Kuwa njia yakuzuia mimba wakati Wakufany tendo La ndoa
Je ungependa kuijuwa Njia ya kuzuia mimba wakati wa tendo la ndoa?. Posti hii itakwenda kukufundisha ujanja huu.
Soma Zaidi...Namna ya kutibu kuharisha kwa mtoto ukiwa nyumbani.
Post hii inahusu zaidi njia za kutibu kuharisha kwa watoto wakiwa nyumbani, kwa sababu mara nyingine mtoto anaweza kuharisha si kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ila ni uchafu tu kwa hiyo njia muhimu zinazofaa kutibu mtoto ni pamoja na yafuatayo.
Soma Zaidi...Je siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?
Swali langu ni hili doktaJe siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?
Soma Zaidi...