Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zilijitokeza zinaweza kusababisha ugumba hasa kwa wanawake, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kwa Dalili hizi hasa kwa wadada, kama kuna uwezekano wa matibabu tibu mapema ili kuepuka tatizo la kuwa mgumba.
1. Kuwepo na maumivu makali wakati wa hedhi.
Ni tatizo ambalo linaweza au linawakuta watoto wengi wa kike kwa hiyo ni vizuri kabisa kutibu ili kuweza kuepuka na tatizo.
2. Kichefuchefu kikali kila ukikaribia kuingia kwenye siku zako za mwezi.
Kuna kichefuchefu cha kawaida kabla ya hedhi ila kuna kipindi kichefuchefu kinakuwa cha hatari kabisa na kusababisha madhara makubwa baadae.
3. Maziwa kujaa kila ukikaribia hedhi.
Hili ni tatizo mojawapo ambalo uleta shida kwa sababu unakuta maziwa yanajaa hata kama mtu hana mimba hali inayoleta wasi wasi mkubwa.
4. Pia matiti kuuma kwa hali isiyo ya kawaida.
Kwa kawaida kabla ya kuingia kwenye siku za mwezi matiti kwa kawaida uuma ila kuna kipindi yanauma sana na kuzidi kipimo.
5. Mwili kuuma sana ukikaribia hedhi na kusababisha hali ya kuwa mjamzito huku hakuna ujauzito wowote hizi ni hali isiyo ya kawaida kwa dada au mama hasiye na mimba.
6. Hedhi inayojirudia mara kwa mara.
Kwa kawaida kila mwezi inapaswa kuwepo kwa hedhi kwa mara moja ila kuna kipindi utokea mara mbili zaidi kwa hiyo ni hali hii ikijirudia kwa hiyo Usababisha matatizo makubwa.
7. Kukosa hedhi kabisa.
Kwa kawaida kuna kipindi hedhi zinakosa na kusababisha matatizo makubwa kwa hiyo hali hiyo siyo nzuri kabisa.
8. Kukosa hali ya kuwepo kwa hamu ya tendo la ndoa.
Kwa sababu ya kuwepo kwa hali ya homoni imbalance usababisha kuwepo kwa kukosa hamu ya tendo la ndoa.
9. Uchafu kutoka ukeni.
Kwa sababu ya kuwepo kwa kwa matatizo mbalimbali usababisha hali ya kuwepo kwa kutoka uchafu kwenye tendo la ndoa.
10. Kukosa Ute wa uzazi.
Na pia hii ni mojawapo ya hali ya hatari kwa sababu ya kuwepo kukosa kwa Ute kwenye uzazi.
11. Joto la mwili kushuka katika siku za hatari.
Kwa sababu mbalimbali kuna tatizo la kushuka kwa joto la mwili kwenye siku za hatari.
Kwa sababu
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Mdau anauliza ni muda gani mwanamke anaweza kujijuwa kuwa amepata ujauzito.
Soma Zaidi...Tezidume ni moja ya magonjwa hayari yanayotokea katika mwili wa mwanaume.Hapa nimekuandalia sababu za kutokea kwa tezi dume.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa,ni Dalili ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha estrogen kwenye mwili ukilinganisha na homoni ya projestoren.
Soma Zaidi...Postii inafundisha maandalizi ya mama kwa ajili ya kujifungulia hii Ni muhimu Sana kwa wale ambao hawajawahi kujingua Ni mara yao ya kwanza wanatakiwa kujua na kuelewa vifaa na mahitaji kujifungulia na kwa wale wanaohudhuria clinic huwa wanafundisha.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na maambukizi na uvimbe katika mirija ya uzazi. Mara nyingi hutumiwa sawa na ugonjwa wa uvimbe kwenye fupa nyonga (PID), ingawa PID haina ufafanuzi sahihi na inaweza kurejelea magonjwa kadhaa ya njia ya juu ya uzazi
Soma Zaidi...Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa.
Soma Zaidi...Maumivu ya matiti ni malalamiko ya kawaida miongoni mwa wanawake yanaweza kujumuisha uchungu wa matiti, maumivu makali ya kuungua au kubana kwenye tishu zako za matiti. Maumivu yanaweza kuwa ya mara kwa mara au yanaweza kutokea mara kwa mara tu. Maumiv
Soma Zaidi...