image

Madhara ya kutoka kwa mimba

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutoka kwa mimba, kwa kawaida tunafahamu kwamba mimba ikitungwa na mwili mzima huwa na wajibu wa kutunza kilichotungwa kwa hiyo ikitokea mimba ikatoka usababisha madhara yafuatayo.

Madhara ya kutoka kwa mimba.

1. Kutokwa sana na damu .

Kwa kawaida mimba ikitoka mama utokwa sana na damu hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwa akina mama ambayo ni pamoja na upungufu wa damu mwilini,kuzimia na wakati mwingine kuwa  na matatizo katika sehemu mbalimbali za mwili au kwa wakati mwingine kama mimba zinatoka mara kwa mara usababisha ugumba kwa akina mama.

 

 

 

 

2. Wakati mwingine kutoka kwa mimba mara kwa mara usababisha mimba zingine kutungwa nje ya kizazi kwa sababu ya kuharibikiwa kwa mfuko wa kizazi.

 

 

 

 

3. Pengine kuwepo kwa msongo wa mawazo kwa sababu kuna familia nyingine mama kama ameolewa na mimba zinatoka usababisha kutengwa na ndugu hasa wanaume zao kuwatenga hali inayosababisha kuwepo kwa msongo wa mawazo.

 

 

 

4. Kutoka kwa mimba mara kwa mara usababisha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza utokea pale mama anapopewa damu labda pengine kuna virusi vya Ukimwi na homa ya ini.

 

 

 

5. Kusababisha kuharibika kwa mfuko wa uzazi.

Kwa sababu wakati mwingine vyuma utumika ili kuweza kutoa uchafu uliopo hali ambayo usababisha kuharibika kwa mfuko wa uzazi.

 

 

 

6. Kubadika kwa siku za kawaida za mwezi.

Kwa sababu ya kutoa mimba mara kwa mara hali hiyo pia usababisha kuharibika kwa mfumo wa mzunguko wa mwezi.

 

 

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1224


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Njia za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha.
Posti inahusu zaidi njia maalum za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha,Ni njia za uzazi ambazo wanaonyesha wanatumia kwa sababu kuna njia nyingine zikitumiwa na wanaonyonyesha zinaweza kuleta matatizo kwa watoto au kusababisha maziwa kutokuwa na vitamini v Soma Zaidi...

Ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango.
Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango. Soma Zaidi...

Je siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?
Swali langu ni hili doktaJe siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari? Soma Zaidi...

Mabadiliko kwenye tumbo la uzazi wa Mama anapobeba Mimba.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye tumbo la uzazi la Mama pindi anapobeba mimba, ni mabadiliko yanayotokea kwa mwanamke anapobeba mimba kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Namna ya kuongeza na mjamzito ili kupata taarifa zake na kutoa msaada
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kugundua tatizo lake na kutoa msaada pale penye uhitaji. Soma Zaidi...

Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake
Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo Soma Zaidi...

Namna ya kuangalia maendeleo ya mtoto akiwa tumboni mwa Mama
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia maendeleo ya mtoto akiwa tumboni mwa mama, zoezi hili ufanyika kila mwezi pale mama anapokuja kwenye mahudhurio kwa kufanya hivyo tunaweza kuja maendeleo ya mtoto kwa kila mwezi. Soma Zaidi...

Njia za kiasili zilizotumika zamani kqtika kupima ujauzito
Somo hili linakwenda kukuletea njia za asili walizotumia zamani katika kupima ujauzito Soma Zaidi...

Dalili kuu za mwanzo za mimba changa, kuanzia siku ya kwanza
Ni ngumu ila nitakujuza namna ya kuitambuwa mimba ya siku moja hadi 3, mimba ya wiki moja na mimba ya miezi mitatu kwa dalili. Soma Zaidi...

Korodan kuwasha ni mja ya dalil ya fangas ,na ulimi kuchanka pmja na maumivu ndan ya mdomo wa juu na chini
Swali langu. Soma Zaidi...

Dalili za tezi dume.
Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo anaweza kuzipata mwenye Ugonjwa wa tezi dume, sio Dalili zote mtu anaweza kuzipata kwa sababu dalili kama hizi zinaweza kujitokeza hata kwa magonjwa mengine. Soma Zaidi...

Vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba
Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara. Soma Zaidi...