picha

Madhara ya kutoka kwa mimba

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutoka kwa mimba, kwa kawaida tunafahamu kwamba mimba ikitungwa na mwili mzima huwa na wajibu wa kutunza kilichotungwa kwa hiyo ikitokea mimba ikatoka usababisha madhara yafuatayo.

Madhara ya kutoka kwa mimba.

1. Kutokwa sana na damu .

Kwa kawaida mimba ikitoka mama utokwa sana na damu hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwa akina mama ambayo ni pamoja na upungufu wa damu mwilini,kuzimia na wakati mwingine kuwa  na matatizo katika sehemu mbalimbali za mwili au kwa wakati mwingine kama mimba zinatoka mara kwa mara usababisha ugumba kwa akina mama.

 

 

 

 

2. Wakati mwingine kutoka kwa mimba mara kwa mara usababisha mimba zingine kutungwa nje ya kizazi kwa sababu ya kuharibikiwa kwa mfuko wa kizazi.

 

 

 

 

3. Pengine kuwepo kwa msongo wa mawazo kwa sababu kuna familia nyingine mama kama ameolewa na mimba zinatoka usababisha kutengwa na ndugu hasa wanaume zao kuwatenga hali inayosababisha kuwepo kwa msongo wa mawazo.

 

 

 

4. Kutoka kwa mimba mara kwa mara usababisha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza utokea pale mama anapopewa damu labda pengine kuna virusi vya Ukimwi na homa ya ini.

 

 

 

5. Kusababisha kuharibika kwa mfuko wa uzazi.

Kwa sababu wakati mwingine vyuma utumika ili kuweza kutoa uchafu uliopo hali ambayo usababisha kuharibika kwa mfuko wa uzazi.

 

 

 

6. Kubadika kwa siku za kawaida za mwezi.

Kwa sababu ya kutoa mimba mara kwa mara hali hiyo pia usababisha kuharibika kwa mfumo wa mzunguko wa mwezi.

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 2135

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 web hosting     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito.

Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama mjamzito mzito, kwa sababu Mama mjamzito anapaswa kuwa makini katika matumizi ya chakula ili kuweza kuongeza vitu muhimu mwil

Soma Zaidi...
Dalili za kuharibika kwa mimba

Katika post hii utajifunza ishara na dalili ninazoonyesha kuwa mimba ipo hatarini kutoka ama inaweza kuwa imeshatoka.

Soma Zaidi...
Huduma kwa mama mwenye mimba ambayo inataka kutoka.

Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba inataka kutoka, mimba za aina hiyo kwa kitaalamu huitwa inevitable pregnant ni lazima itoke tu hata kama kuna juhudi mbalimbali za wataalamu mimba hii utoka kabisa.

Soma Zaidi...
Fahamu sifa za Ute wa siku za kupata mimba yaani ovulation day

Posti hii inahusu zaidi sifa za Ute wa ovulation, ni Ute ambao utokea siku za ovulation yaani siku ambazo ni tayari kwa kubeba mimba, yaani siku za upevishaji wa yai.

Soma Zaidi...
Mama mjamzito anapo hisi uchungu je mtoto huendelea kucheza tumboni?

Swali langi ni hiliMama mjamzito anapo hisi uchungu je mtoto huendelea kucheza tumboni?

Soma Zaidi...
Dalili za mama mjamzito akikaribia kujifungua

Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic

Soma Zaidi...