picha

Madhara ya kutoka kwa mimba

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutoka kwa mimba, kwa kawaida tunafahamu kwamba mimba ikitungwa na mwili mzima huwa na wajibu wa kutunza kilichotungwa kwa hiyo ikitokea mimba ikatoka usababisha madhara yafuatayo.

Madhara ya kutoka kwa mimba.

1. Kutokwa sana na damu .

Kwa kawaida mimba ikitoka mama utokwa sana na damu hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwa akina mama ambayo ni pamoja na upungufu wa damu mwilini,kuzimia na wakati mwingine kuwa  na matatizo katika sehemu mbalimbali za mwili au kwa wakati mwingine kama mimba zinatoka mara kwa mara usababisha ugumba kwa akina mama.

 

 

 

 

2. Wakati mwingine kutoka kwa mimba mara kwa mara usababisha mimba zingine kutungwa nje ya kizazi kwa sababu ya kuharibikiwa kwa mfuko wa kizazi.

 

 

 

 

3. Pengine kuwepo kwa msongo wa mawazo kwa sababu kuna familia nyingine mama kama ameolewa na mimba zinatoka usababisha kutengwa na ndugu hasa wanaume zao kuwatenga hali inayosababisha kuwepo kwa msongo wa mawazo.

 

 

 

4. Kutoka kwa mimba mara kwa mara usababisha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza utokea pale mama anapopewa damu labda pengine kuna virusi vya Ukimwi na homa ya ini.

 

 

 

5. Kusababisha kuharibika kwa mfuko wa uzazi.

Kwa sababu wakati mwingine vyuma utumika ili kuweza kutoa uchafu uliopo hali ambayo usababisha kuharibika kwa mfuko wa uzazi.

 

 

 

6. Kubadika kwa siku za kawaida za mwezi.

Kwa sababu ya kutoa mimba mara kwa mara hali hiyo pia usababisha kuharibika kwa mfumo wa mzunguko wa mwezi.

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/11/13/Sunday - 09:28:44 pm Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2100

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 ai web app   

Post zinazofanana:

Habar doctor mm nahc kuwa ni mjamzito tumbo la chin ya kitovu linaniuma muda mwingine linaacha chuchu zinawasha na cku niliyokutana na mume wangu ni cku 11

Kuna uwezekano una ujauzito ila hujajijuwa, huwenda hujapata dalili zozote. Unataka kujuwa kama una ujauzito baada ya tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Dalili za saratani kwa watoto.

Posti hii inahusu zaidi Dalili za saratani kwa watoto, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto na ikiwa mlezi au mzazi akiziona tu anaweza kutambua mara moja kwamba hii ni saratani au la na kama bado ana wasiwasi anaweza kupata msaada zaidi kutoka kwa wataa

Soma Zaidi...
Sifa za siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya sifa za siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Vyanzo vya mwanamke kushindwa kupata ujauzito

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya mwanamke kushindwa kupata ujauzito, kwa sababu kuna sababu nyingi ambazo Usababisha mwanamke kushindwa kupata ujauzito kama tutakavyoona hapo mbeleni

Soma Zaidi...
Ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango.

Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.

Soma Zaidi...
Hatua Saba za kutibu au kuepuka uvimbe kwenye kizazi

Posti hii inahusu zaidi hatua ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kutibu uvimbe au kwa kitaalamu huitwa fibroids. Hizi hatua zikitumika uweza kusaidia kupunguza kiwango cha kupata au kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Soma Zaidi...
Sababu za uke kuwa na harufu mbaya.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.

Soma Zaidi...
Dalili za kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroid)

Post hii inaenda kufundisha kuhusiana na uvimbe wa kizazi kwa wanawake. Uvimbe wa kizazi no uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao unaweza kuwa ndan ya kizazi uvimbe huu ndan ya mwanamke hujulikana kama (uterine myoma au fibroid). Uvi

Soma Zaidi...
mimi mara ya mwisho kubleed ilikuwa tareh 3/9 nilisex tarehe 4 je ni kwel nna mimba maana hadi sasa sijableed au ni kawaida tu

Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya.

Soma Zaidi...