picha

Dalili za mimba kutoka.

Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.

Dalili za mimba kutoka.

1. Dalili ya kwanza ni kutokwa na damu sehemu siri.

Kwa sababu kichanga kinakuwa kimeachia ndani ya tumbo la uzazi la Mama hali ambayo usababisha kutoka kwa  damu, kwa kawaida damu huwa ni ya moja kwa moja na haikati.

 

 

 

 

2. Maumivu kwenye tumbo.

Kwa kawaida kama kichanga kimeachia usababisha maumivu chini ya tumbo hasa tumbo la chini kwa kawaida maumivu haya uambatana na kutokwa kwa damu na kwa kawaida maumivu huwa ni makali.

 

 

 

 

3. Mlango wa kizazi kufunguka.

Kwa kawaida ili mtoto aweze kupita ni lazima mlango wa kizazi uweze kufunguka, kwa hiyo kama mtoto ameachia kwenye mfuko wa uzazi hivyo hivyo mlango wa kizazi ufunguks ili kuweza kuruhusu kichanga kiweze kupita.

 

 

 

 

4. Vipande vipande vya kichanga kuweza kupita.

Kwa kawaida ili mimba kutoka kwanza kabisa vipande utoka kimoja kwa kingine ni vizuri kabisa kuhakikisha kwamba vipande vinatoka vyote ili kuepuka madhara.

 

 

 

 

5. Kama mimba ikitoka ukienda kupima unaweza kuona vipande vipande na pia unaweza kuona sehemu mbalimbali ambazo zimeachia kwa hiyo ni vizuri kabisa kufuata utaratibu wote wakati wa kumsaidia mama.

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 2964

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 ai web app     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Sababu za kutokea uvimbe kwenye kizazi.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Soma Zaidi...
Je matiti kujaa na chuchu kuuma inakua ni dalili za hedhi?

Kuunda na kujaa kwa matiti ni miongoni mwa dalili za ujauzito lakini pia ni dalili za kukaribia hedhi kwa baadhi ya wanawake. Posti hii itakwenda kufafanuabutofauti wa dalili hizi na kipi ni sahihibkatibya hedhi ama ujauzito.

Soma Zaidi...
Changamoto za kwenye ndoa kwa waliotoa mimba mara Kwa mara

Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.

Soma Zaidi...
mimi mara ya mwisho kubleed ilikuwa tareh 3/9 nilisex tarehe 4 je ni kwel nna mimba maana hadi sasa sijableed au ni kawaida tu

Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya.

Soma Zaidi...
Yajue madhara ya kutoa mimba mara Kwa mara

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara .

Soma Zaidi...
Sabau za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...