Dalili za mimba kutoka.

Dalili za mimba kutoka.

Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Dalili za mimba kutoka.

1. Dalili ya kwanza ni kutokwa na damu sehemu siri.

Kwa sababu kichanga kinakuwa kimeachia ndani ya tumbo la uzazi la Mama hali ambayo usababisha kutoka kwa  damu, kwa kawaida damu huwa ni ya moja kwa moja na haikati.

 

 

 

 

2. Maumivu kwenye tumbo.

Kwa kawaida kama kichanga kimeachia usababisha maumivu chini ya tumbo hasa tumbo la chini kwa kawaida maumivu haya uambatana na kutokwa kwa damu na kwa kawaida maumivu huwa ni makali.

 

 

 

 

3. Mlango wa kizazi kufunguka.

Kwa kawaida ili mtoto aweze kupita ni lazima mlango wa kizazi uweze kufunguka, kwa hiyo kama mtoto ameachia kwenye mfuko wa uzazi hivyo hivyo mlango wa kizazi ufunguks ili kuweza kuruhusu kichanga kiweze kupita.

 

 

 

 

4. Vipande vipande vya kichanga kuweza kupita.

Kwa kawaida ili mimba kutoka kwanza kabisa vipande utoka kimoja kwa kingine ni vizuri kabisa kuhakikisha kwamba vipande vinatoka vyote ili kuepuka madhara.

 

 

 

 

5. Kama mimba ikitoka ukienda kupima unaweza kuona vipande vipande na pia unaweza kuona sehemu mbalimbali ambazo zimeachia kwa hiyo ni vizuri kabisa kufuata utaratibu wote wakati wa kumsaidia mama.

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2085

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰2 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Zifahamu fibroids (uvimbe kwenye via vya uzazi)
Zifahamu fibroids (uvimbe kwenye via vya uzazi)

Posti hii inahusu zaidi fibroids au uvimbe kwenye via vya uzazi hasa hasa utokea kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa kitaalamu huitwa uterusi, uvimbe huu ulitokea watu wengine huwa hawawezi kutambua Dalili zake mapema kwa hiyo leo tunapaswa kujua Dalili zake

Soma Zaidi...
Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha
Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha

Soma Zaidi...
Namna ya kuangalia maendeleo ya mtoto akiwa tumboni mwa Mama
Namna ya kuangalia maendeleo ya mtoto akiwa tumboni mwa Mama

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia maendeleo ya mtoto akiwa tumboni mwa mama, zoezi hili ufanyika kila mwezi pale mama anapokuja kwenye mahudhurio kwa kufanya hivyo tunaweza kuja maendeleo ya mtoto kwa kila mwezi.

Soma Zaidi...
 Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa?
Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa?

Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua Kama mume wake pamoja na yeye akiwa Hana maambukizi ya zinaa na Kama akiona dalili zozote zile za hatari ndio hataruhusiwa kushiriki tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Namna ya kumpima mtoto uzito
Namna ya kumpima mtoto uzito

Posti hii inahusu namna ya kumpima mtoto uzito, ni njia ambayo utumika kujua uzito wake na maendeleo ya mtoto.

Soma Zaidi...
Nini husababisha upungufu wa nguvu za kiume
Nini husababisha upungufu wa nguvu za kiume

Post hii itakujulidha mambo ambayo hupunguza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Njia huanza kufunguka mda gani kabla ya kujifungua
Njia huanza kufunguka mda gani kabla ya kujifungua

Mtoto huweza kuzaliwa ndani ya miezi 6 na unaweza kupona. Na huyu mdoe mtoto njiti. Na anaweza kuzliwa kwa njia ya kawaida. Hakuna ushahidi unaiinyesha kuwa njiti hukabiliwanamatatizo ya kitalima kwenye ukubwa wako.

Soma Zaidi...
Chanzo cha tatizo la mvurugiko wa hedhi.
Chanzo cha tatizo la mvurugiko wa hedhi.

Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut

Soma Zaidi...
Je ?kipimo kikionyesha misitar miwili mmoja hafifu mwingine umekolea ni mimba au sio
Je ?kipimo kikionyesha misitar miwili mmoja hafifu mwingine umekolea ni mimba au sio

Kipimo chamimba cha mkojo, huonyesha nestory miwili kuwa una mimba, na mmoja kuwa huna mimba. Sasa je ukitokea mmoja umekoleana mwingine hafifu? Endelea na pasti Òœï¸ hadi mwisho

Soma Zaidi...