Dalili za mimba kutoka.


image


Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.


Dalili za mimba kutoka.

1. Dalili ya kwanza ni kutokwa na damu sehemu siri.

Kwa sababu kichanga kinakuwa kimeachia ndani ya tumbo la uzazi la Mama hali ambayo usababisha kutoka kwa  damu, kwa kawaida damu huwa ni ya moja kwa moja na haikati.

 

 

 

 

2. Maumivu kwenye tumbo.

Kwa kawaida kama kichanga kimeachia usababisha maumivu chini ya tumbo hasa tumbo la chini kwa kawaida maumivu haya uambatana na kutokwa kwa damu na kwa kawaida maumivu huwa ni makali.

 

 

 

 

3. Mlango wa kizazi kufunguka.

Kwa kawaida ili mtoto aweze kupita ni lazima mlango wa kizazi uweze kufunguka, kwa hiyo kama mtoto ameachia kwenye mfuko wa uzazi hivyo hivyo mlango wa kizazi ufunguks ili kuweza kuruhusu kichanga kiweze kupita.

 

 

 

 

4. Vipande vipande vya kichanga kuweza kupita.

Kwa kawaida ili mimba kutoka kwanza kabisa vipande utoka kimoja kwa kingine ni vizuri kabisa kuhakikisha kwamba vipande vinatoka vyote ili kuepuka madhara.

 

 

 

 

5. Kama mimba ikitoka ukienda kupima unaweza kuona vipande vipande na pia unaweza kuona sehemu mbalimbali ambazo zimeachia kwa hiyo ni vizuri kabisa kufuata utaratibu wote wakati wa kumsaidia mama.

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Dalili za kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroid)
Post hii inaenda kufundisha kuhusiana na uvimbe wa kizazi kwa wanawake. Uvimbe wa kizazi no uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao unaweza kuwa ndan ya kizazi uvimbe huu ndan ya mwanamke hujulikana kama (uterine myoma au fibroid). Uvimbe huu hauhusiana na kansa na unaweza kubadilika rangi na kuwa njano au ukawa Kama maji sometimes unakuwa mgumu.ugonjwa huu huwapata wakina mama Zaid. Soma Zaidi...

image Zifahamu fibroids (uvimbe kwenye via vya uzazi)
Posti hii inahusu zaidi fibroids au uvimbe kwenye via vya uzazi hasa hasa utokea kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa kitaalamu huitwa uterusi, uvimbe huu ulitokea watu wengine huwa hawawezi kutambua Dalili zake mapema kwa hiyo leo tunapaswa kujua Dalili zake kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Dalili za ongezeko la homoni ya estrogen
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa homoni ya estrogen imeongezeka, hizi dalili zikitokea mama anapaswa kuwahi hospital ili kuweza kupata matibabu au ushauri zaidi. Soma Zaidi...

image Maumivu ya tumbo kabla ya kupata hedhi
Je unasumbuliwa na maumivu ya tumbo. Unadhani ni dalili za mimba na ukapima hakuna mimba. Soma Zaidi...

image Tatizo la muingiliano wa majimaji ya Amniotic au seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito.
posti hii inaelezea kuhusiana tatizo la muingiliano wa majimaji ya seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito ambao hujulikana Kama Amniotic Fluid Embolism ni hali adimu lakini mbaya ambayo hutokea wakati Maji ya amniotiki Majimaji ambayo huzunguka mtoto kwenye uterasi wakati wa ujauzito au nyenzo za fetasi, kama vile nywele, zinapoingia kwenye damu ya mama. Amniotic Fluid Embolism ina uwezekano mkubwa wa kutokea wakati wa kuzaa au mara tu baadaye. Soma Zaidi...

image Njia za kumsafisha Mama aliyetoa mimba.
Post hii inahusu njia safi za kumsafisha Mama ambaye ametoa mimba au mtoto amefia tumboni. Soma Zaidi...

image Haya maji meupe hutokea wakat mimba ishatungwa au ukifanya tendo la ndoa lazima utokee?
Majimaji yanayitoka kwenye uke yanafungamana na taarifa nyingi kuhusu afya vya mwanamke. Ujauzito, maradhi, mabadiliko ya homoni na zaidi. Soma Zaidi...

image Fahamu ugonjwa wa kifafa cha mimba.
Post hii inahusu zaidi Ugonjwa wa kifafa cha mimba ambapo kwa kitaalamu huitwa eclampsia, utokea pale ambapo Mama anapokuwa na degedege wakati wa mimba na baada ya kujiunga. Soma Zaidi...

image Kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa,ni Dalili ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha estrogen kwenye mwili ukilinganisha na homoni ya projestoren. Soma Zaidi...

image Fahamu mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa
Posti hii inahusu zaidi mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa, kwa kawaida tunajua kwamba mtoto wakati wa kuzaliwa ni lazima atangulize kichwa ila Kuna kipindi mtoto anatanguliza matako, kuna aina nne za mtoto kutanguliza matako. Soma Zaidi...