Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut
1. Mtu kupata hofu, furaha au woga na mabadiliko ya kisaikolojia.
Kuna kipindi utokea mtu anaweza kupata furaha ya ghafla akafanya hata na mwili mzima kubadilika au akapata huzuni ya ghafla akasabisha hata mwili nao kubadilika kwa kufanya hivyo usababisha na hedhi kuvurugika au kwa wakati mwingine mtu anakuwa ametendewa ukatili wa hali ya juu na kuhisi hali isiyo ya kawaida na hiyo ufanya hedhi kubadilika.
2. Uwepo wa uvimbe kwenye kizazi.
Kuna wakati mwingine kunakuwepo na uvimbe kwenye kizazi na uvimbe huo unaweza husioneshe Dalili yoyote ile na mtu akawa anaendelea na maisha lakini dalili ya hedhi kuvurugika ni vizuri kabisa kupata vipimo Ili kuweza kuangalia kama ni uvimbe kwenye kizazi.
3. Matatizo katika mfumo wa homoni.
Kuna wakati mwingine na homoni ufanya mabadiliko au mvurugiko wa hedhi kwa sababu Kuna wakati mwingine hakuna hedhi kabisa Ina maana yai halikutoka kwenye ovaries, na Kuna wakati mwingine unapata hedhi mara mbili kwa mwezi Ina maana mayai mawili yaliyotokea, kwa hiyo na mabadiliko ya homoni ni tatizo kubwa.
4. Kuharibika kwa mimba zisizojulikana,
Kuna wakati mwingine mimba inaweza kutungwa ndani ya mwezi mmoja ikatoka kwa hiyo unaweza kupata damu ambazo hazina moangilio maalumu,
5. Kwa hiyo baada ya kuona sababu za kufanya mabadiliko kwenye hedhi ni vizuri kabisa kumtambua kwamba kama Kuna tatizo lolote ambalo linaweza kutokea ni vizuri kupata vipimo na kugundua ni shida gani iliyofanya nipoteze damu mara mbili kwa mwezi,au damu isitokea au kuendelea kuwepo kwa tatizo la kutoka mimba mara Kwa mara , baada ya kufanya hayo yatakusaidia kuweza kuendelea na afya nzuri kabisa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Chuchu kubadilika range ni mojavkatika mabadiliko ambayo huwapa shoka wengi katika wasichana. Lucinda nikwambie tu kuwa katika hali ya kawaida hilo sio tatizo kiafya.
Soma Zaidi...Kutokwa Majimaji sehemu za siri kwa mwanamke sio jambo la kushangaza na kuhisivunaumwa. Majimajivhaya ndio huboresha afya ya uzazi kwa kusafisha na kulinda via vya uzazi. Lakini majimajivhaya yakiwa mengi, ama yanawasha ama yanaharufu haa ndipo kwenye tat
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo ni moja katika dalili za ujauzito. Maumivu wanawake wengi hushindwa kujuwa kuwa ni ujauzito ama laa. Na hii ni kwa sababu kwa wanawake wengi maumivu ya tumbo ama changu ni jalivya kawaida kwao.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutanuka kwa tezi dume, ni tatizo ambalo linawakumba wanaume wengi kwa wakati huu kwa sababu ya kuwepo kwa maaambukizi kwenye tezi ambayo Usababishwa na vitu mbalimbali kama tulivyoona.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba inataka kutoka, mimba za aina hiyo kwa kitaalamu huitwa inevitable pregnant ni lazima itoke tu hata kama kuna juhudi mbalimbali za wataalamu mimba hii utoka kabisa.
Soma Zaidi...Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kujiepusha na maradhi ya ini
Soma Zaidi...