Chanzo cha tatizo la mvurugiko wa hedhi.

Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut

Chanzo cha mvurugiko wa hedhi.

1.  Mtu kupata hofu, furaha au woga na mabadiliko ya kisaikolojia.

Kuna kipindi utokea mtu anaweza kupata furaha ya ghafla akafanya hata na mwili mzima kubadilika au akapata huzuni ya ghafla akasabisha hata mwili nao kubadilika kwa kufanya hivyo usababisha na hedhi kuvurugika au kwa wakati mwingine mtu anakuwa ametendewa ukatili wa hali ya juu na kuhisi hali isiyo ya kawaida na hiyo ufanya hedhi kubadilika.

 

2. Uwepo wa uvimbe kwenye kizazi.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na uvimbe kwenye kizazi na uvimbe huo unaweza husioneshe Dalili yoyote ile na mtu akawa anaendelea na maisha lakini dalili ya hedhi kuvurugika ni vizuri kabisa kupata vipimo Ili kuweza kuangalia kama ni uvimbe kwenye kizazi.

 

3. Matatizo katika mfumo wa homoni.

Kuna wakati mwingine na homoni ufanya mabadiliko au mvurugiko wa hedhi kwa sababu Kuna wakati mwingine hakuna hedhi kabisa Ina maana yai halikutoka kwenye ovaries, na Kuna wakati mwingine unapata hedhi mara mbili kwa mwezi Ina maana mayai mawili yaliyotokea, kwa hiyo na mabadiliko ya homoni ni tatizo kubwa.

 

4. Kuharibika kwa mimba zisizojulikana,

Kuna wakati mwingine mimba inaweza kutungwa ndani ya mwezi mmoja ikatoka kwa hiyo unaweza kupata damu ambazo hazina moangilio maalumu, 

 

5. Kwa hiyo baada ya kuona sababu za kufanya mabadiliko kwenye hedhi ni vizuri kabisa kumtambua kwamba kama Kuna tatizo lolote ambalo linaweza kutokea ni vizuri kupata vipimo na kugundua ni shida gani iliyofanya nipoteze damu mara mbili kwa mwezi,au damu isitokea au kuendelea kuwepo kwa tatizo la kutoka mimba mara Kwa mara , baada ya kufanya hayo yatakusaidia kuweza kuendelea na afya nzuri kabisa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3143

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Sababu za maumivu ya tumbo wakatu wa tendo la ndoa

Jifunze sababu kuu zinazosababisha kuhisi maumivu makali ya tumbo wakati wa kushiriki tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Signs and symptoms of pregnancy.

In fact there is a lot of signs and symptoms of pregnancy a mother experiences throughout pregnant. These signs may start to be revealed immediately after conception or in the first week after conception. A term pregnancy is traditionally calculated by mi

Soma Zaidi...
Dalili za uchungu

Uchungu wa uzazi hutokana na kubana nakuachia kwa misuli hii husababishwa kufunhuka kwa mlango wa tumbo la uzazi pamoja na shingo ya kizazi na kumuongezea mama uchungu wakati wa kujifungua(during labour) Pia kubana na kuachia huanza polepole wakati wa

Soma Zaidi...
Madhara ya fangasi ukeni.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi ukeni, madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo mtu hakutibiwa fangasi mapema.

Soma Zaidi...
Madhara ya kufanya tendo la ndoa na mwanamke akiwa katika siku zake.

Tendo la ndoa wakati wa siku za hedhi ni halia mbayo jamii nying zinakataza. Katika vitabu vya dini pia haviruhusu, hata ki saikolojia utaona kuwa sio jambo jema. Hata hivyo hapa ninakuletea madhara yake kiafya

Soma Zaidi...
Endapo nina dalili za mimba na nikipima sina mimba, je, tatizo ni nini?

dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba.

Soma Zaidi...
Namna ya kutunza joto la mtoto mara tu baada ya kuzaliwa.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i

Soma Zaidi...
Mimi kwenye korodani yai moja limezungukwa na majimaji ,na haya maji yamekuwepo toka utotoni mwangu lakin bado sijayaona matatizo yake , je kitaaramu hii inaweza kua na athari gani? ,Naombeni ushauri

Korodani ni kiungo muhimu kwa mwanaume, katika afya ya uzazi. Unaweza kusema ni kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume. Kiungo hiki ni sawa na ovari kwa mwanamke.

Soma Zaidi...
Mapendekezo muhimu kwa wajawazito

Posti hii inahusu zaidi mapendekezo muhimu kwa wajawazito, haya ni mapendekezo yaliyotolewa na wataalamu wa afya ili wajawazito waweze kule mimba zao vizuri na kuweza kujifungua vizuri na kupata watoto wenye afya njema na makuzi mazuri pasipokuwepo na ule

Soma Zaidi...
Fahamu matatizo yanayowapata watoto waliozaliwa kabla ya wakati au mapema (premature)

Kuzaa kabla ya wakati ni kuzaliwa ambayo hufanyika zaidi ya wiki tatu kabla ya kuzaliwa kwa mtoto au kuzaliwa mapema ni moja ambayo hutokea kabla ya mwanzo wa wiki ya 37 ya ujauzito. Kawaida, ujauzito hudumu kama wiki 40.

Soma Zaidi...