Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut
1. Mtu kupata hofu, furaha au woga na mabadiliko ya kisaikolojia.
Kuna kipindi utokea mtu anaweza kupata furaha ya ghafla akafanya hata na mwili mzima kubadilika au akapata huzuni ya ghafla akasabisha hata mwili nao kubadilika kwa kufanya hivyo usababisha na hedhi kuvurugika au kwa wakati mwingine mtu anakuwa ametendewa ukatili wa hali ya juu na kuhisi hali isiyo ya kawaida na hiyo ufanya hedhi kubadilika.
2. Uwepo wa uvimbe kwenye kizazi.
Kuna wakati mwingine kunakuwepo na uvimbe kwenye kizazi na uvimbe huo unaweza husioneshe Dalili yoyote ile na mtu akawa anaendelea na maisha lakini dalili ya hedhi kuvurugika ni vizuri kabisa kupata vipimo Ili kuweza kuangalia kama ni uvimbe kwenye kizazi.
3. Matatizo katika mfumo wa homoni.
Kuna wakati mwingine na homoni ufanya mabadiliko au mvurugiko wa hedhi kwa sababu Kuna wakati mwingine hakuna hedhi kabisa Ina maana yai halikutoka kwenye ovaries, na Kuna wakati mwingine unapata hedhi mara mbili kwa mwezi Ina maana mayai mawili yaliyotokea, kwa hiyo na mabadiliko ya homoni ni tatizo kubwa.
4. Kuharibika kwa mimba zisizojulikana,
Kuna wakati mwingine mimba inaweza kutungwa ndani ya mwezi mmoja ikatoka kwa hiyo unaweza kupata damu ambazo hazina moangilio maalumu,
5. Kwa hiyo baada ya kuona sababu za kufanya mabadiliko kwenye hedhi ni vizuri kabisa kumtambua kwamba kama Kuna tatizo lolote ambalo linaweza kutokea ni vizuri kupata vipimo na kugundua ni shida gani iliyofanya nipoteze damu mara mbili kwa mwezi,au damu isitokea au kuendelea kuwepo kwa tatizo la kutoka mimba mara Kwa mara , baada ya kufanya hayo yatakusaidia kuweza kuendelea na afya nzuri kabisa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito, ni mojawapo ya njia ambazo utumiwa na wahudumu wa afya ili kuweza kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtoto alizaliwa na uzito mkubwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha mtoto, kunyonyesha ni kitendo cha Mama kutumia titi lake Ili kuweza kumpatia mtoto lishe kwa kipindi chote ambacho Mama upaswa kutumia kwa kunyonyesha mtoto wake kwa hiyo Kuna faida ambazo mama uzipata kutoka
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo usaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone.
Soma Zaidi...Kupata Ukimwi ama HIV hufungamana na mambo mengi. Si kila anayefanya ngono zembe nabmuathiria naye lazima aathirike. Hiivsibkweli, ila tangu kuwa hali hii ni hatari kwani kupata maambukizi ni rahisi sana.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Majimaji yanayitoka kwenye uke yanafungamana na taarifa nyingi kuhusu afya vya mwanamke. Ujauzito, maradhi, mabadiliko ya homoni na zaidi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mapendekezo muhimu kwa wajawazito, haya ni mapendekezo yaliyotolewa na wataalamu wa afya ili wajawazito waweze kule mimba zao vizuri na kuweza kujifungua vizuri na kupata watoto wenye afya njema na makuzi mazuri pasipokuwepo na ule
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama, tunajua wazi kubwa kuna faida kubwa za uzazi wa mpango kwa akina Mama pindi watumiapo njia hizi kwa uhakika zaidi.
Soma Zaidi...Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.
Soma Zaidi...