Menu



Sababu za kuwepo fangasi ukeni

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa Ugonjwa wa fangasi,ni sababu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha fangasi.

Sababu za kuwepo kwa fangasi ukeni.

1. Mabadiliko ya homoni yaani vichocheo.

Kuna wakati mwingine vichocheo vya mwili usababisha kuwepo kwa fangasi ukeni hasa wakati wa uchevushaji wa mayai,uja uzito, uzazi wa mpango na kukoma kwa hedhi, kutokana na hali hizo usababisha kuwepo kwa fangasi.

 

2. Kuwepo kwa upungufu wa kinga mwilini.

Kwa kawaida kinga ya mwili ikipungua kila ugonjwa unakuwepo kwa hiyo watu wale wenye magonjwa ya kupunguza kinga ya mwili wako kwenye hatari Kupata fangasi za ukeni ,kama vile wenye kansa, Ukimwi na magonjwa makubwa makubwa wako kwenye hatari ya kupata tatizo la fangasi ukeni.

 

3. Wenye ugonjwa wa kisukari.

Kwa kawaida walio na Ugonjwa wa kisukari wana sukari nyingi mwilini kwa hiyo na fangasi wanapenda sana sukari na pia wenye kisukari hasa cha mda mrefu wanakuwa katika hatari ya kupungua kwa kinga ya mwili.

 

4. Kuwepo kwenye mazingira ya joto.

Kwa kawaida watu wanaopenda  kuvaa nguo zinazoingiza joto hasa za siri wako kwenye hatari ya kupata tatizo la fangasi ukeni, kwa hiyo ni vizuri kuvaa nguo ambazo haziruhusu joto kuingia kwenye shehemu za siri.

 

5. Matumizi ya kondomu na mbegu za kiume.

Kwa wale wote wanaotumia sana kondomu wakati wa kujamiiana wako katika hatari ya kupata fangasi ukeni.

 

6. Walio na vidonda kwenye sehemu za siri.

Kwa sababu ya kuwepo kwa wa aina ya  uwazi kwenye sehemu za siri kama vile vidonda ni rahisi sana kuingiwa na fangasi kwenye sehemu za siri.

 

7. Kutumia sabuni wakati wa kujitawadha 

Kwa kawaida kama mtu anajitawadha na sababu anaua bakteria wazuri na kusababisha kuwepo kwa fangasi ukeni

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1503

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰3 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰4 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Nguvu za kiume Ni nini?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusiana na kubalehe kwa msichana na mvulana.

Kubalehe ni wakati mwili wa mtoto unapoanza kubadilika na kuwa wa mtu mzima (balehe) hivi karibuni. Kubalehe ambao huanza kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.

Soma Zaidi...
Chanzo cha tatizo la mvurugiko wa hedhi.

Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut

Soma Zaidi...
Haya maji meupe hutokea wakat mimba ishatungwa au ukifanya tendo la ndoa lazima utokee?

Majimaji yanayitoka kwenye uke yanafungamana na taarifa nyingi kuhusu afya vya mwanamke. Ujauzito, maradhi, mabadiliko ya homoni na zaidi.

Soma Zaidi...
Je mwanamke anaweza pata mimba ikiwa wakati watendo la ndoa hakukojoa Wala kusikia raha yoyote ya sex wakati watendo landoa

Je wewe ni mwanmake unayepata shida kufika kileleni? (Kukojoa wakati wa tendo lwa ndoa). Post hii itakujibu baadhi ya maswali yako.

Soma Zaidi...
Vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba

Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara.

Soma Zaidi...
Saratani zinazowasumbua watoto.

Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.

Soma Zaidi...