Dalili za kuziba kwa mirija ya uzazi

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea kwa sababu ya kuziba kwa mishipa ya uzazi, ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kuziba kwa mishipa ya uzazi.

Dalili za kuziba kwa mishipa ya uzazi.

1. Dalili ya kwanza ni mabadiliko ya mkojo 

Kwa sababu ya kuwepo kwa ku uziba kwa mrija wa uzazi na mkojo rangi yake ubadilika kwa sababu mara nyingine mkojo huwa na rangi ya njano na kwa mara nyingine mkojo uwa na uchafu kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye mrija ya uzazi.

 

2. Kutokwa kwa damu isiyo ya kawaida.

Kwa sababu ya kuwepo kwa kuziba kwenye mirija ya uzazi kuna tatizo la kuwepo kwa damu ambayo utoka kupitia kwenye uke kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mirija ya uzazi.

 

3. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mirija ya uzazi vile vile kunakuwepo pia na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa kwa hiyo hali usababisha wakina mama kutofurahia tendo la ndoa kwa hiyo ni vizuri kabisa kutibu maambukizi ili kuepuka tatizo hili.

 

4. Kuhisi kichefuchefu na wakati mwingine kutapika.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye mirija ya uzazi usababisha kichefuchefu na pia wakina mama wengi utapika .

 

5. Tumbo kuvimba.

Kwa sababu Maambukizi kutoka kwenye mirija ya uzazi yanaweza pia kufika kwenye  mmeng'enyo wa chakula na vile kusababisha tumbo kuvimba.

 

6. Maumivu ya kiuno.

Kwa sababu via vya uzazi mara nyingi vipo kwenye sehemu ya kiuno kwa hiyo kwenye kiuno Maumivu pia uwepo.

 

7. Kuwepo kwa tatizo la kupungua au kuongezeka uzito kwa ghafla,

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi usababisha sana uzito kuongezeka au kupungua kwa ghafla kwa mtu mwenye tatizo la Maambukizi kwenye via vya uzazi.

 

8. Kuhi mwili kuchoka .

Kwa sababu ya kuwepo kwa hali ya maumivu ya mara kwa mara pia usababisha na mwili kuchoka na kuleta hali ya mama kutojisikia vizuri.

 

9. Kuwepo kwa maumivu ya nyonga.

Kwa sababu nyonga ni sehemu mojawapo ambayo huwa ni sehemu mojawapo ambapo via vya uzazi uwepo kwa hiyo na pia maumivu utokea kwenye sehemu ya nyonga.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 5508

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake

Soma Zaidi...
Ijue kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.

Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya HCG katika kupima mimba, HCG maana yake ni human chorionic gonadotropin ni homoni ambayo uonekanekana kwenye mkojo na damu kama mtu ana mimba.

Soma Zaidi...
Ay ni iv kipimo cha mimb uanz kutoa majb ndan ya mda gan wik mwez au iko vipi?

Kipimo cha Mlimba huweza kuonyesha mimba changa mapema sana. Pia ni rahisi kutumia na kinapatikana kwa bei nafuu. Je ungeoendavkujuwa ni muda gani kinatoa majibu sahihi?

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kutoka.

Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyosaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone

Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo usaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone.

Soma Zaidi...
Fahamu matatizo yanayowapata watoto waliozaliwa kabla ya wakati au mapema (premature)

Kuzaa kabla ya wakati ni kuzaliwa ambayo hufanyika zaidi ya wiki tatu kabla ya kuzaliwa kwa mtoto au kuzaliwa mapema ni moja ambayo hutokea kabla ya mwanzo wa wiki ya 37 ya ujauzito. Kawaida, ujauzito hudumu kama wiki 40.

Soma Zaidi...
SIKU HATARI ZA KUPATA UJAUZITO KWA MWENYE MZUNGURUKO WA SIKU KIDONGO AU NYUNGI

SIKU YA KUPATA UJAUZITO Kawaida wanawake walio wengi mzunguruko wa siku zao ni siku 28 lakini wapo ambao ni zaidi ya hapo na wapo ambao ni chini ya hapo.

Soma Zaidi...
Faida za uzazi wa mpango kwa jamii

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa jamii, tunapaswa kujua kuwa uzazi wa mpango ukitumiwa vizuri na jamii nayo inapata faida kwa hiyo zifuatazo ni faida za uzazi wa mpango kwa jamii.

Soma Zaidi...
Nimetoka kufanya tendo la ndoa ghafla tumbo likaanza kukaza upande wa kushoto na kutoka maji yenye uzito wa kawaida kama ute mengi je hii itakuwa ni nini

Maumivu yavtumbo huwenda yakachanganya sana, Keane yanahusianana sababu nyingi sana. Kina baadhi ya watu hupata na maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa ama punde tu baada ya kumaliza.

Soma Zaidi...
Dalili za kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroid)

Post hii inaenda kufundisha kuhusiana na uvimbe wa kizazi kwa wanawake. Uvimbe wa kizazi no uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao unaweza kuwa ndan ya kizazi uvimbe huu ndan ya mwanamke hujulikana kama (uterine myoma au fibroid). Uvi

Soma Zaidi...