Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kuelewa kuwa mimba inaweza kutoka kwa sababu mbalimbali kama vile maambukizi, kutolewa kwa sababu ya kuwepo kwa usalama kwa Mama na pengine kwa sababu za kimakosa kwa sababu watu wengine hawapendi kuzaa kwa sababu zao binafsi.
2. Kuna mimba ambayo inatishia kutoka kwa sababu ya kuonyesha dalili zote za kutoka ambazo no pamoja na kutokwa na damu kwenye sehemu za mwili wa mwanamke lakini mlango wa kizazi unakuwa umefingwa na pia hii inaweza isitoke kwa sababu akipatikana mtu wa kumtunza anaweza kujifungue na mimba isitoke.
3.Aina nyingine ya mimba ambapo hata kama Kuna mtu wa kumtunza Mjamzito mimba ni lazima itatoka tu.kwa kitaalamu case hii inevitable anaemia.
4. Kuna aina nyingine ya mimba kutoka ambapo mimba imetoka na Kuna baadhi ya vitu kama vile uchafu kubaki kwenye tumbo la uzazi na vinapaswa kutolewa Ili kuweza kuondoa uchafu huo kusudi usilelete shida yoyote
5. Aina nyingine ya mimba kutoka , ni pale ambapo mimba inatoka na uchafu wake wote unatolewa nje ya tumbo la uzazi.
6.Aina nyingine ya me mimba ni Ile ambaye uleta maambukizi kwa sababu ya vifaa vilivyotumika kutokana na vifaa vinavyotumika .
7. Kwa hiyo baada ya kujua aina mbalimbali za mimba kutoka Ili kuweza kujua kuwa mimba ipo au imeshatoka kwa hio tunapaswa kuwakemea wote wanaojaribu kutoa mimba kwa kutumia dawa za miti shamba na baadae kuleta maambukizi, kwa hiyo wanapaswa kuwasiliana na wataalamu wa afya kwa maelekezo zaidi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa akina dada.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa.
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa na maumivu ya tumbo. Unadhani ni dalili za mimba na ukapima hakuna mimba.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tofauti mbalimbali za uke, kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili wa binadamu kuna tofauti mbalimbali za ute kutegemea na hali iliyopo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufunga kitovu cha mtoto mara tu anapozaliwa, kwa kawaida tunafahamu kwamba ili mtoto aweze kuishi akiwa tumboni anategemea sana kula na kufanya shughuli zake kwa kupitia kwenye plasenta kwa hiyo mtoto akizaliwa tu
Soma Zaidi...Hii ni hali inayowapata sana wanaume huwa wanamaliza hamu ya tendo la ndoa mapema kabla ya mwenza kuridhika.
Soma Zaidi...Je wewe ni mwanmake unayepata shida kufika kileleni? (Kukojoa wakati wa tendo lwa ndoa). Post hii itakujibu baadhi ya maswali yako.
Soma Zaidi...