Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kuelewa kuwa mimba inaweza kutoka kwa sababu mbalimbali kama vile maambukizi, kutolewa kwa sababu ya kuwepo kwa usalama kwa Mama na pengine kwa sababu za kimakosa kwa sababu watu wengine hawapendi kuzaa kwa sababu zao binafsi.
2. Kuna mimba ambayo inatishia kutoka kwa sababu ya kuonyesha dalili zote za kutoka ambazo no pamoja na kutokwa na damu kwenye sehemu za mwili wa mwanamke lakini mlango wa kizazi unakuwa umefingwa na pia hii inaweza isitoke kwa sababu akipatikana mtu wa kumtunza anaweza kujifungue na mimba isitoke.
3.Aina nyingine ya mimba ambapo hata kama Kuna mtu wa kumtunza Mjamzito mimba ni lazima itatoka tu.kwa kitaalamu case hii inevitable anaemia.
4. Kuna aina nyingine ya mimba kutoka ambapo mimba imetoka na Kuna baadhi ya vitu kama vile uchafu kubaki kwenye tumbo la uzazi na vinapaswa kutolewa Ili kuweza kuondoa uchafu huo kusudi usilelete shida yoyote
5. Aina nyingine ya mimba kutoka , ni pale ambapo mimba inatoka na uchafu wake wote unatolewa nje ya tumbo la uzazi.
6.Aina nyingine ya me mimba ni Ile ambaye uleta maambukizi kwa sababu ya vifaa vilivyotumika kutokana na vifaa vinavyotumika .
7. Kwa hiyo baada ya kujua aina mbalimbali za mimba kutoka Ili kuweza kujua kuwa mimba ipo au imeshatoka kwa hio tunapaswa kuwakemea wote wanaojaribu kutoa mimba kwa kutumia dawa za miti shamba na baadae kuleta maambukizi, kwa hiyo wanapaswa kuwasiliana na wataalamu wa afya kwa maelekezo zaidi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.
Soma Zaidi...Post hii inaongelea kuhusiana na Kukosa hedhi ambapo kitaalamu hujulikana Kama Amenorrhea ni kutokuwepo kwa hedhi - hedhi moja au zaidi ya kukosa. Wanawake ambao wamekosa angalau hedhi tatu mfululizo wana amenorrhea, kama vile wasichana ambao hawajaanz
Soma Zaidi...Nimesoma makala yenu, sasa nina swaliJe kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watoto mapacha wanaofanana,ni watoto wanaozaliwa wakiwa wanaofanana kwa sura na hata group la damu huwa ni Moja.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kiufupi kabisa kuhusiana na Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu msaada kwa mwenye maumivu ya tumbo la hedhi, hizi ni huduma ambazo utolewa kwa wale wenye maumivu ya tumbo la hedhi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuangalia kama mtoto anapumua pindi anapozaliwa,tunajua kabisa ili kujua na kuelewa kama mtoto yuko hai ni lazima kuangalia upumuaji wa mtoto,ambapo tunaitambua pale anapolia tu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu,ni madhara ambayo utokea kwa mtu anayetumia madawa ya kupunguza maumivu.
Soma Zaidi...Yai lililopikwa ni chanzo kizuri cha protini, vitamini, na madini muhimu kwa mama mjamzito. Husaidia katika ukuaji wa mtoto tumboni, afya ya mama, na kuimarisha kinga ya mwili.
Soma Zaidi...