Mimba kutoka kabla ya umri wake

Mimba kutoka kabla ya umri wake

Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Aina za mimba kutoka kwa wakati wake.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kuelewa kuwa mimba inaweza kutoka kwa sababu mbalimbali kama vile maambukizi, kutolewa kwa sababu ya kuwepo kwa usalama kwa Mama na pengine kwa sababu za kimakosa kwa sababu watu wengine hawapendi kuzaa kwa sababu zao binafsi.

 

2. Kuna mimba ambayo inatishia kutoka kwa sababu ya kuonyesha dalili zote za kutoka ambazo no pamoja na kutokwa na damu kwenye sehemu za mwili wa mwanamke lakini mlango wa  kizazi unakuwa umefingwa na pia hii inaweza isitoke kwa sababu akipatikana mtu wa kumtunza anaweza kujifungue na mimba isitoke.

 

3.Aina nyingine ya mimba ambapo hata kama Kuna mtu wa kumtunza Mjamzito mimba ni lazima itatoka tu.kwa kitaalamu case  hii inevitable anaemia.

 

4. Kuna aina nyingine ya mimba kutoka ambapo mimba imetoka na Kuna baadhi ya vitu kama vile uchafu kubaki kwenye tumbo la uzazi na vinapaswa kutolewa Ili kuweza kuondoa uchafu huo kusudi usilelete shida yoyote 

 

5. Aina nyingine ya mimba kutoka , ni pale ambapo mimba inatoka na uchafu wake wote unatolewa nje ya tumbo la uzazi.

 

6.Aina nyingine ya me mimba ni Ile ambaye uleta maambukizi kwa sababu ya vifaa vilivyotumika kutokana na vifaa vinavyotumika .

 

7. Kwa hiyo baada ya kujua aina mbalimbali za mimba kutoka Ili kuweza kujua kuwa mimba ipo au imeshatoka kwa hio tunapaswa kuwakemea wote wanaojaribu kutoa mimba kwa kutumia dawa za miti shamba na baadae kuleta maambukizi, kwa hiyo wanapaswa kuwasiliana na wataalamu wa afya kwa maelekezo zaidi

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1717

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰3 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰4 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Je ?kipimo kikionyesha misitar miwili mmoja hafifu mwingine umekolea ni mimba au sio
Je ?kipimo kikionyesha misitar miwili mmoja hafifu mwingine umekolea ni mimba au sio

Kipimo chamimba cha mkojo, huonyesha nestory miwili kuwa una mimba, na mmoja kuwa huna mimba. Sasa je ukitokea mmoja umekoleana mwingine hafifu? Endelea na pasti Òœï¸ hadi mwisho

Soma Zaidi...
CHANGAMOTO ZA UJAUZITO, NA DALILI ZAKE NA NAMNA YA KUKABILIANA NAZO
CHANGAMOTO ZA UJAUZITO, NA DALILI ZAKE NA NAMNA YA KUKABILIANA NAZO

Utawezaje kukabiliana na changamoto za ujauzito, je ni zipi changamoto hizo. Hapa nitakujuza.

Soma Zaidi...
Sababu za mimba ya miezi 4-6 kutoka.
Sababu za mimba ya miezi 4-6 kutoka.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba yenye uvimbe
Dalili za mimba yenye uvimbe

Mimba ya tumbo - pia inajulikana kama hydatidiform mole - ni ugumu usiyo na kansa (benign) ambayo hutokea kwenye uterasi. Mimba ya molar huanza wakati yai linaporutubishwa, lakini badala ya mimba ya kawaida, yenye uwezo wa kutokea, plasenta hukua na kuwa

Soma Zaidi...
Malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama.
Malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama.

Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango kwa watu wenye Ukimwi
Njia za uzazi wa mpango kwa watu wenye Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.

Soma Zaidi...
Fahamu dalili za hatari kwa wajawazito.
Fahamu dalili za hatari kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mama mjamzito, kwa sababu kuna baadhi ya Dalili zikitokea kwa mama mjamzito ni vizuri kabisa kuwahi hospitali mara moja.

Soma Zaidi...
Ijue kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.
Ijue kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.

Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya HCG katika kupima mimba, HCG maana yake ni human chorionic gonadotropin ni homoni ambayo uonekanekana kwenye mkojo na damu kama mtu ana mimba.

Soma Zaidi...
Nguzo kuu za umama katika umri wa kupata watoto na kulea watoto
Nguzo kuu za umama katika umri wa kupata watoto na kulea watoto

Posti hii inahusu zaidi nguzo kuu za umama katika umri wa kujifungua na kulea watoto, ni kipindi ambacho mama anakuwa analea watoto kwa kawaida kadri ya makadirio kipindi hiki uanza kati ya miaka kumi na mitano mpaka arobaini kwa walio wengi na kinaweza k

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.
Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo tunaweza kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili la kutanuka kwa tezi dume, kwa hiyo tunaweza kutumia njia zifuatazo ili kuweza kupunguza tatizo hili kwenye jamii kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...