picha

Dalili za awali za mimba endapo tu mwanamke ametoka kukutana kimwili na mwanaume

Habari!

Dalili za awali za mimba endapo tu mwanamke ametoka kukutana kimwili na mwanaume

Habari! Samahan Ningependa Kujua Dalili za awali za mimba endapo tu mwanamke ametoka kukutana kimwili na mwanaume



Namba ya swali 034

Ni ngumu kuzijuwa ndani ya siku moja mpaka wiki hadi wiki mbili. Ila kama utakuwa makini zaidi na mwili wako unaweza kujijua ndani ya siku moja

1. Cheki mabadiliko ya joto la mwili wako. Kama joto lako toka siku ya hatari halikushuka likaendelea mpaka kuingia siku zisizo hatari huenda ulibeba ujauzito.

2. Cheki utelezi kwenye uke wako kama umeongezeka, Cheki mabadikiko ya afya yako, kama mapigobya moyo, hali ya kichwa kama ni chepesi, kizunguzungu, n.k Chunguza magitiy yako. N.k



Namba ya swali 034

Ahsante



Namba ya swali 034

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 2892

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 ai web app     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 web hosting     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Dali za udhaifu wa mbegu za kiume.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.

Soma Zaidi...
Mimba huonekana katka mkojo baada ya muda gan tangu itungwe

Kipimo cha mimba kwa mkojo kimekuwa kikitumika sana kuangalia ujauzito. Kipimo hiki kinapotumika vibaya kinaweza kukupa majibu ya uongo. Kuwa makini na ujue muda sahihi.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu,ni madhara ambayo utokea kwa mtu anayetumia madawa ya kupunguza maumivu.

Soma Zaidi...
Mimi naumwa na tumbo chini ya kitovu upande wa kulia, ninapotok kushiriki tendo la ndoa ndonapata maumivu zaid pia nawashwa sehemu za siri itakuwa shida ni nin?

Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya

Soma Zaidi...
Je? Naomba kuuliza mkewangu ali ingiya kwenye hezi siku tatu damu ikakata nikakutana nae siku ya nane je? Anaweza pata ujauzito

Idadi ya siku hatari za kupata mimba hutofautiana kutoka kwa mwanamke mmoja namwinhine. Kinda ambao idadivyavsikuvzao za hatari ni nyingi kuliko wengine.

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya ngozi wakati wa ujauzito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito.

Soma Zaidi...