Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kuwa kibofu cha mkojo na tumbo la uzazi kwa kawaida vinakaribiana kwa hiyo mimba ikikua na hivyo hivyo na kibofu cha mkojo ukandamizwa hali ambayo ufanya mama akojoe wakati wa ujauzito kwa sababu mtoto ashakuwemio kwenye mlango wa kizazi.Kwa akina Mama wasihofu au wasishangae kuona tatizo la kukojoa mara kwa mara inalowatokea.
2. Na pia Kuna wakati mwingine mama akicheka kwa nguvu na pia mkojo unaweza kupita na kutoka nje hali hii utokea kwa sababu kibofu cha mkojo kípo karibu.
3. Kwa hiyo akina Mama waache tabia za kutumia dawa za kienyeji wakidhani wanaweza kupata uponyaji.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba katika mwezi was kwanza
Soma Zaidi...Kuna njia nyingi zinatajwa zinapima mimba kama chumvi, sukari, mafuta na sabuni. Hata hivyo zipo njia zaidi ya 10 za kiasili za kupima ujauzito. Utajifunza hapa zote
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kujaa tmgesi tumbon
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukuletea orodha ya vyakla vinavyoaminika kuongeza nguvu za kiume.
Soma Zaidi...Kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito kina faida nyingi kwa mama na mtoto. Miongni mwa faida hizo ni kuimarisha mfumo wa kinga wa mama, kumuondolea stress na ukuajinmzuri wa mimba
Soma Zaidi...Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua Kama mume wake pamoja na yeye akiwa Hana maambukizi ya zinaa na Kama akiona dalili zozote zile za hatari ndio hataruhusiwa kushiriki tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu wakati wa tendo la ndoa na baada
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba.
Soma Zaidi...