Sababu za kutangulia kwa kitovu wakati Mtoto anazaliwa

Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa.

Sababu za kutangulia kwa kitovu wakati Mtoto anazaliwa.

1. Kwa kawaida tunajua kuwa mtoto utanguliza kichwa ila kwa wakati mwingine Kuna uwezekano mkubwa wa mtoto kutanguliza kitovu, na kwa wakati mwingine kitovu hicho kinaweza kuja kimejivilingisha kwenye shingo na mtoto akipata shida wakati wa kutoka kitovu kinaweza kumniga akafariki au kama Kuna ujuzi zaidi kwa wataalamu wa afya mtoto anaweza kuokolewa kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kitovu kutangulia wakati mtoto anapozaliwa.

 

 2. Jinsi mtoto alivyolala.

Kwa kawaida mtoto tunamtegemea aanze kutoa kichwa wakati wa kuzaliwa ila Kuna watoto wanatanguliza matako, kichwa, uso, mgongo na vitu kama hivyo ambavyo ni kawaida na kichwa kwa hiyo katika kujigeuza geuza Ili aweze kupata sehemu ya kutanguliza saa nyingine kitovu kinatanguli mbele kabla ya mtoto.

 

3. Mtoto kuwa zaidi ya mmoja.

Kwa wakati mwingine hasa kwa akina Mama ambao ujifungua mapacha kwa sababu ya kuwepo mtoto Zaid ya mmoja kila mtoto utafuta jinsi ya kutoka Ili aweze kuzaliwa kwa hiyo katika kiangaika Ili kupata nafasi usababisha kutangulia kwa kitovu badala ya kichwa.

 

4. Kupasuka kwa membrane kabla ya mtoto kuingiza kichwa kwenye mlango wa kizazi.

Kuna wakati mwingine chupa upasuka mapema sana kabla ya mtoto kuingiza kichwa kwenye mlango wa kizazi hali hii nayo usababisha mtoto kutanguliza kitovu.

 

5. Muundo wa mlango wa kizazi.

Pengine Kuna akina Mama wameumbwa tofauti kabisa na kuwa na uwezo wa kupitisha mtoto na akifika wakati wa kusukuma mtoto hawezi kupita ingawa anahisi uchungu na sifa zote za kujifungua anakuwa Nazo katika kuangaika anajikuta mtoto ashatanguliza kitovu.

 

6. Kwa hiyo hali hii ni ya hatari endapo wahudumu wa afya hawana utaalamu wa kugundua mapema tatizo hili, ni vizuri kuligundua Ili kuweza kuokoa maisha ya Mama na mtoto wakati Mama akiwa anajifungua.

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2089

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Habari nilitaka kujua kuhusu ugonjwa wa fungusi kwenye uume

Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Zifahamu sifa za mtoto mchanga.

Posti hii inahusu zaidi sifa ambazo mtoto mchanga anapaswa kuwa Nazo,ni sifa ambazo lazima zionekane kwa mtoto mchanga pale anapozaliwa na zikikosa ni lazima kuja kuwa mtoto ana matatizo mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni sifa za mtoto mchanga kama ifuatavy

Soma Zaidi...
Mambo muhimu ambayo mama mjamzito anatakiwa kuzingatia.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo ambayo mama mjamzito anatakiwa kuzingatia katika kipindi Cha ujauzito au mimba

Soma Zaidi...
Dalili na sababu za Kukosa hedhi

Post hii inaongelea kuhusiana na Kukosa hedhi ambapo kitaalamu hujulikana Kama Amenorrhea ni kutokuwepo kwa hedhi - hedhi moja au zaidi ya kukosa. Wanawake ambao wamekosa angalau hedhi tatu mfululizo wana amenorrhea, kama vile wasichana ambao hawajaanz

Soma Zaidi...
Mbinu za kuwakinga watoto na saratani.

Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo tunaweza kuzitumia ili kuwakinga watoto dhidi ya saratani, kama tulivyotangulia kusema kwamba saratani ya watoto mara nyingi Usababishwa na akina Mama hasa kwa sababu ya mtindo wa maisha wakati wa ujauzito kwa hiyo tun

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia

Soma Zaidi...
Ndug mi naitaj ushauri mimi nishaingia kwenye tendo dakika 7 tu nakua nishafika kilelen naomba ushauri ndugu

Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu mapacha wanaofanana

Post hii inahusu zaidi watoto mapacha wanaofanana,ni watoto wanaozaliwa wakiwa wanaofanana kwa sura na hata group la damu huwa ni Moja.

Soma Zaidi...
Malengo kwa Akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi malengo kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, ni malengo ambayo yametolewa ili kuweza kusaidia mtoto azaliwe vizuri na mambo mengine kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Namna ya kufunga kitovu cha mtoto.

Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufunga kitovu cha mtoto mara tu anapozaliwa, kwa kawaida tunafahamu kwamba ili mtoto aweze kuishi akiwa tumboni anategemea sana kula na kufanya shughuli zake kwa kupitia kwenye plasenta kwa hiyo mtoto akizaliwa tu

Soma Zaidi...