Wanaopasawa kutumia PEP
PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.
Wanaopasawa kutumia PEP.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua maana ya PEP kwa kitaalamu ni post exposure prophylaxis kama nilivyotangulia kusema kuwa ni dawa ambazo utumiwa na wale wanaojamiiana na watu wenye maambukizi ya ukimwi na hawawezi kupata ugonjwa wa ukimwi lakina dawa hizi zinatolewa hospital hasa kwenye vituo vya kuhudumiwa wagonjwa wenye maambukizi ya ukimwi, unaenda pale unaeleza Nia Yako na unapatiwa. Ili kupunguza ongezeko la virus vya ukimwi wafuatao wanapaswa kutumia dawa hizo.
1.wanaofanya biashara ya ngono.
Kwa wale wanaofanya kazi hizi ni vizuri kutumia dawa hizi kwa sababu ya kukutana na watu wengi mbalimbali na wenye magonjwa mbalimbali Ili kuweza kupunguza kuendelea kuwepo au kusambaa kwa ugonjwa huu na watu Hawa wanapaswa kuwasiliana na watoa huduma kwenye vituo hivi na watapata msaada.
2. Wanaume wanaojamiiana na wanaume wenzao.
Na Hawa ni watu walio katika hatari ya kupata ugonjwa huu wa ukimwi kwa sababu Leo anejamiiana na mwanaume huyu kesho na mwingine kesho kutwa na mke wake na hao aliojamiiana nao pia na wenyewe Wana wapenzi wao hali hii usababisha kuendelea kuenea kwa ugonjwa wa ukimwi, kwa hiyo Ili kuepuka kuendelea kuwepo kwa ugonjwa wa ukimwi ni lazima kufatilia dawa mapema Ili kuweza kuepuka kupata ugonjwa.
3. Watu wanaovuta madawa ya kulevya kwa kutumia sindano.
Kwa kawaida tunajua watu Hawa nao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa ukimwi kwa sababu sindano Moja inaweza kutumiwa na watu zaidi ya kumi na huwezi kujua ni nani mwenye maambukizi kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia dawa Ili kuepuka hatari ya kuwaambukiza wengine.
4. Pia watoto ambao wameanza kubarehe na hawatulii na wenyewe kama tunaona wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa ukimwi wapatiwe Ili pale wakitulia waache, kwa kufanya hivyo ni kuwasaidia Ili katika umri mdogo wasipatwe na maambukizi na kukatisha ndoto zao.
5. Kwa hiyo hizi dawa zinapatikana hospital na unaenda unajieleza na unapatiwa hata ukijamiiana na mtu mwenye maambukizi huwezi kupata ila uliamua kuacha kazi ambayo inakuingiza kwenye hatari ya kupata maambukizi unaweza kuacha na kuendelea na maisha ya kawaida, kwa hiyo uaminifu wa kutumia dawa ni lazima pamoja na kufuata mashart.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Madrasa kiganjani π2 Kitabu cha Afya π3 Bongolite - Game zone - Play free game π4 web hosting π5 kitabu cha Simulizi π6 ai web app
Post zinazofanana:
je ute wa uzazi uanza kuonekana siku ya 14 tu au kabla ? Na je mimba ya siku tatu inaweza kucheza?
Miongoni mwa dalili zamwanzo za ujauzito ni maumivu ya tumbo ama kupatwa na damu kidogo. Mabadiliko ya ute ute sehemu za siri ni katika baadhi ya dalili. Endelea na makala hii utajifunza zaidi.
Soma Zaidi...Mabaka yanayowasha chini ya matiti.
Posti hii inahusu zaidi mabaka yanayowasha chini ya matiti, ni ugonjwa ambao uwapata wanawake walio wengi na wengine hawajapata jibu Sababu zake ni zipi na pengine uchukua hatua za kutumia miti shamba wakidai juwa hospitalini nugonjwa huu hautibiwa, ila n
Soma Zaidi...Dalili za mimba ya mtoto wa kiume ama mtoto wa kike
Posti hii inakwenda kukueleza jinsi ya kuwjuwa kama mtoto ni wa kike ama wa kiume.
Soma Zaidi...Jinsi ya kupata mtoto wa kiume
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.
Soma Zaidi...Jinsi mimba inavyotungwa na namna ambavyo jinsia ya mtoto inavyotokea
Posti hii hasa inahusu kasoro ,utatuzi,na jinsi ya kutunga mimba kwa upande wa mwanamke na mwanaumeΒ .itatupelekea jinsi ya kuangalia kasoro na jinsi ya kutatua hizo kasoro katika jamii zetu.
Soma Zaidi...