PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua maana ya PEP kwa kitaalamu ni post exposure prophylaxis kama nilivyotangulia kusema kuwa ni dawa ambazo utumiwa na wale wanaojamiiana na watu wenye maambukizi ya ukimwi na hawawezi kupata ugonjwa wa ukimwi lakina dawa hizi zinatolewa hospital hasa kwenye vituo vya kuhudumiwa wagonjwa wenye maambukizi ya ukimwi, unaenda pale unaeleza Nia Yako na unapatiwa. Ili kupunguza ongezeko la virus vya ukimwi wafuatao wanapaswa kutumia dawa hizo.
1.wanaofanya biashara ya ngono.
Kwa wale wanaofanya kazi hizi ni vizuri kutumia dawa hizi kwa sababu ya kukutana na watu wengi mbalimbali na wenye magonjwa mbalimbali Ili kuweza kupunguza kuendelea kuwepo au kusambaa kwa ugonjwa huu na watu Hawa wanapaswa kuwasiliana na watoa huduma kwenye vituo hivi na watapata msaada.
2. Wanaume wanaojamiiana na wanaume wenzao.
Na Hawa ni watu walio katika hatari ya kupata ugonjwa huu wa ukimwi kwa sababu Leo anejamiiana na mwanaume huyu kesho na mwingine kesho kutwa na mke wake na hao aliojamiiana nao pia na wenyewe Wana wapenzi wao hali hii usababisha kuendelea kuenea kwa ugonjwa wa ukimwi, kwa hiyo Ili kuepuka kuendelea kuwepo kwa ugonjwa wa ukimwi ni lazima kufatilia dawa mapema Ili kuweza kuepuka kupata ugonjwa.
3. Watu wanaovuta madawa ya kulevya kwa kutumia sindano.
Kwa kawaida tunajua watu Hawa nao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa ukimwi kwa sababu sindano Moja inaweza kutumiwa na watu zaidi ya kumi na huwezi kujua ni nani mwenye maambukizi kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia dawa Ili kuepuka hatari ya kuwaambukiza wengine.
4. Pia watoto ambao wameanza kubarehe na hawatulii na wenyewe kama tunaona wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa ukimwi wapatiwe Ili pale wakitulia waache, kwa kufanya hivyo ni kuwasaidia Ili katika umri mdogo wasipatwe na maambukizi na kukatisha ndoto zao.
5. Kwa hiyo hizi dawa zinapatikana hospital na unaenda unajieleza na unapatiwa hata ukijamiiana na mtu mwenye maambukizi huwezi kupata ila uliamua kuacha kazi ambayo inakuingiza kwenye hatari ya kupata maambukizi unaweza kuacha na kuendelea na maisha ya kawaida, kwa hiyo uaminifu wa kutumia dawa ni lazima pamoja na kufuata mashart.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kupasuka kwa kondo la nyuma (plasenta) (abruptio placentae) ni tatizo lisilo la kawaida lakini kubwa la ujauzito.Kondo la nyuma (Placenta) ni muundo ambao hukua ndani ya uterasi wakati wa ujauzito ili kumlisha mtoto ana
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi athari za kuweka vitu ukeni, tunajua kwa wakati huu kadri ya kukua kwa sayansi na teknolojia watu wanaendelea kugundua mbinu mbalimbali ili waweze kuwafurahisha wapenzi wao wakati wa kufanya tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Ikiwa mtoto wako ana kasoro ya moyo wa kuzaliwa, ina maana kwamba mtoto wako alizaliwa na tatizo katika muundo wa moyo wake. Baadhi ya kasoro za moyo za kuzaliwa kwa watoto ni rahisi na hazihitaji matibabu, kama vile tundu dogo kati ya chemba za moyo amb
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupima mimba kwa kutumia chumvi sukari na sabuni
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuhusu njia za uzazi wa mpango, uzazi wa mpango ni njia za kupanga uzazi Ili kupata idadi ya watoto unaohitaji
Soma Zaidi...kama pumbu moja ni kubwa uliko jingine post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakwend akuangalia vinavyoweza kusababisha korodani moja kuw akubwa zaidi ya lingine
Soma Zaidi...Posti inahusu zaidi njia maalum za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha,Ni njia za uzazi ambazo wanaonyesha wanatumia kwa sababu kuna njia nyingine zikitumiwa na wanaonyonyesha zinaweza kuleta matatizo kwa watoto au kusababisha maziwa kutokuwa na vitamini v
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi fibroids au uvimbe kwenye via vya uzazi hasa hasa utokea kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa kitaalamu huitwa uterusi, uvimbe huu ulitokea watu wengine huwa hawawezi kutambua Dalili zake mapema kwa hiyo leo tunapaswa kujua Dalili zake
Soma Zaidi...