Wanaopasawa kutumia PEP


image


PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.


Wanaopasawa kutumia PEP.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua maana ya PEP kwa kitaalamu ni post exposure prophylaxis kama nilivyotangulia kusema kuwa ni dawa ambazo utumiwa na wale wanaojamiiana na watu wenye maambukizi ya ukimwi na hawawezi kupata ugonjwa wa ukimwi lakina dawa hizi zinatolewa hospital hasa kwenye vituo vya kuhudumiwa wagonjwa wenye maambukizi ya ukimwi, unaenda pale unaeleza Nia Yako na unapatiwa. Ili kupunguza ongezeko la virus vya ukimwi wafuatao wanapaswa kutumia dawa hizo.

 

1.wanaofanya biashara ya ngono.

Kwa wale wanaofanya kazi hizi ni vizuri kutumia dawa hizi kwa sababu ya kukutana na watu wengi mbalimbali na wenye magonjwa mbalimbali Ili kuweza kupunguza kuendelea kuwepo au kusambaa kwa ugonjwa huu na watu Hawa wanapaswa kuwasiliana na watoa huduma kwenye vituo hivi na watapata msaada.

 

2. Wanaume wanaojamiiana na wanaume wenzao.

Na Hawa ni watu walio katika hatari ya kupata ugonjwa huu wa ukimwi kwa sababu Leo anejamiiana na mwanaume huyu kesho na mwingine kesho kutwa na mke wake na hao aliojamiiana nao pia na wenyewe Wana wapenzi wao hali hii usababisha kuendelea kuenea kwa ugonjwa wa ukimwi, kwa hiyo Ili kuepuka kuendelea kuwepo kwa ugonjwa wa ukimwi ni lazima kufatilia dawa mapema Ili kuweza kuepuka kupata ugonjwa.

 

3. Watu wanaovuta madawa ya kulevya kwa kutumia sindano.

Kwa kawaida tunajua watu Hawa nao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa ukimwi kwa sababu sindano Moja inaweza kutumiwa na watu zaidi ya kumi na huwezi kujua ni nani mwenye maambukizi kwa hiyo ni vizuri kabisa kutumia dawa Ili kuepuka hatari ya kuwaambukiza wengine.

 

4. Pia watoto ambao wameanza kubarehe na hawatulii na wenyewe kama tunaona wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa ukimwi wapatiwe Ili pale wakitulia waache, kwa kufanya hivyo ni kuwasaidia Ili katika umri mdogo wasipatwe na maambukizi na kukatisha ndoto zao.

 

5. Kwa hiyo hizi dawa zinapatikana hospital na unaenda unajieleza na unapatiwa hata ukijamiiana na mtu mwenye maambukizi huwezi kupata ila uliamua kuacha kazi ambayo inakuingiza kwenye hatari ya kupata maambukizi unaweza kuacha na kuendelea na maisha ya kawaida, kwa hiyo uaminifu wa kutumia dawa ni lazima pamoja na kufuata mashart.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Fahamu Dawa inayotumika kupunguza maumivu (ibuprofen)
Ibuprofen ni mojawapo ya dawa zinazotumiwa sana duniani kote! Ili kupunguza maumivu na kuvimba, agiza Ibuprofen leo na upate afya bora! Ni kiungo amilifu katika dawa za jina kama vile Motrin na zaidi. Ibuprofen pia inaweza kuuzwa kama: Advil Motrin, Nuprin. Soma Zaidi...

image Dalili za kifua kikuu kwa watoto.
Posti hii inahusu zaidi dalili za kifua kikuu kwa watoto,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto pindi wanapopata Maambukizi ya kifua kikuu. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa ya maumivu aina ya indomethacin
Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo
Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo. Soma Zaidi...

image Faida za dawa za NMN
Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile. Soma Zaidi...

image Matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani
Post hii inahusu zaidi matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani, ni njia ya kawaida ya kujitibu vidonda vya tumbo kama tulivyoona. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa za kutibu minyoo
Post hii inahusu zaidi dawa mbalimbali za kutibu minyoo, tunafahamu kabisa minyoo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali hasa watoto. Soma Zaidi...

image Fahamu matumizi ya Ampicillin.
Ampicillin ni antibiotic yenye msingi wa penicillin ambayo inafanya kazi kupambana na maambukizi ya ndani ya bakteria. Ampicillin hufanya kazi ya kuharibu kuta za kinga ambazo bakteria huunda ndani ya mwili wako na kuzuia bakteria wapya kutokeza. Ampicillin ni kiuavijasumu chenye ufanisi mkubwa, na ni mojawapo ya dawa zinazopendekezwa na madaktari. Soma Zaidi...

image Ifahamu dawa ya kutibu kifua kikuu
Post hii inahusu zaidi dawa ya Rifampin kama dawa mojawapo ya kutibu kifua kikuu. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa ya kuzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria
Post hii inahusu zaidi dawa ya cloxacillin ambayo Iko kwenye kundi mojawapo la penicillin ambalo uzuia enzymes zinazotengenezwa na bakteria. Soma Zaidi...